Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
Gonga94 · Stories

MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA......
Story kubwa siku hiyo ilikuwa ni mfungwa kutoroka tu, wafungwa wote tulianza kujadili jinsi alivyotoroka mwenzetu na Asha alinisogea karibu yangu na kuniambia kwa sauti ya chini.
"Na mimi nikipata nafasi ya kutoroka basi lazima nitoroke!"
"Acha kujitafutia matatizo Asha!?"
"Kumbuka mwenzako na kifungo cha maisha sio kama wewe!?" Asha aliongea kwa mara nyingine.
"Mimi mwenyewe sina tofauti na wewe maana siku nikitoka humu tayari mvi zimeshajaa kichwani, sidhani kama nitaenda kuyafaudu tena maisha ya uraiani" nilizungumza lakini Asha alikaa kimya kwa sekunde kadhaa na baadae aliongea.
"Nimepata wazo Dora!"
"Wazo gani!?"

Asha alinisogelea karibu zaidi na kuninong'oneza, macho yalinitoka kama mjusi aliyebanwa na mlango kwa kile alichoniambia, niliangaza na nilishuhudia wafungwa wenzetu walivyokuwa wakituangalia.
"Au mnajua jinsi alivyotoroka mwenzetu!?" Monica kama kawaida yake aliamua kutuuliza.
"Kuwa na adabu Monica sisi tunaongea mambo yetu hapa!" Asha alimjibu maana ndiyo alikuwa akiwezana naye.
"Mambo gani hayo mpaka muambiane masikioni nyie malaya!"
"Mambo ya kutiana dole, aya umeridhika sasa!?" Asha aliongea kwa mara nyingine.
"Asha Asha Asha....
"Nini utanifanya kwani!?"
"Naona umekumbuka kutiwa sio!? yaani ningekuwa na uwezo wa kuwa na jinsi mbili kama alivyokuwa Tabu basi ningekuwa nimeshakugonga mpaka masikioni mpumbavu wewe!?"
"Nyooo!!! unamtisha nani na matako yako hayo kama mawe ya Mwanz...!"
Majibishano yaliendelea kati ya Asha na Monica na wafungwa wengine tulikuwa tukiwasikiliza tu na mda huo huo tulisikia sauti za maafande wakija kwenye selo yetu.
"Mmmmh leo tunalo!" Mfungwa mmoja aliongea kwa sauti ya chini.

Maafande waliingia na kumbe mkuu wa gereza tayari alikuwa ameshafika akiongozana na asikari baadhi akiwemo Afande Cheusi.
Alitamani kuingia ila baada ya kuona selo yetu ni ndogo alitoa amri ya wafungwa wote tutolewe nje.
Tukiwa chini ya usimamizi mkali tulitolewa mpaka nje na kwenda kupigishwa magoti.
"Aya mtuambie mapema kabra hatujaanza kuwapatia adhabu mmoja baada ya mwingine!?" Mkuu wa gereza aliongea na wafungwa wote tulikuwa kimya, hakuna aliyejaribu kukohoa mfungwa yoyote yule kati yetu.
"Ni wapi alipo mfungwa mwenzenu!?" mkuu wa gereza alituuliza na Mfungwa mmoja alinyoosha mkono.

Aliruhusiwa kuongea na ndipo alipoongea kuwa hamna mfungwa anayejua mwenzetu alipo.
"Jiseme wewe sio uwasemee wenzako pumbavu, hatupo hapa kufanya utani!?" mkuu wa gereza aliongea kwa hasira na alitoa amri ya mwezetu aliyeongea atengwe pembeni.
Swali lilirudi kwetu sisi wengine na kila mfungwa alikana kuwa hajui ni wapi alipo mwenzetu.

Hiyo siku sitaisahau, mda huo huo alifika afande mwingine wa kiume na kutoa taarifa kuwa kuna nguo za wafungwa zilizokuwa zimelowekwa kwenye maji na namba ya nguo hizo zilikuwa ni za kwetu mimi pamoja na Asha.
Wote wawili tulitazamana japo tulikuwa tumevaa nguo nyingine.
"Aya wafungwa wenye hizi namba simameni haraka!" mkuu wa gereza aliongea, tulisimama kama alivyotuamrisha.
"Wenzenu walimaliza kufua nguo zao na kuzinianika nyie mlikuwa wapi mpaka mkashindwa kufata utararibu wa gereza na kuziacha nguo zenu sehemu za kufulia!?"
wote midomo yetu ilikuwa mizito na macho yangu yalikuwa kwa Afande Cheuse. hofu ya mkuu wa gereza alihisi kuwa tulishirikiana kumtorosha mfungwa aliyeondoka na ndiyo maana hatukuimaliza kazi yetu.
"Mkuu samahani kwa kuingilia maongezi yako!" Afande Cheusi aliongea, moyo wangu ulipumua kidogo maana nilijua lazima ataamua kututetea tu.
"Hawa tuliwapatia kazi ya kwenda kusafisha store nadhani ndiyo maana hawakumaliza kazi yao ya kufua nguo kama wenzao!" Afande Cheusi aliongea huku kichwa chake akiwa kakiinamisha chini.
"Unauhakika na unachokiongea!?"
"Ndio Afande!"
Baada ya Afande Cheusi kututetea Mkuu wa gereza alituambia tukae chini.

Karibu kila mfungwa alianza kuhojiwa na na kutoa maelezo kwa jinsi alivyokuwa akijua yeye na baada ya hapo wenzetu walirudishwa selo na sisi wawili tuliambiwa tukamalizie kufua nguo zetu ili tuzianike tena tukiwa chini ya usimamizi mkali, yaani hata ile nafasi ya kuongea na Asha sikuwa nayo japo wote tulikuwa pamoja.

Baada ya kumaliza tulienda kujumuishwa kwa wenzetu.
"Mmmh, asingekuwa Afande Cheusi leo kesi ingetuangukia!" niliongea nikimwambia Asha.
"Unishukuru mimi kwa kumpa mambo matamu tena nimepanga kuja kumpa zaidi ya hapo ili niteke kabisa akili yake" Asha aliongea kwa sauti ya chini bira wafungwa wenzetu kutusikia.

Zoezi la wafungwa kuhojiwa halikuishia tu kwenye selo yetu! mpaka kwenye selo zingine nako walihojiwa na kila mtu alijieleza alivyokuwa akijua yeye.

Wiki nzima ilipita kukiwa bado na ulinzi mkali ndani ya gereza, na mfungwa aliyechafua hali ya hewa ya gerezani bado haikujulikana aliwezaje kutoroka. Maisha ilibidi yaendelee na siku hiyo ulipatikana uhuru sehemu ya kuogea.

Weee! Watu walikuwa nahisia kali na kama mtu angetuona siku hiyo basi lazima angekiri kuwa ndiyo jehanamu penyewe. Karibu kila mfungwa alikuwa na mwenzake hasa mabinti, ni wanawake wachache sana waliokuwa wakiwatazama wengine, miguno ya hapa na pale ilizidi kusikika huku watu wakizidi kusagana na kusuguana kwa kutumia vingaja vyao vya mikono.
Asha alinishika chuchu zangu na kuniambia kuwa anataka anichokonoe mpaka niridhike.
"Yote sawa Asha ila kuna swali la mhimu nataka kukuuliza!"
"Utaniuliza baadae Dora" aliongea huku akizidi kuipitisha mikono kwenye mwili wangu......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??

Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA......
Story kubwa siku hiyo ilikuwa ni mfungwa kutoroka tu, wafungwa wote tulianza kujadili jinsi alivyotoroka mwenzetu na Asha alinisogea karibu yangu na kuniambia kwa sauti ya chini.
"Na mimi nikipata nafasi ya kutoroka basi lazima nitoroke!"
"Acha kujitafutia matatizo Asha!?"
"Kumbuka mwenzako na kifungo cha maisha sio kama wewe!?" Asha aliongea kwa mara nyingine.
"Mimi mwenyewe sina tofauti na wewe maana siku nikitoka humu tayari mvi zimeshajaa kichwani, sidhani kama nitaenda kuyafaudu tena maisha ya uraiani" nilizungumza lakini Asha alikaa kimya kwa sekunde kadhaa na baadae...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ndani-ya-gereza-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ndani-ya-gereza
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

883
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

747
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

562
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

286
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

187
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

110
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

79
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

69
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest