Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"

18th Apr, 2025 Views 16

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 12"

Baada ya David kuweka mgomo wa kumuoa Binamu yake ambaye ndo familia yake ilimpitisha kuwa mke wa kijana wao????????

Familia ilimhoji juu ya huyo mchumba anaempenda ni wa wapi na je ni mwarabu?????????? Si hilo tu je familia yake ni tajiri??????????

Mama weee mbona kama kitumbua kimeingia mchanga sa itakuwaje na ndo tyr nishapnda????????kibaya zaidi sina sifa hata moja..????????

Mimi ni mweusi muafrica na ni masikini????????sijui kama nitakubalika miee????????karoho kalinidunda asiwaambie mtu????????????

Devid alijibu huyu sio mwarabu???????? nimweusi tuu na hana shida???????? nampenda hivyo hivyo sihitaji mambo ya mali mimi mwenyewe ninamali inatosha kaka????????

Kakaake alifoka na kisha alipoona haeleweki akakata sim ????????

Baada ya hilo seke seke ndipo nilipoelewa kumbe devid anachangamoto za kifamilia ndo maana leo yuko vibaya????????

But kwa upande mwingine nilifurahi the way alivonipambania??????????????nahisi ni kweli ananipenda kwa moyo wake wote????

Baada ya kuwaza Nilijifanya ni kama nimeshtuka usingizi nikaamka nikamuita Bosi kwanini umekaa huko mbona umeniacha ktndn peke yangu????????

Nilijifanya ni kama vile sijasikia kitu chochote????????

Devid aliniita njoo baby alinkmbatia aka????????kisha akaniambia sipendi hilo jina la bosi nikiwa nawewe naomba niite David au majina mengine ila siyo hilo..

Sawa Dady????????

Haya niambie unasemaje Natasha wangu????????

Mi nataka kujua una shida gani coz you are not okay ????????

Devid alitabasam kisha akaniambia hakika umeanza kunijua sasa???? leo ninajambo linanisumbua kweli ila nitaweka kila kitu sawa..

Ni mambo gani Dady please talk to me????????

kwanza niwewe na mengine niyakifamilia but usijali Natasha okay??

Nikamwambia lazima nijali naomba uniambie kila kitu mpnz mimi nimefanyaje???????????

Devid aliniuliza unanpenda???..

Niliinuka na kumsogelea kisha nilim????????????nikamuuliza swali gani hilo babe ningekuwa sikpnd nisingekuwa hapa na wewe????????

Devid alifurahi sana akaniuliza kweli Natasha

Nikamjibu kweli naomba nikwambie kitu devid

Devid aliniambia haya niambie mpnz wangu akaniweka miguuni kwake akinisikiliza kwa umakini huku akinitazama usoni

Nilimwambia ngoja nikuambie ukweli nikwamba mimi nakpnd sana nilikuwa naongea huku naona aibu najificha machoni????????????

Nasi hilo tu mimi niko tayari hata kuwa mke wako vyovyote tu mi niko tayari Devid wangu??????

Japo hofu yangu ni je nitakubalika kwenu?? Vipi kwa badae ukijanitenda??????????..

sijui jamii itanichukuliaje kwa mtoto mdogo kama mimi kuwa na mtu alonizidi mbali kiumri but kwa sasa sijali Devid????????

Nataka tu ujue kuwa ninakpnda na niko tyr kuwa wako wa milele?????? maneno yalinitoka na ni kwa sababu ya kile nilichokisikia kutoka kwa Devid

Ule msimamo wake kwa ndugu zake juu yangu ulinipa nguvu ya kumpnda vibaya mno????????

Devid alinitizama kwa h sia???????? kisha alinikmbtia na kuniambia asante sana Natasha????????hofu yangu ilikuwa ni wewe kunikubali mimi????????

Hataiweje sitokubali kukuacha natasha nakpnda nkpnd nkpndaaaaaaa??????????????

Dah nyieeee????????nilijikuta tu nishajilaza kfn nabembelezwa zangu na Mzee baba????????

Asikuambie mtu bwana mpnz ni matam sana ukiuruhusu moyowako hasaa kwayule anaekupenda utaenjoy vibaya mnoo????????

Devid alinipg mabus yasiyohesabika????na palepale alianza kuninaliu kwa mdm na sehemu zingine zile tamtam????????????

Yani huyu baba nyieee ananijulia mpaka basi????????

NAOMBENI NIKATISHE HIZI ROST ZITANIPONZA MAANA ZIMEUNGWA MNOO KILA KIUNGO KIKO NJE NJE SI NYANYA SI TANG MMMHH Njoo ujifaidie WhatsApp ????????????

Ukija WhatsApp we niambie baby nataka kuanzia pale ulipokatisha fb nijifaidie zangu kwa raha zangu????????????

Basi bwana baada ya hicho kilichotokea kutokea mi niliinuka pale nikamtizama sana Devid ???? badae nikamwambia mi siko tayari kukuacha..

Unasema kweli Natasha???

Nikamwambia ndiyo amini nachokuambia Devid..

Devidi aliniambia usijali mimi pia sitamani hilo litokee..

Naomba pia kama hautojali ulale hapa kwa leo then kesho nitakurudisha nyumbani kwa bibi..

Nilimwambia david mimi sio tatizo ...tatizo ni bibi nitamwambia nini nikirudi??..

Devid alijibu kuhusu bibi niachie mimi nitaongea nae usijali????

Nilicheka tu kisha nikamuuliza utaongea nini????akaniambia nitamwambia nakpnda sana Natasha sioni kama kuna haja ya kufanya siri..

Kheee nini????????

Yani unataka bibi ajue tyr mjukuu wake nishaanza kunaniliu????????????



Devid alicheka sana kisha akaniambia ndio Natasha ni vyema tumuweke wazi ajue..tambua mimi na wewe tunatarajia kuoana so ni lazima tu ajue...

Sina shaka juu ya hilo Devi but bibi atajua kila kitu muda sahihi ukifika sio sasa..

Okay kwahiyo hutaki kubakia namimi sio??

Ndio nipeleke nyumbani plz..

Okay tuondoke????????

Kwahiyo umenuna??

Ndiyo Natasha sijapenda????????

Nyooo????????????utajiju

Tulipanda kwenye gari tumenuniana haooo tukaanza safari kutokea pale hotelini kwenda nyumbani..

Nilichukua simu yangu nikaingia mtandaoni kupoteza muda maana Devid kaninunia sina wa kuongea nae...

Nimekaa zangu tiktok nakuja kushtuka gari limesimama nikajua tumefika kwa bibi lakini mbona tumewahi hivo.?

Nilifungua mkanda nikachukua mkoba wangu nikashuka kwenye gari nimetelemka kwenye gari nashangaa nje mazingira ni mageni????????

Hapa ni wapi??..????????nilimuuliza David kwani ananijibu sasa et kaninunia bado????????

Kwahiyo hunijibu fine naondoka hata kwa miguu nitarudi nyumbani ????????nilianza kuondoka pale kwa miguu na kibaya zaidi sijui hata ni mtaa gani

Nimetembea hatua chache kidogo nikasimama sielewi ninaenda wapi David yupo tu kasimama ananiangalia????????????

Sasa huyu kanileta wapi huku nayeye ???????? Wakati najihoji maswali mala nikashtukia nashikwa mkono????????????

Ile nataka kupiga kelele nikazibwa mdom na bonge la bus????????????????

Itaendeleaaaaaaaa

Full ni 1000

WhatsApp 0742133100.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
Your settings were saved successfully!
Something went wrong!
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest