Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 13"

Ni kweli unataka kuondoka??...aliuliza..

Ndioo we si umeninunia????????unanileta sehemu ngeni alafu huniongeleshi ndo nini????????

I'm sorry sweetheart wala hata sijakununia naanzaje sasa kukununia Natasha wangu..

David alinishika mkono tukaanza kutembea mdogomdogo kuelekea pale alipoegesha gari..

Unapajua hapa ni wapi??????????aliuliza.

Wala hata sipajui ila ni pazuri sana ndoto yangu ni kuja kuishi kwenye mazingira kama haya????????

Jumba kubwa???????? mazingira matulivu mtaa wa kishua napenda sana sehemu ka hizi????

Kweli??? Aliuliza nikamwambia ndioo kweli..

Wow karibu sana Natasha hapa ni nyumbani kwangu na nikishakuoa tutaishi wote hapa????

Unasema kweli??? Hili jumba ni la kwako David??

Akasema ndioo karibu ndani alibonyeza limot geit likajifungua aliniambia niingie yeye akapanda kwenye gari akaingia nalo ndano...

Aiseeeeee bonge la mjumba pazuri nyieee???????????? nilianza kushangaa huku na kule dah kweli David unaishi??????

Aliishia kutabasamu akaniambia hapa ni kwako Natasha ???????????? tuliingia ndani nikafanyiwa house tua dah nyumba nzuri sana kiukweli..

Tuliingia chumbani David akaniambia naomba tupumzike Natasha nyumbani kwa bibi tutaenda kesho usijali kuhusu kukugombeza mimi nitaongea nae...

nilipanda kitandani nikajifunika duvet likitanda ni likubwa????????????

Alikuja David akankmbtia kwa nguvu????????????

Nilifurahia kuwa kfn kwa devid na nilivyo kuwa chembamba alinifunika vizuri

Basi tulilala hadi palikucha asubuhi aliniamsha na chaasubuhi nilikifurahia sana nikaamka na kwenda bafuni kuoga ????????????

Alikuja devid aknkmbtia kwanyuma nakuanza kuninaliu kwa shngo????????????

Tulimalizana kule kule bfn Alininaniliu hadi raha nili injoisana????????????

Basi bwana tulipomaliza nilimuogesha nayeye aliniogesha kisha tulitoka tulikuwa na furaha sana

Devid akaniambia tuvae kisha twende mgahawani tukapate kifungua kinywa????????????

Nilimwambia hapana kwanini ukale mapishi ya mwanamke mwengine nawakati mimi mwenyewe najua kupika kanifunza bibiangu ????????

Devid alikuja akanibs na kuniambia hakika mke nimepata??????????

Tulishuka chini tukaenda jikoni alinionyesha kilakitu jikoni????????????

Nilifanya maandalizi nikaanza kuandaa kisha nilipika kiamsha kinywa nilitenga mezani nikamuita devid aje tupate breakfast pamoja

Devidi alishangaa kwamala yakwanza panaliwa hapa ndani tena chakula cha mpnz wangu Natasha thanks darling nakpnd????

Alifurahi mnoo alini????????kisha akaonja msosi alinionjesha namimi akaniambia chakula ni kitamu sana kama wewe mwenyew hahahaaa????????

tulikula pamoja baada ya hapo nilimuomba devid anipeleke kwa bibi kwani sitaki kumuuzi kabisaa

Devid alinijibu hapana utaenda jioni sasa hivi nataka twende mahali mimi nawewe????????

Nilimjibu upendavyo kipnz kisha tulicheka????aliniambia haya nenda ndani kajiandae ????????

Nilimjibu sina nguo ya kubadili hapa najianda nanini sasa nimesha vaa wewe ndio nenda ujiandae????????

Devid alijibu basi sawa kisha aliingia ndani na kuvaa alivaa kanzu sikuhiyo na kisha alivaa sendos na kichwani alivaa kibaragashia nakisha alijipulizia manukato hatari ????????????????

alitoka nje na kuniletea baibui na mtandio kisha alinipa na cheni ya gold ????????nikashangaa hivi kavitoa wapi????????

Aliniambia naomba vaa haya mavazi ????????

Nikamuuliza umetoa wapi haya mavazi yakike devid ????????

Alijibu haya nimavazi ya wifi yako mdogo wake wa kike... huwa anafikia hapa akija Tanzania na vitu vyake vingi viko huku..

Unajua mimi hilijina la David nijina langu la biasharatuu ila jina langu wanalolijua ndugu zangu naitwa Twaribu usije ukasikia wananiita Twaribu ukashangaa..

Nilicheka na kumuita Twaribu wangu usijali????????

Nilivaa hilo baibui na nikajitanda mtandio kisha nilijipulizia manukato na baada ya hapo nilimuomba anivalishe cheni shingoni????????

Hakika nilipendeza yeye pia aliniambia umezidi kuwa mrembo Natasha ????????

Tulitoka na kuingia kwenye gari tukaondoka

Alinipitisha mjini kwanza saruni na kuwaambia wanitengeneze vizuri sana alininunulia less wigi na kisha akawaambia wanibondi vizuri sana ????????

Nilipambwa siyo kucha nywele kope yani kila kona nilinolewa vibaya mnoo????????????

Hakika nilipendeza sana nililetewa magauni mazuri ya kiarabu yanavutia nikachagua magauni matatu ????????????

Moja nikalivaa na kiatu kirefu nilipendeza sana mimi mwenyewe nilijiona kuwa nimependeza kweli mwanamke matunzo????????

Nilivaa hereni na bangiri zamkononi nikapuliziwa udi nilishangaa hiki ninini leo mbona nafanyiwa vitu vyagarama hivi????????

Baada ya hapo aliitwa devid aje anichukuwe aliponiona alibaki kasimama ananitizama kwani nilimvutia sana ????????????

Alinisogelea na kuniambia wewe nimrembo mnooo hadi naona wivu sasa????????

Nilicheka ????alibaki akinitizama kwani nilivyocheka nilizidi kuwa mzuri sana akanitizama na kunifunika mtandio akaninogoneza usicheke mbele za watu cheka ukiwa namimi tuu sawa lol????????

Nilimshangaa kwanini ????????aliishia kuni????????????baada ya hapo akanishika mkono tukaelekea nje kwenye gari????????????

Tuliondoka hadi sehemu moja hivi kunanyumba ya gorofa moja David alishuka hapo na kubonyeza kengere ya getini????????

Geit ilifunguliwa hapo mimi bado niko kwenye gari napiga chabo kwa mbaali????????????

Itaendeleaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 13"

Ni kweli unataka kuondoka??...aliuliza..

Ndioo we si umeninunia????????unanileta sehemu ngeni alafu huniongeleshi ndo nini????????

I'm sorry sweetheart wala hata sijakununia naanzaje sasa kukununia Natasha wangu..

David alinishika mkono tukaanza kutembea mdogomdogo kuelekea pale alipoegesha gari..

Unapajua hapa ni wapi??????????aliuliza.

Wala hata sipajui ila ni pazuri sana ndoto yangu ni kuja kuishi kwenye mazingira kama haya????????

Jumba kubwa???????? mazingira matulivu mtaa wa kishua napenda sana sehemu ka hizi????

Kweli??? Aliuliza nikamwambia ndioo kweli..

Wow karibu sana Natasha hapa ni nyumbani kwangu na nikishakuoa tutaishi wote hapa????

Unasema kweli??? Hili jumba ni la kwako David??

Akasema ndioo karibu ndani alibonyeza limot geit likajifungua aliniambia niingie yeye akapanda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

452
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

65
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

21

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.13K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest