MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????
SEHEMU YA 12"
Baada ya David kuweka mgomo wa kumuoa Binamu yake ambaye ndo familia yake ilimpitisha kuwa mke wa kijana wao????????
Familia ilimhoji juu ya huyo mchumba anaempenda ni wa wapi na je ni mwarabu?????????? Si hilo tu je familia yake ni tajiri??????????
Mama weee mbona kama kitumbua kimeingia mchanga sa itakuwaje na ndo tyr nishapnda????????kibaya zaidi sina sifa hata moja..????????
Mimi ni mweusi muafrica na ni masikini????????sijui kama nitakubalika miee????????karoho kalinidunda asiwaambie mtu????????????
Devid alijibu huyu sio mwarabu???????? nimweusi tuu na hana shida???????? nampenda hivyo hivyo sihitaji mambo ya mali mimi mwenyewe ninamali inatosha kaka????????
Kakaake alifoka na kisha alipoona haeleweki akakata sim ????????
Baada ya hilo seke seke ndipo nilipoelewa kumbe devid anachangamoto za kifamilia ndo maana leo yuko vibaya????????
But kwa upande mwingine nilifurahi the way alivonipambania??????????????nahisi ni kweli ananipenda kwa moyo wake wote????
Baada ya kuwaza Nilijifanya ni kama nimeshtuka usingizi nikaamka nikamuita Bosi kwanini umekaa huko mbona umeniacha ktndn peke yangu????????
Nilijifanya ni kama vile sijasikia kitu chochote????????
Devid aliniita njoo baby alinkmbatia aka????????kisha akaniambia sipendi hilo jina la bosi nikiwa nawewe naomba niite David au majina mengine ila siyo hilo..
Sawa Dady????????
Haya niambie unasemaje Natasha wangu????????
Mi nataka kujua una shida gani coz you are not okay ????????
Devid alitabasam kisha akaniambia hakika umeanza kunijua sasa???? leo ninajambo linanisumbua kweli ila nitaweka kila kitu sawa..
Ni mambo gani Dady please talk to me????????
kwanza niwewe na mengine niyakifamilia but usijali Natasha okay??
Nikamwambia lazima nijali naomba uniambie kila kitu mpnz mimi nimefanyaje???????????
Devid aliniuliza unanpenda???..
Niliinuka na kumsogelea kisha nilim????????????nikamuuliza swali gani hilo babe ningekuwa sikpnd nisingekuwa hapa na wewe????????
Devid alifurahi sana akaniuliza kweli Natasha
Nikamjibu kweli naomba nikwambie kitu devid
Devid aliniambia haya niambie mpnz wangu akaniweka miguuni kwake akinisikiliza kwa umakini huku akinitazama usoni
Nilimwambia ngoja nikuambie ukweli nikwamba mimi nakpnd sana nilikuwa naongea huku naona aibu najificha machoni????????????
Nasi hilo tu mimi niko tayari hata kuwa mke wako vyovyote tu mi niko tayari Devid wangu??????
Japo hofu yangu ni je nitakubalika kwenu?? Vipi kwa badae ukijanitenda??????????..
sijui jamii itanichukuliaje kwa mtoto mdogo kama mimi kuwa na mtu alonizidi mbali kiumri but kwa sasa sijali Devid????????
Nataka tu ujue kuwa ninakpnda na niko tyr kuwa wako wa milele?????? maneno yalinitoka na ni kwa sababu ya kile nilichokisikia kutoka kwa Devid
Ule msimamo wake kwa ndugu zake juu yangu ulinipa nguvu ya kumpnda vibaya mno????????
Devid alinitizama kwa h sia???????? kisha alinikmbtia na kuniambia asante sana Natasha????????hofu yangu ilikuwa ni wewe kunikubali mimi????????
Hataiweje sitokubali kukuacha natasha nakpnda nkpnd nkpndaaaaaaa??????????????
Dah nyieeee????????nilijikuta tu nishajilaza kfn nabembelezwa zangu na Mzee baba????????
Asikuambie mtu bwana mpnz ni matam sana ukiuruhusu moyowako hasaa kwayule anaekupenda utaenjoy vibaya mnoo????????
Devid alinipg mabus yasiyohesabika????na palepale alianza kuninaliu kwa mdm na sehemu zingine zile tamtam????????????
Yani huyu baba nyieee ananijulia mpaka basi????????
NAOMBENI NIKATISHE HIZI ROST ZITANIPONZA MAANA ZIMEUNGWA MNOO KILA KIUNGO KIKO NJE NJE SI NYANYA SI TANG MMMHH Njoo ujifaidie WhatsApp ????????????
Ukija WhatsApp we niambie baby nataka kuanzia pale ulipokatisha fb nijifaidie zangu kwa raha zangu????????????
Basi bwana baada ya hicho kilichotokea kutokea mi niliinuka pale nikamtizama sana Devid ???? badae nikamwambia mi siko tayari kukuacha..
Unasema kweli Natasha???
Nikamwambia ndiyo amini nachokuambia Devid..
Devidi aliniambia usijali mimi pia sitamani hilo litokee..
Naomba pia kama hautojali ulale hapa kwa leo then kesho nitakurudisha nyumbani kwa bibi..
Nilimwambia david mimi sio tatizo ...tatizo ni bibi nitamwambia nini nikirudi??..
Devid alijibu kuhusu bibi niachie mimi nitaongea nae usijali????
Nilicheka tu kisha nikamuuliza utaongea nini????akaniambia nitamwambia nakpnda sana Natasha sioni kama kuna haja ya kufanya siri..
Kheee nini????????
Yani unataka bibi ajue tyr mjukuu wake nishaanza kunaniliu????????????
Devid alicheka sana kisha akaniambia ndio Natasha ni vyema tumuweke wazi ajue..tambua mimi na wewe tunatarajia kuoana so ni lazima tu ajue...
Sina shaka juu ya hilo Devi but bibi atajua kila kitu muda sahihi ukifika sio sasa..
Okay kwahiyo hutaki kubakia namimi sio??
Ndio nipeleke nyumbani plz..
Okay tuondoke????????
Kwahiyo umenuna??
Ndiyo Natasha sijapenda????????
Nyooo????????????utajiju
Tulipanda kwenye gari tumenuniana haooo tukaanza safari kutokea pale hotelini kwenda nyumbani..
Nilichukua simu yangu nikaingia mtandaoni kupoteza muda maana Devid kaninunia sina wa kuongea nae...
Nimekaa zangu tiktok nakuja kushtuka gari limesimama nikajua tumefika kwa bibi lakini mbona tumewahi hivo.?
Nilifungua mkanda nikachukua mkoba wangu nikashuka kwenye gari nimetelemka kwenye gari nashangaa nje mazingira ni mageni????????
Hapa ni wapi??..????????nilimuuliza David kwani ananijibu sasa et kaninunia bado????????
Kwahiyo hunijibu fine naondoka hata kwa miguu nitarudi nyumbani ????????nilianza kuondoka pale kwa miguu na kibaya zaidi sijui hata ni mtaa gani
Nimetembea hatua chache kidogo nikasimama sielewi ninaenda wapi David yupo tu kasimama ananiangalia????????????
Sasa huyu kanileta wapi huku nayeye ???????? Wakati najihoji maswali mala nikashtukia nashikwa mkono????????????
Ile nataka kupiga kelele nikazibwa mdom na bonge la bus????????????????
Itaendeleaaaaaaaa
Full ni 1000
WhatsApp 0742133100.