Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
23 Oct 2025
829 views
VYOTE NDANI GONGA94
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 28* Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya matumizi..
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Aliniambia pia nijitahidi kutafuta Dada niishi naye pale😞😞kilichokuwa kinanitesa ni vile haongei chochote kuhusu mimi na yeye..
Nilitoka nikaulizia kwa majirani soko lilipo nikaelekezwa ni mbali🙌unatembea lisaa lizima bado uko njiani😰😰na vile mie mgeni lol
Kwa bahati nzuri wakati bado natembea kwenda sokoni nilipata lift🥰🥰
Ilikuja gari fulani hivi nikashangaa inasimama..
Kwenye gari alikuwemo mkaka naye alikuwa mgeni mitaa ile ndo alikuwa amehamia🥳🥳tulisalimiana then akaniuliza soko lilipo..
Nilimwambia namimi ni mgeni ila nimeelekezwa soko liko mbele mbele hapo nazani siyo mbali sana kutoka hapa...
Oh kwa hiyo na wewe unaelekea sokoni???. Nikamwambia yes naenda sokoni😩😩oh panda basi twende wote🤗🤗
Kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka😂😂😂nilipanda tu kwenye gari sikuwa na namna..
Nilipewa lift mpaka sokoni tukahemea zetu na muda wa kurudi pia nikapewa lift mpaka nyumbani🥰🥰...
Yule mkaka alikuwa ni mkarimu sana🥰🥰tulipiga story mbili tatu siku hiyo tukabadilishana na namba ya simu🤩🤩..
Tuliendelea kufahamiana zaidi kwenye simu tukazoeana mpaka nikamuomba anisaidie kutafuta msichana wa kazi🥰🥰🥰hatukuwa tunaishi mbali ni jirani tu ng'ambo ya pili..
Yule mkaka alikubali kunitafutia msichana huko kwaoo..
Mimi na Tristian ambaye ndo huyo mkaka jirani yangu tulizoeana sana kiasi kwamba akawa akitoka kazini jioni lazima aniletee kakitu😂😂😂🙌
Wakati huo Kingston alikuwa amenizuia kumpigia pigia simu alidai anakaribia kufanya mitihani so hataki kugasiwa...
Mawasiliano yetu yalikuwa ya tabu sana na mimi ndo nilikuwa namtafuta yeye aaa🙌🙌🙌..
Nilifanikiwa kupata binti wa kazi mstaarabu sana nikaanza kuishi naye..
Siku zilisonga ile pesa ya matumizi niloachiwa na Kingston ikaisha na wakati huo hata kwenye simu alikuwa hapatikani😺
Kile chakula cha ziada kilichokuwemo ndani kiliisha chote wacha njaa itutandike😂😂🙌
Niliendelea kupiga simu ya Kingston kila siku haipatikani tulikuwa tunashinda njaa jioni Tristan akiniletea chochote kitu ndo tunakigawana na mdada wa kazi tunakula tunalala..
Maisha yaliendelea hivo my wenu nikaanza kukonda😩😩 nikiwaza kumwambia Tristan naogopa kwanza nitaanzaje😂😂🙌
Mkaka wa watu si ataniona chuma ulete😂😂😂hapa cha kufanya niwapigie simu wazazi wa Kingston niwape mkasa mzima ili wanisaidie kabla sijafia hapa makao mapya😂😂😂
Basi bwana siku hiyo nimeamka zangu asubuhi sina hata mia😂😂😂 nikamtuma Dada akaniombee buku kwa Tristan ninunue vocha niwapigie wazazi wa Kingston...
Dada akaenda nikabaki nawaza sijui Tristan atanichukuliaje Mungu wangu lol shida hizi😂😂 na that time mama yangu alikuwa hajui kinachoendelea...
nilikuwa namdanganya kila mwezi kuwa Boss ana matatizo hajanilipa na nikamuahidi akinilipa nitatuma pesa tuendeleze ujenzi🤭🤭🤭
Mama yeye alijua niko kazini na namshukuru Mungu mama hakuwa na namba za wazazi wa Kingston wala wazazi wa Kingston hawakuwa na namba za mama...
Hapo ishapita miezi mitatu tangu nitoke nyumbani🤭🤭na muda huo ujauzito ushafika miezi mitano..
Basi bwana nimekaa kaa hapo Dada akarudi na rundo la pesa kalishikilia mkononi😳😳
nikashangaa wewe mbona pesa nyingi hivi mi si nimekwambia uombe buku peke yake😳😳
Nini kitafuata???...
Full 1000
WhatsApp 0742133100
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
majario23 Oct 2025 09:57
Saa 2 usiku kaa tayali sehemu ya 29 ila member watasoma sasa hivi
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza...
🔞 ZOA ZOA YA BABA KAMLETA MLIWA NDOGO KWENYE NDOA🔞 Sehemu ya kumi. 👉 Uwiiiii uwiiiiiiiiiiiiiiii inazama usiingize kwa nguvu Aaaaaaah..mmmmmmnh..aaaasssssh..aaah...👇
Mke wa kaiwasha akajisusa mboo ikazama mazima...akawa anafilwa kama alivyokuwa anataka...na baba mpaka akamaliza bao la...
MMMMMMMH UNIFANYE TARATIBU MM NI YATIMA❤️🔥 SEHEMU YA 01...05 Naitwa Leen ni mtoto wa kwanza kwa mama yangu nikifuatiwa na mdogo wangu wa kiume ambaye ni last born
Ibrahim tulilelewa na mama tu baada ya baba yetu mzazi kufariki kipindi nipo na miaka saba hapo mama yangu ndio ana uja...
🔞 ZOA ZOA YA BABA KAMLETA MLIWA NDOGO.6..10 KWENYE NDOA🔞 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaah..mmmmmmnh..aaaasssssh..aaah Aaaaaaah..mmmmmmnh..aaaasssssh..aaah yote yako nifanye kote kote asante Aaaaaaah..mmmmmmnh..aaaasssssh..aaah....👇
Baba anapagawa zaidi na makelele atimaye akajikuta dole kazamisha lote mkunduni na anampamp mdogo mdogo uko uko mkundun...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 28* Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya matumizi..
Aliniambia pia nijitahidi kutafuta Dada niishi naye pale😞😞kilichokuwa kinanitesa ni vile haongei chochote kuhusu mimi na yeye..
Nilitoka nikaulizia kwa majirani soko lilipo nikaelekezwa ni mbali🙌unatembea lisaa lizima bado uko njiani😰😰na vile mie mgeni lol
Kwa bahati nzuri wakati bado natembea kwenda sokoni nilipata lift🥰🥰
Ilikuja gari fulani hivi nikashangaa inasimama..
Kwenye gari alikuwemo mkaka naye alikuwa mgeni mitaa ile ndo alikuwa amehamia🥳🥳tulisalimiana then akaniuliza soko lilipo..
Nilimwambia namimi ni mgeni ila nimeelekezwa soko liko mbele mbele hapo nazani siyo mbali sana kutoka hapa...
Oh kwa hiyo na wewe unaelekea sokoni???. Nikamwambia yes naenda sokoni😩😩oh panda basi twende wote🤗🤗
Kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka😂😂😂nilipanda...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-sehemu-ya-28-siku-hiyo-kingston-alioga-akajiandaa-akao
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-sehemu-ya
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35* Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 40* Mipango niliyokuwa nayo ni kumuondoa Kingston mikononi mwa lulu aje tulee watoto..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 38* Basi bwana siku hiyo ya ufunguzi wa restaurant yangu wateja walifurika mpaka wengine walikosa nafasi wakaondoka🥳..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39* Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 33* Baada ya kutuma tu msg Baba alinipigia🥰🥰🥰akanijulia hali kisha akaniuliza niliko nikamwambia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 37* Mama Kingston bwana alikuja shituka nikiwa nimeshakabidhiwa lile jumba la ghorofa
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 31* Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12🤗🤗..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 34* Nilipiga simu ya mama ikaita na kupokelewa🥹🥹🥹
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 32* How??... inawezekanaje?.. wazazi walinihoji hawakuamini ilibidi nianze kuwasimulia kila kitu..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 30* Zilipita kama week moja hivi Tristan akanifuata akaniambia kazi imepataikana na kwa kipindi chote hicho yeye ndo alikuwa anatuhudumia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 27* Baada ya kumuomba Kingston abaki na mimi usiku ule alinikatalia akaniambia
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26* Nilishikwa na hofu nyingi moyoni lakini nikaweka imani nilifika nyumbani kwetu salama salmin..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 29* Nilishangaa kumuona Dada na lile rundo la pesa nikamuuliza mbona umeomba pesa nyingi hivo???..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 24* Weee niliogopaa😂😂😂sijui anataka kusema nini Mungu wangu😔😔..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 23* Tulienda kwenye hospital moja hivi iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 22* Nilimwambia sawa nitafanya hivyo... alinitakia usiku mwema kisha akaondoka zake..
Maoni