Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 11"

Hello guys tuendelee na story yetu????????nilichukua simu yangu nikampigia David akapokea nikamuita honey kwa kumdekea????????

Sijawahi kumuita kwa mhba kiasi hiko????????alitabasamu huyooo akaniita mke wangu niambie nimekumiss sana????????

Hata mimi nimekumiss tayari David wangu nilitaka kuuliza kama tayari umeshafika babe????

Devid alijibu hakika nashukulu mungu nimefika sarama kabisaa kpnz changu asante kwa kunijali

Devid alifurahi sana kuona nimempigia mimi sim

Tuliongea vitu vingi sana kisha nilikatasim nikalala

Hatimae kulipambazuka nilijiandaa na kwenda kazini ????????????????

Nilifika kazini kwa bajaji nikaingia ofisini kwangu nilianza kupiga kazi kama kawa????????????

Nilipomaliza muda wakutoka ulifika nikajisogeza bara barani kutafuta bajaji ????????

Nilipokuwa nasubili bajaji ilikuja gari ya Mr devid nikaambiwa ingia bosi kaniagiza nikuchukue shem..

Hehehee nyieee????????????nilipanda kwenye gari nikamuuliza dereva boss wako yupo wapi sasahivi??

Alinijibu kuwa yupo ofisini kwake akimalizia kupanga panga vitu vyake nitaenda kumpitia na yeye????????

Okay basi twende tukamchukue sasa hivi????????tulimpitia devid ofisini kwake nilikuwa nimemmis ila sitaki kumuonyesha hadharani????????

Tulifika karibu na ofisi yake kwa nje baada ya dakika moja alitoka wow alikuwa kapendez kama kawaida yake ni handsome sana mjue????????????

Na ananukia hatari alifika kwenye gari dereva alitoka na kumfungulia mlango akaingia????????

Mimi nilikuwa nimekaa kwanyuma akageuka na kunisalimia ????????????

Habari Natasha vipi hali yako nilikumis sana nimefurahi kukuona mamaa vipi siku yako ya leo imeendaje?.

Nilitabasam viaibu kama vyote???????????? Nilijibu sijambo siku yangu imeenda fresh Boss????????

Devid aliniambia nahitaji kukaa nawewe kwamuda mrefu kidogo leo..

Nikamjibu sasa nabibiangu atakaa na nani Boss jamani????????

Devid akaniamnia nitajua cha kuongea nae usijali..

Tulitoka nje kidogo ya mji nilimuona devid yupo watofauti kidogo sijajua ananini nilikuwa namtizamatuu????????

Tulifika sehem tuliyokuwa tunaenda nipazuri sana nibonge la Hotel na lipo ufukweni mwa bahari..huyu mshnz asije na leo akaniacha huku????

Tulipofika devid alishuka na baada ya hapo alinifungulia mlango namimi nikashuka ????????alishawahi kuniacha ufukweni kipindi cha nyuma

Na leo kanileta tena niliogopa nisije tena nikaachwa kama siku ile????????????unawaza nini Natasha aliniuliza huku akinishika mkono wangu..

Hahaa????????hapana Dady najaribu tu kupashangaa hapa palivo pazuri panavutia sana????????????

Alinishika mkono hadi ndani tulipokelewa na kuelekezwa chumba alichobook devid ????????

Nilijua tu utapapenda hata mimi nimepapenda panatufaa mimi nawewe Natasha wangu????

Hahaha ndio dady Tulielekea chumbani devid akiwa kanishika mkono tulipofika chumbani nikamuachia mkono..

Devid aliniambia naenda kuoga bafuni unaweza kuagiza kitu chochote sim ya mezani hiyo hapo..

Sawa mpnz wala usijali alini????????Kisha aliingia bafuni nilichukuwa sim na kupiga kwa wahudumu nilikuwa na njaa nikaagiza chakula na vinywaji????

Baada ya muda devid nae alitoka akiwa kavaa naniliu tu???????????? akaja karibu yangu na kukaa akaniuliza vipi umeagiza tayari????????

Nilimjibu kuwa tayari nimesha agiza babe????????

Devid akaniuliza huendi kuoga ????????

Nilimjibu hapana sitaki kuoga nasikia baridi????

Baada ya muda chakula kilifika na tulianza kula pia vinywaji vililetwa ??????????

Tulipomaliza devid alipanda ktndn na kuniambi Natasha njoo hapa karibu yangu nataka nilal ukiwa pembeni yangu????

Leo sipo sawa hata kidogo kunavitu vinanisumbua sana kichwani mwangu????????nilishtuka baada ya kusikia hivo nikawaza kipi kinanisumbulia Dady wangu????????

Nilimuonea huruma nikainuka na kwenda kulal pembeni yake nili????????kisha nikamwambia kila kitu kitakuwa sawa Bosi????

Vipi unaeza kunielezea kidogo kuhusiana na kile kilichokusibu?? Mimi nitakuliwaza na nitakushauri pia ???????? hahaha kitoto kidogo nishajikuta mtu mzima sa nitamshauri nini mimi????????????

Nilimnaniliu naniliu ili kumpunguzia mawazo kidogo simu yake ilianza kuita????????

aliamka akatoka kitndn na kwenda kukaa kwenye kochi alionekana kuvurugwa sana????????

Alikuwa anaongea na kakaake nikama kunajambo halipo sawa

nilijifanya nimelala ila sikuwa na usingizi hata kidogo nilikuwa nawasikia kila kitu..

David Alimwambia kaka yake kuwa ni lazima nimuoe maana ndiye nimpendaye..siwezi kuchaguliwa mimi...mama weeee hebu ngoja kwanza nitege sikio vizuri ????????

Sauti ya upande wa pili ilisikika ikimwambia devid lakini mtoto wa mjomba hana shida yuko vizuri na nimzuri kwanini unamkataa nimwarabu mwenzetu yule????????????..

Devid alijibu nimzuri kwenu mimi bado sijauona huo uzuri wake na kingine zama hizo mimi sina tayari ninae nimpendae hivyo nitafanya mipango ya kuhalalisha tu..

Kakaake akauliza anatoka ukoo upi huyo umpendaye?? Na je nayeye nimwarabu mwenzetu??

Toba roho yangu kumekucha????????????nilijisemelea kimoyo moyo huku nikiwa nasubilia hukumu kutoka kwa ndugu wa mme watanikubali na huu uafrica wangu au ndo inalilahi????????

Niombeeni ndugu zangu mi tyr nishampenda mbaba wangu siwezi kuishi bila yeye????????????

Itaendeleaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 11"

Hello guys tuendelee na story yetu????????nilichukua simu yangu nikampigia David akapokea nikamuita honey kwa kumdekea????????

Sijawahi kumuita kwa mhba kiasi hiko????????alitabasamu huyooo akaniita mke wangu niambie nimekumiss sana????????

Hata mimi nimekumiss tayari David wangu nilitaka kuuliza kama tayari umeshafika babe????

Devid alijibu hakika nashukulu mungu nimefika sarama kabisaa kpnz changu asante kwa kunijali

Devid alifurahi sana kuona nimempigia mimi sim

Tuliongea vitu vingi sana kisha nilikatasim nikalala

Hatimae kulipambazuka nilijiandaa na kwenda kazini ????????????????

Nilifika kazini kwa bajaji nikaingia ofisini kwangu nilianza kupiga kazi kama kawa????????????

Nilipomaliza muda wakutoka ulifika nikajisogeza bara barani kutafuta bajaji ????????

Nilipokuwa nasubili bajaji ilikuja gari ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

453
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

66
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

21

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.13K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest