Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????

SEHEMU YA 9&10"

Basi bwana tuendelee ????????????David baada ya kukabidhi zawadi alituaga akasema ye anaondoka kuna sehemu anataka kuwahi..

Bibi alimzuia akamwambia huwezi kuondoka bila kula hebu ingia ndani tupate chakula kwanza..

Natasha ingia ndani uandae chakula haraka mwenzio anataka kuwahi kwenye mambo yake????.

Bibi alimshika mkono devid na kumludisha ndani tuliingia wote pale sebreni ????????

Na bibi akaniambia Natasha naomba nenda uandae chakula mwanangu ale ???????????

Niliingia nikaandaa chakula mezani na kisha niliwakaribisha ????????????

Walikuja mezani na kuanza kula devid alipoonja chakula akauliza bibi chakula nikitam sana nani kapika??????????

Bibi alijibu kapika Natasha anajua sana kupika chakula kizuri????????????

Devid akasema hakika anajua sana kupika nikitam mnoo ????????

Nilibaki nikimtizama tuu bibi akaniambia unasifiwa Natasha ????????

Nikamjibu asante bosi ????????

Devi alimaliza kula na kumwambia bibi haya bibi mimi naenda muda umeenda sana????????

Alisimama na kuniambia Natasha naomba nisindikize kidogo nje ????????

Bibi aliniambia haya inuka msindikize mgeni na kumwambia kuwa karibu sana devid jisikie upo nyumbani????????

Devid alijibu asante sana bibi nitakuwa nakuja kuwatembelea nashukuru sana????????????

Tulitoka mimi na David na kuelekea nje nilimfuata na kumsindikiza kumbe alimuita dereva wake amfuate ????????

Tulipokaribia ilipo gari yake tulisimama na devid aliniambia

Natasha hakika sikudanganyi sijawahi kupenda kabisaa maishani kwangu ila kwamala yakwanza nimependa ????????unanichanganya sana we mtoto.

Yani hapa sina pa kwenda natamani nikae na wewe muda wote tatizo bibi yupo naogopa ila kiukweli sijui hata nikwambieje ili unielewe nakpend et????????????

Yani mtu mzima yule kweli aliingia mzima mzima maana si kwa kunibembeleza kule kitoto cha efumbili????????????????mpaka anataka kulia????

Naomba uniamini sitanii ninaumli mkubwa kwako ila sijawahi kupenda wala kumjali mwanamke wewe ndio wakwanza kwangu moyoni nielewe Natasha ??????????

Naomba fungua moyo wako nipokee namimi kwangu moyoni uliingia bilahata kubisha hodi na ulichukuwa kiti na kuketi kabisaa nyieee????????????

Nilikuwa najisikia mpaka aibu????????????????

Oh naomba sana usiogopeshwe na umri wangu na wala usitishike na rangi yangu kwani mimi pia namoyo nahitaji kupendwa

Mmhhh Nilimjibu tu sawa nipe muda nifikilie maana bado sijauruhusu moyo wangu kupenda???? mi nae nilikuwa naringa????????????

Devid aliniambia ok sawa kesho utakuja kazini naona unaendelea vizuri sasa

Nilimjibu hakika ninaendelea vizuri nitakuja ????????

Devid akaniuliza kesho nikutumie dereva aje akuchukuwe na gari yako uje nayo kazini??

Nilimjibu hapana sitaki kwanza umeninunulia gari wakati sina hata nyumba ila zawadi haichagui wacha niipokee hivyo hivyo????????

Devid akaniambia hapo mnapokaa sio kwenu kumbe ? ok sawa nalifanyia kazi hilo pia usijali..

Nilimuaga na kumwambia haya unaweza kwenda ukapumzike kidogo niache namimi nikaendelee na mambo mengine????nenda ukapumzika Dady ????

Umetoka kazini umepitia huku hujapata muda wakupumzika haya jijali sasa nawewe sawa

Maana unamjali kila mtu sasa nawewe unatakiwa ujijali nenda nitakupigia sim ????????????nilimpa maneno fulani hivi ajisikie fahari kidogo????

Nilimsogelea dereva na kumwambia haya hakikisha unamfikisha sarama Dady wangu sawa??

Dereva aliitikia sawa na baada ya hapo nilimfungulia mlango wagari bosi devid ili apande kwenye gari alijisikia raha sana????????

Alipotaka kuingia kwenye gari aligeuka akanishika na kunikumbatia kwanguvu akani nong'oneza kuwa nakupenda sana Natasha ????????

Nilimuitikia asante kiukweli nilishaanza kuingiwa na h sia zakumpenda devid ila niliogopa kumuonyesha kabisaa wazi wazi????????

Nilikuwa na hofu hawa waarabu kuwa na mtu mweusi sio rahisi kihivyo????????

Nilijua nikimruhusu aingie moyoni mwangu nitakuja kuumia

Devid aliingia kwenye gari na gari iliwashwa wakaondoka na mimi nililudi ndani kwetu???????? kaniambia atalifanyia kazi swala la nyumbani eh Mungu saidia iwe kweli????????????

Niliingia ndani Bibi aliponiona akaniambia Natasha kipnz changu huyu devid anaonyesha anakupenda sana????????

Nilimwambia bibi bwana huyo ujue nimkubwa sana kwangu????????

Bibi akajibu ukubwa wake sio neno anahekima na busara vinatosha nauhakika atakutunza tuu????????

Nikamjibu bibi jamani bibi nawewe umesha anza kunishawishi???????? minaenda zangu kulala

Niliingia chumbani nikafunga mlango wa chumba changu kisha nilipanda kitandani kwangu..

Nilinza kumfikiria Mr David yani ndo hivo nishaanza kumpenda lakini sitaki mtu ajue???? wakati namuwaza nikachukua simu nikawaza sijui nimpigie nimuulize kama amefika????????

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????

SEHEMU YA 9&10"

Basi bwana tuendelee ????????????David baada ya kukabidhi zawadi alituaga akasema ye anaondoka kuna sehemu anataka kuwahi..

Bibi alimzuia akamwambia huwezi kuondoka bila kula hebu ingia ndani tupate chakula kwanza..

Natasha ingia ndani uandae chakula haraka mwenzio anataka kuwahi kwenye mambo yake????.

Bibi alimshika mkono devid na kumludisha ndani tuliingia wote pale sebreni ????????

Na bibi akaniambia Natasha naomba nenda uandae chakula mwanangu ale ???????????

Niliingia nikaandaa chakula mezani na kisha niliwakaribisha ????????????

Walikuja mezani na kuanza kula devid alipoonja chakula akauliza bibi chakula nikitam sana nani kapika??????????

Bibi alijibu kapika Natasha anajua sana kupika chakula kizuri????????????

Devid akasema hakika anajua sana kupika nikitam...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-9-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

1.62K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.12K
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

291
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

248
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

208
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

136
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

67

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.95K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.64K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.82K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.68K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest