Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 FATE TO LOVE YOU πŸ’“  7--8  7  MTUNZI UHURU MEDIA   Lina  alitoka nje  akaenda kuchukua usafiri na kuelekea nyumbani kwa Mishely. " Wewe mbona umerudi mapema na  mr Jovin anasema haujafika? Lina alikaa kwanza kwenye kochi.
Gonga94 Β· Stories

FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 7--8 7 MTUNZI UHURU MEDIA Lina alitoka nje akaenda kuchukua usafiri na kuelekea nyumbani kwa Mishely. " Wewe mbona umerudi mapema na mr Jovin anasema haujafika? Lina alikaa kwanza kwenye kochi.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

" Ni kweli sijafika kuna mambo yaliingiliana.
Mishely alikunja uso wake.
" Unamaana gani kunijibu hivyo? Kwahiyo hayo mambo yako yaliyoingiliana yalikuwa muhimu sana kuliko hilo lililokupeleka?
" Mishely sijui nikwambiaje ili unielewe maana mimi mwenyewe hapa nilipo ni kama nimechanganyikiwa.
Nilienda mpaka kwenye chumba cha mr Jovin wakati nataka kugonga mlango alikuja mwanaume mwingine na kunipeleka kwenye chumba cha Jerryson yule billionea kijana ambae alipata tuzo mwezi uliopita na kuonyeshwa sana kwenye TV.
Mishely alikuwa ana muelewa vizuri sana Jerryson alitoa macho kwa mshangao.
" Unasemaje Lina? Unamaanisha ulienda kuonana na Double J?
" Ndio Nilichukulia nikaenda kuonana na Jerry....
" Mama weeeee.... Lina una bahati ndugu yangu yule jamaa ni mtu adhimu sana na kila msichana alie bahatika kuwa nae basi huyo anakuwana pesa ya kutosha. Niambie shoga yangu umepata kiasi gani.
"Sijafanya nae chochote.
" Unasemaje?
" Mishely nimeshindwa kabisa kufanya kazi uliyonipa , Jerry amenipa kiasi cha pesa pia ameniambia kama nataka kazi basi niseme atanipa. Na sio kufanya kazi ya kuburudisha wanaume ovyo.
" Sasa yule ni baba yako mpaka alipangiwa nini cha kufanya? Wewe angalia maisha yako yeye pale alipo ana pesa ya kutosha na bado anatafuta.
" Anataka nitafute kazi ya kufanya na inaonekana yupo tayari kunisaidia.
" Usiniambie kama umeamua kuchagua kufanya kazi kwa mtu.
" Naona bora nifanye kazi kuliko hii kazi ya kwenda kuhangaika na wanaume ambao siwajui.
Mishely alitingisha kichwa kama vile anansikitikia .
" Lina huwezi kufanikiwa kwa kufanya kazi za kuosha viombo na kumtumikia mtu kijinga . Chimbo nililokuonyesha ndio Chimbo la mafanikio ya haraka, kama unataka kuwa kama mimi basi sehemu ya kazi ni ile na mimi nitakupa connection za kuonana na watu wazito wasiokuwa na longolongo. sasa kazi kwako kuchagua mshahara wa mwisho wa mwezi tena kwa kulisotea au kuchagua kuingiza pesa kila siku tena ukiwa unapata starehe.
Alisema Mishely kisha akaondoka na kumuacha Lina alimuangalia.

Kesho yake asubuhi Lina aliamka mapema sana akakaa kitandani akiwa anatafakari jinsi atakavyotoboa kwenye haya maisha magumu yanayozunguka.
Akiwa katikati ya mawazo simu yake iliita , aliekuwa anapiga alikuwa shangazi yake.
" Asubuhi hii shangazi anapiga atakuwa ana shida gani? Aliuliza huku akiwa na wasiwasi.
Alipokea ile simu ilikujua.
" Hallow shangazi.
" Lina mwanangu upo salama kweli?
" Ndio shangazi , usiwe na wasiwasi na mimi bado sijakata tamaa natafuta kazi.
" Lina naomba turudi kijijini kwani hata mimi nimechoshwa na mambo ya hapa .
" Kivipi shangazi?
" Umri wangu umeenda , siwezi tena kuendelea kufanya kazi ya kupika bila uwepo wako. Wewe Ulikuwa msaada mkubwa sana kwangu
" Ni hilo tu shangazi yangu?
" Ndio kipenzi.
Lina hakuamini sababu ya shangazi yake alihisi huenda kuna jambo linaendelea kwenye familia ya Maxwell.
" Subiri kwanza shangazi nitakupigia simu badae kidogo.
" Sawa.
Lina alikata simu kisha akanyanyuka pale kitandani na kumfuata Mishely chumbani kwake.
" Mishely kuna jambo naomba tuongee.
" Kuna tatizo lingine?
" Mishely , shangazi amenipigia simu anataka kuacha kazi na kuondoka kwenye jumba la Maxwell .
" Mmmmh kumekucha tena , sasa unataka shangazi yako nae aje hapa nyumbani kwangu?
Lina alimuangalia Mishely usoni kwake akawa amegundua Mishely hataki mizigo nyumbani kwake hivyo anatakiwa kujiongeza .
" Sikiliza Lina hapa ni mjini , maisha ni magumu sana mimi sitaweza kuwalea wewe na shangazi vyako.
" Naelewa ila nilikuwa nahitaji ushauri wako tu.
" Nitakushauri nini wakati wewe mwenyewe hutaki kazi ya pesa ya haraka unachofikiria wewe ni kutumikishwa ovyo kama punda
Lina alinyanyuka taratibu na kutoka nje ya chumba cha Mishely, alienda kukaa kwenye chumba chake ,alijiinamia na kufikiria nini cha kufanya.
" Shangazi yangu atakuwa anapitia wakati mgumu lazima nikamtoe kwenye ile nyumba.
Lina alinyanyuka na kwenda kuoga, alipomaliza alivaa nguo zake na kutoka .

Alienda mpaka kwenye jumba la kifahari la Maxwell . Alipoingia ndani ya geti mbele alimuona Stephen akiwa anafungua mlango wa gari lake , lakini alipomuona Lina alisimama na kuvua miwani yake myeusi aliyokuwa ameivaa na kumuangalia vizuri.
Lina alitaka kumpita kama vile hajamuona Stephen akamuita.
" Lina....
Lina aligeuka kumuangalia , Stephen alipiga hatua kumfuata.
" Wewe si uliondoka sasa umefuata nini nyumbani kwetu?
" Ni kweli niliondoka lakini kuna mtu wangu wa karibu nilimuacha hapa.
" Kwanini usimchukue huyo shangazi yako ukaondoka nae ili tujue una maamuzi magumu?
Lina alimuangalia kisha akatabasamu kidogo.
" Tafadhali niache sina mood ya kirumbana na wewe. Lina alitaka kuondoka , Stephen alimshika mkono na kumvutia kwake.
" Niachie ... Lina alimwambia huku wakiwa wanaangaliana usoni.
" Sikuachi mpaka uniambie ulikuwa wapi?
" Unaniuliza kama nani?
" Mwanaume wa kwanza wa maisha yako, niliekutoa ushamba na kumuonyesha mapenzi ni nini.
Lina alijikuta kwa nguvu kisha akafyonza na kuondoka. Alimfuata shangazi yake ndani akamkuta anafuta makabati ya jikoni.
" Shikamoo shangazi
" Lina, marahaba ...
" Shangazi naomba ujiandae tuondoke.
" Mbona ghafla sana , ungenipigia simu ili niweze kuaga.
" Unataka kumuaga nani hawa watu wenyewe hawana shukurani, wanarithi mbaya zisizokuwa na chembe ya utu hata kidogo.
Kumbe wakati Lina anaongea mama yake Stephen aliwasikia .
" Mtoto huna adabu wewe , yani unatusema vibaya ndani ya nyumba yetu wenyewe. Kwanza nini kimekurudisha hapa wakati uliondoka bila kuaga?
" Nimekuja kumchukua shangazi yangu.
" Afadhali mchukue uondoke nae tumeshawa choka na hekaheka kwanza mtu mwenyewe kashajizeekea .
" Kumbuka mlikuwa mnategemea kwenye kuwapikia.
" Sisi tunapenda binti tunaweza kuagiza chakula hotelini au tukaajili mfanyakazi mwingine tena akiwasomea maswala ya mapishi.
" Hiyo ndio shukurani yenu baada ya kuwatumikia kwa muda wote wa miaka 17?
" Kwani alikuwa halipewi, alikuwa anafanya kazi ya msaada?
" Huna haya wewe mwanamke. Lina aliongea kwa hasira , mama Stephen akampiga kibao cha shavuni.

FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 8

MTUNZI UHURU MEDIA

Lina alishuka shavu lake na kumuangalia kwa hasira .
" Maurine chunga mipaka yako mara nyingine sitaweza kuvumilia .
" Lina acha , twende tuondoke. Alisema shangazi yake Lina ili kuepusha mzozo.
" Nilikuwa sahihi sana kukataa kuwa karibu na kijana wangu huna adabu hata kidogo ndani ya nyumba yangu mwenyewe unanitisha na kuniita jina langu kwa dharau. Kumbuka naweza kufanya chochote na usifanye chochote mjinga mmoja wewe. Ulitoka kijijini ukiwa unanuka vumbi na harufu ya moshi nikakupa sabuni nzuri na marashi sasa umekuwa na jeuri ya kunijibu na kuita jina langu kama tunalingana.
Shangazi yake Lina alipoona hali inazidi kuwa mbaya alimshika lina mkono na kutoka nae nje.
" Lina mlasani shetani tuondoke hapa kwa usalama .
" Shangazi kachukue nguo zako haraka tuondoke.

Walifika kwenye ili nyumba aliyokuwa akiishi shangazi yake Lina na kuanza kukusanya kila kitu chako.
" Tukitoka hapa tunaenda kwa Mishely?
" Hapana tunaenda hotelini kwanza baada ya hapo tutajua .
" Muda bado unaruhusu kwanini i tusirudi kijijini?
" Siwezi tena maisha ya kijijini nitapambana hapa hapa mjini.
Waliendelea kukusanya vitu vyao na kuweka kwenye mabegi .
Wakati wanatoka walimkuta Stephen kasimama mbele ya mlango. Lina alimuangalia alafu akataka kuondoka.
" Lina nataka kuongea na wewe.
" Sina muda tafadhali.
Alijibu lina kisha akapiga hatua kuondoka , Stephen alimfuata na kumshika mkono.
" Bado sijamaliza na na wewe. Alisema Stephen kwa sauti ya ukali kidogo.
" Stephen nakuomba niachie lina usije ukasababisha maneno yasiyo na lazima. Aliongea shangazi yake Lina kwa upole.
" Eliza wewe tangulia nina maongezi kidogo na Lina , atakuja muda sio mrefu.
Eliza alimuangalia Lina usoni.
" Naomba dakika chache shangazi.
" Usikawie .
" Sawa
Baada ya shangazi yake kufika mbele kidogo Lina alimgeukia Stephen.
" Unataka nini?
" Kwanini uliondoka bila kuaga? Nakupigia simu hupokei?
" Kwani kuna kitu ambacho haujamaliza kwangu? Unataka uendelee kunitumia huku ukiwa na malengo na mwanamke mwingine?
" Lina kuna mambo ambayo wewe hujui ....
" Na wala sitaki kuyajua , ni bora uendelee na huyo mwanamke wa hadhi yako ambae ilimtambulisha kwa mama yako.
" Upo ndani ya moyo wangu.
Lina alifyonza kisha akaanza kuondoka.
Stephen alimvuta bado alikuwa anataka waongee.
Mara mama yake Stephen akatoka ndani na kuwaona.
" Wewe binti mjinga bado upo ? Ondoka nyumbani kwangu.
" Stephen sitaki kugombana na mama yako hebu niachie.
Stephen bado alimng'ang'ania, wakivutana mpaka kiatu cha Lina kukatika.
Katika kujitetea lina alivua kiatu chake na kumpiga Stephen kwenye paji la uso.
Stephen alipasuka kwenye paji la uso na damu zikaanza kutoka.
Lina alishituka kuona damu, Stephen aliushika kwenye jeraha lake wakati huo mama yake alikuwa amepaniki.
" Umemuumiza mtoto wangu. Stephen nilikwambia kaa mbali na huyu mjinga ona sasa kakutoa damu.
" Ni bahati mbaya Stephen sikutarajia kufanya hivi. Lina alijaribu kujitetea lakini mama Stephen hakumuelewa aliingia ndani na kupiga simu polisi , alitoa taarifa ya kuvamiwa na mwanae kujeruhiwa
Shangazi yake Lina alikuwa na wasiwasi sana alimuomba sana mama Stephen asifanye hivyo.
" Nakuomba madam usifanye hivyo nipo tayari kufanya chochote lakini kitu chochote kisimpate Lina wangu.
" Huyu binti ni jeuri sana sasa ngoja aione nguvu yangu akakae ndani akitoka huko awe na heshima tena aogope hata kunisogelea.
" Watu wanataka heshima na sio kuogopewa Maurine.
" Madam sikuwa na nia ya kumuumiza ilikuwa bahati mbaya.
Lina na shangazi yake waliomba sana msamaha lakini hawakusikilizwa.
Mama Stephen alimchukua Stephen akamuingiza ndani . Huku akiwa ametoa maagizo geti lisifunguliwe.
"Nilikwambia Lina ona sasa kinachotukuta .
" Shangazi unajua sikuwa na nia mbaya .
" Nilikuwa hasira kukuacha uongee nae tungeondoka haya yasingetokea.
Lina aliona hata wakilaumiana na kulia haitasaidia aneshsingia matatizoni. Alifungua pochi yake na kutoa zile pesa alizopewa na Jerry.
" Shangazi shika hizi pesa uondoke ukasnze maisha huko kijijini.
" Siwezi kuondoka bila wewe.
" Hakuna njia ya kuepuka hili labda Mungu aingilie kati . Kama nikimaliza kifungo changu nitakuja kijijini.

Wakiwa bado wanaongea mara geti likifunguliwa wakaingia polisi wawili , wakike na wakiume.
" Lina.... Shangazi aliita .
Lina akafutwa machozi kwa ujasiri.
" Ondoka shangazi hili nizmtakabiliaba nalo mwenyewe.

Mama Stephen alitoka ndani na kumwambia polisi.
" Huyu binti kunifanyia fujo sana na kumjeruhi kijana wangu.
Polisi walimchukua lina bila kuongea chochote na kumpeleka kituoni.
Shangazi yake aliondoka na kwenda kutafuta gesti za mtaani za bei poa ili kufuatilia hatma ya Lina japokuwa hakuwa na matumaini kama wanaweza kushinda kutokana na umaarufu wa familia ya Stephen.

Lina alikuwa rumande akiwa amejikunyata huku akilia. Alijitoa mno kuingia kwenye mahusiano na Stephen .
" Sijui akili yangu ilifungwa na nini laiti ningejua ningemsikiliza shangazi haya yote yasingetokea.
Lina alikaa rumande masaa mawili . Baada ya hapo alikuja askari wa kike na kufungua mlango.
" Lina nifuate.
Lina alinyanyuka na kuanza kumfuata yule askari mpaka kaunta , alimkuta mwanaume mmoja aliekuwa kavalia nadhifu sana.
" Habari Lina!
" Salama.
" Naitwa Angelo ni mwanasheria nipo hapa kwaajili yako na utatoka kwa dhamana.
Lina alimuangalia mara mbili mbili huyo mwanasheria alitamani kuuliza maswali lakini akaona achukue kwanza vitu vyake watoke pale ndani ya kituo.
Baada ya kupatiwa kila kitu chake alitoka nje .
" Pole sana.
" Asante. Samahani wewe ni nani na umeanza je kuja kunitoa hapa ikiwa mimi sikufahamu?

Full 1000
Whatsp 0784468229
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 7--8 7 MTUNZI UHURU MEDIA Lina alitoka nje akaenda kuchukua usafiri na kuelekea nyumbani kwa Mishely. " Wewe mbona umerudi mapema na mr Jovin anasema haujafika? Lina alikaa kwanza kwenye kochi.


" Ni kweli sijafika kuna mambo yaliingiliana.
Mishely alikunja uso wake.
" Unamaana gani kunijibu hivyo? Kwahiyo hayo mambo yako yaliyoingiliana yalikuwa muhimu sana kuliko hilo lililokupeleka?
" Mishely sijui nikwambiaje ili unielewe maana mimi mwenyewe hapa nilipo ni kama nimechanganyikiwa.
Nilienda mpaka kwenye chumba cha mr Jovin wakati nataka kugonga mlango alikuja mwanaume mwingine na kunipeleka kwenye chumba cha Jerryson yule billionea kijana ambae alipata tuzo mwezi uliopita na kuonyeshwa sana kwenye TV.
Mishely alikuwa ana muelewa vizuri sana Jerryson alitoa macho kwa mshangao.
" Unasemaje Lina? Unamaanisha ulienda kuonana na Double J?
" Ndio Nilichukulia nikaenda kuonana na Jerry....
" Mama weeeee.......

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/fate-to-love-you-7-8-7-mtunzi-uhuru-media-lina-alitoka-nje-akaenda-kuchukua-usafiri-na-kuelekea-nyum

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi fate-to-love-you
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 17  MTUNZI: UHURU MEDIA Maneno ya Jerry ni kama yalikuwa
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 17 MTUNZI: UHURU MEDIA Maneno ya Jerry ni kama yalikuwa
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 10  MTUNZI UHURU MEDIA    Stephen na mama yake walitoka pale kituoni wakasimama nje na kuanza kujadiliana . " Stephen
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 10 MTUNZI UHURU MEDIA Stephen na mama yake walitoka pale kituoni wakasimama nje na kuanza kujadiliana . " Stephen
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 15  MTUNZI: UHURU MEDIA  Baada ya saa chache za sherehe kuendelea, muziki wa taratibu ulianza kupigwa, watu wakaanza kucheza taratibu. Jerry
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 15 MTUNZI: UHURU MEDIA Baada ya saa chache za sherehe kuendelea, muziki wa taratibu ulianza kupigwa, watu wakaanza kucheza taratibu. Jerry
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 16  MTUNZI UHURU MEDIA   Siku hiyo ilikuwa siku ya Jerry na Lina kuelezana juu ya hisia zao.
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 16 MTUNZI UHURU MEDIA Siku hiyo ilikuwa siku ya Jerry na Lina kuelezana juu ya hisia zao.
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 9  MTUNZI UHURU MEDIA   Angelo alimuangalia na kutambua wasiwasi pa moja na hofu aliyokuwa nayo Lina.p
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 9 MTUNZI UHURU MEDIA Angelo alimuangalia na kutambua wasiwasi pa moja na hofu aliyokuwa nayo Lina.p
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 14  MTUNZI UHURU MEDIA   Kelsho yake muda ya saa nne asubuhi Jerry alikuwa amesimama kwenye dirisha la chumbani
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 14 MTUNZI UHURU MEDIA Kelsho yake muda ya saa nne asubuhi Jerry alikuwa amesimama kwenye dirisha la chumbani
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 12  MTUNZI UHURU MEDIA   Stephen alisimama huku  akitetemeka kwa hasira, macho yake yakiwaangaoia Jerry na Lina  kwa chuki.
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 12 MTUNZI UHURU MEDIA Stephen alisimama huku akitetemeka kwa hasira, macho yake yakiwaangaoia Jerry na Lina kwa chuki.
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 6  MTUNZI UHURU MEDIA    Lina alishuka kwenye gari  na kuelekea kwenye lango kuu la hotel anasalimiana na mlinzi kisha akampatia
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 6 MTUNZI UHURU MEDIA Lina alishuka kwenye gari na kuelekea kwenye lango kuu la hotel anasalimiana na mlinzi kisha akampatia
 FATE TO LOVE YOU πŸ’“1 1--2 Lina alikuwa binti wa miaka 20, mrembo mwenye haiba ya upole, macho makubwa yenye mashiko , yenye mvuto mfano wa mbaramwezi na tabasamu...
FATE TO LOVE YOU πŸ’“1 1--2 Lina alikuwa binti wa miaka 20, mrembo mwenye haiba ya upole, macho makubwa yenye mashiko , yenye mvuto mfano wa mbaramwezi na tabasamu...
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 11  MTUNZI UHURU MEDIA   Lina alishangaa inakuwaje iwe hivyo wakati aliongea na Jerry na akamwambia kaajiliwa? Aliondoka pale jikoni
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 11 MTUNZI UHURU MEDIA Lina alishangaa inakuwaje iwe hivyo wakati aliongea na Jerry na akamwambia kaajiliwa? Aliondoka pale jikoni
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 13  MTUNZI UHURU MEDIA   Ule usiku Jerry aliamua kutoka nyumbani kwake na kwenda kuonana na rafiki yake kipenzi  Nabir. Walikaa na...
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 13 MTUNZI UHURU MEDIA Ule usiku Jerry aliamua kutoka nyumbani kwake na kwenda kuonana na rafiki yake kipenzi Nabir. Walikaa na...
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 5  MTUNZI UHURU MEDIA   Alipokuwa njiani alimpigia simu Mishely. " Hallow Mishely... " Lina mbona kama unalia?
FATE TO LOVE YOU πŸ’“ 5 MTUNZI UHURU MEDIA Alipokuwa njiani alimpigia simu Mishely. " Hallow Mishely... " Lina mbona kama unalia?
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

550
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

523
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

440
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

385
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

293
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

193
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

184
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

131
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

100
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

93

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest