Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 13"

Ni kweli unataka kuondoka??...aliuliza..

Ndioo we si umeninunia????????unanileta sehemu ngeni alafu huniongeleshi ndo nini????????

I'm sorry sweetheart wala hata sijakununia naanzaje sasa kukununia Natasha wangu..

David alinishika mkono tukaanza kutembea mdogomdogo kuelekea pale alipoegesha gari..

Unapajua hapa ni wapi??????????aliuliza.

Wala hata sipajui ila ni pazuri sana ndoto yangu ni kuja kuishi kwenye mazingira kama haya????????

Jumba kubwa???????? mazingira matulivu mtaa wa kishua napenda sana sehemu ka hizi????

Kweli??? Aliuliza nikamwambia ndioo kweli..

Wow karibu sana Natasha hapa ni nyumbani kwangu na nikishakuoa tutaishi wote hapa????

Unasema kweli??? Hili jumba ni la kwako David??

Akasema ndioo karibu ndani alibonyeza limot geit likajifungua aliniambia niingie yeye akapanda kwenye gari akaingia nalo ndano...

Aiseeeeee bonge la mjumba pazuri nyieee???????????? nilianza kushangaa huku na kule dah kweli David unaishi??????

Aliishia kutabasamu akaniambia hapa ni kwako Natasha ???????????? tuliingia ndani nikafanyiwa house tua dah nyumba nzuri sana kiukweli..

Tuliingia chumbani David akaniambia naomba tupumzike Natasha nyumbani kwa bibi tutaenda kesho usijali kuhusu kukugombeza mimi nitaongea nae...

nilipanda kitandani nikajifunika duvet likitanda ni likubwa????????????

Alikuja David akankmbtia kwa nguvu????????????

Nilifurahia kuwa kfn kwa devid na nilivyo kuwa chembamba alinifunika vizuri

Basi tulilala hadi palikucha asubuhi aliniamsha na chaasubuhi nilikifurahia sana nikaamka na kwenda bafuni kuoga ????????????

Alikuja devid aknkmbtia kwanyuma nakuanza kuninaliu kwa shngo????????????

Tulimalizana kule kule bfn Alininaniliu hadi raha nili injoisana????????????

Basi bwana tulipomaliza nilimuogesha nayeye aliniogesha kisha tulitoka tulikuwa na furaha sana

Devid akaniambia tuvae kisha twende mgahawani tukapate kifungua kinywa????????????

Nilimwambia hapana kwanini ukale mapishi ya mwanamke mwengine nawakati mimi mwenyewe najua kupika kanifunza bibiangu ????????

Devid alikuja akanibs na kuniambia hakika mke nimepata??????????

Tulishuka chini tukaenda jikoni alinionyesha kilakitu jikoni????????????

Nilifanya maandalizi nikaanza kuandaa kisha nilipika kiamsha kinywa nilitenga mezani nikamuita devid aje tupate breakfast pamoja

Devidi alishangaa kwamala yakwanza panaliwa hapa ndani tena chakula cha mpnz wangu Natasha thanks darling nakpnd????

Alifurahi mnoo alini????????kisha akaonja msosi alinionjesha namimi akaniambia chakula ni kitamu sana kama wewe mwenyew hahahaaa????????

tulikula pamoja baada ya hapo nilimuomba devid anipeleke kwa bibi kwani sitaki kumuuzi kabisaa

Devid alinijibu hapana utaenda jioni sasa hivi nataka twende mahali mimi nawewe????????

Nilimjibu upendavyo kipnz kisha tulicheka????aliniambia haya nenda ndani kajiandae ????????

Nilimjibu sina nguo ya kubadili hapa najianda nanini sasa nimesha vaa wewe ndio nenda ujiandae????????

Devid alijibu basi sawa kisha aliingia ndani na kuvaa alivaa kanzu sikuhiyo na kisha alivaa sendos na kichwani alivaa kibaragashia nakisha alijipulizia manukato hatari ????????????????

alitoka nje na kuniletea baibui na mtandio kisha alinipa na cheni ya gold ????????nikashangaa hivi kavitoa wapi????????

Aliniambia naomba vaa haya mavazi ????????

Nikamuuliza umetoa wapi haya mavazi yakike devid ????????

Alijibu haya nimavazi ya wifi yako mdogo wake wa kike... huwa anafikia hapa akija Tanzania na vitu vyake vingi viko huku..

Unajua mimi hilijina la David nijina langu la biasharatuu ila jina langu wanalolijua ndugu zangu naitwa Twaribu usije ukasikia wananiita Twaribu ukashangaa..

Nilicheka na kumuita Twaribu wangu usijali????????

Nilivaa hilo baibui na nikajitanda mtandio kisha nilijipulizia manukato na baada ya hapo nilimuomba anivalishe cheni shingoni????????

Hakika nilipendeza yeye pia aliniambia umezidi kuwa mrembo Natasha ????????

Tulitoka na kuingia kwenye gari tukaondoka

Alinipitisha mjini kwanza saruni na kuwaambia wanitengeneze vizuri sana alininunulia less wigi na kisha akawaambia wanibondi vizuri sana ????????

Nilipambwa siyo kucha nywele kope yani kila kona nilinolewa vibaya mnoo????????????

Hakika nilipendeza sana nililetewa magauni mazuri ya kiarabu yanavutia nikachagua magauni matatu ????????????

Moja nikalivaa na kiatu kirefu nilipendeza sana mimi mwenyewe nilijiona kuwa nimependeza kweli mwanamke matunzo????????

Nilivaa hereni na bangiri zamkononi nikapuliziwa udi nilishangaa hiki ninini leo mbona nafanyiwa vitu vyagarama hivi????????

Baada ya hapo aliitwa devid aje anichukuwe aliponiona alibaki kasimama ananitizama kwani nilimvutia sana ????????????

Alinisogelea na kuniambia wewe nimrembo mnooo hadi naona wivu sasa????????

Nilicheka ????alibaki akinitizama kwani nilivyocheka nilizidi kuwa mzuri sana akanitizama na kunifunika mtandio akaninogoneza usicheke mbele za watu cheka ukiwa namimi tuu sawa lol????????

Nilimshangaa kwanini ????????aliishia kuni????????????baada ya hapo akanishika mkono tukaelekea nje kwenye gari????????????

Tuliondoka hadi sehemu moja hivi kunanyumba ya gorofa moja David alishuka hapo na kubonyeza kengere ya getini????????

Geit ilifunguliwa hapo mimi bado niko kwenye gari napiga chabo kwa mbaali????????????

Itaendeleaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 13"

Ni kweli unataka kuondoka??...aliuliza..

Ndioo we si umeninunia????????unanileta sehemu ngeni alafu huniongeleshi ndo nini????????

I'm sorry sweetheart wala hata sijakununia naanzaje sasa kukununia Natasha wangu..

David alinishika mkono tukaanza kutembea mdogomdogo kuelekea pale alipoegesha gari..

Unapajua hapa ni wapi??????????aliuliza.

Wala hata sipajui ila ni pazuri sana ndoto yangu ni kuja kuishi kwenye mazingira kama haya????????

Jumba kubwa???????? mazingira matulivu mtaa wa kishua napenda sana sehemu ka hizi????

Kweli??? Aliuliza nikamwambia ndioo kweli..

Wow karibu sana Natasha hapa ni nyumbani kwangu na nikishakuoa tutaishi wote hapa????

Unasema kweli??? Hili jumba ni la kwako David??

Akasema ndioo karibu ndani alibonyeza limot geit likajifungua aliniambia niingie yeye akapanda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

573
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

456
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

453
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

380
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

312
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

182
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

82
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest