Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"

18th Apr, 2025 Views 11

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 03"& 04"

David alinisogelea na kunishika mkono akaniambia Natasha kumbuka mimi sio kijana mimi nimtu mzima ????

Nikamjibu hatakama lakini bado nimwanaume sihitaji kabisa na istoshe wewe nisawa na baba kwangu ????????

David alisimama???????? na kuniambia sijawahi hata sikumoja kukataliwa na binti ????????

Kwanini wewe Natasha??? unathubutuje ????????

Nilimjibu nisamehe kwa hili nikasimama nakuondoka wakati naondoka huku nyuma nilimuacha akishangaa zigo linavo tikisika????????

Hata kama wewe ni nani siwezi kukubali kwa siku moja bwana kula chuma hicho????

Niliamua kuwahi bajaji nakisha nililudi nyumbani

Nilipofika home niliiingia bafuni nikaoga nakisha nilitoka na kuingia kitandani sikutaka kumsumbua bibi????????????

Usiku ulikuwa mrefu lakini hatimae palikucha nikaamka nilianza na usafi na baada ya hapo niliandaa kifungua kinywa kisha nilimwandalia bibi maji akaoga????????

Alipotoka bafuni alikuja kupata kifungua kinywa sikuhiyo ilikuwa siku ya mapumziko kazini..

Niliamua kufanya shuguri za nyumbani tu????????

Tulikunywa breakfast na bibi yangu

Tulipo maliza nilienda kufua nguo na baada ya kumaliza nilifanya fanya shuguri zingine za nyumban????????????

Kukunja nguo kufuta vumbi kila kitu nikahakikisha kimekaa pahala pake mida ya jioni tyr nilikuwa nimeshamaliza kila kitu nikajilaza kitandani kidogo nipumzike..

Nikiwa nimejipumzisha niliona sim yangu inaita nikaichukuwa ilikuwa ninamba ngeni ????????

Mmmhh ni nani huyu????????Nikasema ngoja niipokee ila sijui ana shida gani..

Nilipokea nikaita halooo????

Alijibu haloo Natasha ????????????

Naam ndio mimi nani mwenzangu ????????

Aliniambia naitwa David nipo hapa nje kwenu je unaweza kuja tuonane au nije mimi ndani??

Khe????????Niliposikia au aje mwenyewe nikamjibu sawa nakuja ??

Nilitoka nikaangalia kushoto kulia nikasogea mbele niliiona gari nzuri yakifahari nikaifuata??

Nilikuwa najiuliza hivi huyu bosi mbona simuelewi kabisa mimi ????????

Anatatizo gani kwani hana mke nakwanini ananisumbua mimi tena nimtu wa kawaida sana kwake????????

Nilikuwa natembea huku najiongeresha ????????

Nilifika alipopaki gari akashusha kioo na kuniambia fungua mlango uingie????????

Nikaingia ndani ya gari kisha nilimsalimia nimkubwa mno kwangu yani ni mubaba wa makamo????????????

Alijibu saram na baada ya hapo aliniambia tutoke hapa maana watu watakuwa wanajiuliza ninataka nini hapa ????????

Nilimwambia nikweli maana gari ya thamani kama hii hapa mtaani kwetu ni adimu????????

Aliwasha gari na kutoka mtaani aliniambia twende hoteli ni hotel gani inakuvutia??

Nilimkatalia kwanini hotelini na umenikurupua sijajiandaa???????? alisema sawa

chagua wewe sehemu unayoona itafaa kwa mimi nawewe kuzungumza pia nifikilie na mimi hadhi yangu

Nilimjibu sawa twende maeneo ya fukweni naamini huko kunautulivu mkubwa tuu napia kutakusaidia kufikili vizuri

David alicheka why kufikilia vizuri?????? but it's okay twende huko????????

Aliwasha gari tukaelekea fukweni maeneo ya kigamboni

Tulipofika alipaki gari kisha tulishuka na kusogea pembezoni mwa maji ????????

Taratibu tulikuwa tunatembea na tulianza mazungumzo yetu mimi na Mzee baba watu walikuwa wanatutizama sana nahisi ni kutokana na distance ya umri wetu????????

Nilimwambia Davd ona watu wanavotutizama naona aibu???????? watakuwa wanajiuliza tuu mimi mtoto na huyu baba inakuwaje

David alinijibu kwani nivibaya mbona ndio vizuri Natasha..

Alinishika mkono na kunisogeza kwake alinitizama kisha akanikumbatia kwa nguvu????????????

Nilizidi kuchanganyikiwa nikawa namuuliza David unafanya nini ujue wewe nibosi jamani

SEHEMU YA 04"

Alijibu hapa sio ofisini hapa nifukweni mwa bahari na nisehem ya faragha

Watu walikuwa pembeni walikuwa wanatutizama tuu

David alikuwa nimkubwa lakini nimtukutu jamani

Aliponiachia aliniuliza uko tayari kuwa wangu au bado hujakubali ??

Nilimjibu hapana sijakubalia

David alinishika mkono na kunipeleka sehem kuna viti tulikaa hapo na kuendelea kuongea

Aliniambia kuwa Natasha kwanini jamani unajua huwa siongeagi sana ????????

Ngoja nikuambie kitu mimi huwa nakaa ofisini kwangu ninacamera ya jengo zima la ofisini kwetu

Usifikiri nimekurupuka kwako nilikuona kitambo nilisha kupenda mudatuu????????

Nilimuuliza sasa David kwani je ikiwa mimi sijakupenda nitafanyaje????????

David alijisikia vibaya kauli hiyo na kugeuza shingo pembeni kidogo ????????

Kisha alipoludisha kwangu akaniambia kumbe ndio hivyo????????

Aliinuka na kuondoka alienda kupanda gari na kuondoka zake akaniacha pale ????????

Ilikuwa jioni na sina hela yakutosha nilibaki pekeangu nikaona nisogee kwenye pantoni na kuvuka na baada ya hapo nilimpigia rafikiangu sim

Nilimuomba anisaidie hela kidogo nitamrudishia

Rafiki yangu alinitumia elfu tano nilienda kuitoa kisha nikapanda dala dala

Hadi nyumbani nilichukia sana nikasema watu wengine niwehu sasa unawezaje kumleta mtu mbali kisha unapokasilika hovyo unamuacha????

Nilichukia sana nilifika nyumbani nilimkuta bibi kaisha pika cha usiku akaniambia vipi ulikuwa wapi maana hata hujaaga mwenzangu????????

Niliona nimdanganye maana sijui nitamueleza nini

Niliingia zangu chumbani kwangu nikavua kisha nilitoka na kwenda kuoga????????

Nilimaliza kuoga tukala kisha nikaenda chumbani kwangu kulala..

Hatimaye kulikucha tena niliamka na kujiandaa nakisha nilienda kazini????????

Nilikuwa nimepooza sikuhiyo maana nilikuwa nimeboreka sana sababu ya bosi David????????

Nimefika ofisini hata sijapumzika nikaanza kutumwa tumwa kunammoja alinituma kitu nikachanganya nilipofika alinifokea sana????

Aliniaibisha mbele za watu nilitoka mbio na kwenda kulilia chooni nililia mnoo nilikuwa na vitu vingi vinaniumiza????????

Wafanyakazi wengine walicheka lakini wengine walinihurumia kunakijana mmoja alinifuata na kunigongea aliniita

Natasha! Natasha !

Niliitika abeee

Aliuliza uko poa ???

Nilimjibu usijali nikopoa kabisaa????????

Yulekijana aliamua kuondoka na kurudi ofisini alipofika alimuita yule dada aloniaibisha na kuanza kumsema ????????

Yule dada alikasilika na kumjibu kwani huyo ni mwanamke wako?? Hapa ni kazini mpnz huko mtaani kwenu akatukana!

Yule kaka alisikitika tu na kuamua kukaa kimya..

Alirudi kuniangalia akaniambia kuwa usijali wale niwapo hivyo hivyo ila ukiwakazia wataacha huo ujinga sawa Natasha

Nilimwambia sawa niko sawa sasa asante kwa kunijali nitajua jinsi ya kuishinao..

Baada ya hapo tulitoka na kuludi ofisini tukiwa tumeongozana

Vile tunarudi tu tukakutana uso kwa uso na Boss David aiseee alinikata jicho sijui alifikilia nini????????yani alichukia ile chuki ya waziwazi????

Aliondoka haraka kumbe alienda kuangalia kwenye cctv camera????????????akaona matukio yote aloooh ????????????aliona nilivoaibishwa ofisini hakupentaaaaaa

Ilitoka amri yule dada aloniaibisha afukuzwe kazi haraka sana????????

Siku hiyohiyo yule mdada akapokea barua ya kusimamishwa kazi???????? mama weee mambo si yakaanza kuvuma ndani na nje ya kampuni

Watu wakaanza kusema mimi nimpnz wa Boss

Nilibaki nimeshangaa sana nikajiuliza watu si wataanza kunijengea chuki????????

Nilimfuata meneja nikamuomba amrudishe yule dada kazini maana mimi ndo naonekana mbaya

Nilimuomba Wampe tuu adhabu ila sio kumfukuza kazi kabisaa huwezi jua maisha gani anayapitia

Nilimuomba sana sana lakini alinijibu jibu mojatuu

Kuwa sio mimi ni bosi devid ndo katoa amri nenda ongea nae yeye

Nilitoka ofisini kwa meneja wangu nika chukuwa sim yangu nikasogea pembeni

Nikampigia boss David alipokea na kuita haloo

Nilijibu mimi Natasha bosi samahani naomba kuonana nawewe

Alinijibu sio hapa tuonane sehem tofauti na hapa Natasha

Nilimjibu hapana ni inshu ya kiofisi Boss

Alinijibu sawa ila sipotayari tuzungumze hapa nataka tuonane sehemu

Nilimjibu ok sawa wapi unataka tuonane

Alijibu twende hotelini kuna hoteli moja hivi nzuri sana hapo mjini alinitajia jina na akaniambia nitangulie atanikuta hapo????????

Nilimjibu sawa lakini usije ukanitelekeza huko????

Niliaga kwa meneja nilidanganya nimepata dharula meneja akacheka tu kumbe ashapewa taarifa na Boss mkubwa????????

Nilitoka na kuchukuwa bajaji hadi kwenye hiyo hoteli

Nilipofika nilipokelewa vizuri sana mpaka nikashangaa mara nikashangaa naambiwa chumba chako kiko tayari miss karibu upumzike kheee????????chumba????????

Mbona kalipia chumba jamani si tungeongelea tu hata pale nje kwenye viti????????????

Full 1000

WhatsApp 0742133100.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
Your settings were saved successfully!
Something went wrong!
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest