Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
Gonga94 Β· Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????

SEHEMU YA 9&10"

Basi bwana tuendelee ????????????David baada ya kukabidhi zawadi alituaga akasema ye anaondoka kuna sehemu anataka kuwahi..

Bibi alimzuia akamwambia huwezi kuondoka bila kula hebu ingia ndani tupate chakula kwanza..

Natasha ingia ndani uandae chakula haraka mwenzio anataka kuwahi kwenye mambo yake????.

Bibi alimshika mkono devid na kumludisha ndani tuliingia wote pale sebreni ????????

Na bibi akaniambia Natasha naomba nenda uandae chakula mwanangu ale ???????????

Niliingia nikaandaa chakula mezani na kisha niliwakaribisha ????????????

Walikuja mezani na kuanza kula devid alipoonja chakula akauliza bibi chakula nikitam sana nani kapika??????????

Bibi alijibu kapika Natasha anajua sana kupika chakula kizuri????????????

Devid akasema hakika anajua sana kupika nikitam mnoo ????????

Nilibaki nikimtizama tuu bibi akaniambia unasifiwa Natasha ????????

Nikamjibu asante bosi ????????

Devi alimaliza kula na kumwambia bibi haya bibi mimi naenda muda umeenda sana????????

Alisimama na kuniambia Natasha naomba nisindikize kidogo nje ????????

Bibi aliniambia haya inuka msindikize mgeni na kumwambia kuwa karibu sana devid jisikie upo nyumbani????????

Devid alijibu asante sana bibi nitakuwa nakuja kuwatembelea nashukuru sana????????????

Tulitoka mimi na David na kuelekea nje nilimfuata na kumsindikiza kumbe alimuita dereva wake amfuate ????????

Tulipokaribia ilipo gari yake tulisimama na devid aliniambia

Natasha hakika sikudanganyi sijawahi kupenda kabisaa maishani kwangu ila kwamala yakwanza nimependa ????????unanichanganya sana we mtoto.

Yani hapa sina pa kwenda natamani nikae na wewe muda wote tatizo bibi yupo naogopa ila kiukweli sijui hata nikwambieje ili unielewe nakpend et????????????

Yani mtu mzima yule kweli aliingia mzima mzima maana si kwa kunibembeleza kule kitoto cha efumbili????????????????mpaka anataka kulia????

Naomba uniamini sitanii ninaumli mkubwa kwako ila sijawahi kupenda wala kumjali mwanamke wewe ndio wakwanza kwangu moyoni nielewe Natasha ??????????

Naomba fungua moyo wako nipokee namimi kwangu moyoni uliingia bilahata kubisha hodi na ulichukuwa kiti na kuketi kabisaa nyieee????????????

Nilikuwa najisikia mpaka aibu????????????????

Oh naomba sana usiogopeshwe na umri wangu na wala usitishike na rangi yangu kwani mimi pia namoyo nahitaji kupendwa

Mmhhh Nilimjibu tu sawa nipe muda nifikilie maana bado sijauruhusu moyo wangu kupenda???? mi nae nilikuwa naringa????????????

Devid aliniambia ok sawa kesho utakuja kazini naona unaendelea vizuri sasa

Nilimjibu hakika ninaendelea vizuri nitakuja ????????

Devid akaniuliza kesho nikutumie dereva aje akuchukuwe na gari yako uje nayo kazini??

Nilimjibu hapana sitaki kwanza umeninunulia gari wakati sina hata nyumba ila zawadi haichagui wacha niipokee hivyo hivyo????????

Devid akaniambia hapo mnapokaa sio kwenu kumbe ? ok sawa nalifanyia kazi hilo pia usijali..

Nilimuaga na kumwambia haya unaweza kwenda ukapumzike kidogo niache namimi nikaendelee na mambo mengine????nenda ukapumzika Dady ????

Umetoka kazini umepitia huku hujapata muda wakupumzika haya jijali sasa nawewe sawa

Maana unamjali kila mtu sasa nawewe unatakiwa ujijali nenda nitakupigia sim ????????????nilimpa maneno fulani hivi ajisikie fahari kidogo????

Nilimsogelea dereva na kumwambia haya hakikisha unamfikisha sarama Dady wangu sawa??

Dereva aliitikia sawa na baada ya hapo nilimfungulia mlango wagari bosi devid ili apande kwenye gari alijisikia raha sana????????

Alipotaka kuingia kwenye gari aligeuka akanishika na kunikumbatia kwanguvu akani nong'oneza kuwa nakupenda sana Natasha ????????

Nilimuitikia asante kiukweli nilishaanza kuingiwa na h sia zakumpenda devid ila niliogopa kumuonyesha kabisaa wazi wazi????????

Nilikuwa na hofu hawa waarabu kuwa na mtu mweusi sio rahisi kihivyo????????

Nilijua nikimruhusu aingie moyoni mwangu nitakuja kuumia

Devid aliingia kwenye gari na gari iliwashwa wakaondoka na mimi nililudi ndani kwetu???????? kaniambia atalifanyia kazi swala la nyumbani eh Mungu saidia iwe kweli????????????

Niliingia ndani Bibi aliponiona akaniambia Natasha kipnz changu huyu devid anaonyesha anakupenda sana????????

Nilimwambia bibi bwana huyo ujue nimkubwa sana kwangu????????

Bibi akajibu ukubwa wake sio neno anahekima na busara vinatosha nauhakika atakutunza tuu????????

Nikamjibu bibi jamani bibi nawewe umesha anza kunishawishi???????? minaenda zangu kulala

Niliingia chumbani nikafunga mlango wa chumba changu kisha nilipanda kitandani kwangu..

Nilinza kumfikiria Mr David yani ndo hivo nishaanza kumpenda lakini sitaki mtu ajue???? wakati namuwaza nikachukua simu nikawaza sijui nimpigie nimuulize kama amefika????????

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????

SEHEMU YA 9&10"

Basi bwana tuendelee ????????????David baada ya kukabidhi zawadi alituaga akasema ye anaondoka kuna sehemu anataka kuwahi..

Bibi alimzuia akamwambia huwezi kuondoka bila kula hebu ingia ndani tupate chakula kwanza..

Natasha ingia ndani uandae chakula haraka mwenzio anataka kuwahi kwenye mambo yake????.

Bibi alimshika mkono devid na kumludisha ndani tuliingia wote pale sebreni ????????

Na bibi akaniambia Natasha naomba nenda uandae chakula mwanangu ale ???????????

Niliingia nikaandaa chakula mezani na kisha niliwakaribisha ????????????

Walikuja mezani na kuanza kula devid alipoonja chakula akauliza bibi chakula nikitam sana nani kapika??????????

Bibi alijibu kapika Natasha anajua sana kupika chakula kizuri????????????

Devid akasema hakika anajua sana kupika nikitam...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-9-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.19K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.11K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

784
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

269
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

256
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

242
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

241
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

175
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

116
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

103

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest