Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹04 💘💘💘💘

3rd Aug, 2025 Views 5


Mama k....aaaaah najisikia kama naumwa hivi ila Haina jinsi inanibidi kupambana Kwa Leo ninaoda ya muhimu sana na kama isingekuwa hivyo ningelala nimechoka mwanangu

Juma.....pole sana haya nilikuwa naenda sehemu ila ngoja nikusaidie kazi kidogo

Mama k.....Haina shida nitafanya mwenyewe

🌼🌼🌼💘Alisema vile ila Hali haikuwa nzuri kabisaaa hapo nikajiongeza,alikuwa Ameandaaa vyakupika pale nikaanzaa huku Yy akijilaza na muda SI muda alilala,nilipika pale huku nikiyakumbuka maneno ya marehemu mama yangu kuwa "mwanangu nakufundisha kupika hii ni Kwa faida yako na familia yako pindi mkeo atakapo kuwa anaumwa hauna haja ya kwenda kununua chakula hotel" na sema kweli mama alijua kuwaumiza watu pua na sio pua tu Bali hata chakula pia kilikuwa Bomba nikisema hivyo namaanisha kilikuwa Bomba,nikiwa nimepika Kila kitu huku namalizia kuunga dagaa Kuna mteja alikuja

Mteja....mama k sio Kwa harufu hiyo ya chakula japo mchana huwa sili kwako ila Leo itanibidi ,mama k....mama k?

Juma....mama anaumwa amepumzika

🍓🍓🍓😭Hapo nikajitokeza ila nilipigwa na bonge la mshangao Kwan nilimuona ni pini la maana

Mteja.....na ww ni nani?

Juma....mwanae

Mteja....mbona hajawahi niambia kama anamtoto mwingine WA kiume zaidi ya karo Binti yake

Juma....na mm pia labda alisahau kukujuza

Mteja....sawa ndio unaitwa nani?

Juma...juma

Mteja.....mmmhhh juma na karo wapi na wapi Kwani majina tu yanaleta uislam na ukristo mama huyu,sawa naitwa Monica mm natoka akiamka mama mwambie Leo aniachie chakula mwambie Monica

Juma....sawa

😇😇😇😇Nikarudi kupika dagaa wangu ambao walinukia sana,nilishindwa kumwamsha mama k baada kuona Nazi iliokunwa ikiwa kwenye kikombe na mm nimemaliza pika na hata hivyo sijawahi pika Kwa kutumia Nazi,ni Saa Saba kasoro kama dakika 4 hivi akaja jamaa Mmoja ambae amejaa mkaa ikiwa na maana ametoka kubeba

Jamaa.....chakula tayari?

Juma.....ndio ila ngoja kidogo kwani nilisikia.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

""NAPANUA" UMRI🌹 ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU🌹04 💘💘💘💘  >>> https://gonga94.com/semajambo/napanua-umri-zaidi-ya-miaka-18-sehemu-04
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

BLOOD MOON EPISODE 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 03

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 02

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 01

majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest