Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 03"& 04"

David alinisogelea na kunishika mkono akaniambia Natasha kumbuka mimi sio kijana mimi nimtu mzima ????

Nikamjibu hatakama lakini bado nimwanaume sihitaji kabisa na istoshe wewe nisawa na baba kwangu ????????

David alisimama???????? na kuniambia sijawahi hata sikumoja kukataliwa na binti ????????

Kwanini wewe Natasha??? unathubutuje ????????

Nilimjibu nisamehe kwa hili nikasimama nakuondoka wakati naondoka huku nyuma nilimuacha akishangaa zigo linavo tikisika????????

Hata kama wewe ni nani siwezi kukubali kwa siku moja bwana kula chuma hicho????

Niliamua kuwahi bajaji nakisha nililudi nyumbani

Nilipofika home niliiingia bafuni nikaoga nakisha nilitoka na kuingia kitandani sikutaka kumsumbua bibi????????????

Usiku ulikuwa mrefu lakini hatimae palikucha nikaamka nilianza na usafi na baada ya hapo niliandaa kifungua kinywa kisha nilimwandalia bibi maji akaoga????????

Alipotoka bafuni alikuja kupata kifungua kinywa sikuhiyo ilikuwa siku ya mapumziko kazini..

Niliamua kufanya shuguri za nyumbani tu????????

Tulikunywa breakfast na bibi yangu

Tulipo maliza nilienda kufua nguo na baada ya kumaliza nilifanya fanya shuguri zingine za nyumban????????????

Kukunja nguo kufuta vumbi kila kitu nikahakikisha kimekaa pahala pake mida ya jioni tyr nilikuwa nimeshamaliza kila kitu nikajilaza kitandani kidogo nipumzike..

Nikiwa nimejipumzisha niliona sim yangu inaita nikaichukuwa ilikuwa ninamba ngeni ????????

Mmmhh ni nani huyu????????Nikasema ngoja niipokee ila sijui ana shida gani..

Nilipokea nikaita halooo????

Alijibu haloo Natasha ????????????

Naam ndio mimi nani mwenzangu ????????

Aliniambia naitwa David nipo hapa nje kwenu je unaweza kuja tuonane au nije mimi ndani??

Khe????????Niliposikia au aje mwenyewe nikamjibu sawa nakuja ??

Nilitoka nikaangalia kushoto kulia nikasogea mbele niliiona gari nzuri yakifahari nikaifuata??

Nilikuwa najiuliza hivi huyu bosi mbona simuelewi kabisa mimi ????????

Anatatizo gani kwani hana mke nakwanini ananisumbua mimi tena nimtu wa kawaida sana kwake????????

Nilikuwa natembea huku najiongeresha ????????

Nilifika alipopaki gari akashusha kioo na kuniambia fungua mlango uingie????????

Nikaingia ndani ya gari kisha nilimsalimia nimkubwa mno kwangu yani ni mubaba wa makamo????????????

Alijibu saram na baada ya hapo aliniambia tutoke hapa maana watu watakuwa wanajiuliza ninataka nini hapa ????????

Nilimwambia nikweli maana gari ya thamani kama hii hapa mtaani kwetu ni adimu????????

Aliwasha gari na kutoka mtaani aliniambia twende hoteli ni hotel gani inakuvutia??

Nilimkatalia kwanini hotelini na umenikurupua sijajiandaa???????? alisema sawa

chagua wewe sehemu unayoona itafaa kwa mimi nawewe kuzungumza pia nifikilie na mimi hadhi yangu

Nilimjibu sawa twende maeneo ya fukweni naamini huko kunautulivu mkubwa tuu napia kutakusaidia kufikili vizuri

David alicheka why kufikilia vizuri?????? but it's okay twende huko????????

Aliwasha gari tukaelekea fukweni maeneo ya kigamboni

Tulipofika alipaki gari kisha tulishuka na kusogea pembezoni mwa maji ????????

Taratibu tulikuwa tunatembea na tulianza mazungumzo yetu mimi na Mzee baba watu walikuwa wanatutizama sana nahisi ni kutokana na distance ya umri wetu????????

Nilimwambia Davd ona watu wanavotutizama naona aibu???????? watakuwa wanajiuliza tuu mimi mtoto na huyu baba inakuwaje

David alinijibu kwani nivibaya mbona ndio vizuri Natasha..

Alinishika mkono na kunisogeza kwake alinitizama kisha akanikumbatia kwa nguvu????????????

Nilizidi kuchanganyikiwa nikawa namuuliza David unafanya nini ujue wewe nibosi jamani

SEHEMU YA 04"

Alijibu hapa sio ofisini hapa nifukweni mwa bahari na nisehem ya faragha

Watu walikuwa pembeni walikuwa wanatutizama tuu

David alikuwa nimkubwa lakini nimtukutu jamani

Aliponiachia aliniuliza uko tayari kuwa wangu au bado hujakubali ??

Nilimjibu hapana sijakubalia

David alinishika mkono na kunipeleka sehem kuna viti tulikaa hapo na kuendelea kuongea

Aliniambia kuwa Natasha kwanini jamani unajua huwa siongeagi sana ????????

Ngoja nikuambie kitu mimi huwa nakaa ofisini kwangu ninacamera ya jengo zima la ofisini kwetu

Usifikiri nimekurupuka kwako nilikuona kitambo nilisha kupenda mudatuu????????

Nilimuuliza sasa David kwani je ikiwa mimi sijakupenda nitafanyaje????????

David alijisikia vibaya kauli hiyo na kugeuza shingo pembeni kidogo ????????

Kisha alipoludisha kwangu akaniambia kumbe ndio hivyo????????

Aliinuka na kuondoka alienda kupanda gari na kuondoka zake akaniacha pale ????????

Ilikuwa jioni na sina hela yakutosha nilibaki pekeangu nikaona nisogee kwenye pantoni na kuvuka na baada ya hapo nilimpigia rafikiangu sim

Nilimuomba anisaidie hela kidogo nitamrudishia

Rafiki yangu alinitumia elfu tano nilienda kuitoa kisha nikapanda dala dala

Hadi nyumbani nilichukia sana nikasema watu wengine niwehu sasa unawezaje kumleta mtu mbali kisha unapokasilika hovyo unamuacha????

Nilichukia sana nilifika nyumbani nilimkuta bibi kaisha pika cha usiku akaniambia vipi ulikuwa wapi maana hata hujaaga mwenzangu????????

Niliona nimdanganye maana sijui nitamueleza nini

Niliingia zangu chumbani kwangu nikavua kisha nilitoka na kwenda kuoga????????

Nilimaliza kuoga tukala kisha nikaenda chumbani kwangu kulala..

Hatimaye kulikucha tena niliamka na kujiandaa nakisha nilienda kazini????????

Nilikuwa nimepooza sikuhiyo maana nilikuwa nimeboreka sana sababu ya bosi David????????

Nimefika ofisini hata sijapumzika nikaanza kutumwa tumwa kunammoja alinituma kitu nikachanganya nilipofika alinifokea sana????

Aliniaibisha mbele za watu nilitoka mbio na kwenda kulilia chooni nililia mnoo nilikuwa na vitu vingi vinaniumiza????????

Wafanyakazi wengine walicheka lakini wengine walinihurumia kunakijana mmoja alinifuata na kunigongea aliniita

Natasha! Natasha !

Niliitika abeee

Aliuliza uko poa ???

Nilimjibu usijali nikopoa kabisaa????????

Yulekijana aliamua kuondoka na kurudi ofisini alipofika alimuita yule dada aloniaibisha na kuanza kumsema ????????

Yule dada alikasilika na kumjibu kwani huyo ni mwanamke wako?? Hapa ni kazini mpnz huko mtaani kwenu akatukana!

Yule kaka alisikitika tu na kuamua kukaa kimya..

Alirudi kuniangalia akaniambia kuwa usijali wale niwapo hivyo hivyo ila ukiwakazia wataacha huo ujinga sawa Natasha

Nilimwambia sawa niko sawa sasa asante kwa kunijali nitajua jinsi ya kuishinao..

Baada ya hapo tulitoka na kuludi ofisini tukiwa tumeongozana

Vile tunarudi tu tukakutana uso kwa uso na Boss David aiseee alinikata jicho sijui alifikilia nini????????yani alichukia ile chuki ya waziwazi????

Aliondoka haraka kumbe alienda kuangalia kwenye cctv camera????????????akaona matukio yote aloooh ????????????aliona nilivoaibishwa ofisini hakupentaaaaaa

Ilitoka amri yule dada aloniaibisha afukuzwe kazi haraka sana????????

Siku hiyohiyo yule mdada akapokea barua ya kusimamishwa kazi???????? mama weee mambo si yakaanza kuvuma ndani na nje ya kampuni

Watu wakaanza kusema mimi nimpnz wa Boss

Nilibaki nimeshangaa sana nikajiuliza watu si wataanza kunijengea chuki????????

Nilimfuata meneja nikamuomba amrudishe yule dada kazini maana mimi ndo naonekana mbaya

Nilimuomba Wampe tuu adhabu ila sio kumfukuza kazi kabisaa huwezi jua maisha gani anayapitia

Nilimuomba sana sana lakini alinijibu jibu mojatuu

Kuwa sio mimi ni bosi devid ndo katoa amri nenda ongea nae yeye

Nilitoka ofisini kwa meneja wangu nika chukuwa sim yangu nikasogea pembeni

Nikampigia boss David alipokea na kuita haloo

Nilijibu mimi Natasha bosi samahani naomba kuonana nawewe

Alinijibu sio hapa tuonane sehem tofauti na hapa Natasha

Nilimjibu hapana ni inshu ya kiofisi Boss

Alinijibu sawa ila sipotayari tuzungumze hapa nataka tuonane sehemu

Nilimjibu ok sawa wapi unataka tuonane

Alijibu twende hotelini kuna hoteli moja hivi nzuri sana hapo mjini alinitajia jina na akaniambia nitangulie atanikuta hapo????????

Nilimjibu sawa lakini usije ukanitelekeza huko????

Niliaga kwa meneja nilidanganya nimepata dharula meneja akacheka tu kumbe ashapewa taarifa na Boss mkubwa????????

Nilitoka na kuchukuwa bajaji hadi kwenye hiyo hoteli

Nilipofika nilipokelewa vizuri sana mpaka nikashangaa mara nikashangaa naambiwa chumba chako kiko tayari miss karibu upumzike kheee????????chumba????????

Mbona kalipia chumba jamani si tungeongelea tu hata pale nje kwenye viti????????????

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 03"& 04"

David alinisogelea na kunishika mkono akaniambia Natasha kumbuka mimi sio kijana mimi nimtu mzima ????

Nikamjibu hatakama lakini bado nimwanaume sihitaji kabisa na istoshe wewe nisawa na baba kwangu ????????

David alisimama???????? na kuniambia sijawahi hata sikumoja kukataliwa na binti ????????

Kwanini wewe Natasha??? unathubutuje ????????

Nilimjibu nisamehe kwa hili nikasimama nakuondoka wakati naondoka huku nyuma nilimuacha akishangaa zigo linavo tikisika????????

Hata kama wewe ni nani siwezi kukubali kwa siku moja bwana kula chuma hicho????

Niliamua kuwahi bajaji nakisha nililudi nyumbani

Nilipofika home niliiingia bafuni nikaoga nakisha nilitoka na kuingia kitandani sikutaka kumsumbua bibi????????????

Usiku ulikuwa mrefu lakini hatimae palikucha...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-03-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

452
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

65
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

20

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.13K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest