""NAPANUA"
MTUNZI 🌹Dr(Dkt) Kangaroo Nyumbu
UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18
SEHEMU🌹03
💘💘💘💘nikashika kitasa Cha mlango na kufungua,nashusha mguu WA pili akanishika shati bila ya kuongea kitu na akawa ni kama kunakitu anajifikilia huku akiguna na kutikisa kichwa ishara ya kukataa na akaniangalia Kwa huzuni machozi yakimtoka akavuta pumzi Kisha akaniachia akashika stelingi na kulala hapo na kilio juu,sikujali nilifunga mlango na kuondoka japo sikujua wapi naenda,nilitembea Kwa madaha nikijua atanifuata tu ila wapi mpaka napotelea hakuna maajabu akilini nikawa najisemea"ni Bora nimeondoka ila sio Kwa mtihani ule,kidogo nibakeee wangeniekewa Hawa na hivi waarabu Wana roho ngumu SI wangenigawanya Kila kiungo na sehemu yake?,naishi nao ila Kila mara wamejisitili nisiwaone maungo Yao,waaaachaaaa niondoke ila moyo mwingine ukawa unasema sio Fair",ngoja nikapate kitu Cha kuamsha tumbo yaaani mpaka njaaa naelekea Kwa mama kibibi ambae miezi Tisa iliopita nilikula hapa makoko ya wali nilipokuwa Naingia mjini Dar na kuibiwa Kila kitu ubungo na mama huyu alinipa chakula Bure japo hayo makoko yalikuwa na order tayari na mwizi wangu namkumbuka vizuri sana alifanana na mbosso Kwani Yy ndio siku hiyo alikuwa akiigiza mambo ya kumtapeli mboto na mm ndio ilikuwa siku yangu ya kwanza kumuona mbosso,alipopita huku na mzigo wa mboto na mm yule jamaa akapita huku na mzigo wangu ambao niliweka Kila kitu mle,namalizia Cheka kipande kile walichokuwa wakishuti nalia Kwa kulizwa na nilitembea ubungo mpaka buguruni kariakoo ambako nilionana na mama kibibi
Juma.....bi mkubwaaa hodi hapaaaa!!
🍓🍓🍓🍓Aliitikia ila uitikiaji wake ulikuwa na shida ndani yake
Mama k......karibu,,,,,,,,haaaaaa nani vileeeee?
Juma......juma
Mama k.....ndio juma za masiku mwanangu ?
Juma....ni njema kabisa vp ww naona kama hauko sawa?
Mama k....aaaaah najisikia kama naumwa hivi ila Haina jinsi inanibidi kupambana Kwa Leo ninaoda ya muhimu sana na kama isingekuwa hivyo ningelala nimechoka mwanangu
Juma......