Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
Gonga94 Β· Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 13"

Ni kweli unataka kuondoka??...aliuliza..

Ndioo we si umeninunia????????unanileta sehemu ngeni alafu huniongeleshi ndo nini????????

I'm sorry sweetheart wala hata sijakununia naanzaje sasa kukununia Natasha wangu..

David alinishika mkono tukaanza kutembea mdogomdogo kuelekea pale alipoegesha gari..

Unapajua hapa ni wapi??????????aliuliza.

Wala hata sipajui ila ni pazuri sana ndoto yangu ni kuja kuishi kwenye mazingira kama haya????????

Jumba kubwa???????? mazingira matulivu mtaa wa kishua napenda sana sehemu ka hizi????

Kweli??? Aliuliza nikamwambia ndioo kweli..

Wow karibu sana Natasha hapa ni nyumbani kwangu na nikishakuoa tutaishi wote hapa????

Unasema kweli??? Hili jumba ni la kwako David??

Akasema ndioo karibu ndani alibonyeza limot geit likajifungua aliniambia niingie yeye akapanda kwenye gari akaingia nalo ndano...

Aiseeeeee bonge la mjumba pazuri nyieee???????????? nilianza kushangaa huku na kule dah kweli David unaishi??????

Aliishia kutabasamu akaniambia hapa ni kwako Natasha ???????????? tuliingia ndani nikafanyiwa house tua dah nyumba nzuri sana kiukweli..

Tuliingia chumbani David akaniambia naomba tupumzike Natasha nyumbani kwa bibi tutaenda kesho usijali kuhusu kukugombeza mimi nitaongea nae...

nilipanda kitandani nikajifunika duvet likitanda ni likubwa????????????

Alikuja David akankmbtia kwa nguvu????????????

Nilifurahia kuwa kfn kwa devid na nilivyo kuwa chembamba alinifunika vizuri

Basi tulilala hadi palikucha asubuhi aliniamsha na chaasubuhi nilikifurahia sana nikaamka na kwenda bafuni kuoga ????????????

Alikuja devid aknkmbtia kwanyuma nakuanza kuninaliu kwa shngo????????????

Tulimalizana kule kule bfn Alininaniliu hadi raha nili injoisana????????????

Basi bwana tulipomaliza nilimuogesha nayeye aliniogesha kisha tulitoka tulikuwa na furaha sana

Devid akaniambia tuvae kisha twende mgahawani tukapate kifungua kinywa????????????

Nilimwambia hapana kwanini ukale mapishi ya mwanamke mwengine nawakati mimi mwenyewe najua kupika kanifunza bibiangu ????????

Devid alikuja akanibs na kuniambia hakika mke nimepata??????????

Tulishuka chini tukaenda jikoni alinionyesha kilakitu jikoni????????????

Nilifanya maandalizi nikaanza kuandaa kisha nilipika kiamsha kinywa nilitenga mezani nikamuita devid aje tupate breakfast pamoja

Devidi alishangaa kwamala yakwanza panaliwa hapa ndani tena chakula cha mpnz wangu Natasha thanks darling nakpnd????

Alifurahi mnoo alini????????kisha akaonja msosi alinionjesha namimi akaniambia chakula ni kitamu sana kama wewe mwenyew hahahaaa????????

tulikula pamoja baada ya hapo nilimuomba devid anipeleke kwa bibi kwani sitaki kumuuzi kabisaa

Devid alinijibu hapana utaenda jioni sasa hivi nataka twende mahali mimi nawewe????????

Nilimjibu upendavyo kipnz kisha tulicheka????aliniambia haya nenda ndani kajiandae ????????

Nilimjibu sina nguo ya kubadili hapa najianda nanini sasa nimesha vaa wewe ndio nenda ujiandae????????

Devid alijibu basi sawa kisha aliingia ndani na kuvaa alivaa kanzu sikuhiyo na kisha alivaa sendos na kichwani alivaa kibaragashia nakisha alijipulizia manukato hatari ????????????????

alitoka nje na kuniletea baibui na mtandio kisha alinipa na cheni ya gold ????????nikashangaa hivi kavitoa wapi????????

Aliniambia naomba vaa haya mavazi ????????

Nikamuuliza umetoa wapi haya mavazi yakike devid ????????

Alijibu haya nimavazi ya wifi yako mdogo wake wa kike... huwa anafikia hapa akija Tanzania na vitu vyake vingi viko huku..

Unajua mimi hilijina la David nijina langu la biasharatuu ila jina langu wanalolijua ndugu zangu naitwa Twaribu usije ukasikia wananiita Twaribu ukashangaa..

Nilicheka na kumuita Twaribu wangu usijali????????

Nilivaa hilo baibui na nikajitanda mtandio kisha nilijipulizia manukato na baada ya hapo nilimuomba anivalishe cheni shingoni????????

Hakika nilipendeza yeye pia aliniambia umezidi kuwa mrembo Natasha ????????

Tulitoka na kuingia kwenye gari tukaondoka

Alinipitisha mjini kwanza saruni na kuwaambia wanitengeneze vizuri sana alininunulia less wigi na kisha akawaambia wanibondi vizuri sana ????????

Nilipambwa siyo kucha nywele kope yani kila kona nilinolewa vibaya mnoo????????????

Hakika nilipendeza sana nililetewa magauni mazuri ya kiarabu yanavutia nikachagua magauni matatu ????????????

Moja nikalivaa na kiatu kirefu nilipendeza sana mimi mwenyewe nilijiona kuwa nimependeza kweli mwanamke matunzo????????

Nilivaa hereni na bangiri zamkononi nikapuliziwa udi nilishangaa hiki ninini leo mbona nafanyiwa vitu vyagarama hivi????????

Baada ya hapo aliitwa devid aje anichukuwe aliponiona alibaki kasimama ananitizama kwani nilimvutia sana ????????????

Alinisogelea na kuniambia wewe nimrembo mnooo hadi naona wivu sasa????????

Nilicheka ????alibaki akinitizama kwani nilivyocheka nilizidi kuwa mzuri sana akanitizama na kunifunika mtandio akaninogoneza usicheke mbele za watu cheka ukiwa namimi tuu sawa lol????????

Nilimshangaa kwanini ????????aliishia kuni????????????baada ya hapo akanishika mkono tukaelekea nje kwenye gari????????????

Tuliondoka hadi sehemu moja hivi kunanyumba ya gorofa moja David alishuka hapo na kubonyeza kengere ya getini????????

Geit ilifunguliwa hapo mimi bado niko kwenye gari napiga chabo kwa mbaali????????????

Itaendeleaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 13"

Ni kweli unataka kuondoka??...aliuliza..

Ndioo we si umeninunia????????unanileta sehemu ngeni alafu huniongeleshi ndo nini????????

I'm sorry sweetheart wala hata sijakununia naanzaje sasa kukununia Natasha wangu..

David alinishika mkono tukaanza kutembea mdogomdogo kuelekea pale alipoegesha gari..

Unapajua hapa ni wapi??????????aliuliza.

Wala hata sipajui ila ni pazuri sana ndoto yangu ni kuja kuishi kwenye mazingira kama haya????????

Jumba kubwa???????? mazingira matulivu mtaa wa kishua napenda sana sehemu ka hizi????

Kweli??? Aliuliza nikamwambia ndioo kweli..

Wow karibu sana Natasha hapa ni nyumbani kwangu na nikishakuoa tutaishi wote hapa????

Unasema kweli??? Hili jumba ni la kwako David??

Akasema ndioo karibu ndani alibonyeza limot geit likajifungua aliniambia niingie yeye akapanda...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

474
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

130
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest