Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 03"& 04"

David alinisogelea na kunishika mkono akaniambia Natasha kumbuka mimi sio kijana mimi nimtu mzima ????

Nikamjibu hatakama lakini bado nimwanaume sihitaji kabisa na istoshe wewe nisawa na baba kwangu ????????

David alisimama???????? na kuniambia sijawahi hata sikumoja kukataliwa na binti ????????

Kwanini wewe Natasha??? unathubutuje ????????

Nilimjibu nisamehe kwa hili nikasimama nakuondoka wakati naondoka huku nyuma nilimuacha akishangaa zigo linavo tikisika????????

Hata kama wewe ni nani siwezi kukubali kwa siku moja bwana kula chuma hicho????

Niliamua kuwahi bajaji nakisha nililudi nyumbani

Nilipofika home niliiingia bafuni nikaoga nakisha nilitoka na kuingia kitandani sikutaka kumsumbua bibi????????????

Usiku ulikuwa mrefu lakini hatimae palikucha nikaamka nilianza na usafi na baada ya hapo niliandaa kifungua kinywa kisha nilimwandalia bibi maji akaoga????????

Alipotoka bafuni alikuja kupata kifungua kinywa sikuhiyo ilikuwa siku ya mapumziko kazini..

Niliamua kufanya shuguri za nyumbani tu????????

Tulikunywa breakfast na bibi yangu

Tulipo maliza nilienda kufua nguo na baada ya kumaliza nilifanya fanya shuguri zingine za nyumban????????????

Kukunja nguo kufuta vumbi kila kitu nikahakikisha kimekaa pahala pake mida ya jioni tyr nilikuwa nimeshamaliza kila kitu nikajilaza kitandani kidogo nipumzike..

Nikiwa nimejipumzisha niliona sim yangu inaita nikaichukuwa ilikuwa ninamba ngeni ????????

Mmmhh ni nani huyu????????Nikasema ngoja niipokee ila sijui ana shida gani..

Nilipokea nikaita halooo????

Alijibu haloo Natasha ????????????

Naam ndio mimi nani mwenzangu ????????

Aliniambia naitwa David nipo hapa nje kwenu je unaweza kuja tuonane au nije mimi ndani??

Khe????????Niliposikia au aje mwenyewe nikamjibu sawa nakuja ??

Nilitoka nikaangalia kushoto kulia nikasogea mbele niliiona gari nzuri yakifahari nikaifuata??

Nilikuwa najiuliza hivi huyu bosi mbona simuelewi kabisa mimi ????????

Anatatizo gani kwani hana mke nakwanini ananisumbua mimi tena nimtu wa kawaida sana kwake????????

Nilikuwa natembea huku najiongeresha ????????

Nilifika alipopaki gari akashusha kioo na kuniambia fungua mlango uingie????????

Nikaingia ndani ya gari kisha nilimsalimia nimkubwa mno kwangu yani ni mubaba wa makamo????????????

Alijibu saram na baada ya hapo aliniambia tutoke hapa maana watu watakuwa wanajiuliza ninataka nini hapa ????????

Nilimwambia nikweli maana gari ya thamani kama hii hapa mtaani kwetu ni adimu????????

Aliwasha gari na kutoka mtaani aliniambia twende hoteli ni hotel gani inakuvutia??

Nilimkatalia kwanini hotelini na umenikurupua sijajiandaa???????? alisema sawa

chagua wewe sehemu unayoona itafaa kwa mimi nawewe kuzungumza pia nifikilie na mimi hadhi yangu

Nilimjibu sawa twende maeneo ya fukweni naamini huko kunautulivu mkubwa tuu napia kutakusaidia kufikili vizuri

David alicheka why kufikilia vizuri?????? but it's okay twende huko????????

Aliwasha gari tukaelekea fukweni maeneo ya kigamboni

Tulipofika alipaki gari kisha tulishuka na kusogea pembezoni mwa maji ????????

Taratibu tulikuwa tunatembea na tulianza mazungumzo yetu mimi na Mzee baba watu walikuwa wanatutizama sana nahisi ni kutokana na distance ya umri wetu????????

Nilimwambia Davd ona watu wanavotutizama naona aibu???????? watakuwa wanajiuliza tuu mimi mtoto na huyu baba inakuwaje

David alinijibu kwani nivibaya mbona ndio vizuri Natasha..

Alinishika mkono na kunisogeza kwake alinitizama kisha akanikumbatia kwa nguvu????????????

Nilizidi kuchanganyikiwa nikawa namuuliza David unafanya nini ujue wewe nibosi jamani

SEHEMU YA 04"

Alijibu hapa sio ofisini hapa nifukweni mwa bahari na nisehem ya faragha

Watu walikuwa pembeni walikuwa wanatutizama tuu

David alikuwa nimkubwa lakini nimtukutu jamani

Aliponiachia aliniuliza uko tayari kuwa wangu au bado hujakubali ??

Nilimjibu hapana sijakubalia

David alinishika mkono na kunipeleka sehem kuna viti tulikaa hapo na kuendelea kuongea

Aliniambia kuwa Natasha kwanini jamani unajua huwa siongeagi sana ????????

Ngoja nikuambie kitu mimi huwa nakaa ofisini kwangu ninacamera ya jengo zima la ofisini kwetu

Usifikiri nimekurupuka kwako nilikuona kitambo nilisha kupenda mudatuu????????

Nilimuuliza sasa David kwani je ikiwa mimi sijakupenda nitafanyaje????????

David alijisikia vibaya kauli hiyo na kugeuza shingo pembeni kidogo ????????

Kisha alipoludisha kwangu akaniambia kumbe ndio hivyo????????

Aliinuka na kuondoka alienda kupanda gari na kuondoka zake akaniacha pale ????????

Ilikuwa jioni na sina hela yakutosha nilibaki pekeangu nikaona nisogee kwenye pantoni na kuvuka na baada ya hapo nilimpigia rafikiangu sim

Nilimuomba anisaidie hela kidogo nitamrudishia

Rafiki yangu alinitumia elfu tano nilienda kuitoa kisha nikapanda dala dala

Hadi nyumbani nilichukia sana nikasema watu wengine niwehu sasa unawezaje kumleta mtu mbali kisha unapokasilika hovyo unamuacha????

Nilichukia sana nilifika nyumbani nilimkuta bibi kaisha pika cha usiku akaniambia vipi ulikuwa wapi maana hata hujaaga mwenzangu????????

Niliona nimdanganye maana sijui nitamueleza nini

Niliingia zangu chumbani kwangu nikavua kisha nilitoka na kwenda kuoga????????

Nilimaliza kuoga tukala kisha nikaenda chumbani kwangu kulala..

Hatimaye kulikucha tena niliamka na kujiandaa nakisha nilienda kazini????????

Nilikuwa nimepooza sikuhiyo maana nilikuwa nimeboreka sana sababu ya bosi David????????

Nimefika ofisini hata sijapumzika nikaanza kutumwa tumwa kunammoja alinituma kitu nikachanganya nilipofika alinifokea sana????

Aliniaibisha mbele za watu nilitoka mbio na kwenda kulilia chooni nililia mnoo nilikuwa na vitu vingi vinaniumiza????????

Wafanyakazi wengine walicheka lakini wengine walinihurumia kunakijana mmoja alinifuata na kunigongea aliniita

Natasha! Natasha !

Niliitika abeee

Aliuliza uko poa ???

Nilimjibu usijali nikopoa kabisaa????????

Yulekijana aliamua kuondoka na kurudi ofisini alipofika alimuita yule dada aloniaibisha na kuanza kumsema ????????

Yule dada alikasilika na kumjibu kwani huyo ni mwanamke wako?? Hapa ni kazini mpnz huko mtaani kwenu akatukana!

Yule kaka alisikitika tu na kuamua kukaa kimya..

Alirudi kuniangalia akaniambia kuwa usijali wale niwapo hivyo hivyo ila ukiwakazia wataacha huo ujinga sawa Natasha

Nilimwambia sawa niko sawa sasa asante kwa kunijali nitajua jinsi ya kuishinao..

Baada ya hapo tulitoka na kuludi ofisini tukiwa tumeongozana

Vile tunarudi tu tukakutana uso kwa uso na Boss David aiseee alinikata jicho sijui alifikilia nini????????yani alichukia ile chuki ya waziwazi????

Aliondoka haraka kumbe alienda kuangalia kwenye cctv camera????????????akaona matukio yote aloooh ????????????aliona nilivoaibishwa ofisini hakupentaaaaaa

Ilitoka amri yule dada aloniaibisha afukuzwe kazi haraka sana????????

Siku hiyohiyo yule mdada akapokea barua ya kusimamishwa kazi???????? mama weee mambo si yakaanza kuvuma ndani na nje ya kampuni

Watu wakaanza kusema mimi nimpnz wa Boss

Nilibaki nimeshangaa sana nikajiuliza watu si wataanza kunijengea chuki????????

Nilimfuata meneja nikamuomba amrudishe yule dada kazini maana mimi ndo naonekana mbaya

Nilimuomba Wampe tuu adhabu ila sio kumfukuza kazi kabisaa huwezi jua maisha gani anayapitia

Nilimuomba sana sana lakini alinijibu jibu mojatuu

Kuwa sio mimi ni bosi devid ndo katoa amri nenda ongea nae yeye

Nilitoka ofisini kwa meneja wangu nika chukuwa sim yangu nikasogea pembeni

Nikampigia boss David alipokea na kuita haloo

Nilijibu mimi Natasha bosi samahani naomba kuonana nawewe

Alinijibu sio hapa tuonane sehem tofauti na hapa Natasha

Nilimjibu hapana ni inshu ya kiofisi Boss

Alinijibu sawa ila sipotayari tuzungumze hapa nataka tuonane sehemu

Nilimjibu ok sawa wapi unataka tuonane

Alijibu twende hotelini kuna hoteli moja hivi nzuri sana hapo mjini alinitajia jina na akaniambia nitangulie atanikuta hapo????????

Nilimjibu sawa lakini usije ukanitelekeza huko????

Niliaga kwa meneja nilidanganya nimepata dharula meneja akacheka tu kumbe ashapewa taarifa na Boss mkubwa????????

Nilitoka na kuchukuwa bajaji hadi kwenye hiyo hoteli

Nilipofika nilipokelewa vizuri sana mpaka nikashangaa mara nikashangaa naambiwa chumba chako kiko tayari miss karibu upumzike kheee????????chumba????????

Mbona kalipia chumba jamani si tungeongelea tu hata pale nje kwenye viti????????????

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 03"& 04"

David alinisogelea na kunishika mkono akaniambia Natasha kumbuka mimi sio kijana mimi nimtu mzima ????

Nikamjibu hatakama lakini bado nimwanaume sihitaji kabisa na istoshe wewe nisawa na baba kwangu ????????

David alisimama???????? na kuniambia sijawahi hata sikumoja kukataliwa na binti ????????

Kwanini wewe Natasha??? unathubutuje ????????

Nilimjibu nisamehe kwa hili nikasimama nakuondoka wakati naondoka huku nyuma nilimuacha akishangaa zigo linavo tikisika????????

Hata kama wewe ni nani siwezi kukubali kwa siku moja bwana kula chuma hicho????

Niliamua kuwahi bajaji nakisha nililudi nyumbani

Nilipofika home niliiingia bafuni nikaoga nakisha nilitoka na kuingia kitandani sikutaka kumsumbua bibi????????????

Usiku ulikuwa mrefu lakini hatimae palikucha...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-03-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

573
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

456
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

451
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

379
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

312
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

178
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

82
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

48

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest