Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
Gonga94 Β· Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 03"& 04"

David alinisogelea na kunishika mkono akaniambia Natasha kumbuka mimi sio kijana mimi nimtu mzima ????

Nikamjibu hatakama lakini bado nimwanaume sihitaji kabisa na istoshe wewe nisawa na baba kwangu ????????

David alisimama???????? na kuniambia sijawahi hata sikumoja kukataliwa na binti ????????

Kwanini wewe Natasha??? unathubutuje ????????

Nilimjibu nisamehe kwa hili nikasimama nakuondoka wakati naondoka huku nyuma nilimuacha akishangaa zigo linavo tikisika????????

Hata kama wewe ni nani siwezi kukubali kwa siku moja bwana kula chuma hicho????

Niliamua kuwahi bajaji nakisha nililudi nyumbani

Nilipofika home niliiingia bafuni nikaoga nakisha nilitoka na kuingia kitandani sikutaka kumsumbua bibi????????????

Usiku ulikuwa mrefu lakini hatimae palikucha nikaamka nilianza na usafi na baada ya hapo niliandaa kifungua kinywa kisha nilimwandalia bibi maji akaoga????????

Alipotoka bafuni alikuja kupata kifungua kinywa sikuhiyo ilikuwa siku ya mapumziko kazini..

Niliamua kufanya shuguri za nyumbani tu????????

Tulikunywa breakfast na bibi yangu

Tulipo maliza nilienda kufua nguo na baada ya kumaliza nilifanya fanya shuguri zingine za nyumban????????????

Kukunja nguo kufuta vumbi kila kitu nikahakikisha kimekaa pahala pake mida ya jioni tyr nilikuwa nimeshamaliza kila kitu nikajilaza kitandani kidogo nipumzike..

Nikiwa nimejipumzisha niliona sim yangu inaita nikaichukuwa ilikuwa ninamba ngeni ????????

Mmmhh ni nani huyu????????Nikasema ngoja niipokee ila sijui ana shida gani..

Nilipokea nikaita halooo????

Alijibu haloo Natasha ????????????

Naam ndio mimi nani mwenzangu ????????

Aliniambia naitwa David nipo hapa nje kwenu je unaweza kuja tuonane au nije mimi ndani??

Khe????????Niliposikia au aje mwenyewe nikamjibu sawa nakuja ??

Nilitoka nikaangalia kushoto kulia nikasogea mbele niliiona gari nzuri yakifahari nikaifuata??

Nilikuwa najiuliza hivi huyu bosi mbona simuelewi kabisa mimi ????????

Anatatizo gani kwani hana mke nakwanini ananisumbua mimi tena nimtu wa kawaida sana kwake????????

Nilikuwa natembea huku najiongeresha ????????

Nilifika alipopaki gari akashusha kioo na kuniambia fungua mlango uingie????????

Nikaingia ndani ya gari kisha nilimsalimia nimkubwa mno kwangu yani ni mubaba wa makamo????????????

Alijibu saram na baada ya hapo aliniambia tutoke hapa maana watu watakuwa wanajiuliza ninataka nini hapa ????????

Nilimwambia nikweli maana gari ya thamani kama hii hapa mtaani kwetu ni adimu????????

Aliwasha gari na kutoka mtaani aliniambia twende hoteli ni hotel gani inakuvutia??

Nilimkatalia kwanini hotelini na umenikurupua sijajiandaa???????? alisema sawa

chagua wewe sehemu unayoona itafaa kwa mimi nawewe kuzungumza pia nifikilie na mimi hadhi yangu

Nilimjibu sawa twende maeneo ya fukweni naamini huko kunautulivu mkubwa tuu napia kutakusaidia kufikili vizuri

David alicheka why kufikilia vizuri?????? but it's okay twende huko????????

Aliwasha gari tukaelekea fukweni maeneo ya kigamboni

Tulipofika alipaki gari kisha tulishuka na kusogea pembezoni mwa maji ????????

Taratibu tulikuwa tunatembea na tulianza mazungumzo yetu mimi na Mzee baba watu walikuwa wanatutizama sana nahisi ni kutokana na distance ya umri wetu????????

Nilimwambia Davd ona watu wanavotutizama naona aibu???????? watakuwa wanajiuliza tuu mimi mtoto na huyu baba inakuwaje

David alinijibu kwani nivibaya mbona ndio vizuri Natasha..

Alinishika mkono na kunisogeza kwake alinitizama kisha akanikumbatia kwa nguvu????????????

Nilizidi kuchanganyikiwa nikawa namuuliza David unafanya nini ujue wewe nibosi jamani

SEHEMU YA 04"

Alijibu hapa sio ofisini hapa nifukweni mwa bahari na nisehem ya faragha

Watu walikuwa pembeni walikuwa wanatutizama tuu

David alikuwa nimkubwa lakini nimtukutu jamani

Aliponiachia aliniuliza uko tayari kuwa wangu au bado hujakubali ??

Nilimjibu hapana sijakubalia

David alinishika mkono na kunipeleka sehem kuna viti tulikaa hapo na kuendelea kuongea

Aliniambia kuwa Natasha kwanini jamani unajua huwa siongeagi sana ????????

Ngoja nikuambie kitu mimi huwa nakaa ofisini kwangu ninacamera ya jengo zima la ofisini kwetu

Usifikiri nimekurupuka kwako nilikuona kitambo nilisha kupenda mudatuu????????

Nilimuuliza sasa David kwani je ikiwa mimi sijakupenda nitafanyaje????????

David alijisikia vibaya kauli hiyo na kugeuza shingo pembeni kidogo ????????

Kisha alipoludisha kwangu akaniambia kumbe ndio hivyo????????

Aliinuka na kuondoka alienda kupanda gari na kuondoka zake akaniacha pale ????????

Ilikuwa jioni na sina hela yakutosha nilibaki pekeangu nikaona nisogee kwenye pantoni na kuvuka na baada ya hapo nilimpigia rafikiangu sim

Nilimuomba anisaidie hela kidogo nitamrudishia

Rafiki yangu alinitumia elfu tano nilienda kuitoa kisha nikapanda dala dala

Hadi nyumbani nilichukia sana nikasema watu wengine niwehu sasa unawezaje kumleta mtu mbali kisha unapokasilika hovyo unamuacha????

Nilichukia sana nilifika nyumbani nilimkuta bibi kaisha pika cha usiku akaniambia vipi ulikuwa wapi maana hata hujaaga mwenzangu????????

Niliona nimdanganye maana sijui nitamueleza nini

Niliingia zangu chumbani kwangu nikavua kisha nilitoka na kwenda kuoga????????

Nilimaliza kuoga tukala kisha nikaenda chumbani kwangu kulala..

Hatimaye kulikucha tena niliamka na kujiandaa nakisha nilienda kazini????????

Nilikuwa nimepooza sikuhiyo maana nilikuwa nimeboreka sana sababu ya bosi David????????

Nimefika ofisini hata sijapumzika nikaanza kutumwa tumwa kunammoja alinituma kitu nikachanganya nilipofika alinifokea sana????

Aliniaibisha mbele za watu nilitoka mbio na kwenda kulilia chooni nililia mnoo nilikuwa na vitu vingi vinaniumiza????????

Wafanyakazi wengine walicheka lakini wengine walinihurumia kunakijana mmoja alinifuata na kunigongea aliniita

Natasha! Natasha !

Niliitika abeee

Aliuliza uko poa ???

Nilimjibu usijali nikopoa kabisaa????????

Yulekijana aliamua kuondoka na kurudi ofisini alipofika alimuita yule dada aloniaibisha na kuanza kumsema ????????

Yule dada alikasilika na kumjibu kwani huyo ni mwanamke wako?? Hapa ni kazini mpnz huko mtaani kwenu akatukana!

Yule kaka alisikitika tu na kuamua kukaa kimya..

Alirudi kuniangalia akaniambia kuwa usijali wale niwapo hivyo hivyo ila ukiwakazia wataacha huo ujinga sawa Natasha

Nilimwambia sawa niko sawa sasa asante kwa kunijali nitajua jinsi ya kuishinao..

Baada ya hapo tulitoka na kuludi ofisini tukiwa tumeongozana

Vile tunarudi tu tukakutana uso kwa uso na Boss David aiseee alinikata jicho sijui alifikilia nini????????yani alichukia ile chuki ya waziwazi????

Aliondoka haraka kumbe alienda kuangalia kwenye cctv camera????????????akaona matukio yote aloooh ????????????aliona nilivoaibishwa ofisini hakupentaaaaaa

Ilitoka amri yule dada aloniaibisha afukuzwe kazi haraka sana????????

Siku hiyohiyo yule mdada akapokea barua ya kusimamishwa kazi???????? mama weee mambo si yakaanza kuvuma ndani na nje ya kampuni

Watu wakaanza kusema mimi nimpnz wa Boss

Nilibaki nimeshangaa sana nikajiuliza watu si wataanza kunijengea chuki????????

Nilimfuata meneja nikamuomba amrudishe yule dada kazini maana mimi ndo naonekana mbaya

Nilimuomba Wampe tuu adhabu ila sio kumfukuza kazi kabisaa huwezi jua maisha gani anayapitia

Nilimuomba sana sana lakini alinijibu jibu mojatuu

Kuwa sio mimi ni bosi devid ndo katoa amri nenda ongea nae yeye

Nilitoka ofisini kwa meneja wangu nika chukuwa sim yangu nikasogea pembeni

Nikampigia boss David alipokea na kuita haloo

Nilijibu mimi Natasha bosi samahani naomba kuonana nawewe

Alinijibu sio hapa tuonane sehem tofauti na hapa Natasha

Nilimjibu hapana ni inshu ya kiofisi Boss

Alinijibu sawa ila sipotayari tuzungumze hapa nataka tuonane sehemu

Nilimjibu ok sawa wapi unataka tuonane

Alijibu twende hotelini kuna hoteli moja hivi nzuri sana hapo mjini alinitajia jina na akaniambia nitangulie atanikuta hapo????????

Nilimjibu sawa lakini usije ukanitelekeza huko????

Niliaga kwa meneja nilidanganya nimepata dharula meneja akacheka tu kumbe ashapewa taarifa na Boss mkubwa????????

Nilitoka na kuchukuwa bajaji hadi kwenye hiyo hoteli

Nilipofika nilipokelewa vizuri sana mpaka nikashangaa mara nikashangaa naambiwa chumba chako kiko tayari miss karibu upumzike kheee????????chumba????????

Mbona kalipia chumba jamani si tungeongelea tu hata pale nje kwenye viti????????????

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 03"& 04"

David alinisogelea na kunishika mkono akaniambia Natasha kumbuka mimi sio kijana mimi nimtu mzima ????

Nikamjibu hatakama lakini bado nimwanaume sihitaji kabisa na istoshe wewe nisawa na baba kwangu ????????

David alisimama???????? na kuniambia sijawahi hata sikumoja kukataliwa na binti ????????

Kwanini wewe Natasha??? unathubutuje ????????

Nilimjibu nisamehe kwa hili nikasimama nakuondoka wakati naondoka huku nyuma nilimuacha akishangaa zigo linavo tikisika????????

Hata kama wewe ni nani siwezi kukubali kwa siku moja bwana kula chuma hicho????

Niliamua kuwahi bajaji nakisha nililudi nyumbani

Nilipofika home niliiingia bafuni nikaoga nakisha nilitoka na kuingia kitandani sikutaka kumsumbua bibi????????????

Usiku ulikuwa mrefu lakini hatimae palikucha...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-03-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

474
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

130
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest