Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
04 Feb 2026
604 views
VYOTE NDANI GONGA94
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 11
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Sikutaka kujua kama kaskia au hajaskia nilichokuwa nataka nikwenda nyumbani tuu kwaiyo nikampita kama simjui. Nikatoka njee nikamkuta bwashemeji πJayson ananisubiri na gari. Nikapanda kweny gari ila Leo nikavunja ukimya nikamuuliza Iv wewe unampango gani na dadaangu, Uyo mkaka akaniangalia Kisha akatabasamu akaniuliza kwaiyo kashakwambia kabisa nikamjibu ndio ila nilimbana sana mpaka akaniambia.
Jayson akasema Yan mie dadaako nampenda sana sema yeye tuu anazingua, mie Tena nikajikuta mkutanisha wapendanao nikamuuliza nikutengenezee mazingira, nilivyosema ivo akasimamisha gari chap Kisha akaniuliza kwel, Hapo ndo nikajua mkaka wawatu kwel kapendaπ yupo serious akaniuliza eenhe utanisaidiaje, nikamwambia aah shemeji usijali kabisa Yani pale mke unae mbona we kuwa mvumilivu tuu kidogo akasema sawa shemeji ukihitaji chochote utaniambia moyoni najisemea yes hapa shemeji nshamapata mbona.
Tukaongea kidogo then akanipeleka nyumbani nikawa nimepata kazi mpya sasa ya kumuonganisha dada na shemeji, nikafika nyumbani Jayson akaniingizia begi mpaka ndani, chezea shemeji weweπ. Siku iyo dada Wala hakuenda kazini kwakuwa alikuwa kashapika akamkaribisha na Jayson tukala pale ila Muda wote nikimuangalia mkaka wa watu anamuangalia da Jully Yan Hadi hurumaπ.
Baadae tulivyomaliza kula Jayson akaondoka nikabaki Mimi na Jully sasa Kila mtu anataka kuongea na mwenzie Ikanibidi nikamwambia aanze Jully.
Akaanza na kuniambia hivi ujue jana CEO Freemani kanipigia analalamika kwanini humpokelei simu zake π³, nikataka niongee dada akanikatisha akawa anaendelea kuongea ananiambia mdogo wangu sio vizur unavomfanyia mtoto wa mwanamke mwenzio Yan hupokei hata simu tuu. Ikanibidi nimuulize sasa dada mie ningejuaje jamani mpaka unanilalamikia alafu ujue alinipigia mara moja tuu hakupiga Tena dada akaniambia haijarishi we kwanini hukumpigia sasa alivyopika, ila dada bhana anatetea maovu tuu nikamuuliza ila dada alafu yule si anamchumba kabisa jamani unataka nidate na mtu mwenyw mchumba alafu pia licha ya ivo yule pale yule hajanitongoza Yan sijui yupoje Leo mbele za watu ananifokea eti kwanini sijampokelea simu. Dada alivyosikia ivo akaanza kushangaa weeee shogaangu kwel nikamwambia ndio, dada akaaanza kushadadia unaona mkaka wawatu anavyokupenda unaona.
Sasa nikamwambia dada ujue hajanitongoza dada akasema ndio najua ila ndo anakupenda nikamwambia mie siwezi alafu pia Nina sababu nyingine ya kumkataa ukiachana na iyo. Dada akauliza eenhe sababu gani bibie nikamwambia mie nampenda Kendrick ingawa kwasasa tumegombana.
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Sikutaka kujua kama kaskia au hajaskia nilichokuwa nataka nikwenda nyumbani tuu kwaiyo nikampita kama simjui. Nikatoka njee nikamkuta bwashemeji πJayson ananisubiri na gari. Nikapanda kweny gari ila Leo nikavunja ukimya nikamuuliza Iv wewe unampango gani na dadaangu, Uyo mkaka akaniangalia Kisha akatabasamu akaniuliza kwaiyo kashakwambia kabisa nikamjibu ndio ila nilimbana sana mpaka akaniambia.
Jayson akasema Yan mie dadaako nampenda sana sema yeye tuu anazingua, mie Tena nikajikuta mkutanisha wapendanao nikamuuliza nikutengenezee mazingira, nilivyosema ivo akasimamisha gari chap Kisha akaniuliza kwel, Hapo ndo nikajua mkaka wawatu kwel kapendaπ yupo serious akaniuliza eenhe utanisaidiaje, nikamwambia aah shemeji usijali kabisa Yani pale mke unae...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/pilot-sitaki-inaniogopesha-sehemu-ya-11