speed kama yote na ndani ya dakika Tisa alikuwa ameisha Rudi na alipitilizia chumbani na akarudi huku kavaa nguo za kulalia ila juu aliweka kanga
Caro....haya kaka juma tunafanyaje chakula usiku huu?
Juma... Kwa mm nimeshiba ila kama vp nipate matunda tu
Caro....Sawa hata mm nitakula matunda vp aina Gani?
Juma....parachichi tosha
🦜🌲💋😅🍓Alienda kufungua friji na kuanza andaa huku tukiangalia tv na mastori kibao kwenye tv si mahaba yakafikia wazungu bwana mara mate mara mikono kwenye msambwanda mara mtu kavuliwa akabakia dodo wazi mara kabati inashushwa hapo ukimya ukatupitia wote Kisha nikamwangalia caro na yy akawa anaona aibu shida remote Iko juu ya TV hapo tukashindwa wote kuamka Wala kuzima,viuno vikaanza na sauti ya kimahaba wazungu walinifurahisha sana yaaani walinisaidia upelelezi
🫀💘🍁💋🥀Caro akasimama na kuniletea matunda kwenye sahani na alipoinama kuniwekea kwenye kimeza Ile nguo ya kulalia ikashuka na dodo nikawa naziona hizi hapa
Caro...karibu
Juma...akhsante,,,,,Sasa unaenda wapi si ukae hapa?
💋🍁🌲🍁🍓Naongea hivyo huku nimemshika mkono na caro hakuongea kitu na akakaa Kwa Ishala TU caro nae alikuwa kazuzuliwa na wale wanzungu,ukimya ulipita Kisha nikalianzisha huku nikianza weka mkono kwenye paja lake hapo nikiwa napima je Yuko na mm ama nazani utumbo,mkono ukapanda na kushuka pajani Kwa taratibu sana
Juma...mpenzi wako anaitwa nani?
Caro....Kwa sasa Sina
Juma....ilikuwaje mkaachana?
Caro....alikuwa na mahusiano na rafiki yangu na mpaka Sasa wako wote
Juma....ni muda Gani Sasa tangia umembwaga?
🌲🍓🥀🍁🫀Maswali hayo ya kiuzushi kupotezea lengo tayari nilikuwa nimeisha shika mapaja yote mkono umeisha papasa dodo Kwa juu na Sasa napitisha mkono Kwa ndani na ninazishika dodo live
Caro....niiii mmmmhhhh jamani jumaaaa mm siiiiiiii
Juma....nn caro?
Caro....najisikiaaaaa vibayaaaa aaaaahhh
🍓🍁💋🍁🌲🍁Nikaona tayari kalainika huyu.