Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?

SEHEMU YA 05" & 06"

Nilipoingia kilikuwa chumba kizuri sana kinavutia hatari kinakilakitu ??

Waliniwashia kiyoyozi nikawa naendelea kumsubili bosi pale na chakula na vinywaji waliniletea ?

Nilikula na kunywa zangu juice nikawa nimesimama dilishani nikitazama nje ??

Nilistuka naguswa kiun?? kisha nikakumbatiw kwa nyuma aiiiiiishhhhh????niligeuka haraka nikakutana uso kwa uso na Dady David?

Aalismail tuu?kisha akaniambia wewe nimuoga sana mbona umeshtuka kiasi hiko???

Nilimjibu hapana sio muoga nikatabasam??

Aliitikia na kuniambia tuketi

Nilikaa na kumwambia nilikuwa nakuomba bosi David sana yule dada mludishe kazini nitachukiwa jamani??

Devid alinitizama na kuniuliza kwanini unahurumia mtu aliyekukosea??

Nilimwambia huwezi jua anamaisha gani kwao huwezi jua labda hii ndio kazi pekee anaitegemea tafadhari devid mludishe tuu??

Boss Devid aliniuliza hivi unajielewa wewe huyo mtu kakudharirisha lakini bado unamuombea msamaha why??

Nilimjibu nikweli ila hajaniua kaniumiza kihisia tuu lakini niko sawa yeye nitakuwa nimemsababishia mengi zaidi??

Labda familia inamtegemea najisikia vibaya David msamehe tu mi sitaki kuwa sababu ya wengine kuumizwa???

Devid aliniambia sipo tayari siwezi kumsamehe mtu anayekuumiza Natasha aliongea hivo kisha akageukia upande mwingine

Niliamua kupiga magoti na kumshika miguu yake huku nikimwambia tafadhari mrudishe sitaki kuwa nadhambi kwa familia yake

David aligeuka na kuniinua kisha akaniambia nitafanya hivo kwa shart

Nikamjibu chochote sema nitafanya

Akaniambia utakuwa wangu kuanzia leo hii??

Nilishtuka na kurudi nyuma nikamwambia mmh hilo ngoja nilifikilie ??

Sasa kwanini umeamua hilo tuu bosi Devid nipe shart lingine tafadhari

Devid akajibu sina lingine na kama utaendelea kufikilia ndio utakuwa unazidi kuwatesa kweli familia yake hujui leo wataamkaje huko..

Nilizidi kuogopa nikamuomba mrudishe nitakupa jibu leo hihii lakini si sahivi tafadhari naomba

Devid alijibu kuwa ukinipa jibu tuu namimi ndio namrudisha kazini sasa kazi kwako..

Niliogopa nilikuwa na mawazo sana nikamuomba sawa naomba niondoke kisha nitakupigia sim

Devid aliniruhusu na kuniambia kuwa upite hapo reception kunazawadi za bibi yako nimemnunulia..

Nilimtizama tu kwa mshangao kisha nikaondoka zangu nanilipitia hicho alichoniambia

Nilifika nyumbani nilikuwa na mawazo sana niliona muda umeenda nilioga na kula kabisa chakula kisha nilipanda kitandani

Nilikagua zile zawadi za bibi nikawaza huenda David atakuwa mtu mwema kwangu acha tu nikubali..

Nilimpigia sim bosi David na kumwambia sawa nimekubali ombi lako nitakuwa wako ??

Bosi David alijibu sawa nampigia sim kiongozi wenu amrudishe kazini huyo msichana ila akijakurudia kukukosea sitomuelewa kabisa..

Nilimjibu ok

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE??

SEHEMU YA 06"

David aliniambia asante Natasha kwa kukubali ombi langu nakupenda sana Kisha alikata sim nikawa namawazo sana nawezaje kuwa na bos devid

Sijawahi kabisa kuwa na mwnm mimi tangu nazaliwa sijui itakuwaje sasa mmh

Nilijiongelea pekeangu nikawa naguna tuu sijui nini kitatokea ??

Wakati najiuliza pekeangu sim yangu iliita na nilipotizama alikuwa bosi devid mmhh si katoka kuongea namimi saivi nilipokea

Akaniambia tayari binti kaludishwa kazini kpnz hivyo kesho atakuja kama kawaida

Nilimjibu ok asante sana

Akaniambia nahitaji nikuone usiku huu Natasha

Nikamwambia sasahivi devi mbona giza jamani istoshe sina chakumdanganya bibi naogopaa??

Devid akaniambia nakuja hapo maeneo ya kwenu nataka nikuone tuu kisha naondoka zangu

Nikamwambia sawa harakisha njoo ila sijui watu wakikuona itakuwaje jamani aah!

Akaingiza utani wewe utakuwa kaongo

Nikamuuliza nimedanganya nini sasa

Akajibu kuwa siumesema utamdanganya nini bibiako inaonyesha unamdanganya sana hata mimi utakuwa umenidanganya??

Nikamuuliza nimekudanganya nini wewe hahahaa

Devid akajibu umenidanganya kuwa hujawahi kuwa namahusiano yeyote tangu uzaliwe??

Nikamjibu sasa nikudanganye hilo iliiweje ata sijakudanganya??

David alijibu okay akakata simu ilipita muda kidogo akaniambia nipo nje toka nikuone ulivyo muongo??

Nilitoka nje taratibu na kuludishia mlango nikasogea nje kwenye gari nilikuwa nimevaa kidera changu maana ndio nilikuwa nataka kulala

Niliiona gari imepaki maeneo ya uwanjani wanapopenda kucheza mpira watoto nikaenda

Aliponiona alifungua mlango nikaingia alikuwa kavaa msuli na tisheti ??

Nilijinunisha haya nimekuja maana sasa unatumia fimbo niyule dada kuniadhibu mimi sio??

Devid alijibu hapana nakpnda tuuu

Nikamwambia tayari umeniona niondoke sio

Devid alijibu kwanini hunipnd Natasha au sio wandoto zako??

Nikamjibu bado sijamuona wandoto zangu bahati mbaya na ndoto pia bado sijaota ??

Devid alimjibu nitakuwa mimi katika ndoto zako hata zabadae hivyo ndivyo nilivyo amua mimi sasa

Nilimtizama sikumjibu kitu aligeuka nyuma na kutoa mauwa mazuri na kimfuko kidogo akanikabizi??

Nilivipokea nikamwambia asante kisha nikamwambia nausingizi naweza kushuka

Devid akaniambia hujani bus hata unaniagaje hivo Natasha kuwa na huruma basi jamani nimetoka mbali ujue nimekuja hapa kwaajili yako tuu

Nilimsogerea nakumbs shavuni nikamwambia tayari mi naondoka??

Alijibu hapana Natasha bado sogea hapa

Nikamwambia Devid mbona kama unanionea bwana niachieeeee

Aliniachia akafungua mlango akaja upande wangu akanifungulia na mimi nikashuka chini

Alinishika???? mkono mmoja nyuma ya shingo akanisogeza mdmn kwake??mama yangu leo ni leo David alininaniliu mdmn? ilikuwa mara yng y kwanza

Nilitulia tuli nikawa najisikia tofauti?? kwa jins nilikuwa nasikia vzr niliendelea kutulia tu??

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?

SEHEMU YA 05" & 06"

Nilipoingia kilikuwa chumba kizuri sana kinavutia hatari kinakilakitu ??

Waliniwashia kiyoyozi nikawa naendelea kumsubili bosi pale na chakula na vinywaji waliniletea ?

Nilikula na kunywa zangu juice nikawa nimesimama dilishani nikitazama nje ??

Nilistuka naguswa kiun?? kisha nikakumbatiw kwa nyuma aiiiiiishhhhh????niligeuka haraka nikakutana uso kwa uso na Dady David?

Aalismail tuu?kisha akaniambia wewe nimuoga sana mbona umeshtuka kiasi hiko???

Nilimjibu hapana sio muoga nikatabasam??

Aliitikia na kuniambia tuketi

Nilikaa na kumwambia nilikuwa nakuomba bosi David sana yule dada mludishe kazini nitachukiwa jamani??

Devid alinitizama na kuniuliza kwanini unahurumia mtu aliyekukosea??

Nilimwambia huwezi jua anamaisha gani kwao huwezi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-05-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

908
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

780
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

603
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

412
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

200
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

115
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

80
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

51
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest