Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"

1st Jun, 2025 Views 24

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?

SEHEMU YA 05" & 06"

Nilipoingia kilikuwa chumba kizuri sana kinavutia hatari kinakilakitu ??

Waliniwashia kiyoyozi nikawa naendelea kumsubili bosi pale na chakula na vinywaji waliniletea ?

Nilikula na kunywa zangu juice nikawa nimesimama dilishani nikitazama nje ??

Nilistuka naguswa kiun?? kisha nikakumbatiw kwa nyuma aiiiiiishhhhh????niligeuka haraka nikakutana uso kwa uso na Dady David?

Aalismail tuu?kisha akaniambia wewe nimuoga sana mbona umeshtuka kiasi hiko???

Nilimjibu hapana sio muoga nikatabasam??

Aliitikia na kuniambia tuketi

Nilikaa na kumwambia nilikuwa nakuomba bosi David sana yule dada mludishe kazini nitachukiwa jamani??

Devid alinitizama na kuniuliza kwanini unahurumia mtu aliyekukosea??

Nilimwambia huwezi jua anamaisha gani kwao huwezi jua labda hii ndio kazi pekee anaitegemea tafadhari devid mludishe tuu??

Boss Devid aliniuliza hivi unajielewa wewe huyo mtu kakudharirisha lakini bado unamuombea msamaha why??

Nilimjibu nikweli ila hajaniua kaniumiza kihisia tuu lakini niko sawa yeye nitakuwa nimemsababishia mengi zaidi??

Labda familia inamtegemea najisikia vibaya David msamehe tu mi sitaki kuwa sababu ya wengine kuumizwa???

Devid aliniambia sipo tayari siwezi kumsamehe mtu anayekuumiza Natasha aliongea hivo kisha akageukia upande mwingine

Niliamua kupiga magoti na kumshika miguu yake huku nikimwambia tafadhari mrudishe sitaki kuwa nadhambi kwa familia yake

David aligeuka na kuniinua kisha akaniambia nitafanya hivo kwa shart

Nikamjibu chochote sema nitafanya

Akaniambia utakuwa wangu kuanzia leo hii??

Nilishtuka na kurudi nyuma nikamwambia mmh hilo ngoja nilifikilie ??

Sasa kwanini umeamua hilo tuu bosi Devid nipe shart lingine tafadhari

Devid akajibu sina lingine na kama utaendelea kufikilia ndio utakuwa unazidi kuwatesa kweli familia yake hujui leo wataamkaje huko..

Nilizidi kuogopa nikamuomba mrudishe nitakupa jibu leo hihii lakini si sahivi tafadhari naomba

Devid alijibu kuwa ukinipa jibu tuu namimi ndio namrudisha kazini sasa kazi kwako..

Niliogopa nilikuwa na mawazo sana nikamuomba sawa naomba niondoke kisha nitakupigia sim

Devid aliniruhusu na kuniambia kuwa upite hapo reception kunazawadi za bibi yako nimemnunulia..

Nilimtizama tu kwa mshangao kisha nikaondoka zangu nanilipitia hicho alichoniambia

Nilifika nyumbani nilikuwa na mawazo sana niliona muda umeenda nilioga na kula kabisa chakula kisha nilipanda kitandani

Nilikagua zile zawadi za bibi nikawaza huenda David atakuwa mtu mwema kwangu acha tu nikubali..

Nilimpigia sim bosi David na kumwambia sawa nimekubali ombi lako nitakuwa wako ??

Bosi David alijibu sawa nampigia sim kiongozi wenu amrudishe kazini huyo msichana ila akijakurudia kukukosea sitomuelewa kabisa..

Nilimjibu ok

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE??

SEHEMU YA 06"

David aliniambia asante Natasha kwa kukubali ombi langu nakupenda sana Kisha alikata sim nikawa namawazo sana nawezaje kuwa na bos devid

Sijawahi kabisa kuwa na mwnm mimi tangu nazaliwa sijui itakuwaje sasa mmh

Nilijiongelea pekeangu nikawa naguna tuu sijui nini kitatokea ??

Wakati najiuliza pekeangu sim yangu iliita na nilipotizama alikuwa bosi devid mmhh si katoka kuongea namimi saivi nilipokea

Akaniambia tayari binti kaludishwa kazini kpnz hivyo kesho atakuja kama kawaida

Nilimjibu ok asante sana

Akaniambia nahitaji nikuone usiku huu Natasha

Nikamwambia sasahivi devi mbona giza jamani istoshe sina chakumdanganya bibi naogopaa??

Devid akaniambia nakuja hapo maeneo ya kwenu nataka nikuone tuu kisha naondoka zangu

Nikamwambia sawa harakisha njoo ila sijui watu wakikuona itakuwaje jamani aah!

Akaingiza utani wewe utakuwa kaongo

Nikamuuliza nimedanganya nini sasa

Akajibu kuwa siumesema utamdanganya nini bibiako inaonyesha unamdanganya sana hata mimi utakuwa umenidanganya??

Nikamuuliza nimekudanganya nini wewe hahahaa

Devid akajibu umenidanganya kuwa hujawahi kuwa namahusiano yeyote tangu uzaliwe??

Nikamjibu sasa nikudanganye hilo iliiweje ata sijakudanganya??

David alijibu okay akakata simu ilipita muda kidogo akaniambia nipo nje toka nikuone ulivyo muongo??

Nilitoka nje taratibu na kuludishia mlango nikasogea nje kwenye gari nilikuwa nimevaa kidera changu maana ndio nilikuwa nataka kulala

Niliiona gari imepaki maeneo ya uwanjani wanapopenda kucheza mpira watoto nikaenda

Aliponiona alifungua mlango nikaingia alikuwa kavaa msuli na tisheti ??

Nilijinunisha haya nimekuja maana sasa unatumia fimbo niyule dada kuniadhibu mimi sio??

Devid alijibu hapana nakpnda tuuu

Nikamwambia tayari umeniona niondoke sio

Devid alijibu kwanini hunipnd Natasha au sio wandoto zako??

Nikamjibu bado sijamuona wandoto zangu bahati mbaya na ndoto pia bado sijaota ??

Devid alimjibu nitakuwa mimi katika ndoto zako hata zabadae hivyo ndivyo nilivyo amua mimi sasa

Nilimtizama sikumjibu kitu aligeuka nyuma na kutoa mauwa mazuri na kimfuko kidogo akanikabizi??

Nilivipokea nikamwambia asante kisha nikamwambia nausingizi naweza kushuka

Devid akaniambia hujani bus hata unaniagaje hivo Natasha kuwa na huruma basi jamani nimetoka mbali ujue nimekuja hapa kwaajili yako tuu

Nilimsogerea nakumbs shavuni nikamwambia tayari mi naondoka??

Alijibu hapana Natasha bado sogea hapa

Nikamwambia Devid mbona kama unanionea bwana niachieeeee

Aliniachia akafungua mlango akaja upande wangu akanifungulia na mimi nikashuka chini

Alinishika???? mkono mmoja nyuma ya shingo akanisogeza mdmn kwake??mama yangu leo ni leo David alininaniliu mdmn? ilikuwa mara yng y kwanza

Nilitulia tuli nikawa najisikia tofauti?? kwa jins nilikuwa nasikia vzr niliendelea kutulia tu??

Full 1000

WhatsApp 0742133100.
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MY HEART 03--04

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

*MY HEART* *1---2 *

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

ANIPHA 6--7.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 05

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY???15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA? Sehemu 13.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY ???11

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest