Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??  Umri………………..18+
Gonga94 · Stories

MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA......
Nilifunika mdomo wangu kwa mshangao na nilimgeuza Asha haraka ili Tabu asiweze kutuona.
"Mjegeje Dora!"
"Nyamaza"
Nilimwambia na Asha alioneka kupagawa baada ya kuuona mtalimbo wa Tabu.

Tulikaa kimya na baada ya mda Tabu alimaliza kuoga na kuvaa nguo zake.
"Asanteni kwa msaada wenu!" Tabu aliongea na kutaka kusogea pembeni.
"Mimi naitwa Asha na huyu anaitwa Dora" Asha kwa kujipendekeza mbele ya Tabu alijitambulisha huku akikenua meno yake, yaani siku hiyo alikuwa kama chizi kiukweli na yote ni kwa sababu tu kamuona Tabu akiwa na kitu adimu ndani ya gereza la wanawake.
Tabu alikubali tuwe marafiki lakini alisogea pembeni na kutuacha sisi tukiwa bado tunamtazama.
"Usimwangalie sana mwisho atatushitukia"
"Najiuliza maswali Dora mbona Tabu anabakora!?"
"Mimi mwenyewe najiuliza kama wewe unavyojiuliza"
Nilimjibu na hakuna aliyekuwa na jibu.

Tabu alikuwa na matiti kama sisi wanawake wengine, alikuwa na umbo la kike na hata sura yake ilikuwa ni ya kipekee na kiukweli alikuwa mzuri kushinda wafungwa wote tuliokuwa mle.
Kilichokuwa kinatuchanganya sisi wawili ni baada ya kumuona Tabu ana mtalimbo, tulitamani kujua kwanini awe na mboo.. ikiwa ana umbo la kike!?

Mpaka tunarudi gerezani mimi na Asha tulitamani kumjua zaidi Tabu.

Siku iliyofata tulikuwa na kazi ya kufanya usafi na bahati nzuri wote watatu tulikuwa karibu, Asha alimsogelea Tabu na kukohoa kisha baada ya hapo aliongea.
"Jana kila kitu niliona Tabu niwe tu mkweli!"
"Uliona nini!?" Tabu alimuuliza huku akiwa ameyatoa macho yake tena akiwa na wasiwasi.
"Niliona mboo yako kipindi unaoga!"
Asha aliongea pasipo kuogopa, nilimfinya kwa ujinga alioufanya wa kumwambia Tabu maana lazima angejisikia vibaya lakini mwenzangu hakujali zaidi ya kunikonyeza tu.
"Niambie vizuri Tabu ili tukuelewe, wewe unamatiti kama sisi na ni mwanamke sasa imekuwaje ukawa na mtalimbo!?" Alimuuliza kwa mara nyingine.
"Kiukweli mimi na jinsia mbili hapa nilipo"
"Nini Tabu!?" Asha alimuuliza kwa sauti na Afande mmoja alisogea sehemu tulipokuwa na kuongea.
"Towanyikeni hapo haraka na mmoja wenu aje hapa!"
"Sawa Afande!" niliongea na kumfata alipo Afande.

"Kama mnamipango ya kipuuzi wewe pamoja na wenzako basi inatakiwa muache hiyo mipango haraka lasivyo mnatafuta kuingia kwenye matatizo tu!"
Afande aliongea kitu ambacho sikukitegemea kabisa.
"Hatuna mipango yoyote ile na tulikuwa kwenye maongezi ya kawaida tu Afande!"
"Jifanye mjuaji sasa, twende unifate huku!"
Afande aliniambia hivyo nilianza kumfata mahali alipokuwa akielekea.

Tulifika mpaka jikoni na Afande aliniambia kuwa natakiwa kuosha masufuria makubwa wanayotumia kupikia, kiukweli nilichukia na kama ningekuwa na uwezo basi ningekataa ila ndiyo hivyo, niliogopa kukutana na vilungu mwenzenu.

Nilianza kufanya kazi ya kuyaosha masufuria na Afande aliondoka na kuniachia nikihangaika na masufuria mwenyewe.
Baada ya dakika kadhaa alifika mzee anayefanya kazi ya kupasua kuni na mda mwingine huwa anasaidizana na wapishi kutupikia.
"Binti habari yako!?"
"Nzuri tu Babu shikamoo!"
"Aaah hata mimi nimeshashikamo kwenye hayo masufuria wewe endelea kuyaosha tu" Mzee aliongea na kuikwepa salamu yangu kiaina.

Basi niliendelea na kazi ya kuyaosha nikiwa nimeinama hivyo hivyo chuma mboga, nilishangaa nikishiwa matako yangu na nilipogeuka nilimshuhudia mzee akiwa nyuma yangu.
"Wewe mzee!"
"Khekhekhekhe binti nasikia kuwa nyie mnanyege sana sasa mimi nipo hapa kwa ajili yako!" mzee aliongea huku akikenua meno yake.

Sikutaka kumuonesha tabasamu maana nilikuwa na hasira zangu za kuosha masufuria.
Bahati nzuri alifika Afande aliyenileta nioshe masufuria.
"Wewe mzee unaongea nini na huyu mfungwa!?"
"Samahani Afande, nilikuwa namsalimia tu na kumtia moyo asikate tamaa!" mzee aliongea huku akisogea pembeni zaidi na Afande alisogea karibu zaidi.
"Isije ikawa umempa bangi huyu au kitu chochote kile cha hatari"
"Wala!, mimi sijampa kitu kama utaweza mkague mwenyewe ujionee" mzee aliongea na Afande alinisogelea na kuanza kunipapasa akinikagua.

Alinikera maana alinishika mpaka kwenye kitumbua changu akinikagua pamoja na kwenye matiti ila ndiyo hivyo mfungwa ni mfungwa tu hana sauti siku zote.
"Hana kitu chochote kile basi ondoka hapa ukaendelee na kazi zako!"
"Sawa Afande" mzee alimjibu na kuondoka.
"Binti unadakika chache tu za kuosha hayo masufuri, fanya haraka uyamalize" Afande alizungumza na kusogea pembeni na kuanza kunisimamia.

Niliosha na baada ya mda nilimaliza na ndipo aliponichukua na kunipeleka kwa wenzangu ambao tayari walikuwa wameshaingia selo.
Nilifika na kuwakuta Asha na Tabu wakiwa wamekaa karibu kabisa na mimi nilisogea mpaka kwao na kujibana huku nikimsukuma mfungwa aliyekuwa amekaa pembeni.
"Wewe vipi kwani lazima ukae na huyo mtu wako!"
"Bahati mbaya yaishe" nilimkatisha kwa kuongea kwa kifupi, bahati nzuri nafasi ilipatikana ya mimi kukaa.

Asha alininong'oneza masikioni akiniambia kuwa bakora ya Tabu inafanya kazi tena vizuri tu na aliniambia kilichobaki ni sisi kuandaa mpango ili Tabu aturidhishe vizuri.
Kiukweli kabisa nilitokea kutamani kumuona mtu mwenye jinsi mbili anafananaje, sikutaka kupingana na Asha Japo mwenzangu alionesha kuwa na nyege zilizopitiliza na akili zake zilikuwa kwenye kufanya mapenzi na Tabu tu.......ITAENDELEA.

OFA OFA OFA, SOMA STORY....
MOJA KWA TSH 900.
MBILI KWA TSH 1500
TATU KWA TSH 2000
NNE KWA TSH 2900

Chagua story uzipendazo hapo chini ??kisha njoo whatsApp kupitia namba 0613083801 ujipatie story zikiwa full kabisa.

1.MFALME KIPOFU

2.KING'S SON (MTOTO WA MFALME)

3.YOLANDA

4.ZIPPORAH.

5.PENZI LA MHARIFU? ?

6.FARASI MWEUPE

7.SAA7:00 MCHANA ??

8.POWER OF MONEY (NGUVU YA PESA)

9.MAHABA YA MZOA TAKA??

10.UFALME ULIOHARIBIWA NA TSUNAMI.

11.SITASAHAU YALIYONIKUTA MWAKA 2022

12.UFALME WA PAZANI

13.WRONG DECISION.

14.THIS IS MY KINGDOM

15.PAIN AFTER PAIN

16.MISS TANZANIA

17.NANI ALAUNIWE.

18.YALIYOMKUTA MUUZA UJITAKA??

19.MMMH SHEMEJI HAPANA??

20.KIJANA WA HOVYO??

21.STAREHE ZA UJANA WANGU

22.WAKATI SAHIHI

23.ILA BABA MKWE??

24.CHUMBA NAMBA 6??

25.KISIWA CHA TABASAMU

26.MAPENZI NDANI YA GEREZA??

27.MCHUMBA WA PLAYBOY

Namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN

0755271203 M-PESA JINA JOHN
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+

Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA......
Nilifunika mdomo wangu kwa mshangao na nilimgeuza Asha haraka ili Tabu asiweze kutuona.
"Mjegeje Dora!"
"Nyamaza"
Nilimwambia na Asha alioneka kupagawa baada ya kuuona mtalimbo wa Tabu.

Tulikaa kimya na baada ya mda Tabu alimaliza kuoga na kuvaa nguo zake.
"Asanteni kwa msaada wenu!" Tabu aliongea na kutaka kusogea pembeni.
"Mimi naitwa Asha na huyu anaitwa Dora" Asha kwa kujipendekeza mbele ya Tabu alijitambulisha huku akikenua meno yake, yaani siku hiyo alikuwa kama chizi kiukweli na yote ni kwa sababu tu kamuona Tabu akiwa na kitu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ndani-ya-gereza-12-umri-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ndani-ya-gereza
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

503
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

442
MY WANGU❤️ sehemu ya 88

MY WANGU❤️ sehemu ya 88

437
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

393
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

329
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

164
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

63

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.86K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 88 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
@majario LIVE

Mlige akaipasua ile simu kwa hasira. Akanmbia nilijua tu . Umebadilika sana faridah kumbe una mwanume ana pesa kunizidi sio . Mie nikasema nisamehe mlige acha nikuelezee. Mlige akafoka .akasema...

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest