Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 17 -- 18
Gonga94 · Stories

*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 17 -- 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Chapter 17

"Unaenda wapi usiku wote huu, ni kwamba ndio umekasirika kwa mimi kuchukua haki yangu kwa mke wangu, au umekasirika baada ya kujua mimi ndio niliekudunga ujauzito, akasema ..

Nilikuwa na hasira sana sikutaka kuongea nae, maana uzembe wake umesababisha mpaka wazaz wangu wakaniona kama sina maadili mazuri na nimewazalilisha, kwa sababu yake amesababisha nikaanza kutanga tanga mtaani kama omba omba, nilikuwa nina hasira sio siri...

Akawa anajaribu kunizuia ila alishindwa nikachukua taksi mpaka nyumban kwetu...

Wazaz wangu ndio walikuwa wanajiandaa kulala, nikawagongea, maana wakati ule nilikuta ndio wanazima taa..

nilisikia sauti ya baba ikisema " nani?

" ni mimi alice baba, nikajibu kwa sauti ya kujiamin...

Baba akafungua mlango nikaingia mpaka ndani, mama nae akatoka akataka kujua kuna shida gani...

Nikajikuta naanza kulia, kila nikifikiria mapito yangu, kisha nikaanza kuwasimulia kuanzia nilipoingiliwa na mtu nisiemjua na moaka nilipojigundua ni mjamzito na namna walivyonifukuza, alafu sasa hivi nakuja kugundua kuwa mtu huyo ni mume wangu, mwanaume ambae nilidhan hawez kifanya jambo lolote baya kwangu Solomon..

Mama yangu alianza kulengwa lengwa na machozi kisha kwa sauti ya unyonge akasema ' kwanini haukusema kuanzia mwanzo binti yangu, huenda hata mambo yasingekuwa mengi hivi mwanangu, kwanini haukusema kuwa haumjua baba wa mtoto kwa sababu kuna mtu alikutaka kimwili bila ya ridhaa yako, mwanangu tungekuelewa kuliko kukaa kimya, naomba unisamehe sana binti yangu, akawa anasema mama...

Wakati wote huo baba yangu alikuwa kimya, mara tukasikia mlango unagongwa, baba akauliza tena " nani?..

'ni mimi baba simon, nikasikia sauti ya mume wangu, nilitaman baba yangu asiende kumfungulia mlango, ila alienda, kisha baada ya kufunguliwa mlango alisalimia kisha akasema baba na mama naombeni mnisamehe sana, ila klwa ridhaa yenu naomba niondoke na mke wangu..

mimi siwezi kuondoka na wewe, mwanaume una roho ngumu kama jambazi, naomba uondoke nyumban kwetu....

alice ondoka na mume wako, siwez kulala na mke wa mtu hapa, akasema baba, mama akaanza kulalamika na kusema unataka mwanangu aondoke na huyu kijana, kwanza familia ya kijana haimtaki mwanangu, kila siku mtaani inanitangazia ubaya, na kingine kwanini amfanyie mwanangu mambo yote ya ajabu alafu anakuja kujisafisha kwa kumuoa, hata mimi siwez kurudhu mwanangu aondoke hapa na huyu mwanaume...

Baba yangu akamuangalia mume wangu, kisha akamuuliza" umekuja na gari mwanangu?.. ndio baba, akajibu Solomon kwa sauti ya unyenyekevu wa hali ya juu..

Baba akasogea mpaka nilipo kisha akamchukua mtoto na kumbeba yeye kisha akaanza kusogea kuelekea mlangoni kisha akasema nimeshakusaidia mjukuu, tafuta namna ya kumrudisha mke wako nyumban..

Aisee mume wangu alikuja na kunibeba taksi bega mpaka kwenye gari kisha baba akanikabidhi mtoto, na kusema, kama siku nyingine mnataka kuleta kuleta kesi znu, hakikisheni ni kesi za kimahaba na hakuna mtu ambae anaweza kuwasikiliza kesi yenu zaidi ya kitanda chenu...

Sikumuelewa baba amesema nini kwa wakati huo, nilikuja kumuelewa baadae, na kweli nikarudi na mume wangu nyumban, nilijua wazaz wangu watanitetea kumbe ndio

Chapter 18

Nimefika nyumbani nimenuna balaa, alikuwa ananiangalia kwa upole, ila sikumjali, nikamnyonyesha mtoto kisha nikapanda kitandani nikalala zangu...

Kwenye usiku mkubwa, sijui ilikuwa ni saa nane au ni saa tisa, nikaanza kuhisi napapaswa, nilikurupuka na kumkuta mume wangu akiwa anahali mbaya sana, alikuwa anaonerkana kama anahitaji hakli yake ya unyumba...

"vipi wewe embu niache, nikasema akaniangalia kisha akasema kwani bado haujamaliza ada hyako ya uzazi....

Hapo ndio nikakumbuka kuwa nilikuwa nimetoka kujifungua siku sio nyingi sana na alikuwa anaonekana alikuwa ananihitaji sana na anasubiri kwa hamu damu ya hedhi ikate ili ajilie vitu vyake...

"ndio bado sijamaliza ada yangu, nikajibu.. aaa ngoja nihakikishe, akasema mume wangu kisha akanisogelea na kuanza kunivua nguo, nikawa naleta purukushani, akaniangalia kisha akasema hakikisha vurugu zako zinamuamsha mtoto, maana unamjua namna anavyolia usiku kucha mpaka paka wanaiga sauti yake.....

Ikabidi nitulie na kwenye kuni kagua si akakuta nipo msafi, akaanza kunipapasa, sikuwa nampoa ushirikiano maana nilikuwa nina hasira nae balaa, akaniangalia kisha akasema " aaaa wewe kama unataka kuninunua ninunue tu sina tatizo na hilo, ila naomba unipe haki yangu, maana vidude huwa havinunianagi...

Nikajikuta naanza kucheka, nilikuw anajua mume wangu ana kichwa cha wenge, basi akaja na kuanza kunipapasa, safari hii kwa ufundi zaidi kuliko mara ya kwanza, mpka nikajikuta natoa ushirikiano, alikuwa anaonekana kama ana ugwadi wa muda mrefu tu, basi bao la kwanza aliwah sana kulipata, na kwenye kutafuta bao la pili hapo ndipo tatazo, maana mwamba yuko juu, tunafanya kubadilisha style tu...

Basi kama tunavyojua hakuna marefu yasiokuwa nan cha, basi cha ikafika na akamaliza kisha tukalala akiwa amenikumbatia kwa mapenzi makubwa...

Asubuh naamka nakuta amashafranya kazi zote akataka tutoke, ikajua huyu anataka kujisafisha nimuone mwema tu, hana lolote...

Tukatoka na mtoto wetu, tunemefika hilo eneo ambalo alikuwa amepanga, akaanza kuniomba msamaha kwa kila kitu, akawa anasema kuwa mimi ndio nilisababisha kila kitu, ikabidi niulize nimesababisha kwa maana ipi, kwa sababu sikuwah bhata mara moja kuwa na mahusiano nae kusema kuwa nilishawah nkutengeneza mazingira ya kumsaliti hata mara moja....

" unajua ni kwa sababu gani niliacha kuwa na mazoea na wewe? Akauliza...

"hio sababu ndio ilisababisha unifanytie ukatili? Ikabidi na mimi niulize swali juu ya swali.. acha basi kisiran mamaa, nataka tumalize hili na tusameheane ili ikiwezekana tuanze mwanzo mpya mimi na wewe kipenzi changu, nilikuwa nakupenda kuanzia nimeanza kujua mapenzi, nilikuwa nakupenda sana, sasa niliogopa usije ukanichukulia kama rafiki au kama kaka yako ndio maana nilikata mazoea na wewe, ila naomba unisamehe kwa sababu nilisababisha usichaguliwe chuo, niliogopa sana ukienda vyuo vya mbali na kwenu unaweza kupata mwanaume mwingine na mimi nikakukosa, kuna namna nilifanya ukawa huwezi kutoka nje ya mkoa wako kwenda kusoma, nisamehe sana kwa hilo, ila lililokuwa linaniumiza zaidi, ni ulivyokuwa unakata viuno kwenye shughuli za watu, niliamin kuwa mimi pekee ndio natakiwa kuona namna unavyokatoka na siuo mtu mwingine yoyote, nisamehe sana mke wangu, nilishindwa kuuhimili wivu wangu, nikajua labda unafanya vile kwa sababu unataka mwanaume, ndio maana nikaona nikupe haki yako, sikujua ninaweza kutengeneza chuki kwako kiasi chote hicho...

Naomba usinichukie mke wangu, maana ni muda mrefu sana nimekuwa nikikupenda sana, na nakuapia kuwa siwez kuwa na mwanamke mwingine zaidi yako, maana wewe ndio wa kwanza na wa mwisho kwangu, naomba acha kisirani na tuendelee na maisha yetu ya furaha na upendo kama ambavyo tulikuwa tunaishi mamaa, akaanza kujitetea...

:

Nikamuangalia kisha nikaangalia chini, ni kweli amenikosea sana, ila amekuwa akinoonesha upendo usio na kifani kwa muda wote ambao alipata bahati ya kuwa karibu yangu...

Nikaona nisijifanye nakaza fuvu sana kwa sababu hata mimi mwenyewe nampenda ni hasira tu, na nisiruhusu hasira zangu zijde kuharibu mapenzi yetu...

nimekusamehe, nikasema, akasimama na

kusogea mpaka nilipo kisha akanibusu na

kusema asante sana mke wangu, naomba

nitubie kitu cha mwisho mamaaa, sitaki uje

kujua uanze kunikasirikia kama ulivyo fanya..

"kitu gani? Nikauliza...

"nimekuwa nikilala na wewe kwa muda mrefu. bila wewe kujua, akasema...


Chapter 18

Nimefika nyumbani nimenuna balaa, alikuwa ananiangalia kwa upole, ila sikumjali, nikamnyonyesha mtoto kisha nikapanda kitandani nikalala zangu...

Kwenye usiku mkubwa, sijui ilikuwa ni saa nane au ni saa tisa, nikaanza kuhisi napapaswa, nilikurupuka na kumkuta mume wangu akiwa anahali mbaya sana, alikuwa anaonerkana kama anahitaji hakli yake ya unyumba...

"vipi wewe embu niache, nikasema akaniangalia kisha akasema kwani bado haujamaliza ada hyako ya uzazi....

Hapo ndio nikakumbuka kuwa nilikuwa nimetoka kujifungua siku sio nyingi sana na alikuwa anaonekana alikuwa ananihitaji sana na anasubiri kwa hamu damu ya hedhi ikate ili ajilie vitu vyake...

"ndio bado sijamaliza ada yangu, nikajibu.. aaa ngoja nihakikishe, akasema mume wangu kisha akanisogelea na kuanza kunivua nguo, nikawa naleta purukushani, akaniangalia kisha akasema hakikisha vurugu zako zinamuamsha mtoto, maana unamjua namna anavyolia usiku kucha mpaka paka wanaiga sauti yake.....

Ikabidi nitulie na kwenye kuni kagua si akakuta nipo msafi, akaanza kunipapasa, sikuwa nampoa ushirikiano maana nilikuwa nina hasira nae balaa, akaniangalia kisha akasema " aaaa wewe kama unataka kuninunua ninunue tu sina tatizo na hilo, ila naomba unipe haki yangu, maana vidude huwa havinunianagi...

Nikajikuta naanza kucheka, nilikuw anajua mume wangu ana kichwa cha wenge, basi akaja na kuanza kunipapasa, safari hii kwa ufundi zaidi kuliko mara ya kwanza, mpka nikajikuta natoa ushirikiano, alikuwa anaonekana kama ana ugwadi wa muda mrefu tu, basi bao la kwanza aliwah sana kulipata, na kwenye kutafuta bao la pili hapo ndipo tatazo, maana mwamba yuko juu, tunafanya kubadilisha style tu...

Basi kama tunavyojua hakuna marefu yasiokuwa nan cha, basi cha ikafika na akamaliza kisha tukalala akiwa amenikumbatia kwa mapenzi makubwa...

Asubuh naamka nakuta amashafranya kazi zote akataka tutoke, ikajua huyu anataka kujisafisha nimuone mwema tu, hana lolote...

Tukatoka na mtoto wetu, tunemefika hilo eneo ambalo alikuwa amepanga, akaanza kuniomba msamaha kwa kila kitu, akawa anasema kuwa mimi ndio nilisababisha kila kitu, ikabidi niulize nimesababisha kwa maana ipi, kwa sababu sikuwah bhata mara moja kuwa na mahusiano nae kusema kuwa nilishawah nkutengeneza mazingira ya kumsaliti hata mara moja....

" unajua ni kwa sababu gani niliacha kuwa na mazoea na wewe? Akauliza...

"hio sababu ndio ilisababisha unifanytie ukatili? Ikabidi na mimi niulize swali juu ya swali.. acha basi kisiran mamaa, nataka tumalize hili na tusameheane ili ikiwezekana tuanze mwanzo mpya mimi na wewe kipenzi changu, nilikuwa nakupenda kuanzia nimeanza kujua mapenzi, nilikuwa nakupenda sana, sasa niliogopa usije ukanichukulia kama rafiki au kama kaka yako ndio maana nilikata mazoea na wewe, ila naomba unisamehe kwa sababu nilisababisha usichaguliwe chuo, niliogopa sana ukienda vyuo vya mbali na kwenu unaweza kupata mwanaume mwingine na mimi nikakukosa, kuna namna nilifanya ukawa huwezi kutoka nje ya mkoa wako kwenda kusoma, nisamehe sana kwa hilo, ila lililokuwa linaniumiza zaidi, ni ulivyokuwa unakata viuno kwenye shughuli za watu, niliamin kuwa mimi pekee ndio natakiwa kuona namna unavyokatoka na siuo mtu mwingine yoyote, nisamehe sana mke wangu, nilishindwa kuuhimili wivu wangu, nikajua labda unafanya vile kwa sababu unataka mwanaume, ndio maana nikaona nikupe haki yako, sikujua ninaweza kutengeneza chuki kwako kiasi chote hicho...

Naomba usinichukie mke wangu, maana ni muda mrefu sana nimekuwa nikikupenda sana, na nakuapia kuwa siwez kuwa na mwanamke mwingine zaidi yako, maana wewe ndio wa kwanza na wa mwisho kwangu, naomba acha kisirani na tuendelee na maisha yetu ya furaha na upendo kama ambavyo tulikuwa tunaishi mamaa, akaanza kujitetea...

:

Nikamuangalia kisha nikaangalia chini, ni kweli amenikosea sana, ila amekuwa akinoonesha upendo usio na kifani kwa muda wote ambao alipata bahati ya kuwa karibu yangu...

Nikaona nisijifanye nakaza fuvu sana kwa sababu hata mimi mwenyewe nampenda ni hasira tu, na nisiruhusu hasira zangu zijde kuharibu mapenzi yetu...

nimekusamehe, nikasema, akasimama na

kusogea mpaka nilipo kisha akanibusu na

kusema asante sana mke wangu, naomba

nitubie kitu cha mwisho mamaaa, sitaki uje

kujua uanze kunikasirikia kama ulivyo fanya..

"kitu gani? Nikauliza...

"nimekuwa nikilala na wewe kwa muda mrefu. bila wewe kujua, akasema...

ITAENDELEA...
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 17 -- 18


Chapter 17

"Unaenda wapi usiku wote huu, ni kwamba ndio umekasirika kwa mimi kuchukua haki yangu kwa mke wangu, au umekasirika baada ya kujua mimi ndio niliekudunga ujauzito, akasema ..

Nilikuwa na hasira sana sikutaka kuongea nae, maana uzembe wake umesababisha mpaka wazaz wangu wakaniona kama sina maadili mazuri na nimewazalilisha, kwa sababu yake amesababisha nikaanza kutanga tanga mtaani kama omba omba, nilikuwa nina hasira sio siri...

Akawa anajaribu kunizuia ila alishindwa nikachukua taksi mpaka nyumban kwetu...

Wazaz wangu ndio walikuwa wanajiandaa kulala, nikawagongea, maana wakati ule nilikuta ndio wanazima taa..

nilisikia sauti ya baba ikisema " nani?

" ni mimi alice baba, nikajibu kwa sauti...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/daktari-wa-jeshi-si-ungeniomba-tuu-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi daktari-wa-jeshi-si-ungeniomba-tuu
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 11 -- 14
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 11 -- 14
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 19&20
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 19&20
DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA KUMI NA TANO*
DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA KUMI NA TANO*
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA SITA*  Niliegeuka na kumtazama kwa mshangao kisha nikasema " Solomon...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA SITA* Niliegeuka na kumtazama kwa mshangao kisha nikasema " Solomon...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 7  'Mungu wangu Solomon mwanangu
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 7 'Mungu wangu Solomon mwanangu
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 9 -- 10
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 9 -- 10
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *1-5*   Kuna wakati kwenye maisha hatuwezi kabisa kuamua hatma zetu, nadhan ni kwa sababu huwa hatujui maisha yetu yamebebwa na nini... Umaskin,...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *1-5* Kuna wakati kwenye maisha hatuwezi kabisa kuamua hatma zetu, nadhan ni kwa sababu huwa hatujui maisha yetu yamebebwa na nini... Umaskin,...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 8
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

645
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

499
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

354
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

309
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

232
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

100
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

71
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

61

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest