Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????

SEHEMU YA 9&10"

Basi bwana tuendelee ????????????David baada ya kukabidhi zawadi alituaga akasema ye anaondoka kuna sehemu anataka kuwahi..

Bibi alimzuia akamwambia huwezi kuondoka bila kula hebu ingia ndani tupate chakula kwanza..

Natasha ingia ndani uandae chakula haraka mwenzio anataka kuwahi kwenye mambo yake????.

Bibi alimshika mkono devid na kumludisha ndani tuliingia wote pale sebreni ????????

Na bibi akaniambia Natasha naomba nenda uandae chakula mwanangu ale ???????????

Niliingia nikaandaa chakula mezani na kisha niliwakaribisha ????????????

Walikuja mezani na kuanza kula devid alipoonja chakula akauliza bibi chakula nikitam sana nani kapika??????????

Bibi alijibu kapika Natasha anajua sana kupika chakula kizuri????????????

Devid akasema hakika anajua sana kupika nikitam mnoo ????????

Nilibaki nikimtizama tuu bibi akaniambia unasifiwa Natasha ????????

Nikamjibu asante bosi ????????

Devi alimaliza kula na kumwambia bibi haya bibi mimi naenda muda umeenda sana????????

Alisimama na kuniambia Natasha naomba nisindikize kidogo nje ????????

Bibi aliniambia haya inuka msindikize mgeni na kumwambia kuwa karibu sana devid jisikie upo nyumbani????????

Devid alijibu asante sana bibi nitakuwa nakuja kuwatembelea nashukuru sana????????????

Tulitoka mimi na David na kuelekea nje nilimfuata na kumsindikiza kumbe alimuita dereva wake amfuate ????????

Tulipokaribia ilipo gari yake tulisimama na devid aliniambia

Natasha hakika sikudanganyi sijawahi kupenda kabisaa maishani kwangu ila kwamala yakwanza nimependa ????????unanichanganya sana we mtoto.

Yani hapa sina pa kwenda natamani nikae na wewe muda wote tatizo bibi yupo naogopa ila kiukweli sijui hata nikwambieje ili unielewe nakpend et????????????

Yani mtu mzima yule kweli aliingia mzima mzima maana si kwa kunibembeleza kule kitoto cha efumbili????????????????mpaka anataka kulia????

Naomba uniamini sitanii ninaumli mkubwa kwako ila sijawahi kupenda wala kumjali mwanamke wewe ndio wakwanza kwangu moyoni nielewe Natasha ??????????

Naomba fungua moyo wako nipokee namimi kwangu moyoni uliingia bilahata kubisha hodi na ulichukuwa kiti na kuketi kabisaa nyieee????????????

Nilikuwa najisikia mpaka aibu????????????????

Oh naomba sana usiogopeshwe na umri wangu na wala usitishike na rangi yangu kwani mimi pia namoyo nahitaji kupendwa

Mmhhh Nilimjibu tu sawa nipe muda nifikilie maana bado sijauruhusu moyo wangu kupenda???? mi nae nilikuwa naringa????????????

Devid aliniambia ok sawa kesho utakuja kazini naona unaendelea vizuri sasa

Nilimjibu hakika ninaendelea vizuri nitakuja ????????

Devid akaniuliza kesho nikutumie dereva aje akuchukuwe na gari yako uje nayo kazini??

Nilimjibu hapana sitaki kwanza umeninunulia gari wakati sina hata nyumba ila zawadi haichagui wacha niipokee hivyo hivyo????????

Devid akaniambia hapo mnapokaa sio kwenu kumbe ? ok sawa nalifanyia kazi hilo pia usijali..

Nilimuaga na kumwambia haya unaweza kwenda ukapumzike kidogo niache namimi nikaendelee na mambo mengine????nenda ukapumzika Dady ????

Umetoka kazini umepitia huku hujapata muda wakupumzika haya jijali sasa nawewe sawa

Maana unamjali kila mtu sasa nawewe unatakiwa ujijali nenda nitakupigia sim ????????????nilimpa maneno fulani hivi ajisikie fahari kidogo????

Nilimsogelea dereva na kumwambia haya hakikisha unamfikisha sarama Dady wangu sawa??

Dereva aliitikia sawa na baada ya hapo nilimfungulia mlango wagari bosi devid ili apande kwenye gari alijisikia raha sana????????

Alipotaka kuingia kwenye gari aligeuka akanishika na kunikumbatia kwanguvu akani nong'oneza kuwa nakupenda sana Natasha ????????

Nilimuitikia asante kiukweli nilishaanza kuingiwa na h sia zakumpenda devid ila niliogopa kumuonyesha kabisaa wazi wazi????????

Nilikuwa na hofu hawa waarabu kuwa na mtu mweusi sio rahisi kihivyo????????

Nilijua nikimruhusu aingie moyoni mwangu nitakuja kuumia

Devid aliingia kwenye gari na gari iliwashwa wakaondoka na mimi nililudi ndani kwetu???????? kaniambia atalifanyia kazi swala la nyumbani eh Mungu saidia iwe kweli????????????

Niliingia ndani Bibi aliponiona akaniambia Natasha kipnz changu huyu devid anaonyesha anakupenda sana????????

Nilimwambia bibi bwana huyo ujue nimkubwa sana kwangu????????

Bibi akajibu ukubwa wake sio neno anahekima na busara vinatosha nauhakika atakutunza tuu????????

Nikamjibu bibi jamani bibi nawewe umesha anza kunishawishi???????? minaenda zangu kulala

Niliingia chumbani nikafunga mlango wa chumba changu kisha nilipanda kitandani kwangu..

Nilinza kumfikiria Mr David yani ndo hivo nishaanza kumpenda lakini sitaki mtu ajue???? wakati namuwaza nikachukua simu nikawaza sijui nimpigie nimuulize kama amefika????????

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????

SEHEMU YA 9&10"

Basi bwana tuendelee ????????????David baada ya kukabidhi zawadi alituaga akasema ye anaondoka kuna sehemu anataka kuwahi..

Bibi alimzuia akamwambia huwezi kuondoka bila kula hebu ingia ndani tupate chakula kwanza..

Natasha ingia ndani uandae chakula haraka mwenzio anataka kuwahi kwenye mambo yake????.

Bibi alimshika mkono devid na kumludisha ndani tuliingia wote pale sebreni ????????

Na bibi akaniambia Natasha naomba nenda uandae chakula mwanangu ale ???????????

Niliingia nikaandaa chakula mezani na kisha niliwakaribisha ????????????

Walikuja mezani na kuanza kula devid alipoonja chakula akauliza bibi chakula nikitam sana nani kapika??????????

Bibi alijibu kapika Natasha anajua sana kupika chakula kizuri????????????

Devid akasema hakika anajua sana kupika nikitam...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-9-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

433
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

42
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.13K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest