Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
30 Nov -0001
55 views
VYOTE NDANI GONGA94
""NAPANUA" UMRI๐น ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 07 ๐ญ๐ญ๐ญ๐ผ
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na sms ya boy friend wake Taujat"ooooyiiii broo niaje mbona ghafla sana kuondoka home embu tuongee basi kama wanaume shida ni nn?","SEMA uko wapi nije tuzungumze broo kama ni mambo ya mshahara usihofu naongeza ila sio kimya kimya" na sms nyingine nyingi ila sikujibu yoyote Ile na rudia simu mfukoni hospital hiyo mbele yangu
๐ผ๐ผ๐ผ๐ผNikaingia na kumkuta mama kibibi na caro wanazungumza japo mama k Bado anadrip mkononi
Mama k....juma akhsante sana Kwa kunihudumia mpaka hapa!,
Juma...Haina shida Wala sio kitu Kwani ww ndio wakushukuriwa!
Mama k....hapana unaitaji hiyo shukrani alafu nimepokea Salam zako
๐๐๐๐Hapo nilishituka ni nani anaenijua mm
Juma...kutoka wapi?
Mama k....wateja na wamesifia sana chakula Cha Leo sijui umewawekea nn?
Juma....hahahaha hamna kitu mama
Mama k....hapo kwenye mama Sasa na wao uliwatsmbukisha kama ww ni mwanangu WA kumzaa ni kweli?
Juma....ndio Ili mashwali yasiwe mengi na pesa zako hizi hapa
Mama k...umepata shilling ngapi?
Juma....laki na elfu Tisa
๐ซ๐ซ๐ซ๐ซMama k na caro wote wakaguna Kwa mshangao huku nisijui wakimaanisha nn
Caro....laki na elfu Tisa?
Juma....ndio
Caro.....yaaani hatujawahi uza hivyo na siku tukiuza sanaaa ni shilling elfu 90
Mama k....ulifanyaje Kwani ama ulipika Tena?
Juma...hapana,,,,haya kula kwanza
Mama k.... akhsante Kwa Kila kitu juma ila Sasa hapa Kuna shida
Juma....shida Gani?
Mama k....mm kurudi nyumbani haiwezekani usiku huu na kesho ndio natoka naomba Leo ukalale kwangu Ili usimamie Kila kitu Kwani Kuna wezi sana kwetu na huyu caro akilala ni kama amekufa wasije wakaiba na hivi wengine wanajua nimelazwa wanaweza tumia fursa hiyo
๐๐๐๐Nilikaa kimya bila kujibu kitu Kwani sikutalajia hayo
Juma....Sasa mama daaah mimiiiii
Caro....kaka tusaidie ukalale kwetu
Mama k....nisaidie mwanangu
Juma...Sawa ila kesho naondoka ukirudi niendelee na safari zangu?
Mama k.... akhsante,,,,,alafu
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
SHAMIRA sehemu ya 13&14
Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipe...
Kipande cha 10 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jio...
""NAPANUA" UMRI๐น ZAIDI YA MIAKA 18 SEHEMU 07 ๐ญ๐ญ๐ญ๐ผ
na sms ya boy friend wake Taujat"ooooyiiii broo niaje mbona ghafla sana kuondoka home embu tuongee basi kama wanaume shida ni nn?","SEMA uko wapi nije tuzungumze broo kama ni mambo ya mshahara usihofu naongeza ila sio kimya kimya" na sms nyingine nyingi ila sikujibu yoyote Ile na rudia simu mfukoni hospital hiyo mbele yangu
๐ผ๐ผ๐ผ๐ผNikaingia na kumkuta mama kibibi na caro wanazungumza japo mama k Bado anadrip mkononi
Mama k....juma akhsante sana Kwa kunihudumia mpaka hapa!,
Juma...Haina shida Wala sio kitu Kwani ww ndio wakushukuriwa!
Mama k....hapana unaitaji hiyo shukrani alafu nimepokea Salam zako
๐๐๐๐Hapo nilishituka ni nani anaenijua mm
Juma...kutoka wapi?
Mama k....wateja na...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/napanua-umri-zaidi-ya-miaka-18-sehemu-07
Maoni