Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"

18th Apr, 2025 Views 12

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 11"

Hello guys tuendelee na story yetu????????nilichukua simu yangu nikampigia David akapokea nikamuita honey kwa kumdekea????????

Sijawahi kumuita kwa mhba kiasi hiko????????alitabasamu huyooo akaniita mke wangu niambie nimekumiss sana????????

Hata mimi nimekumiss tayari David wangu nilitaka kuuliza kama tayari umeshafika babe????

Devid alijibu hakika nashukulu mungu nimefika sarama kabisaa kpnz changu asante kwa kunijali

Devid alifurahi sana kuona nimempigia mimi sim

Tuliongea vitu vingi sana kisha nilikatasim nikalala

Hatimae kulipambazuka nilijiandaa na kwenda kazini ????????????????

Nilifika kazini kwa bajaji nikaingia ofisini kwangu nilianza kupiga kazi kama kawa????????????

Nilipomaliza muda wakutoka ulifika nikajisogeza bara barani kutafuta bajaji ????????

Nilipokuwa nasubili bajaji ilikuja gari ya Mr devid nikaambiwa ingia bosi kaniagiza nikuchukue shem..

Hehehee nyieee????????????nilipanda kwenye gari nikamuuliza dereva boss wako yupo wapi sasahivi??

Alinijibu kuwa yupo ofisini kwake akimalizia kupanga panga vitu vyake nitaenda kumpitia na yeye????????

Okay basi twende tukamchukue sasa hivi????????tulimpitia devid ofisini kwake nilikuwa nimemmis ila sitaki kumuonyesha hadharani????????

Tulifika karibu na ofisi yake kwa nje baada ya dakika moja alitoka wow alikuwa kapendez kama kawaida yake ni handsome sana mjue????????????

Na ananukia hatari alifika kwenye gari dereva alitoka na kumfungulia mlango akaingia????????

Mimi nilikuwa nimekaa kwanyuma akageuka na kunisalimia ????????????

Habari Natasha vipi hali yako nilikumis sana nimefurahi kukuona mamaa vipi siku yako ya leo imeendaje?.

Nilitabasam viaibu kama vyote???????????? Nilijibu sijambo siku yangu imeenda fresh Boss????????

Devid aliniambia nahitaji kukaa nawewe kwamuda mrefu kidogo leo..

Nikamjibu sasa nabibiangu atakaa na nani Boss jamani????????

Devid akaniamnia nitajua cha kuongea nae usijali..

Tulitoka nje kidogo ya mji nilimuona devid yupo watofauti kidogo sijajua ananini nilikuwa namtizamatuu????????

Tulifika sehem tuliyokuwa tunaenda nipazuri sana nibonge la Hotel na lipo ufukweni mwa bahari..huyu mshnz asije na leo akaniacha huku????

Tulipofika devid alishuka na baada ya hapo alinifungulia mlango namimi nikashuka ????????alishawahi kuniacha ufukweni kipindi cha nyuma

Na leo kanileta tena niliogopa nisije tena nikaachwa kama siku ile????????????unawaza nini Natasha aliniuliza huku akinishika mkono wangu..

Hahaa????????hapana Dady najaribu tu kupashangaa hapa palivo pazuri panavutia sana????????????

Alinishika mkono hadi ndani tulipokelewa na kuelekezwa chumba alichobook devid ????????

Nilijua tu utapapenda hata mimi nimepapenda panatufaa mimi nawewe Natasha wangu????

Hahaha ndio dady Tulielekea chumbani devid akiwa kanishika mkono tulipofika chumbani nikamuachia mkono..

Devid aliniambia naenda kuoga bafuni unaweza kuagiza kitu chochote sim ya mezani hiyo hapo..

Sawa mpnz wala usijali alini????????Kisha aliingia bafuni nilichukuwa sim na kupiga kwa wahudumu nilikuwa na njaa nikaagiza chakula na vinywaji????

Baada ya muda devid nae alitoka akiwa kavaa naniliu tu???????????? akaja karibu yangu na kukaa akaniuliza vipi umeagiza tayari????????

Nilimjibu kuwa tayari nimesha agiza babe????????

Devid akaniuliza huendi kuoga ????????

Nilimjibu hapana sitaki kuoga nasikia baridi????

Baada ya muda chakula kilifika na tulianza kula pia vinywaji vililetwa ??????????

Tulipomaliza devid alipanda ktndn na kuniambi Natasha njoo hapa karibu yangu nataka nilal ukiwa pembeni yangu????

Leo sipo sawa hata kidogo kunavitu vinanisumbua sana kichwani mwangu????????nilishtuka baada ya kusikia hivo nikawaza kipi kinanisumbulia Dady wangu????????

Nilimuonea huruma nikainuka na kwenda kulal pembeni yake nili????????kisha nikamwambia kila kitu kitakuwa sawa Bosi????

Vipi unaeza kunielezea kidogo kuhusiana na kile kilichokusibu?? Mimi nitakuliwaza na nitakushauri pia ???????? hahaha kitoto kidogo nishajikuta mtu mzima sa nitamshauri nini mimi????????????

Nilimnaniliu naniliu ili kumpunguzia mawazo kidogo simu yake ilianza kuita????????

aliamka akatoka kitndn na kwenda kukaa kwenye kochi alionekana kuvurugwa sana????????

Alikuwa anaongea na kakaake nikama kunajambo halipo sawa

nilijifanya nimelala ila sikuwa na usingizi hata kidogo nilikuwa nawasikia kila kitu..

David Alimwambia kaka yake kuwa ni lazima nimuoe maana ndiye nimpendaye..siwezi kuchaguliwa mimi...mama weeee hebu ngoja kwanza nitege sikio vizuri ????????

Sauti ya upande wa pili ilisikika ikimwambia devid lakini mtoto wa mjomba hana shida yuko vizuri na nimzuri kwanini unamkataa nimwarabu mwenzetu yule????????????..

Devid alijibu nimzuri kwenu mimi bado sijauona huo uzuri wake na kingine zama hizo mimi sina tayari ninae nimpendae hivyo nitafanya mipango ya kuhalalisha tu..

Kakaake akauliza anatoka ukoo upi huyo umpendaye?? Na je nayeye nimwarabu mwenzetu??

Toba roho yangu kumekucha????????????nilijisemelea kimoyo moyo huku nikiwa nasubilia hukumu kutoka kwa ndugu wa mme watanikubali na huu uafrica wangu au ndo inalilahi????????

Niombeeni ndugu zangu mi tyr nishampenda mbaba wangu siwezi kuishi bila yeye????????????

Itaendeleaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
Your settings were saved successfully!
Something went wrong!
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest