MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????
SEHEMU YA 9&10"
Basi bwana tuendelee ????????????David baada ya kukabidhi zawadi alituaga akasema ye anaondoka kuna sehemu anataka kuwahi..
Bibi alimzuia akamwambia huwezi kuondoka bila kula hebu ingia ndani tupate chakula kwanza..
Natasha ingia ndani uandae chakula haraka mwenzio anataka kuwahi kwenye mambo yake????.
Bibi alimshika mkono devid na kumludisha ndani tuliingia wote pale sebreni ????????
Na bibi akaniambia Natasha naomba nenda uandae chakula mwanangu ale ???????????
Niliingia nikaandaa chakula mezani na kisha niliwakaribisha ????????????
Walikuja mezani na kuanza kula devid alipoonja chakula akauliza bibi chakula nikitam sana nani kapika??????????
Bibi alijibu kapika Natasha anajua sana kupika chakula kizuri????????????
Devid akasema hakika anajua sana kupika nikitam mnoo ????????
Nilibaki nikimtizama tuu bibi akaniambia unasifiwa Natasha ????????
Nikamjibu asante bosi ????????
Devi alimaliza kula na kumwambia bibi haya bibi mimi naenda muda umeenda sana????????
Alisimama na kuniambia Natasha naomba nisindikize kidogo nje ????????
Bibi aliniambia haya inuka msindikize mgeni na kumwambia kuwa karibu sana devid jisikie upo nyumbani????????
Devid alijibu asante sana bibi nitakuwa nakuja kuwatembelea nashukuru sana????????????
Tulitoka mimi na David na kuelekea nje nilimfuata na kumsindikiza kumbe alimuita dereva wake amfuate ????????
Tulipokaribia ilipo gari yake tulisimama na devid aliniambia
Natasha hakika sikudanganyi sijawahi kupenda kabisaa maishani kwangu ila kwamala yakwanza nimependa ????????unanichanganya sana we mtoto.
Yani hapa sina pa kwenda natamani nikae na wewe muda wote tatizo bibi yupo naogopa ila kiukweli sijui hata nikwambieje ili unielewe nakpend et????????????
Yani mtu mzima yule kweli aliingia mzima mzima maana si kwa kunibembeleza kule kitoto cha efumbili????????????????mpaka anataka kulia????
Naomba uniamini sitanii ninaumli mkubwa kwako ila sijawahi kupenda wala kumjali mwanamke wewe ndio wakwanza kwangu moyoni nielewe Natasha ??????????
Naomba fungua moyo wako nipokee namimi kwangu moyoni uliingia bilahata kubisha hodi na ulichukuwa kiti na kuketi kabisaa nyieee????????????
Nilikuwa najisikia mpaka aibu????????????????
Oh naomba sana usiogopeshwe na umri wangu na wala usitishike na rangi yangu kwani mimi pia namoyo nahitaji kupendwa
Mmhhh Nilimjibu tu sawa nipe muda nifikilie maana bado sijauruhusu moyo wangu kupenda???? mi nae nilikuwa naringa????????????
Devid aliniambia ok sawa kesho utakuja kazini naona unaendelea vizuri sasa
Nilimjibu hakika ninaendelea vizuri nitakuja ????????
Devid akaniuliza kesho nikutumie dereva aje akuchukuwe na gari yako uje nayo kazini??
Nilimjibu hapana sitaki kwanza umeninunulia gari wakati sina hata nyumba ila zawadi haichagui wacha niipokee hivyo hivyo????????
Devid akaniambia hapo mnapokaa sio kwenu kumbe ? ok sawa nalifanyia kazi hilo pia usijali..
Nilimuaga na kumwambia haya unaweza kwenda ukapumzike kidogo niache namimi nikaendelee na mambo mengine????nenda ukapumzika Dady ????
Umetoka kazini umepitia huku hujapata muda wakupumzika haya jijali sasa nawewe sawa
Maana unamjali kila mtu sasa nawewe unatakiwa ujijali nenda nitakupigia sim ????????????nilimpa maneno fulani hivi ajisikie fahari kidogo????
Nilimsogelea dereva na kumwambia haya hakikisha unamfikisha sarama Dady wangu sawa??
Dereva aliitikia sawa na baada ya hapo nilimfungulia mlango wagari bosi devid ili apande kwenye gari alijisikia raha sana????????
Alipotaka kuingia kwenye gari aligeuka akanishika na kunikumbatia kwanguvu akani nong'oneza kuwa nakupenda sana Natasha ????????
Nilimuitikia asante kiukweli nilishaanza kuingiwa na h sia zakumpenda devid ila niliogopa kumuonyesha kabisaa wazi wazi????????
Nilikuwa na hofu hawa waarabu kuwa na mtu mweusi sio rahisi kihivyo????????
Nilijua nikimruhusu aingie moyoni mwangu nitakuja kuumia
Devid aliingia kwenye gari na gari iliwashwa wakaondoka na mimi nililudi ndani kwetu???????? kaniambia atalifanyia kazi swala la nyumbani eh Mungu saidia iwe kweli????????????
Niliingia ndani Bibi aliponiona akaniambia Natasha kipnz changu huyu devid anaonyesha anakupenda sana????????
Nilimwambia bibi bwana huyo ujue nimkubwa sana kwangu????????
Bibi akajibu ukubwa wake sio neno anahekima na busara vinatosha nauhakika atakutunza tuu????????
Nikamjibu bibi jamani bibi nawewe umesha anza kunishawishi???????? minaenda zangu kulala
Niliingia chumbani nikafunga mlango wa chumba changu kisha nilipanda kitandani kwangu..
Nilinza kumfikiria Mr David yani ndo hivo nishaanza kumpenda lakini sitaki mtu ajue???? wakati namuwaza nikachukua simu nikawaza sijui nimpigie nimuulize kama amefika????????
Full 1000
WhatsApp 0742133100.