Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
04 Feb 2026
473 views
VYOTE NDANI GONGA94
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 8
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ikafika mida ya saa saba nikamuagaa naondoka akanishika mkono eti akaanza kunikiss namuuliza Nini akaniambia sasa unaondokaje bila ata goodbye kiss π mpenzi, nikamjibu nenda Kwa mpenzi wako nchini akupe goodbye kiss mie Sina mda, Kisha nikaondoka zangu nikambamizia na limlango lake. Nikaenda chumbani kwangu nikajikuta tuuu machozi yananishuka hapo ndipo nikajua nimeshaanza kumpenda Kendrick, Tena sio kumpenda nimeanza kumpenda Sanaa Tena nikiutani utani tuu. Nikaenda kuoga Tena maana alinishik na marashi yake Yana harufu Kali. Nilivyotoka kuoga nikaenda kulala.
Kesho yake mapema tukaitwa wote na mkuu wetu Akatuambia Leo kama mtu anataka kutoka anaruhusiwa maana tunandege usiku wa leo so mda huu mchana tunaruhusiwa kutoka na kufanya issue zetu zingine tukamuitikia sawa madam. Ila tukasisitizwa hamna kutumia kilevi cha aina yoyote Wala kula vitu vigeni matumboni kwetu ilikuepusha kuumwa na tumbo au hata kulewa kabisa, tukajibu sawa ila mie Wala sikutoka nikarudi chumbani kwangu wengine wakatoka nikaenda zangu kulala maana Mimi na usingizi sidhani kama tunaweza kutenganishwa kwakwel.
Mida ya saa Tano asubuhi sms ikaingia kwenye namba ngeni inasomeka hivi njoo mlangoni ninashida na wewe, sasa sikujua sms katuma Nan hivyo nikaenda kuangalia ni nan alietuma na Kuna nini nikakuta ni Kendrick kaja na vimaua vyake uchwala ππ, nikamsalimia kama simjui vile ye mwenyw akashangaa kwanza then ndo akaitikia akaniuliza vipi unaumwa nikamjibu ndio maaan sikutaka usumbufu kabisaa yan kichwa changu hakipendi makelele sana sana nikiwa nimevurugwa akaniambia kaniletea maua nikamjibu asante ila Mimi sio nyuki.
Kwanza hakuamini kama Mimi ndo nimemjibu ivo, ni hakuamini kabisa Yani akaniangalia usoni Kwa mshangao nikamuuliza vipi hujaniskia au akasema kusikia nimeskia sema jibu sijalitarajia, nikamwambia Aya litarajie Kisha nikafunga mlango wangu alivyochizi akawa anagonga Tena mlango kwasababu sipendi makelele nikaenda kusikiliza labda anaongea jambo la maana eti ananiuliza kama nimekasirika kisa crush wake, nikamjibu Sina muda uo wa kukasirikia ujinga akaniambia uku anacheka kwaiyo una wivu mtoto wa kike nikamuangalia uyu mshenz uku kimoyo moyo najisemea Bora hata sikufanya na wewe maana angechukua bikra yangu ya bureee mtoto wawatu nimejitunza mwenywe π Kisha nikaubamiza mlango sikutaka stori nae kabisa.
Nikaingia ndani sms ikaingia kutoka kwake eti ananiambia nashkuru Kwa kunifungia mlango, eeeeeeh uyu nae akajua sijui ntampapatikiiiiia sijui kuomba msamaha, naona alijua Mimi kama ivo vidada vya kizungu ambavyo vinamnyenyekea Yan atakama nampenda ila siwezi kujishusha ivo ovyooo. Nikalala zangu baadae nikaamka kwenda kula pale chini hotelini nikamkuta kakaaa na wadada wakifrance wanaongea wengine kawashika viuno, niseme ukwel wa Moyo kile kitu liliniumiza sema tu nikajikaza nikaendelea zangu kula nilipomaliza nikaenda chumbani kuoga Kisha nikaanza kupanga vitu vyangu maana saa kumi na mbili kamili tunatakiwa tuwe kwenye gari kuelekea uwanja wa ndege. Nikapanga vitu vyangu Nilivyomaliza nikaanza kuchat na dadaangu Jully.
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Ikafika mida ya saa saba nikamuagaa naondoka akanishika mkono eti akaanza kunikiss namuuliza Nini akaniambia sasa unaondokaje bila ata goodbye kiss π mpenzi, nikamjibu nenda Kwa mpenzi wako nchini akupe goodbye kiss mie Sina mda, Kisha nikaondoka zangu nikambamizia na limlango lake. Nikaenda chumbani kwangu nikajikuta tuuu machozi yananishuka hapo ndipo nikajua nimeshaanza kumpenda Kendrick, Tena sio kumpenda nimeanza kumpenda Sanaa Tena nikiutani utani tuu. Nikaenda kuoga Tena maana alinishik na marashi yake Yana harufu Kali. Nilivyotoka kuoga nikaenda kulala.
Kesho yake mapema tukaitwa wote na mkuu wetu Akatuambia Leo kama mtu anataka kutoka anaruhusiwa maana tunandege usiku wa leo so...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/pilot-sitaki-inaniogopesha-sehemu-ya-8