Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
Gonga94 · Stories

MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA......
Hisia zilipanda na mimi sikuwa mbali, wote tulianza kushikana, kila mtu alikuwa huru kumshika mwenzake anapotaka.

Niwe tu mkweli mapenzi ya jinsia moja huwezi kuyafananisha na mapenzi ya jinsia tofauti, zilikuwa ni raha za kawaida nilizokuwa nikizipata na hata upande wa mwenzangu Asha naye ilikuwa hivyo hivyo, mazingira kwetu yalitufanya tuwe na michezo hiyo ukijumlisha na wafungwa wengine waliokuwa na vifungo vya maisha gerezani ndiyo kabisaaa waliamini njia peke ya kuzuia nyege zao ni kushikana wao kwa wao.
Chonde chonde elimu ya bure kwa wasomaji! kwa wanawake wenzangu kamwe msikubali kuingia kwenye mapenzi ya jinsi moja na hata wanaume pia, hapa nasimulia yaliyonikuta tu ila simaanishi kuwa nahimiza mapenzi ya jinsi moja iyo hapana na haikubalikiiiii! sasa wewe jifanye mjuaji uingie kwenye ulimwengu huo kutoka sio vyepesi????????.

Basi tuliendelea kubinyana weee! mpaka pale mda ulipotamatika na kila mfungwa alitakiwa kurudi kwenye selo yake.

Tulipofika selo ndipo Asha alipoongea.
"Ulitaka kuniuliza nini Dora!?"
Nilimtazama na ndipo nilipoamua kumuuliza.
"Una mtoto!?"
Asha alikaa kimya kwa sekunde kadhaa na kuongea.
"Mtoto ndiyo kanifanya nikawa hapa gerezani!"
"Nini Asha!?"
"Ndiyo Dora, nilimuua mme wangu kwa sababu ya mtoto ndiyo maana nilikamatwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha!"
Nilikaa vizuri ili nimuulize ilikuwaje mpaka Asha akamuua mme wake.
Asha aliniambia kuwa alifanikiwa kujifungua salama na mtoto walimlea vizuri yeye pamoja na mme wake, miaka mitatu ilipita wakiwa bado pamoja.

Maisha yalibadilika ghafla na kuwa magumu na hapo ndipo mme wake alipoamua kufanya maamuzi ya kijinga bira kumshirikisha, alienda kwa mganga na kuambiwa kuwa kama atamtoa mtoto wake kafala basi maisha yatabadilika na watakuwa matajiri.

Mmewe pasipo kumshirikisha Asha alikubali kumtoa kafala mtoto wao.
Mtoto alifariki lakini mambo hayakubadilika, ugumu wa maisha uliendelea kuwa palepale na ndipo mmewe siku moja kwa mdomo wake alipomtamkia Asha mwenyewe kuwa alidanganywa na mganga na kukubali kumtoa kafala mtoto wao.
Alimuomba msahama Asha aliyeigiza kuwa amemsamehe.
Mawazo ya kijinga yalimuendesha Asha na aliamua kufanya maamuzi ya kushangaza kwa kumchoma na kisu mmewe aliyekuwa amelala mida ya usiku.

Asha alimaliza kunisimulia na siku hiyo kwa mara ya kwanza nilimuona akitoa machozi.
Nilimpa pole na baadhi ya wafungwa walikuwa wakisikiliza maongezi yetu.
"Dah, kumbe asilimia kubwa sisi wanawake tumo humu gerezani kwa sababu ya wanaume!?" mfungwa mwenzetu aliongea.
"Hujakosea na huo ndiyo ukweli, ukifatilia lazima utagundua kuwa kesi nyingi za wafungwa wa kike basi kuna wanaume nyuma!"
"Nyie mnanionaga mimi mjinga ninapowachukia wanaume sio!?" Monica naye aliongea na alionesha ana siri nzito iliyomfanya mpaka akawa gerezani japo hakuna mfungwa kati yetu aliyekuwa akijua ni kipi kilichomleta gerezani.
"Kumbe ndiyo maana unapenda kutia dole wenzako ila wewe hupendi!?"
"Acha na mimi wewe!" Monica aliongea na kubadilisha mada.

Siku hiyo ilipita na Tatizo la gerezani kazi huwa haziishi, mfungwa ni mfungwa tu na ni mara chache sana anapata mda wa kupumzika, basi siku iliyofata tulitolewa wafungwa wote tuliokuwa kwenye selo yetu pekee huku wafungwa wa selo zingine wao wakipewa nafasi ya kupumzika.
Tulipelekwa kwenye manyasi ya kutosha na kupewa mafyekeo, kila mtu alipewa eneo lake la kufyeka.
Kazi ilianza huku tukiwa tumesimamiwa na Afande wa kike.

Monica alikuwa kimya huku akifyeka haraka wakati sisi wengine tukipiga story za hapa na pale. Baada ya mda Monica alimaliza na kupumzika.
"Mwenzenu kajituma nakumaliza mapema ila nyie bado mnajivuta tu!" Afande aliongea.

Tuliamua kuongeza speed ya kufyeka ili tumalize mapema kama Monica na kumbe Afande niliyefanya naye mapenzi store alituona, alisogea mpaka sisi tulipo na kumwambia Afande.
"Afande huyu binti na shida naye mara moja naomba niondoke naye!" Afande wa kiume aliongea.
"Afande ondoka na huyu maana ameshamaliza kazi, hao wanategea sana maana mwenzao kamaliza wao bado tu!" Afande wa kike aliongea na Afande wa kiume alimtazama mfungwa aliyeambiwa aondoke naye badala ya mimi.

Alikuna kichwa chake baada ya kumuona ni Monica aliyekuwa tayari amemaliza kazi.
"Aya wewe!, nyenyuka unifate!"
Monica alinyenyuka na kuanza kumfata kama alivyomwambia.

Mimi na Asha tulitazamana na Asha kama kawaida yake alininong'oneza.
"Monica kachukua nafasi yako Dora nauhakika kabisa anaenda kufanya mapenzi na Afande!"
"Nyie mnaongea nini hapo!?"
"Nilikuwa namwambia tufanye kazi haraka Afande!?" Asha alijitetea.
"Alafu wewe unaonekana muongeaji sana wewe ndiyo maana ulihukumiwa kifungo cha maisha gerezani!"
"Sasa Afande mambo ya kifungo cha maisha yanaingiaje tena!"
"Umepata wapi nguvu ya kunikolomea mimi!?" Afande alimuuliza huku akiwa na hasira.

Niliamua kumfinya Asha ili ajishushe mbele ya Afande na asiendelee kuongeleshana naye na bahati nzuri alinielewa kwa kumuomba msamaha.
"Unabahati lasivyo kipigo kingekuhusu leo!"
"Nisamehe bure Afande!"
"Ebhu endelea na kazi huko"
Afande alimwambia Asha.........ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??

Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA......
Hisia zilipanda na mimi sikuwa mbali, wote tulianza kushikana, kila mtu alikuwa huru kumshika mwenzake anapotaka.

Niwe tu mkweli mapenzi ya jinsia moja huwezi kuyafananisha na mapenzi ya jinsia tofauti, zilikuwa ni raha za kawaida nilizokuwa nikizipata na hata upande wa mwenzangu Asha naye ilikuwa hivyo hivyo, mazingira kwetu yalitufanya tuwe na michezo hiyo ukijumlisha na wafungwa wengine waliokuwa na vifungo vya maisha gerezani ndiyo kabisaaa waliamini njia peke ya kuzuia nyege zao ni kushikana wao kwa wao.
Chonde chonde elimu ya bure kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ndani-ya-gereza-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ndani-ya-gereza
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

883
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

747
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

562
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

286
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

187
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

110
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

79
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

69
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest