Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
Gonga94 · Stories

MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA.......
Tulifika alipokuwa Afande wa kike.
Alitutazama kuanzia chini mpaka juu akitupandisha na kutushusha na baadae aliongea.
"Ivi mlipoenda kutiwa huko mlimruhusu awamwagie ndani!?" Afande huyo wa kike alituuliza swali la kijinga.
Mimi na Asha tulitazamana huku tukiwa na aibu balaa!.
"Nawauliza!"
"Alimwaga nje Afande!" Asha alimjibu kwa sauti ya chini.
"Sasa ole wenu mje mpate mimba mtajuta nawaambia" Afande aliongea kwa kututisha na baadae alituambia tuendelee na kazi zetu.

Mimi na Asha tulisogea walipokuwa wafungwa wenzetu wawili na kuendelea na kazi.

Tangu siku hiyo huo ndiyo ulikuwa utaratibu wetu, yaani ilikuwa haiwezi kupita wiki hatujafanya mapenzi sisi pamoja na asikari.
Ubaya ulikuja pale ambapo tulipobadilishiwa majukumu tena na kazi ya kuitunza bustani walipewa wafungwa wengine, tulihudhunika sana lakini hatukuwa na namna maana ndiyo ulikuwa utaratibu wa gerezani.

Siku mbili mbele tulijumuishwa na wafungwa wenzetu kwenda kulima, nilichukia sana hiyo siku maana kati ya kitu nilichokuwa sipendi basi ni swala la kulima, tulifika kwenye shamba husika huku idadi ya wafungwa ikiwa kubwa kidogo.

karibu kila mfungwa alipewa jembe lake na nilipomtazama mwenzangu Asha ndiyo alikuwa hana raha kabisa, alinisogelea karibu zaidi na kuongea kwa sauti ya chini.
"Dora nimemkumbuka mme wetu!"
"Ndiyo imeshatokea hivyo hamna namna!" nilimjibu lakini mda huo huo tulisikia sauti ya Afande wa kike mwenye roho mbaya.
"Mnaongea nini hapo!?"

Haraka tulisogea kwa wenzetu na kuungana nao na kuanza kulima, bahati mbaya sana mvua ilianza kunyesha na mwanzoni ilikuwa mvua ya kawaida tu ila baada ya mda iliongezeka tena ikiwa ni mvua ya upepo kabisa.
Asikari waliokuwa wakitusimamia walituambia tukusanyike wafungwa wote, walitupeleka chini ya mti na kutukalisha.

Tangu nikiwa mda mdogo huwa na matatizo na maji ya mvua hivyo nilijua nini kitafata baada ya hapo, baada ya mvua kukatika huku wafungwa karibu wote tukiwa tumenyeshewa na mvua walituambua tubebe majembe yetu ili tukaendelee na kazi ya kulima.

Hali yangu ilianza kuwa mbaya zaidi, nilianza kutetemeka na hata jembe nilishindwa kulishika vizuri.
"Dora una matatizo gani!?" Asha aliniuliza aliyekuwa karibu yangu.
"Alafu nyie naona mnataka kutupanda kichwani!?" Afande wa kike mwenye roho ngumu aliongea huku akitusogelea.
"Sio hivyo Afande ila anaumwa huyu na anatetemeka kama mtu mwenye degedege!" Asha aliongea kwa sauti ya juu.
Afande mwenye roho ngumu alisogea mpaka pale nilipokuwa na kunikuta nikiwa natetemeka.
"Shika jembe haraka uendelee kulima!" Aliniambia hivyo nilijilazimisha kushika jembe ili niendelee kulima.

Weee! hali ilizidi kuwa mbaya zaidi hivyo nilijikuta nikilitupa jembe chini mwenyewe pasipo kupenda na kuanguka chini.
Afande licha ya roho mbaya aliyokuwa nayo baada ya kuniona aliwaambia asikari wenzake waje wasaidizane kunipeleka kwenye zahanati ya gerezani ili nikapatiwe matibabu.

Walinichukua na kwenda kunipakiza kwenye gari la wafungwa huku nikiwa mwenyewe upande wa nyuma nikisimamiwa na asikari mmoja.
Walinifikisha na moja kwa moja nilipelekwa mpaka kwenye zahanati na kwenda kulazwa, nilifungwa pingu ili nisije kutoroka na baada ya hapo Asikari waliondoka huku kazi wakiiacha kwa nesi wa zahanati ya magereza.

Nesi aliingia na baada ya kunishuhudia kuwa ni mimi aliongea.
"Umekumbuka kugongwa ndiyo maana umejifanya unaumwa sio!?"
Sikutaka kumjibu Nesi zaidi ya kukaa kimya.
"Basi ngoja nimtumia ujumbe Afande aje akugonge" Nesi aliongea kwa mara nyingine bira kuwa na aibu, mawazo ya Nesi yalikuwa yakijinga kiukweli.
Mwenzake nilikuwa naumwa ila yeye aliongea tena mambo ya kugongana! yaani watu wengine sijui wakoje jamani!, Nilijua ni utani lakini kumbe aliamua kumtumia ujumbe Afande pasipo mimi kujua.

Baadae nilimwambia kuwa sijisikii vizuri na nasikia baridi hivyo Nesi alichukua blacket na kuniambia nijifunike.
Nilifanya kama alivyoniambia na baada ya mda nilijikuta nikipitiwa na usingizi huku nikiwa nimejifunika blacket.

Nikiwa usingizini nilishituka baada ya kuhusi mguso kwenye mwili wangu.

Nilifumbua macho na ndipo nilipomshuhudia Afande akiwa amesimama pembeni yangu huku akishika kipala changu na kukipapasa.
"Nimepewa taarifa kuwa unaumwa ndiyo maana nimekuja kukuona!" Afande aliongea.
"Ndio naumwa!"
nilimjibu kwa sauti ya chini huku nikilivuta blacket na kujifunika vizuri.
"Unasikia baridi!?"
"Ndio" Nilimjibu kwa ufupi.
"Njia nzuri ya kutoa baridi ni hii!" Afande aliongea huku akifungua zipu na kuutoa mtalimbo wake.

Yaani kuna watu hawana huruma kabisa mtu nimemwambia kuwa naumwa ila bado alinitolea tena lidudu lake ivi kweli ni haki hiyo!?.

Nilimtazama pasipo kuongea kitu lakini yeye alinisogezea karibu kabisa na mdomo wangu.
"Inyonye Dora lazima utapona nakuhakikishia"
"Mmmh"
Niliguna na ndipo aliponilazimisha nianze kunyonya kwa lazima.

Ilibidi nikubali na baada ya bakora yake kusimama Afande alipanda juu ya kitanda na kuniinamisha.
Alinivulisha nguo na kuuchomeka mpini wake nikiwa nimeinama.
Nilianza kukazwa na Afande, na kweli kile alichokisema Afande kilikuwa sahihi kwani baada ya mda nilijikuta mwili ukianza kurudi kwenye utimamu wake na hata ile baridi niliyokuwa nikiisikia sikuisikia tena.
Japo nilikuwa nimefungwa pingu kwenye mkono mmoja lakini haikunifanya nishindwe kufanya mapenzi vizuri na Afande.
"Huyo mgonjwa anaendeleaje!?" Tulisikia sauti ya Afande wa kike mwenye roho mbaya akija kwenye chumba nilichokuwa nimelazwa mimi bira kujua kama nipo na Afande mwingine ninayefanya naye mapenzi........ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHAMIRA fully episode
SHAMIRA fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+

Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA.......
Tulifika alipokuwa Afande wa kike.
Alitutazama kuanzia chini mpaka juu akitupandisha na kutushusha na baadae aliongea.
"Ivi mlipoenda kutiwa huko mlimruhusu awamwagie ndani!?" Afande huyo wa kike alituuliza swali la kijinga.
Mimi na Asha tulitazamana huku tukiwa na aibu balaa!.
"Nawauliza!"
"Alimwaga nje Afande!" Asha alimjibu kwa sauti ya chini.
"Sasa ole wenu mje mpate mimba mtajuta nawaambia" Afande aliongea kwa kututisha na baadae alituambia tuendelee na kazi zetu.

Mimi na Asha tulisogea walipokuwa wafungwa wenzetu wawili na kuendelea na kazi.

Tangu siku hiyo huo ndiyo ulikuwa utaratibu wetu, yaani...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ndani-ya-gereza-08-umri-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ndani-ya-gereza
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

363
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

331
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

316
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

173
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

56
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

35
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

29
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

28
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

28
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

26

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.69K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan. Post Mpya
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.
@majario LIVE

💥Kamera zilikuwa zikiwanasa mara nyingi wakiishangilia kwa pamoja katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahçe, na wakawa kama moja ya kielelezo cha mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17
@majario LIVE

SEHEMU YA 16 Denis hakujibu kitu alikata simu 📱 hapo hapo nilishikwa na machungu 😔 sana nilifuta namba yake kwa hasira😡nikaanza kulia 😭 kilichokuwa kinaniumiza zaidi ni kuachwa bila kutarajiwa halafu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest