Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO 4--5 Chapter 4 Abisai alimrudisha mpaka nyumbani kwao.  *Hakikisha umeingia ndani maana ukitoa tu mguu wako nitajua mtandao wangu ni mkubwa
Gonga94 · Stories

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO 4--5 Chapter 4 Abisai alimrudisha mpaka nyumbani kwao. *Hakikisha umeingia ndani maana ukitoa tu mguu wako nitajua mtandao wangu ni mkubwa

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


kuliko unavyofikiria. Leyna alishuka kwenye gari kwa hasira na

kubamiza mlango. "Uwe na usiku mwema kipenzi changu. Alisema

Abisai huku akimuangalia. Leyna alienda kwenye dirisha la chumba chako na kugonga.

"Leyla nifungulie mlango.

"Wewe nae ni msumbufu siungelala hukohuko. Wewe usiendelee kuichanganya akili yangu

hapa nilipo nimesha changanyikiwa vya kutosha.

Leyla alinyanyuka na kwenda kufungua mlango. Leyna alimpiga kikumbo na kuingia ndani.

*Wewe vipi mbona unanipamia, Leyna hakujibu aliendelea kutembea kwenda.

chumbani kwake. Alijikaza kitandani huku akiwa

anafyonza fyonza.

"Wewe una shida gani?

Leyna alinyanyuka akakaa.

*Yani nimepata mwanaume kichefuchefu yanı mpaka najuta kumfahamu.

Leyla akitabasamu

Kwahiyo unataka kuniambia umepata kiboko yako?

Aaaah wapi hawezi kujiendesha hivi yani nitahakikisha namnyoosha, Hanijui vizuri.. Kwani huyo mwanaume ni nani na umemtoa

wapi? "Si tuliokotaba huko club tukaanza kupendana,

mapenzi motomoto dada ananipa kila kitu na ukimuona ni bonge la bwana, ana sifa zote za kuitwa mwanaume lakini ana wivu hatari kila

ninapoenda nae yupo yani utafikiri shetani kila

muda Anisa nipo wapi? Lakini ulikuwa unataka mwanaume.

mwenye pesa na sasa imempata ndugu sasa. vumilia hayo mambo madogo.

Unaongea nini wewe, siwezi kuvumilia ujinga amenikuta na mambo yangu ataniacga na mambo yangu.

Baada ya wiki moja majira ya saa mbili usiku mama Leyna na Leyla wakiwa kijiweni wakiuza samaki na Leyna alikuwa mtaani na mashoga

zake huku wakiwa wamekaa na wanaume.

Ilikuwa ni kitendo cha ghafla sana Abisai alishuka na kumkuta Leyna akiwa na kikosi cha

sigara mdomoni.

Alimsogelea na kumpiga kibao cha shavu mpaka ile sigara ikaanguka chini.

Wale wenzake walitaka kuingilia,

"Wewe vipi inawania na kuanza kupiga watu. Tafadhali kaeni mbali na hili atakaesogea kibao kitamgeukia. yoyote

Jamani huyu ni mpenzi wake mambo ya

wapendanao hatuingilii. Walisomea nyuma na kumuacha Leyna. akipambana na mwanaume wake.

"Ukanipigia kama nani? "Shhhh unapoongea na mimi jaribu kushusha sauti yako.

Wewe ni nani mpaka niongee na wewe kwa heshima, mama yangu mwenyewe simnyenyekel iweje uwe wewe?

Maneno ya Leyna yalimaanisha hasira Abisai Alimshika mkono na kuondoka nae. Alienda kumkabidhi kwa vijana wawili waliokuwa

wameshiba kwa mazoezi. "Hashim, Yusuph huyu ni shemeji yenu, mpenzi

wangu mimi mke wangu mtarajiwa. Sasa bro mbona shem amekasirika hivyo na

hana viatu? Tulia Yusuph bado sijamaliza utambulisho..

Abisai alimgeukia Leyna Mpenzi, lazizi wangu, mama wa wanangu.

Leyna aliweka midomo yake pembeni, Abisai akaendelea kutambulisha.

"Hawa ni wadogo zangu. Ni wanajeshi wamemaliza mafunzo yao jeshini na sasa ni

waajiriwa Sasa mimi unanisaidia nini? Alijibu Leyna kwa

dharau.

Yusuph, Hashim naombeni mumfunze adabu shemeji yenu ili ajue jinsi ya kuniheshimu..

*Aaaah bro...

Mmegoma nifanye mwenyewe?

Hapana tutafanya.

"Haya kazi kwenu

Usiku ule ule Leyna akaamuliwa akimbie kuzunguka eneo la uwanja wa nyumba.

Siwezi kukimbia na sifanyi adhabu yoyo.....

Kabla hajamaliza kuongea kibao kizito kilishuka

shavuni kwake mpaka akahisi wenge. "Nyanyuka haraka na uanze kukimbia.

Leyna hakuwa na chagua alianza kukimbia akarushwa kichura, kupiga pushapu na

kurukaruka. Leyna alikuwa amechoka sana.

Jamani nisameheni sirudii tena.

Mbona ndio kwanza tunaanza bado kidogo shemeji maliza kupiga pushapu 20.

Siwezi

"Wewe usitutanie.

Leyna alipiga push up huku akiwa analia jasho na machozi vilichanganyikana. Alipomaliza

alilala hapohapo chini.

Shemeji kipenzi bado kidogo nyanyuka. umalizie kukaa hewani. "Sasa nakaaje hewani.

"Hashim muenyeshe shemeji yetu kipenzi. Hashim alimuonyeshea mfano alipanda hewani kama vile amekaa kwenye kiti.

Leyna alifanya mara moja na kuanguka wakimuamuru arudie tena lakini baada ya muda miguu ilitetemeka na kuanguka chini.

"Nyanyuka haraka...

*Basi inatosha kwa leo.

Alisema Abisai huku akinyanyuka kwenye kiti na kwenda kumnyanyua. Alimbeba juu na kuingia naye ndani.

Wakati huo taarifa zilifikia mama Leyna na Leyla. Yani kapigwa kibao na kusombwa kama

mtuhumiwa.

Jamani sasa huyo mwanaume ni nani na kumpeleka wapi? Mama Leyna alionekana kuwa na hofu.

Mama huyo ni mwanaume wake acha kujipandisha presha.

"Huyo mwanaume unamjua?

*Hapana

Daaaah huyu mtoto atakuja kunisabanishia kifo cha ghafla. "Mama tulia atarudi.

Japokuwa Leyna alikuwa akimsimbua mama.

yake lakini alikuwa na wasiwasi juu ya usalama wake sababu mzazi ni mzazi tu

Abisai alipompelekea ndani akamjalisha. kitandani

"Pole kwa mazoezi mke wangu. Aliyoambiwa hivyo Leyna alikuwa kwa hasira.

"Basi mpenzi wangu.

Toka hapa nakuchukia Abisal.

Mimi nakupenda mpenzi wangu sasa ngoja

nikupeleke bafuni ukaoge ilinipate nguvu. Alimchukua tena na kumpeleka bafuni, Leyna

alioga alipomaliza akatoka na kukuta Abisai akiwa anamuangalia abaya zuri tena la bei ghari. Utavaa hii mpenzi alafu utakuja tupate chakula.

pamoja.

Leyna hakuwa mbishi alivaa nguo akiyoandaliwa. na kujitanua vizuri kisha taratibu akitembea huku miguu yake ikiwa inakosa nguvu.

Alifika sebleni akamkuta Abisai akiwa na ndugu

zake wanakula. Shemeji njoo tuungane pamoja, njoo tule. shemeji

Hashim na Yusuph walimchangamkia na. kumuonyesha kumjali wakati huo yeye aliwaona kama mashetani wawili wenye mapembe.

Chapter 5

LEYNA alibaki amesimama akiwaangalia na wao walitolea macho.

"Hapana nataka kwenda nyumbani tu.

Shem chakula lazima kiheshimiwe na kama

hesabu yako ipo hapa ni lazima ule. Aliongea Yusuph huku akiwa kamkazia macho, Leyna alimkata jicho Abisai ambae alikuwa

akimuangalia huku akiendelea kutafuna chakula. Aliona usiwe tabu asije akazua mengine, taratibu alisogea mpaka mezani na kutaka kukaa kwenye

kiti kilichojitenga.

Mmmm mke wangu mpenzi sehemu yako hii hapa, tangia lini umeanza kukaa mbali na mimi? Leyna alisogea taratibu na kukaa karibu na

Abisai

Abisai alichukua sahani ya Leyna na kumpa kulia chakula kisha akachukua kijiko akachoka chakula na kupeleka mdomoni kwa Leyna. Leyna

alikwepesha mdomo wake lakini alipoangalia sura za mashemeji ilimbidi afungue tu mdomo

wake na kila kile chakula. Safi sana huyu ndie mwanamke wangu ninae mtaka.

"Mashaallah mwanamke wako mzuri sana kaka Mungu awabarikie mpate kufunga ndoa.

"Amiin.

Maneno wallyokuwa wakiongea yalikuwa yakimchefua Leyna alichokuwa anataka ni kuondoka tu ile sehemu. Alikula kwa kujilazimisha

akanyanyuka na kutaka kuondoka, "Huagi shem? Leyna aliwakata jicho mashemeji zake kisha akatoka bila kuongea neno Abisal akiwaonyesha alama ya dola ndugu zake kisha

alipomaliza

akamfuata Leyna.

Walipanda kwenye gari huku Leyna akiwa kanuna

"Ukinunua hata haupendezi. Leyna alimkata jicho na kusema

"Abisai sitaki kuongea na wewe na leo hii ndio mwisho wa mimi na wewe huwezi kunitesa kiasi hiki kisa wivu wako wa kimapenzi. Yani kikiendelea kuwa na wewe najlona kabisa kifo changu kipo mikononi mwako.

"Kuachana mimi na wewe ni uwongo mpenzi na wala siwezi kukuzwa ila ukitaka uone mapenzi yangu basi fanya kile ninachotaka mimi.

"Huo ni unyanyasaji bwana.

Kwa haraka utaona hivyo lakini mimi nina mapenzi ya dhati kwako, nakupenda sana Leyna

na lengo langu ni kufunga ndoa na wewe. "Nani? Nani aolewe na wewe kwanza ukoo wenu sijul familia yenu mnaroho mbaya sana,

sithubutu kuingia kwenye familia ya makatili. Abisai hakuwa na hasira alijua anaongea vile sababu ya hasira tu.

Ilikuwa majira ya saa sita na nusu usiku walifika nyumba kwakina Leyna Leyna mpenzi kumbuka kuwa haya

ninayofanyia ni kwa faida yako na kama nitakuwa nimekukosea basi naomba unisamehe. Akiongea Abisai kwa upole huku akiwa kaushikilia mkono wa Leyna.

Leyna aliitoa mkono wake kisha akafungua mlango, akashuka kwenye gari na kuingia ndani kwao.

Wakati huo mama na Leyla walikuwa sebleni wakimsubiri, mama yake alikuwa na wasiwasi

sana.

"Sijui kama mwanangu yupo salama.

"Mama atarudi tu kwani haujamzoea mwanao anaenda kuranda huko na anarudi usiku wa manane?

Sio kwa staili hii ya sasa ya kuchukuliwa na kipigo.

"Kwani mara ngapi anapigana huko. Mmmh Leyla ya safari hii unanitisha mno.

Wakiwa bado wanaongea mara mlango uligongwa

"Leyla nenda haraka kafungue. Alisema mama yao haraka baada ya kusikia mlango unagongwa.

Leyla alienda kufungua mlango huku mama yao macho yakiwa mlangoni.

Aliingia Leyna huku akiwa anachechemea. "Leyna mwana ulikuwa wapi?

Wakati huo Leyla alishindwa kujizuia akajikuta anacheka. Leyna alimkata jicho na mama yake.

akauliza "Na wewe unacheka nini? "Mama huyu ndio ilikuwa na wasiwasi nae, ina

sasa amerudi na abaya kama vile katika kwenye sherehe au mwenzetu ukienda kuolewa ndoa ya

mkeka?

Leyna hakujibu alienda kukaa kwenye kochi huku alihisi maumivu ya miguu, alivua abaya na

mitandio akarushwa kule.. "Wewe ilikotoka ni kwema?

Mama huyu mwanaume king'ang'anizi niliempata najuta kumfahamu sio wakunifanyia hivi na ndugu zake.

Mama alishituka akajua mtoto wake kabakwa. "Amekufa ya nini?

Wamenifundisha mazoezi ya kijeshi.

nimepigiwa sauti, vichura mama pamoja na

pushapu yani hapa nilipo sina hali.

Mmmmh unelitafuta umekipata, kongole zimfikie huyo baba Mama yao alinyanyuka akaenda kulala.

"Unajua mama alikuwa na wasiwasi na presha yake imepanda ujue

Bora atakunywa dawa itashuka ila haya maumivu ya mwili wangu ni kama vile uchukue maji ya moto unisaidie kunikanda. Usiku huu mwenzangu uongo wewe nenda Kameze panado ukalale..

Usiku kucha Leyna alikuwa akiugulia maumivu ya mwili Kesho yake kutwa nzima alikuwa ndani hakuweza hata kutoka nje ya geti. Abisal alikuwa akituma msg hazikujibiwa, alipiga simu hazikupokelewa

Ilipofika Mida ya saa sita mchana Leyla alikuwa akiandaa samaki mara alisikia geti likigongwa..

"Leyla kafungue geti labda wateja wa samaki hao. Leyla alinyanyuka na kwenda kufungua geti alikutana na kijana aliekuwa kwenye pikipiki. Habari

Salama "Samahani naweza kuonana na Leyna?

Leyna yupo lakini haltaweza kuonana nae sababu hayupo sawa anaumwa. "Wewe ni nani yake?

Dada yake.

Basi sawa nina mzogo wake hapa natumai utamfikia.

"Usijali utamfikia..

Ilikuwa mifuko mitatu mikubwa ilikuwa imejaa

vitu. "Kwanza hii mizigo imetoka wapi?

Kwa boss Abisai mwenyewe ataelewa. "Sawa. wewe mwambie hivyo

Leyla alibeba ile mizigo mmoja akamuacha maana ilikuwa mizito.

Mama yake alipomuona akauliza.

*Huyo mitmzogo inatoka wapi?

Niya Leyna mama, tena kuna mwingine nimeuacha huko.

Huko chumbani Leyna akiwa anaperuzi mtandaoni mara simu yake iliita iliyokuwa Inapiga ni namba mpya, Leyna alipokea.

hallow.

"Vipi mapenzi wangu unaendeleaje? "Abisai niache bado nina hasira za jana.

Najua mama ila hayo yote yataisha baada ya kuona nilichokutumia hapo nyumbani kwenu. "Umetuma niniChapter 6

Leyna alipofika nje akakuta mifukoni imesheheni bidhaa.

*Hivi ni vitu vyangu.

Ndio vimetoka kwa.....

Abisai

Ndio huyo huyo.

Leyla nipe kiti maana siwezi kukaa chini.

Leyla alisogeza kitu leyna akakaa na kuanza kukagua vitu.

Mfuko mmoja ulikuwa na nguo, viatu, pochi na vito vya thamani.

Mwenyewe alimuangalia vile vitu huku akitabasamu.

Kwa hapa kaniweza, hivi ndio viti vyangu sasa.

Mfuko wa pili na watatu ulikuwa na vitu vya kula pamoja na nyama kwaajili ya kunywa supu.

Haya ni mambo ya jikoni Leyla peleka kule.

Katika kuangalia mara ikadondika bahasha

ambayo ilikuwa umetuma.

Mama naomba unipe hiyo bahasha.

Huyu ndio mwanaume alie iutangldika jana.

Ndio huyu huyu na ndugu zake.

Kumbe mnajuana mambo yenu, sasa kwanini

usimlete nyumbani nikawafungisha ndoa. Nani wa kuolewa na yule mwanaume?

Wewe.

Aaaah wapi siwezi kuishi na mwanaume mwenye masharti na wivu.

Leyna alifungua ile bahasha akakuta kuna pesa alipiga kelele za furaha kisha akatoa zile pesa na kuwaacha mdomo wazi Leyla na mama yake.

Sasa ukisikia Abisai ndio huyu, mwanaume na

nusu, mwanaume mwenye pesa sio vijisenti. Mmmmmh Mama yao aliishia kuguna hakuwa na neno la kuongea.

Leyla shika hizi hela leo pia pilau tamu lenye nyama za kutosha alafu friji lijae vinywaji leo ni siku yenu.

'unapenda sana hela nakwambia nitakuja kukuzula kwasababu ya hizo pesa.

Mama pesa ndio kila kitu. Wewe mwenyewe nikikupa utachukua.

Mfyuuuuuu, yani mimi nakala ndani roho juu nawaza mwanangu kapatwa na nini kumbe unapendekeza ujinga tu. Yani wewe ni bora ungeenda kukaa kwa baba yako mdogo Mama yao alifyonza kisha akanyanyuka na kuingia ndani.

Baada ya siku mbili tatu kupita Leyna akipata nafuu akaanza kutoka mitaani. Abisai alikuwa akikutana nae na kwenda nae sehemu za starehe kisha alimrudisha nyumbani. Hivyo ndivyo alivyokuwa akitaka Abisai yani alipo Leyna nae awepo pembeni yake.

Siku moja Abisai alimtunia pesa na kumtaka akafanye shopping ili jioni amsindikize kwenye harusi ya rafiki yake.

Leyna alienda dukani kufanya manunuzi ya nguo jioni nilipofika leyn akijiandaa na kuvalia nguo yake. Ilikuwa gauni iliyoachwa mgongo wazi na maeneo ya kifuani palikuwa wazi kidogo, ilishika kiuno huku chini iliachia lakini ilikuwa na mpasuko mrefu mpaka sehemu ya paja. Jioni Abisai alifika kwaajili ya kumchukua

alimuangalia tangia alipotoka getini mpaka alipofika kwenye gari. Alipanda kwenye gari na ile mpasuko ukajiachia sehemu ya paja ikawa wazi.

"Vipi baby nimependeza ?

Umependeza kiasi ila ingependeza sana kama ungeziba mgongo kifua na huo mpasuo ungeziba, sijapendezwa na hiyo nguo.

Jamani Abisai hivi kwanini hatujawahi kuendana hata siku moja yani wewe ni mwanaume inaonekana Mjanja sana lakini unamambo ya kizee.

Sawa kufananishwa na kitu chochote unachotaka ila kwenye mali zangu huwa sitaki kabisa watu wengine wazione.

Ulitaka nivae baibui au abaya?

Hata kama isingekuwa hayo mavazi lakini ingekuwa nguo ya kiziba hizo sehemu nyeti. Basi sawa iwe kwa leo tu.

Abisai alikubali wakaondoka na kuelekea kwenye ukumbi wa sherehe.

Walifika na kuingia pamoja huku wakiwa wameshikana wakionekana kama watu

walipoenda na sana. Walifika kwenye meza wakaungana na wenzao

wengine.

Shuhuri iliendelea huku watu wakinywa na kula. Kwenye meza waliyokuwa wamekaa kulikuwa kuna mwanaume alikuwa anamuangalia sana

Leyna, Abisai alimuona yule mwanaume taratibu alisimama akavua kiti lake na kumvakisha Leyna.

*Vipi baby? Leyna aliuliza kwa sauti ya chini. Tulia naona wadhenzi wameshaanza

kukutokea macho. Asante baby, sasa unanisikia nilikuwa nahisi

baridi.

Leyna alizuga kwa kusema hivyo ili watu wasije wanaelewa vibaya.

Licha ya kufanya hivyo lakini bado yule mwanaume aliendelea kumuangalia na safari hii Abisai alishuhudia mwanamke wake akiwa snakonyezwa. Aliporudisha macho yake kwa

Leyna, Leyna aliangalia pembeni Abisai alisimama. na kumuangalia yule mwanaume.

Haina aibu, imeumbwa hauna haya wewe? Umekuja na mwanamke wako lakini macho kodi kwa wanawake wa wenzako. Kaka jiangalie sana

watu tunagharamia.

Bro mbona kama sikuelewi? Alijitetea yule mwanaume.

Chunga sana kijana. Abisai aliendelea kumuonya.

Jamani baby hivi kwanini unapenda kuniaminisha mbele za watu? Aliongea Leyna Wewe nyanyuka tuondoke.

*Lakini....

Hakuna lakini simama. Abisai alisogea karibu na Leyna akamshika mkono na kutoka nje ya ukumbi huku sherehe ya harusi ilikuwa inaendelea.

Full 1000
0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO 4--5 Chapter 4 Abisai alimrudisha mpaka nyumbani kwao. *Hakikisha umeingia ndani maana ukitoa tu mguu wako nitajua mtandao wangu ni mkubwa



kuliko unavyofikiria. Leyna alishuka kwenye gari kwa hasira na

kubamiza mlango. "Uwe na usiku mwema kipenzi changu. Alisema

Abisai huku akimuangalia. Leyna alienda kwenye dirisha la chumba chako na kugonga.

"Leyla nifungulie mlango.

"Wewe nae ni msumbufu siungelala hukohuko. Wewe usiendelee kuichanganya akili yangu

hapa nilipo nimesha changanyikiwa vya kutosha.

Leyla alinyanyuka na kwenda kufungua mlango. Leyna alimpiga kikumbo na kuingia ndani.

*Wewe vipi mbona unanipamia, Leyna hakujibu aliendelea kutembea kwenda.

chumbani kwake. Alijikaza kitandani huku akiwa

anafyonza fyonza.

"Wewe una shida gani?

Leyna alinyanyuka akakaa.

*Yani nimepata mwanaume kichefuchefu yanı mpaka najuta kumfahamu.

Leyla akitabasamu

Kwahiyo unataka kuniambia umepata kiboko yako?

Aaaah wapi hawezi kujiendesha hivi yani nitahakikisha namnyoosha, Hanijui vizuri.. Kwani huyo mwanaume...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-nipe-chance-kidogo-4-5-chapter-4-abisai-alimrudisha-mpaka-nyumbani-kwao-hakikisha-umeingia-nd

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-nipe-chance-kidogo
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 9 Abisai alikuwa kama mtu akuechanganyikiwa aliwaangalia kwa zamu, alimuangalia Leyla kisha akarudi kumuangalia Leyna
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 9 Abisai alikuwa kama mtu akuechanganyikiwa aliwaangalia kwa zamu, alimuangalia Leyla kisha akarudi kumuangalia Leyna
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO 14&15* "Abisai kwanini unakuwa sio muelewa, Erick ni rafiki yangu wa kawaida tu, kwani wewe haujawahi kuwa na marafiki wakike?
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO 14&15* "Abisai kwanini unakuwa sio muelewa, Erick ni rafiki yangu wa kawaida tu, kwani wewe haujawahi kuwa na marafiki wakike?
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 13 Alitamani kuongea jambo lakini aliamua kunyamaza ili asiharubu siku yao muhimu
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 13 Alitamani kuongea jambo lakini aliamua kunyamaza ili asiharubu siku yao muhimu
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 8 Leyna alishika njia na kuelekea stendi ya  daladala, Abisal alimfuata nyuma
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 8 Leyna alishika njia na kuelekea stendi ya daladala, Abisal alimfuata nyuma
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO.  Chapter 10 Kesho yake mapema Abisai alifika nyumbani kwa kina Leyna na kumkabidhi Leyla simu yake mpya tena haikuwa kama ile ya bei rahisi...
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO. Chapter 10 Kesho yake mapema Abisai alifika nyumbani kwa kina Leyna na kumkabidhi Leyla simu yake mpya tena haikuwa kama ile ya bei rahisi...
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO ___________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Walikaa akimsubiri Abisai baada ya dakika 15 alifika na kuwachukua moja kwa fundi
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO ___________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Walikaa akimsubiri Abisai baada ya dakika 15 alifika na kuwachukua moja kwa fundi
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 *JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO* *1---2* *_______________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  LEYNA NA LEYLA ni mabinti mapacha  wanaofanana sana kwa mtu ambae hawafahamu hakuweza
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 *JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO* *1---2* *_______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* LEYNA NA LEYLA ni mabinti mapacha wanaofanana sana kwa mtu ambae hawafahamu hakuweza
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO          EP         04       ...
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO EP 04 ...
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 3 Siku zilizidi kwenda huku Abisal akiwa amepania kumbadilisha Leyna
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 3 Siku zilizidi kwenda huku Abisal akiwa amepania kumbadilisha Leyna
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.18K
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

649
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

634
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

616
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

213
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

118
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

91
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

80
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

80
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

66

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest