Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
Gonga94 · Stories

MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ??
Umri………………..18+

ANZA NAYO......
Kwa jina Naitwa Dora, Ikiwa ni siku yangu ya kwanza kutumikia kifungo gerezani cha miaka kadhaa kutokana na kosa nililowahi kulifanya la kumpiga mwanamke mwenzangu mpaka kupelekea kwenda kulazwa na baada ya mda kufariki, kiufupi nilifanya kitu cha kijinga sana hiyo siku, yaani mimi Dora niwakumpiga mtu kisa tu nimepata habari anachepuka na mwanaume wangu!?, aaaah! hapana aise nahisi hiyo siku shetani aliniingia mpaka mimi kufanya tulio lile. Nilifanya tukio la kijinga sana hiyo siku.
Ngoja niendelee kusimulia tu maana sitaki kulikumbuka tukio hilo tena na kama ningekuwa na uwezo basi ningefuta kumbukumbu zote za tukio hilo kwenye kichwa changu.

Basi niliingizwa ndani ya gereza na kwenda kukaa walipokuwa wamekaa wafungwa wenzangu, wengi walionekana kuchokeana na wengine walionesha dalili za kukata tamaa kabisa, Nilikaa karibu na mwanamke ambaye mwonekano wake ulinichanganya, sura ilikuwa ya kiume kabisa licha ya kuwa alikuwa na matiti makubwa na makalio makubwa, ukijumlisha na pala alilokuwa nalo kichwani ndiyo kabisaaaa alikuwa na mwonekano wa kiume.
"Oya wewe demu sogea hapa!" Aliongea huku akinitazama kwa matamanio.
Wafungwa wenzetu wote walikuwa wakiniangalia mimi niliyeongeleshwa.
Baada ya kuniona najishauri aliamua kunivuta kwa nguvu.
"Nakwambia usogee alafu unaleta mashauzi ya kisenge wewe fala nini!"
Dah yaani kuna watu wamepinda kwenye hii dunia nyie acheni tu, jela jela sio nzuri jela ndugu zangu.

Baada ya kunisogeza karibu na alipokuwa amekaa yeye aliniambia.
"Njoo unikalie!"
"Huyu demu leo kazi anayo vidole vinamhusu!" binti mwingine aliyekuwa amekaa pembeni yangu alizungumza.
woga ndiyo ulizidi kabisa na ukizingatia ilikuwa ni siku yangu ya kwanza ndani ya gereza hilo, kiukweli nilishindwa kujiamini kabisa na sura yake ndiyo ilizidi kuniogopesha.

Nilifanya kama alivyoniambia kwa kunyenyuka mahali nilipokuwa nimekaa na kwenda kumkalia.
"Haya ndiyo mambo sasa, Oya mnasikia nyie, huyu ni demu wangu na chombo changu kipya!, nije nisikie nyoko yoyote yule anamsogelea huyu demu, takata miguu yake au sio mpenzi wangu!?" Aliniuliza huku akiniangalia.
"Hahahahahahahaha!" baadhi ya wafungwa wenzetu walianza kunicheka.

Moyoni nilichukia balaa na kabla sijaongea chochote mara mikono yake akaanza kuipisha kwenye mapaja yangu.
Dah! ilikuwa kero kwakweli siku hiyo, sijakaa vizuri ikafika kwenye matiti yangu.
"Ila wewe!" niliongea kwa sauti yangu laini na ndipo wafungwa wenzetu walipozidi kucheka kabisa.
"Hahahaha..mtoto anasauti laini huyo!"
"Monica amejipatia chombo aise!"
"Shemeji huyooo!"
"Ni pisi lakini jamani!"
Ni maneno waliyokuwa wakiyaongea na ndiyo yalizidi kunichanganya zaidi ila tu nilimtambua Monica aliyekuwa akitamba kwa wenzake kuwa mimi ni demu wake mpya.
"Kelele" Sauti ya Afande ndiyo ziliwafanya wakae kimya na mimi nilijikuta nikilopoka mbele ya Afande.
"Afande, Monica ananionea!" nilizungumza kwa sauti na wafungwa wenzetu walicheka kwa sauti ya chini.
"Kakufanyeje kwani!"
"Kaniambia nimkalie!" niliongea na Afande aliniuliza.
"Hicho tu!?"
Ningeanzaje sasa kumwambia kuwa ananishika mapaja na matiti, ilibidi nikauke kwa kukaa kimya.
"Utazoea tu ndiyo jela hii!"
Afande aliongea na kuondoka.

Nyie mdomo wangu uliniponza hiyo siku, sijui ni kwanini nililopoka mbele ya Afande kwani baada ya Afande kuondoka ndipo Monica alipoanza kuongea kama mtu aliyelukwa na akili.
"Wewe malaya leo utajuta, nakutia vidole mpaka ukome nakwambia, mjinga kabisa, ms..nge kabisa..
dah hayo ni maneno baadhi tu aliyotamka Monica.

Mweee! ety likawa kosa jamani! mwenzangu siakaingiza mkono wake makusudi kabisa bira kujali kama wafungwa wenzetu wanatuona kwenye kitumbua changu na kuanza kunisugua kwa nguvu.
Niliona utakuwa ujinga nilisimama na kusogea pembeni na ndipo wafungwa wenzetu walipocheka kwa mara nyingine na kuongea.
"Wife amegoma kutoa leo Monica unaloo!"
"Toto hajazoea dole huyo kazoea mpini!" mwingine naye alizungumza.

Mda huo huo mlango ulifunguliwa na wote walikaa kimya kama vile kwenye gereza hilo hamna watu.
Waliingia maafande wawili wakike na wakiume.
"Naona mmekumbuka kupigwa sindio!?" Afande wa kiume aliongea na wote tulikuwa kimya.
"Nani anayesababisha kelele humu!?" Afande aliuliza na mimi nilimsonta Monica.
"Wewe huwa unajifanya mbabe sana leo utaenda kunieleza huku!" Afande wa kiume alizungumza na kumnyenyua Monica kwa mabavu.

Monica alitolewa ndani ya selo na yule Afande wa kike alinitazama pasipo kuongea kitu na kuondoka.

Baada ya Maafande kutoka wafungwa wenzangu mmoja baada ya mwingine walianza kunilalamikia.
"Kwani ungekubali kupigwa dole ungepungukiwa nini na wewe demu!?" mfungwa aliyekuwa amekaa pembeni yangu aliongea akiniita demu wakati naye alikuwa demu vile vile kama mimi.
"Unaitwa nani kwanza!?"
"Dora!" nilimjibu kwa kifupi.
"Dora kwani ungepigwa dole na Monica ingebanduka!?" aliniuliza lakini niliamua kukaa kimya maana swali lake niliona ni swali la kijinga kwa upande wangu.
"Subiri tu mda ufike!" aliongea kwa mara nyingine na ndipo alipozidi kunichanganya zaidi.

Pembeni yangu alikuwa amekaa binti mwingine aliyekuwa kimya tangu niingie, sikumuona akicheka wala kuongea kama ilivyokuwa kwa wafungwa wengine.
Nilijisogeza karibu zaidi kwake maana ndiyo niliona anafaa kuwa rafiki yangu.
"Naitwa Dora sijui wewe unaitwa nani!?" Nilimuuliza lakini hakutaka kunijibu zaidi ya kuendelea kunilia buyu.
"Mdomo komaaa!" niliongea kwa sauti ya chini na kuamua kukaa kimya.

Dakika kadhaa mbele aliletwa Monica na kuingizwa selo.
Loooh!, macho ya Monica yalikuwa mekundu na kulikuwa na kila dalili kuwa katoka kucheza kipondo alikotoka.
"Uendelee kuwasumbua wenzako mseng.. wewe utajuta nakwambia" Afande wa kiume aliongea na kuondoka.

Monica baada ya kuona Afande kaondoka alinisogelea naku.......ITAENDELEA.

Alinichonifanya Monica sitasahau, tukutane sehemu ya pili

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+

Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ??
Umri………………..18+

ANZA NAYO......
Kwa jina Naitwa Dora, Ikiwa ni siku yangu ya kwanza kutumikia kifungo gerezani cha miaka kadhaa kutokana na kosa nililowahi kulifanya la kumpiga mwanamke mwenzangu mpaka kupelekea kwenda kulazwa na baada ya mda kufariki, kiufupi nilifanya kitu cha kijinga sana hiyo siku, yaani mimi Dora niwakumpiga mtu kisa tu nimepata habari anachepuka na mwanaume wangu!?, aaaah! hapana aise nahisi hiyo siku shetani aliniingia mpaka mimi kufanya tulio lile. Nilifanya tukio la kijinga sana hiyo siku.
Ngoja niendelee kusimulia tu maana sitaki kulikumbuka tukio hilo tena na kama ningekuwa na uwezo basi ningefuta kumbukumbu zote za...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ndani-ya-gereza-01-umri-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ndani-ya-gereza
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

143
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

141
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

100
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

63
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.72K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest