Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 11
Gonga94 Β· Stories

USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ENDELEA.......

"Nimesema lala ni kukague au nikuitie nguvu kazi " Malkia Shamsa alifoka.

Nguvu kazi tena jamani nilianguka chini kuomba msamaha.

"Leo siyo siku ya kusamehe naomba uache kuongea neno nisamehe 😠" Malkia Shamsa alifoka huku akinirushia teke.

Nilijitia kuumia kumtia moyo lakini ukweli kutoka moyoni sikuumia.

"Malkia, kila kitu kimetokea kwa bahati mbaya, naomba unisamehe tafadhali, kama utaniua nitaweka wapi sura yangu " Niliomboleza.

"Kesho asubuhi na mapema utaondoka hapa....kwa usiku mzima nitakesha nikifikiria kosa litakalo kufaa na hata hivyo na rahisisha mambo kwa sababu ya Baba yako. Kanifundisha sana mambo mengi kabla sijaja hapa hivyo nitakupunguzia adhabu " Malkia Shamsa aliongea kisha akasepa na mtoto wake.

Walikuja Vijakazi wake wanne wakaniwekea Ulinzi nisije kutoroka kabla ya kupatiwa adhabu.

Mwanzo walikuwa imara, yaani kila nilipogeuka nilikutana nao sura lakini kadri masaa yalivyoenda mmoja baada mwingine alifumba macho yake sababu ya usingizi.

Nilijiweka tayari kwa kutoroka, nilikusanya vitu vyangu vya thamani bila kusahau kanguo ka Ivan mwana wa Mfalme....nilihitaji kuwa nako kama ukumbusho kuwa nililea mtoto wa Mfalme. Laiti kama ningejua nisingefanya hivi.

Nilianza kunyata taratibu ile nataka kufungua mlango nilidakwa na Tunu (Kijakazi wa Malkia) huyu binti anakuwaga na balaa sana naweza kumuita shetani mwekundu kwa sababu matendo yake huwa ni magumu sana.

"Wapi unaenda Mbwa pori wewe, hivi unafikiri tulikuwa tumelala hii mbinu niliwafundisha wenzangu ni kijua fika utaingia mkenge kubabake. Hebu nijibu, nini kimekusibu ukaipakia nguo ya Mwana wa Mfalme kwenye nguo zako " Tunu aliniuliza.

Vile anaongea sasa utadhani yeye ndio Malkia Shamsa. Nilikuwa na mpango wa kumjibu lakini nilimpuuzia.

"Huyu hana mdomo wa kujitetea, hebu leteni hizo hereni za Malkia Ada tumuongezee kwenye furushi lake. Hapo kinguo cha Ivan kule hereni za Malkia Ada. Hakika siku ya kesho patanoga " Tunu aliongea huku akicheka.

Basi hereni za Malkia Ada ziliwekwa ndani ya furushi.
Kulivyo pambazuka asubuhi Malkia Shamsa alikuja akiwa bado kafura.

"Malkia wangu huyu Yaya ni mwizi mkubwa, tulizuga kulala wacha aiibe nguo ya Mwana wa Mfalme. Pia ana hereni za Malkia Ada " Tunu alipigilia msumari.

"Mwizi?.... ulitaka ukaifanyie nini nguo ya mwanangu pamoja na hereni za Malkia Ada. Kubabake bila shaka ulifikiria kufanya vitu vya kishirikina " Malkia Shamsa aliongea.

Mdomo wangu Mimi ulikuwa mzito, sikuweza kujitetea wala kuongeza neno lolote.

Malkia Ada aliletwa kuthibitisha hereni nilizo nazo ni zake au la.

"Hereni zangu zimefikaje mikononi mwako ....hakuna mtu mwenye ujasiri hapa Ikulu wa kuingia malangoni kwangu bila ruhusa yangu, inaonekana wewe ni kibaka uliyekomaa. Huyu achapwe viboko 50 kisha aondolewe hapa akiwa kavaa matambara 😠" Malkia Ada aliongea.

Basi nilinyweshwa fimbo 50 za makalio kisha ni kavalishwa matambara.

Kama utani hivi niliondolewa Ikulu, na kwetu mie hivyo sikutaka kutanga tanga hata kidogo nilinyooka moja kwa moja nyumbani.

Ile nafika tu Baba naye alifika akiwa amelewa chakali.

"Ikulu inahitaji watu Wahuni na si wastaarabu. Kama hujui kucheza michezo ya pata poteza kila iitwayo leo utakuwa unalia tu, ahsante kwa kurudi nyumbani " Baba yangu aliongea.

Nilitaka kuangua kilio lakini niliona ujinga hivi, niliingia ndani kulala.

Sikumbuki ilikuaje lakini nilikuja kushtuliwa na Mama yangu kuwa nahitajika nje.

"Mb...wa wewe, yaani unafuatwa kabisa nyumbani na Wanaume. Hebu nenda ukawasikilize kabla Baba yako hajaamka likawa balaa " Mama aliongea..

Wanaume wapi hao tena? mbona Mimi sina marafiki wa kiume wala mashemeji .

Ile natoka nje nilishtuka kumuona Mfalme akiwa na Mlinzi wake.

Nilidondoka chini kumpa heshima , sijui ilikuaje familia yangu yote ilikuja nje kutoa heshima bila shaka walikuwa wanachungulia dirishani.

"Tunarudi wote Ikulu, kwa wakati huu hautakuwa Yaya wa Kijana wangu badala yake utakuwa Kijakazi katika malango yangu " Mfalme aliongea.

"Tunashukuru ee Mtukufu Mfalme " Watu wa familia yangu walinisaidia kujibu kwa sababu nilikuwa nimepigwa na butwaaa........

ITAENDELEA..........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 11


ENDELEA.......

"Nimesema lala ni kukague au nikuitie nguvu kazi " Malkia Shamsa alifoka.

Nguvu kazi tena jamani nilianguka chini kuomba msamaha.

"Leo siyo siku ya kusamehe naomba uache kuongea neno nisamehe 😠" Malkia Shamsa alifoka huku akinirushia teke.

Nilijitia kuumia kumtia moyo lakini ukweli kutoka moyoni sikuumia.

"Malkia, kila kitu kimetokea kwa bahati mbaya, naomba unisamehe tafadhali, kama utaniua nitaweka wapi sura yangu " Niliomboleza.

"Kesho asubuhi na mapema utaondoka hapa....kwa usiku mzima nitakesha nikifikiria kosa litakalo kufaa na hata hivyo na rahisisha mambo kwa sababu ya Baba yako. Kanifundisha sana mambo mengi kabla sijaja hapa hivyo nitakupunguzia adhabu " Malkia Shamsa aliongea kisha akasepa na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/usiku-mmoja-tu-alidata-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi usiku-mmoja-tu-alidata-sehemu-ya
USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 14
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 14
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 13
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 13
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 16
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 16
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 15
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 15
USIKU MMOJA TU ALIDATA    SEHEMU YA 19
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 19
USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 18
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 18
USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 17
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 17
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 12
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 12
 USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 20
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 20
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 9
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 9
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 10
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 10
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 7
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 7
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 8
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 8
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 6
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 6
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 11
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 103

MY WANGU❀️ sehemu ya 103

765
MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102

639
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 65πŸ’˜πŸ’˜

517
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55

513
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53

412
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

342
MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

332
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

175
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

172
MY CRAZY BOSS 1 - 5

MY CRAZY BOSS 1 - 5

118

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.69K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.48K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.42K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.31K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107
@majario LIVE

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri...

REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

πŸ‡§πŸ‡·β€οΈβ€πŸ©Ή Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
πŸ‡§πŸ‡·β€οΈβ€πŸ©Ή Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

β€œThe CBF stands in solidarity with VinΓ­cius JΓΊnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya VinΓ­cius JΓΊnior Post Mpya
🚨 ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya VinΓ­cius JΓΊnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😀❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa πŸ˜‚ Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

π†π€π‹π€π“π€π’π€π‘π€π˜ πŒπ€πŠπ„ πˆπ“ π…πˆπ•π„! β€οΈπŸ’›πŸ–πŸΌ  𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 π†π€πŒπ„! 🍿 Post Mpya
π†π€π‹π€π“π€π’π€π‘π€π˜ πŒπ€πŠπ„ πˆπ“ π…πˆπ•π„! β€οΈπŸ’›πŸ–πŸΌ 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 π†π€πŒπ„! 🍿
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest