Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
04 Feb 2026
585 views
VYOTE NDANI GONGA94
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 13
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nikamuangalia Kwa hasira Yani hasira ilinizidi mpaka nikawa natafuta meno π‘ natamani nimng'ateng'ate Kwa msiojua mie nimechanganya na ukurya upande mmoja kwaiyo hapa kaingia sehemu sipo.
Kwanz nikamuuliza wew unanipangia Mimi maisha umenitongoza lini akaanza kujing'atang'ata nikamwambia Yan ujue nimekuvulimia sana na kama haujui wewe kukutukana nakutukana na kukukataa nakukataa na chakunifanya huna na kama ni iyo kazi mkataba ukiisha ntaacha sio shida zangu. Freeman alivyosikia ivo nikama alichanganyikiwa akapiga na magoti haraka haraka akaanza kulia eti anaomba msamaha ujue kabla nilikuwa namuona mtu kwel mwenye akili zake na elimu zake eeehe kumbe hanaaakili uyu eeeh nikamwambia Aya utoke humu ndani haraka sana na tusijuane kabisa Yani Nilivyoona hatoki nikamsaidia kumtoa nikafunga na mlango.
Akabaki pale njee analia alivyoona simfungulii akapanda gari akaondoka. Nikawa nimevurugika na Mimi sema nikaanza kuona huruma Kwa nilichomfanyia mkaka wa watu jamani nikatamani hata nimtafute nikawa nampigia ila hapatikani, nikajisemea maybe kashaniblock nikawa naendelea na kazi zangu baadae jioni dada akanipigia simu akaniambia njoo haraka hospitali ya st. Croatia nikamuuliza Kuna Nini akasema we njoo haraka sana. Nikavaa nguo haraka Kisha nikatoka pale home nikaita Uber ikanipeleka kufika kule nikaelekezwa niende wapi hapo nikajua dada angu anaumwa labda au Jayson ndo anaumwa ila nilivyofika pale nikakuta yupo Kendrick Jayson dada na mama mmoja wakizungu na mbaba.
Nikamfata dada kumuuliza Kuna Nini dada akawa yupo kimya kama mtu aliechanganyikia nikabaki nimesimama Kendrick akanifata akanikumbatia uku analia alafu mkononi mwake alikuwa na damu hapo ndo nikazidi kuchanganyikiwa namuuliza Kuna Nini Kendrick akawa ananiambia kakaangu anakufa Lailatπ, nilishtuka nikamuuliza kimetokea Nini akasema kapatwa na ajali mbaya sana hapa yupo Emergency haieleweki kama atapona au laaha π, nikamkumbatia Kendrick na mie machozi sasa maana nshajua shida ni Nini, nikaanza kujilaumu kwanini nilichagua kumfanyia vile.
Nikampeleka Kendrick akae kwenye kiti nikamfata dada, Dada akawa ananinong'oneza akaniambia Yan we mtoto wewe sijui nikufanye Nini. Nikamuuliza dada kwani nin akasema wewe ndo umeyataka haya machozi yakawa yananilengalenga. Hapo hapo dokta akatoka akaja akauliza ndugu wa mgonjwa wapo wapi wale wazee wawili wakasema sisi hap ndo wazazi wake Dokta akasema kwasasa mgonjwa yupo nje ya hatari na atazinduka baada ya masaa mawili na akishazinduka hatakwi kuwa na stress za aina zozote Wala hatakiwi kukumbushwa kitu cha maumivu chochote maana kitamuumiza kichwa na ataaanza kuuumwa Tena.
Wazee wale wakaitikia sawa dokta, dada akamuaga Jayson na Kendrick Kisha tukaondoka maana anajua tuu kuwa mie ndo stress namba moja ya mgonjwa π
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Nikamuangalia Kwa hasira Yani hasira ilinizidi mpaka nikawa natafuta meno π‘ natamani nimng'ateng'ate Kwa msiojua mie nimechanganya na ukurya upande mmoja kwaiyo hapa kaingia sehemu sipo.
Kwanz nikamuuliza wew unanipangia Mimi maisha umenitongoza lini akaanza kujing'atang'ata nikamwambia Yan ujue nimekuvulimia sana na kama haujui wewe kukutukana nakutukana na kukukataa nakukataa na chakunifanya huna na kama ni iyo kazi mkataba ukiisha ntaacha sio shida zangu. Freeman alivyosikia ivo nikama alichanganyikiwa akapiga na magoti haraka haraka akaanza kulia eti anaomba msamaha ujue kabla nilikuwa namuona mtu kwel mwenye akili zake na elimu zake eeehe kumbe hanaaakili uyu eeeh nikamwambia Aya utoke humu ndani...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/pilot-sitaki-inaniogopesha-sehemu-ya-13