Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
Gonga94 · Stories

MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ??
Umri………………..18+

ANZA NAYO......
Kwa jina Naitwa Dora, Ikiwa ni siku yangu ya kwanza kutumikia kifungo gerezani cha miaka kadhaa kutokana na kosa nililowahi kulifanya la kumpiga mwanamke mwenzangu mpaka kupelekea kwenda kulazwa na baada ya mda kufariki, kiufupi nilifanya kitu cha kijinga sana hiyo siku, yaani mimi Dora niwakumpiga mtu kisa tu nimepata habari anachepuka na mwanaume wangu!?, aaaah! hapana aise nahisi hiyo siku shetani aliniingia mpaka mimi kufanya tulio lile. Nilifanya tukio la kijinga sana hiyo siku.
Ngoja niendelee kusimulia tu maana sitaki kulikumbuka tukio hilo tena na kama ningekuwa na uwezo basi ningefuta kumbukumbu zote za tukio hilo kwenye kichwa changu.

Basi niliingizwa ndani ya gereza na kwenda kukaa walipokuwa wamekaa wafungwa wenzangu, wengi walionekana kuchokeana na wengine walionesha dalili za kukata tamaa kabisa, Nilikaa karibu na mwanamke ambaye mwonekano wake ulinichanganya, sura ilikuwa ya kiume kabisa licha ya kuwa alikuwa na matiti makubwa na makalio makubwa, ukijumlisha na pala alilokuwa nalo kichwani ndiyo kabisaaaa alikuwa na mwonekano wa kiume.
"Oya wewe demu sogea hapa!" Aliongea huku akinitazama kwa matamanio.
Wafungwa wenzetu wote walikuwa wakiniangalia mimi niliyeongeleshwa.
Baada ya kuniona najishauri aliamua kunivuta kwa nguvu.
"Nakwambia usogee alafu unaleta mashauzi ya kisenge wewe fala nini!"
Dah yaani kuna watu wamepinda kwenye hii dunia nyie acheni tu, jela jela sio nzuri jela ndugu zangu.

Baada ya kunisogeza karibu na alipokuwa amekaa yeye aliniambia.
"Njoo unikalie!"
"Huyu demu leo kazi anayo vidole vinamhusu!" binti mwingine aliyekuwa amekaa pembeni yangu alizungumza.
woga ndiyo ulizidi kabisa na ukizingatia ilikuwa ni siku yangu ya kwanza ndani ya gereza hilo, kiukweli nilishindwa kujiamini kabisa na sura yake ndiyo ilizidi kuniogopesha.

Nilifanya kama alivyoniambia kwa kunyenyuka mahali nilipokuwa nimekaa na kwenda kumkalia.
"Haya ndiyo mambo sasa, Oya mnasikia nyie, huyu ni demu wangu na chombo changu kipya!, nije nisikie nyoko yoyote yule anamsogelea huyu demu, takata miguu yake au sio mpenzi wangu!?" Aliniuliza huku akiniangalia.
"Hahahahahahahaha!" baadhi ya wafungwa wenzetu walianza kunicheka.

Moyoni nilichukia balaa na kabla sijaongea chochote mara mikono yake akaanza kuipisha kwenye mapaja yangu.
Dah! ilikuwa kero kwakweli siku hiyo, sijakaa vizuri ikafika kwenye matiti yangu.
"Ila wewe!" niliongea kwa sauti yangu laini na ndipo wafungwa wenzetu walipozidi kucheka kabisa.
"Hahahaha..mtoto anasauti laini huyo!"
"Monica amejipatia chombo aise!"
"Shemeji huyooo!"
"Ni pisi lakini jamani!"
Ni maneno waliyokuwa wakiyaongea na ndiyo yalizidi kunichanganya zaidi ila tu nilimtambua Monica aliyekuwa akitamba kwa wenzake kuwa mimi ni demu wake mpya.
"Kelele" Sauti ya Afande ndiyo ziliwafanya wakae kimya na mimi nilijikuta nikilopoka mbele ya Afande.
"Afande, Monica ananionea!" nilizungumza kwa sauti na wafungwa wenzetu walicheka kwa sauti ya chini.
"Kakufanyeje kwani!"
"Kaniambia nimkalie!" niliongea na Afande aliniuliza.
"Hicho tu!?"
Ningeanzaje sasa kumwambia kuwa ananishika mapaja na matiti, ilibidi nikauke kwa kukaa kimya.
"Utazoea tu ndiyo jela hii!"
Afande aliongea na kuondoka.

Nyie mdomo wangu uliniponza hiyo siku, sijui ni kwanini nililopoka mbele ya Afande kwani baada ya Afande kuondoka ndipo Monica alipoanza kuongea kama mtu aliyelukwa na akili.
"Wewe malaya leo utajuta, nakutia vidole mpaka ukome nakwambia, mjinga kabisa, ms..nge kabisa..
dah hayo ni maneno baadhi tu aliyotamka Monica.

Mweee! ety likawa kosa jamani! mwenzangu siakaingiza mkono wake makusudi kabisa bira kujali kama wafungwa wenzetu wanatuona kwenye kitumbua changu na kuanza kunisugua kwa nguvu.
Niliona utakuwa ujinga nilisimama na kusogea pembeni na ndipo wafungwa wenzetu walipocheka kwa mara nyingine na kuongea.
"Wife amegoma kutoa leo Monica unaloo!"
"Toto hajazoea dole huyo kazoea mpini!" mwingine naye alizungumza.

Mda huo huo mlango ulifunguliwa na wote walikaa kimya kama vile kwenye gereza hilo hamna watu.
Waliingia maafande wawili wakike na wakiume.
"Naona mmekumbuka kupigwa sindio!?" Afande wa kiume aliongea na wote tulikuwa kimya.
"Nani anayesababisha kelele humu!?" Afande aliuliza na mimi nilimsonta Monica.
"Wewe huwa unajifanya mbabe sana leo utaenda kunieleza huku!" Afande wa kiume alizungumza na kumnyenyua Monica kwa mabavu.

Monica alitolewa ndani ya selo na yule Afande wa kike alinitazama pasipo kuongea kitu na kuondoka.

Baada ya Maafande kutoka wafungwa wenzangu mmoja baada ya mwingine walianza kunilalamikia.
"Kwani ungekubali kupigwa dole ungepungukiwa nini na wewe demu!?" mfungwa aliyekuwa amekaa pembeni yangu aliongea akiniita demu wakati naye alikuwa demu vile vile kama mimi.
"Unaitwa nani kwanza!?"
"Dora!" nilimjibu kwa kifupi.
"Dora kwani ungepigwa dole na Monica ingebanduka!?" aliniuliza lakini niliamua kukaa kimya maana swali lake niliona ni swali la kijinga kwa upande wangu.
"Subiri tu mda ufike!" aliongea kwa mara nyingine na ndipo alipozidi kunichanganya zaidi.

Pembeni yangu alikuwa amekaa binti mwingine aliyekuwa kimya tangu niingie, sikumuona akicheka wala kuongea kama ilivyokuwa kwa wafungwa wengine.
Nilijisogeza karibu zaidi kwake maana ndiyo niliona anafaa kuwa rafiki yangu.
"Naitwa Dora sijui wewe unaitwa nani!?" Nilimuuliza lakini hakutaka kunijibu zaidi ya kuendelea kunilia buyu.
"Mdomo komaaa!" niliongea kwa sauti ya chini na kuamua kukaa kimya.

Dakika kadhaa mbele aliletwa Monica na kuingizwa selo.
Loooh!, macho ya Monica yalikuwa mekundu na kulikuwa na kila dalili kuwa katoka kucheza kipondo alikotoka.
"Uendelee kuwasumbua wenzako mseng.. wewe utajuta nakwambia" Afande wa kiume aliongea na kuondoka.

Monica baada ya kuona Afande kaondoka alinisogelea naku.......ITAENDELEA.

Alinichonifanya Monica sitasahau, tukutane sehemu ya pili
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+

Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ??
Umri………………..18+

ANZA NAYO......
Kwa jina Naitwa Dora, Ikiwa ni siku yangu ya kwanza kutumikia kifungo gerezani cha miaka kadhaa kutokana na kosa nililowahi kulifanya la kumpiga mwanamke mwenzangu mpaka kupelekea kwenda kulazwa na baada ya mda kufariki, kiufupi nilifanya kitu cha kijinga sana hiyo siku, yaani mimi Dora niwakumpiga mtu kisa tu nimepata habari anachepuka na mwanaume wangu!?, aaaah! hapana aise nahisi hiyo siku shetani aliniingia mpaka mimi kufanya tulio lile. Nilifanya tukio la kijinga sana hiyo siku.
Ngoja niendelee kusimulia tu maana sitaki kulikumbuka tukio hilo tena na kama ningekuwa na uwezo basi ningefuta kumbukumbu zote za...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ndani-ya-gereza-01-umri-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ndani-ya-gereza
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

8.88K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.18K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

1.91K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

1.91K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.72K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.64K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

1.63K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.63K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest