Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
Gonga94 · Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 08"

Bibi alifungua mlango akabaki mdomo wazi????????nini kinaendelea ????????shikamoo bibi tulimuamkia bibi huku nikiwa najaribu kumuongelesha David kwa ishara ili anishushe chini????????

Tuliaa????????siwezi kukushusha kwa sababu umeumia????????Bibi alimuuliza David kulikoni mbona umembeba eeh baba??

David alimwambia bibi samahani naitwa David mimi ni bosi wa Natasha...

Tulipokuwa kazini alianguka bahati mbaya ila usihofu nimesha muhudumia vizurituu..

Oh nini kimetokea karibuni ingieni ndani bibi alitukaribisha ndani David aliingia huku amenibeba akaniweka kwenye kochi oops mshnz huyu ????????kweli mpnz kikohozi????????

Natasha kesho naomba upumzike nitakuja kukuona tuu sawa ukae nyumbani mpaka utakapopata ahueni????????

Nilijibu kwa sauti ya chini haya asante bosi nitakuwa sawa hata usije ????????

David alijibu nitakuja huo ndio utaratibu wangu kwa wafanyakazi wangu????????

Bibi alijibu asante sana baba hakika mungu akubariki unamoyo wa huruma kwa wafanya kazi wako ?????? vipi utakula chochote baba??

Hapana hata usijali tayari nimeshakula...Devid aliingiza mkono mfukoni na kumpa bibi hela akamuambia bibi hii itamkim najua Natasha atakataa ila wewe pokea ??

Bibi alifurahi sana alimshukuru David na kumuombea baraka kwa mwenyezi Mungu????????David alifurahi sana aliaga na kuondoka zake nilisimama na kujivuta vuta nilielekea chumbani kwangu????????????

Niliweka kitanda sana kisha nikajipumzisha bibi aliniuliza nikuletee chakula mjukuu wangu??

Nilikataa hata nilikuwa na hiyo ham ya chakula basi????????nilijilaza kitandani tuu huku naugulia maumivu????????

Usiku huo nikiwa kitandani simu yangu iliita atakuwa David tu huyo sina hata hizo nguvu za kuongea nae????????

Simu iliita ikakata ikaingia msg????????

Nikaifungua alikuwa devid nikaisoma aliniambia Natasha nimependa kwamala yakwanza maishani mwangu????????

Kheee????????????nilicheka tu na wala Sikumjibu chochote yani na utu uzima huo hajawahi kupenda??

Nilijaribu kulazimisha usingizi hauji nikajikuta natamani kuchat na mr David ???????????? niliamka nikachukua simu nikamwandikia msg????????

Umependa basi vizuri nanihuyo anaeenda kuniokoa kwenye hii adhabu niliyo nayo????

Devid alijibu haraka nimempenda Natasha nimempenda sana sitomwacha hata iweje??????

Nilishtuka na nikatupa sim huko pembeni inamaana kumbe mimi ndo alonipenda wakati nawaza hivo ikaingia msg ya pili...

"Natasha wangu ni mtm kama chocolate yani radha yake haielezeki??????siwezi kumuacha mpaka pale kif kitakapo tutenganisha????

Eti amependa kwa mala ya kwanza tena nahuo umli ndio ananipenda mimi jamani nini hiki kinanitokea????????????

Nilijiongelesha kisha nilipitiwa usingizi nikalala..

Kulikucha asubuhi nilijitahidi nikaamka nikamsaidia bibi kazi zahapo nyumbani japo bibi alikuwa ananiambia wewe siume umia hebu pumzika bwana????

Nilimkatalia na kumwambia mimi sijaumia sana bosi devid anapenda kuyakuza mambo????????

Bibi akaniambia lakini yule bosi wako nimtu mzuri sana anaupendo na anajali sana mimi nimempenda pia ????????????

Nikamwambia sasa kama umempenda sawa wewe mpende????????????

Bibi akanigeukia kwanini unaongea hivyo kwani kunanini kimetokea ????????

Nikamwambia hakuna kitu bibi achana na habari hizo tufikilie mambo yetu sisi????????

Tuliandaa chai bibi aliniambia leo nataka tule kitu kizuri sana ninahela mimi????????????

Nilicheka na kumwambia yaani bibi bwana haya andaa kitu unachotaka nitakula ????????????

Bibi alienda dukani na kununua mayai na unga kisha alikuja kuongezea breakfast inoge nilicheka tuu????????????

Tuliandaa na kukaa mezani tukaanza kunywa chai huku tunapigastory ????????????

Tulipomaliza baadae nilimwagiza mtoto mmoja wa jirani aende aka niletee mboga nije nipike????

Aliniletea mboga nikaanza kuipika na kisha nilipika chakula niliandaa kuku wa kienyeji na wali wa mauwa ????????????

Wakati nipo jikoni namalizia kupika nilisikia hodi mlango unagongwa ????????????huyu nae jamani????

Nikataka kwenda bibi akaniambi ngoja niende mimi wewe endelea tuu kupika ????????

nilimsikia bibi akimkaribisha mgeni ndani nilijua tu ni David ????????

Aliingia na bibi aliniita Natasha hebu njoo umsalimie mgeni kaja kukuona bibi nae jamani????

Nilitoka hadi sebreni jamani alikuwa devid nilimtizama akaniminyia kijicho nakuuliza
Unaendeleaje Natasha ????????

Nilimjibu nimeshapona bosi kisha nilimsalimia shikamoo bosi????????

Devid aliitikia na kuniambia vizuri ila ninazawadi yako hapo nje mie what zawadi??????????????

Nilitoka nje sikuelewa nikamuuliza mbona sijaona kitu????????

Devid akanipa mkononi ufunguo na kuniambia hiyo gari hapo mpya niyako khee????????unanitania Boss David ????????

Akasema hapana Natasha mimi sio mtu wa matani naonaga unavopata shida ya usafiri kila siku nikaona si mbaya kutoa zawadi ya gari kwa ajili yako..

Nilibaki ninashangaa gari mungu wangu huyu devid hivi ni kweli????????

Nikamwambia sipendi utani wako ujue bwana????

David akaniambia sijawahi kukutania tangu jana nimekuambia nimependa unavyozani nilikuwa natania aliongea taratibu bibi asisikie????????

Na hatahivyo nilikuahidi ninazawadi yako kwakunitunuku mimi zawadi ya jana hivyo hii ndio zawadi yako Natasha ????

Nilifurahi kimoyo moyo ila sikumuonyesha nikamwambia asante kisha nilichukuwa funguo nikaingia ndani ??????????????

Devid akaniuliza vipi hukuipenda

Nikamwambia asante nimeipenda ????????????

Bibi alishangaa nakuuliza hiigari ni ya Natasha wangu?????????

Devid alijibu ndio bibi ????????

Bibi alifurahi sana na kuomba aingie ndani ya gari nyieee huy bibi yangu nae????????????

Nilimfungulia bibi akaingia alifurahia mnoo na kusema sasa mjukuu wangu tunagari ??????

Nilimwitikia ndio bibiangu ??????

Devid alitukumbatia mimi na bibi?????? alininong'oneza sikioni akaniambia kiukweli nazidi tu kkpenda??????

Hahahaa nyieeee????????????????itabidi tu namimi nianze kumpenda chibaba au mnaonaje????????

Itaendeleaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 08"

Bibi alifungua mlango akabaki mdomo wazi????????nini kinaendelea ????????shikamoo bibi tulimuamkia bibi huku nikiwa najaribu kumuongelesha David kwa ishara ili anishushe chini????????

Tuliaa????????siwezi kukushusha kwa sababu umeumia????????Bibi alimuuliza David kulikoni mbona umembeba eeh baba??

David alimwambia bibi samahani naitwa David mimi ni bosi wa Natasha...

Tulipokuwa kazini alianguka bahati mbaya ila usihofu nimesha muhudumia vizurituu..

Oh nini kimetokea karibuni ingieni ndani bibi alitukaribisha ndani David aliingia huku amenibeba akaniweka kwenye kochi oops mshnz huyu ????????kweli mpnz kikohozi????????

Natasha kesho naomba upumzike nitakuja kukuona tuu sawa ukae nyumbani mpaka utakapopata ahueni????????

Nilijibu kwa sauti ya chini haya asante bosi nitakuwa sawa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

467
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

417
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

344
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

298
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

275
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

182
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

167
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

143
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

117
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

112

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest