Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
04 Feb 2026
419 views
VYOTE NDANI GONGA94
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 9
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Alianza yeye kunitumia sms kavu iyo Yan just imagine mtu hata hakusalimii anakutumia sms tuu unajuanaje na CEO Freeman, khaaa nikamtumia sms jamani hata salamu akaniambia nijibu kwanza Nina maana yangu Binti, nikaona isiwe tabu ngoja nimpigie kabisa akapokea Tukaanza kuongea akaniuliza Tena sasa we mtoto unajuanaje na CEO Freeman nikamuuliza uyu wa uku kazini kwangu akasema ndio. Na Mimi nikamuuliza kwanini unaniulizia akasema kwasababu kanitafuta kaniambia tutoke tumeenda sehemu nikajua labda ananitaka kumbe anakutaka wewe maana kakuulizia mwanzo mwisho, nikamuuliza eeeeeh dada we kakwambia kabisa Kwa mdomo wake ananitaka au umejiongeza tuu akasema eeeh sasa mdogo wangu mie nikudangnye Tena ukizingatia mie mtu mzima naelewa alafu uyo namjua ndugu yake mmoja yeye ndo kaniibia iyo Siri.
Nikamuuliza ila dada uyo mtu siameoa jamni sijui, dada angu sasa akanzaa kutetea ananiambia wee nawe izo taarifa za umbea Nan kakupa Wala hajaoa sema tuu ana mchumbaake, nikamwambia eeenhee Hapohapo sasa si anamchumba jamani alafu unataka nitoke nae jamani dada, Da Jully akanimbia Yan wewe kwel ni mbongo ingawa upo marekani ila hubadiliki we mtoto kwanza anaekutaka ni mchumbaake au yeye mwenyw kwani umemfunga Kamba si ni yeye mwenyw Kwa hiyari yake, ππila dada akaniambia we chekacheka mambo mazuri ndo hayo yanakupita Yan mtoto mshamba wewe sema unanyota pia Kuja na kuja tuu hata kujulikani ushapendwa na umewakuta wazuri zaidi yako, Nikamjibu kawaida yangu eeeeeh au sio mdogo wangu sema ukirudi uje kunipa dawa ya mganga wako na mie nikawagalagaze ofisi ππila dadaangu jau.
Nikamwambia embu niache kwanza ayo mambo ya Freeman tutaongea nikirudi akasema nimekwambia mapema sio ungekuja mtu anakushobokea unashangaa nikamjibu sawa. Nilivyokata tuu simu ya dada ikaingia sms kwenye namba ngeni inasomeka mambo nikajibu poa, nilivyojibu tuu Ile namba ikaanza kupiga kwakua huwa Sina tabia ya kupokea namba ngeni nikakataa simu. Uyo mtu Wala hakunitafuta Tena Wala kutuma sms, nikajisemea labda mtu tu kakosea namba sijakaa sawa nikaja kugongewa mlango ni yule mkuu wetu Akatuambia muda umefika na wenzangu wote washarudi wananisubr Mimi tuu.
Nikabeba begi langu haraka maana nilikuwa nshajiandaa, nikatoka na yule mdada maana anaonekana ni kikongwe kweny zile kazi, tukatoka mpaka kwenye gari Kisha tukaenda airport kufika kule tukasign maana ndo tulikuwa tunatoka muda uo ulikuwa ni zamu yangu maana mie ndo kiFaransa kimelala kichwani Yan sio kwamba wengine hawajui, wote wanajua sema Kuna wale tunaojua zaidi ambao ni Mimi na Jane ndo maana tukapewa kipaumbele.
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Alianza yeye kunitumia sms kavu iyo Yan just imagine mtu hata hakusalimii anakutumia sms tuu unajuanaje na CEO Freeman, khaaa nikamtumia sms jamani hata salamu akaniambia nijibu kwanza Nina maana yangu Binti, nikaona isiwe tabu ngoja nimpigie kabisa akapokea Tukaanza kuongea akaniuliza Tena sasa we mtoto unajuanaje na CEO Freeman nikamuuliza uyu wa uku kazini kwangu akasema ndio. Na Mimi nikamuuliza kwanini unaniulizia akasema kwasababu kanitafuta kaniambia tutoke tumeenda sehemu nikajua labda ananitaka kumbe anakutaka wewe maana kakuulizia mwanzo mwisho, nikamuuliza eeeeeh dada we kakwambia kabisa Kwa mdomo wake ananitaka au umejiongeza tuu akasema eeeh sasa mdogo wangu mie nikudangnye...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/pilot-sitaki-inaniogopesha-sehemu-ya-9