Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??  Umri………………..18+
Gonga94 · Stories

MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi….

ENDELEA......
Afande alishuka haraka kitandani na kuvaa vizuri nguo zake na mimi nililala kitandani vizuri na kujifunika blacket.

Kitasa cha mlango kabra hakijafunguliwa Afande alikuwa wa kwanza kuufungua mlango na ndipo Afande wa kike alipoingia ndani akiwa pamoja na Nesi.
"Afande kumbe umo humu!?"
"Ndio Afande, nilikuwa napita kukagua nikaona nipite na humu!" Afande alijitetea na baadae aliondoka.

Afande wa kike alisogea kitandani nilipokuwa nimelala na kuitazama pingu niliyokuwa nimefungwa kwenye mkono wangu.
"Kuwa naye makini huyu Nesi!"
"Sawa Afande!" Nesi alimjibu, walitoka nje ya chumba hicho wakiwa wote.

Nilibaki nikiwaza ingekuwaje kama Afande angetufuma?, nilishinda siku nzima nikiwa ndani ya zahanati na siku iliyofata ndipo nilipopelekwa kwenye selo kwenda kuungana na wafungwa wenzangu.
Asha alitamani kujua hali yangu hivyo alinisogelea na kuanza kuniuliza kwa sauti ya chini, mda huohuo kuna binti mwingine mgeni aliingizwa ndani ya selo huku akilia.
"Nyamaza wewe manzi unatupgia sisi kelele" Monica aliyekuwa amekaa na Eliza karibu huku wakiwa wamekumbatiana aliongea lakini binti hakuacha kulia zaidi ya kuendelea.

Minong'ono ya wafungwa wenzetu ilianza hivyo nilimwambia Asha akamtulize, Asha alinyenyuka na kumfata, alianza kumbembeleza na baada ya mda binti alinyamaza.
"Kama ulikuwa huna mpango wa kuja jela kwanini umefanya upumbavu huko nje mpaka ukaletwa humu alafu bado unatupigia kelele hapa?" Mfungwa mmoja aliyekuwa hana mazoea na wafungwa wengine aliongea.
"Huwezi kujua alifanya kosa gani mpaka akaletwa huku hivyo tuliza m***du wako* Asha alimwambia.
"Unamwambia nani atulize m***du?" alifoka kwa hasira lakini Asha hakutaka kuendelea kujibishana naye zaidi ya kukaa kimya.

Wakati maongezi hayo yakiendelea Monica na Eliza wao walikuwa wameshaanza kufanya yao, hatukujua kimti kilichokuwa kimetengenezwa kwa usitadi mbele ili kisiwaumize walikitoa wapi!?.

Eliza bira aibu alishusha nguo zake na kuinama huku akijibana ukutani, Monica kimti alichokuwa amekishika alianza kukiingiza kwenye papuchi ya Eliza taratibu na Eliza alianza kutoa miguno ya mahaba.
"Hapo hapo baby..... aaaaaah"
"Tumewachoka na umalaya wenu, nendeni mkatieni huko nje!" Mfungwa mmoja aliongea kwa hasira.
"Hayakuhusu wewe endelea kula kwa macho tu, ukitaka kuwa demu wangu wewe niambie tu niwe nakutia na wewe" Monica aliongea na kwa jinsi alivyokuwa akiongea unaweza kudhani ni mwanaume kumbe wapi? Monica alikuwa na matiti kama sisi, kitumbua kama wanawake wengine walivyo ila ndiyo hivyo mara zote alijichukulia kuwa yeye ni mwanaume.
"My heart, achana nao hao wewe endelea kunifanya tu!" Eliza alizungumza huku akimsihi Monica azidi kuingiza na kuutoa mti kwenye papuchi yake.
"Hili gereza lina mapepo sio bure wengine tulikuwa wake wa wachungaji kabisa ila tumeingia kwa bahati mbaya tu humu sema hamjui tu!"
"Siwapendi kweli hawa mimi, kwanini wasisubiri mda wa kuoga ufike wakasagane huko!"
wengine nao waliongea na Mfungwa aliyejibiwa vibaya na Monica alianza kuwaita kwa sauti maafande waje wajionee kinachoendelea.
"Dear wameshatutoa kwenye hamu hawa tutaendelea baadae!" Eliza aliongea huku akivaa vizuri na kukaa kwenye sakafu.

Mda huo huo alifika Afande.
"Nani aliyekuwa anatuita!"
"Mimi Afande!"
"Unashida gani!?" Afande alimuuliza.
"Monica na mwenzake Afande sisi tumewachoka kwakweli kwenye hii selo" Aliongea huku akimwangalia Monica.
"Wamefanyeje!?"
"Wanatiana vidole na miti bira hata kuogopa!" Alizungumza na ndipo Afande alipofungua mlango wa selo na kuingia hasa baada ya kusikia kuwa Monica pamoja na mwenzake wanatumia mti kufanya mambo yao.

Afande alisogea mpaka kwa Monica.
"Naomba huo mti haraka!"
Monica hakutaka kukataa, aliutoa na kumpatia Afande.

Afande aliushika na kuunusa na baadae alitema mate chini na kuongea.
"Muwe mnasafisha k zenu" aliongea akiikunja sura yake.
Wafungwa walicheka huku wakiwatazama Monica pamoja na Eliza.
"Kelele!"
Sauti ya Afande iliwafanya wafungwa wanyamaze.
"Hili ni onyo la mara ya mwisho siku nyingine tukija kupata kesi kama hii mtajuta nawaambia na iwe mwanzo na mwisho kutiana kwa kutumia miti, mmenielewa!?"
"Ndio Afande!"
Monica alijibu na Afande alitoka nje.
"Haya ndiyo mambo sasa, mkirudia tena lazima niwachome!" mfungwa aliyemwita Afande na kuwachongea aliongea.
"Dawa yako ndogo tu subiri utaona" Monica alizungumza na karibu kila mtu alijua lazima amepanga kuja kumpa adhabu ya kumtia na mavidole yake.
"Unafikiri naogopa!? jaribu uone kama sijakuonesha cha mtema kuni Monica!"
Monica aliamua kukaa kimya baada ya kuona mtu anayeongea naye ni jeuli kama yeye.

Kidogo Monica pamoja na Eliza walipunguza kufanya uchafu wao tukiwa wote ndani ya selo.

Binti aliyekuwa akilia alijitambulisha kwa jina la Teddy na kosa lililomfanya akafungwa nikusingiziwa kuwa aliiba pesa sehemu aliyokuwa akifanyia kazi. Uzuri kwa mwenzetu alikuwa ana mda mchache sana wa kukaa gerezani tofauti na sisi wengine wenye kesi nzito.

Sikuwa tena na rafiki mmoja ambae ni Asha bali nilikuwa na marafiki watatu pamoja na Teddy, karibu kila sehemu tulikuwa tukiongozana pamoja na Teddy aliyazoea maisha ya gerezani ndani ya mda mfupi tu.
Mwanzoni alikuwa akishangaa kuona watu wakisagana na kitia..n vidole wakati wa kuoga lakini baada ya mda Teddy alizoea na alikuwa akiona ni kitu cha kawaida tu.
Siku moja tukiwa wote bafuni tunaoga Asha alianzisha uchokozi wake.
"Dora nimekumbuka kufanya, naomba unifanye Dora!"
"Asha mimi hizo tabia nimeshaacha, sitaki kabisa sasa ivi!"
Baada ya Asha kuona nimemkatalia kutuliza hisia zake alimgeukia Teddy.
"Teddy nisaidie mwenzako nipo vibaya hapa!"
"Mmmmh Asha!"
"Mara moja tu kabra mda haujaisha Teddy!" Asha aliongea akimbembeleza na macho yalikuwa yamelegea akionesha uhitaji.
"Ngoja nijaribu nione kama nitaweza!" Teddy aliongea na alikubali kumsaidia Asha ili kutuliza hisia zake......ITAENDELEA.

Nyie kilichotokea baada ya Teddy kukubali yalikuwa majanga siku hiyo ???

Full Tsh1000 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN

0755271203 M-PESA JINA JOHN

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+

Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi….

ENDELEA......
Afande alishuka haraka kitandani na kuvaa vizuri nguo zake na mimi nililala kitandani vizuri na kujifunika blacket.

Kitasa cha mlango kabra hakijafunguliwa Afande alikuwa wa kwanza kuufungua mlango na ndipo Afande wa kike alipoingia ndani akiwa pamoja na Nesi.
"Afande kumbe umo humu!?"
"Ndio Afande, nilikuwa napita kukagua nikaona nipite na humu!" Afande alijitetea na baadae aliondoka.

Afande wa kike alisogea kitandani nilipokuwa nimelala na kuitazama pingu niliyokuwa nimefungwa kwenye mkono wangu.
"Kuwa naye makini huyu Nesi!"
"Sawa Afande!" Nesi alimjibu, walitoka nje ya chumba hicho wakiwa wote.

Nilibaki...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ndani-ya-gereza-09-umri-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ndani-ya-gereza
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

885
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

749
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

564
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

300
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

188
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

110
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

79
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

71
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest