Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 08"

Bibi alifungua mlango akabaki mdomo wazi????????nini kinaendelea ????????shikamoo bibi tulimuamkia bibi huku nikiwa najaribu kumuongelesha David kwa ishara ili anishushe chini????????

Tuliaa????????siwezi kukushusha kwa sababu umeumia????????Bibi alimuuliza David kulikoni mbona umembeba eeh baba??

David alimwambia bibi samahani naitwa David mimi ni bosi wa Natasha...

Tulipokuwa kazini alianguka bahati mbaya ila usihofu nimesha muhudumia vizurituu..

Oh nini kimetokea karibuni ingieni ndani bibi alitukaribisha ndani David aliingia huku amenibeba akaniweka kwenye kochi oops mshnz huyu ????????kweli mpnz kikohozi????????

Natasha kesho naomba upumzike nitakuja kukuona tuu sawa ukae nyumbani mpaka utakapopata ahueni????????

Nilijibu kwa sauti ya chini haya asante bosi nitakuwa sawa hata usije ????????

David alijibu nitakuja huo ndio utaratibu wangu kwa wafanyakazi wangu????????

Bibi alijibu asante sana baba hakika mungu akubariki unamoyo wa huruma kwa wafanya kazi wako ?????? vipi utakula chochote baba??

Hapana hata usijali tayari nimeshakula...Devid aliingiza mkono mfukoni na kumpa bibi hela akamuambia bibi hii itamkim najua Natasha atakataa ila wewe pokea ??

Bibi alifurahi sana alimshukuru David na kumuombea baraka kwa mwenyezi Mungu????????David alifurahi sana aliaga na kuondoka zake nilisimama na kujivuta vuta nilielekea chumbani kwangu????????????

Niliweka kitanda sana kisha nikajipumzisha bibi aliniuliza nikuletee chakula mjukuu wangu??

Nilikataa hata nilikuwa na hiyo ham ya chakula basi????????nilijilaza kitandani tuu huku naugulia maumivu????????

Usiku huo nikiwa kitandani simu yangu iliita atakuwa David tu huyo sina hata hizo nguvu za kuongea nae????????

Simu iliita ikakata ikaingia msg????????

Nikaifungua alikuwa devid nikaisoma aliniambia Natasha nimependa kwamala yakwanza maishani mwangu????????

Kheee????????????nilicheka tu na wala Sikumjibu chochote yani na utu uzima huo hajawahi kupenda??

Nilijaribu kulazimisha usingizi hauji nikajikuta natamani kuchat na mr David ???????????? niliamka nikachukua simu nikamwandikia msg????????

Umependa basi vizuri nanihuyo anaeenda kuniokoa kwenye hii adhabu niliyo nayo????

Devid alijibu haraka nimempenda Natasha nimempenda sana sitomwacha hata iweje??????

Nilishtuka na nikatupa sim huko pembeni inamaana kumbe mimi ndo alonipenda wakati nawaza hivo ikaingia msg ya pili...

"Natasha wangu ni mtm kama chocolate yani radha yake haielezeki??????siwezi kumuacha mpaka pale kif kitakapo tutenganisha????

Eti amependa kwa mala ya kwanza tena nahuo umli ndio ananipenda mimi jamani nini hiki kinanitokea????????????

Nilijiongelesha kisha nilipitiwa usingizi nikalala..

Kulikucha asubuhi nilijitahidi nikaamka nikamsaidia bibi kazi zahapo nyumbani japo bibi alikuwa ananiambia wewe siume umia hebu pumzika bwana????

Nilimkatalia na kumwambia mimi sijaumia sana bosi devid anapenda kuyakuza mambo????????

Bibi akaniambia lakini yule bosi wako nimtu mzuri sana anaupendo na anajali sana mimi nimempenda pia ????????????

Nikamwambia sasa kama umempenda sawa wewe mpende????????????

Bibi akanigeukia kwanini unaongea hivyo kwani kunanini kimetokea ????????

Nikamwambia hakuna kitu bibi achana na habari hizo tufikilie mambo yetu sisi????????

Tuliandaa chai bibi aliniambia leo nataka tule kitu kizuri sana ninahela mimi????????????

Nilicheka na kumwambia yaani bibi bwana haya andaa kitu unachotaka nitakula ????????????

Bibi alienda dukani na kununua mayai na unga kisha alikuja kuongezea breakfast inoge nilicheka tuu????????????

Tuliandaa na kukaa mezani tukaanza kunywa chai huku tunapigastory ????????????

Tulipomaliza baadae nilimwagiza mtoto mmoja wa jirani aende aka niletee mboga nije nipike????

Aliniletea mboga nikaanza kuipika na kisha nilipika chakula niliandaa kuku wa kienyeji na wali wa mauwa ????????????

Wakati nipo jikoni namalizia kupika nilisikia hodi mlango unagongwa ????????????huyu nae jamani????

Nikataka kwenda bibi akaniambi ngoja niende mimi wewe endelea tuu kupika ????????

nilimsikia bibi akimkaribisha mgeni ndani nilijua tu ni David ????????

Aliingia na bibi aliniita Natasha hebu njoo umsalimie mgeni kaja kukuona bibi nae jamani????

Nilitoka hadi sebreni jamani alikuwa devid nilimtizama akaniminyia kijicho nakuuliza
Unaendeleaje Natasha ????????

Nilimjibu nimeshapona bosi kisha nilimsalimia shikamoo bosi????????

Devid aliitikia na kuniambia vizuri ila ninazawadi yako hapo nje mie what zawadi??????????????

Nilitoka nje sikuelewa nikamuuliza mbona sijaona kitu????????

Devid akanipa mkononi ufunguo na kuniambia hiyo gari hapo mpya niyako khee????????unanitania Boss David ????????

Akasema hapana Natasha mimi sio mtu wa matani naonaga unavopata shida ya usafiri kila siku nikaona si mbaya kutoa zawadi ya gari kwa ajili yako..

Nilibaki ninashangaa gari mungu wangu huyu devid hivi ni kweli????????

Nikamwambia sipendi utani wako ujue bwana????

David akaniambia sijawahi kukutania tangu jana nimekuambia nimependa unavyozani nilikuwa natania aliongea taratibu bibi asisikie????????

Na hatahivyo nilikuahidi ninazawadi yako kwakunitunuku mimi zawadi ya jana hivyo hii ndio zawadi yako Natasha ????

Nilifurahi kimoyo moyo ila sikumuonyesha nikamwambia asante kisha nilichukuwa funguo nikaingia ndani ??????????????

Devid akaniuliza vipi hukuipenda

Nikamwambia asante nimeipenda ????????????

Bibi alishangaa nakuuliza hiigari ni ya Natasha wangu?????????

Devid alijibu ndio bibi ????????

Bibi alifurahi sana na kuomba aingie ndani ya gari nyieee huy bibi yangu nae????????????

Nilimfungulia bibi akaingia alifurahia mnoo na kusema sasa mjukuu wangu tunagari ??????

Nilimwitikia ndio bibiangu ??????

Devid alitukumbatia mimi na bibi?????? alininong'oneza sikioni akaniambia kiukweli nazidi tu kkpenda??????

Hahahaa nyieeee????????????????itabidi tu namimi nianze kumpenda chibaba au mnaonaje????????

Itaendeleaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 08"

Bibi alifungua mlango akabaki mdomo wazi????????nini kinaendelea ????????shikamoo bibi tulimuamkia bibi huku nikiwa najaribu kumuongelesha David kwa ishara ili anishushe chini????????

Tuliaa????????siwezi kukushusha kwa sababu umeumia????????Bibi alimuuliza David kulikoni mbona umembeba eeh baba??

David alimwambia bibi samahani naitwa David mimi ni bosi wa Natasha...

Tulipokuwa kazini alianguka bahati mbaya ila usihofu nimesha muhudumia vizurituu..

Oh nini kimetokea karibuni ingieni ndani bibi alitukaribisha ndani David aliingia huku amenibeba akaniweka kwenye kochi oops mshnz huyu ????????kweli mpnz kikohozi????????

Natasha kesho naomba upumzike nitakuja kukuona tuu sawa ukae nyumbani mpaka utakapopata ahueni????????

Nilijibu kwa sauti ya chini haya asante bosi nitakuwa sawa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

675
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

287
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

285
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

223
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

126
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

43

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest