Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
21 Oct 2025
603 views
VYOTE NDANI GONGA94
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26* Nilishikwa na hofu nyingi moyoni lakini nikaweka imani nilifika nyumbani kwetu salama salmin..
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Mama yangu alifurahi sana kuniona🥰🥰🥰kwetu palikuwa pamebadilika sana....
wala sikujua kama pesa nilizokuwa natuma nyumbani zilikuwa zinafanya mambo makubwa kiasi kile🥹
Yani ile pesa kidogo ya mshara wangu mama aliiwekeza kwenye ujenzi🥹🥹🥹nyumba ilifikia kwenye lenta🥺🥹
Mama aliniambia binti yangu niliona ni vyema pesa zako zifanye kitu ambacho kitabakia kama kumbukumbu kwenye maisha yako🥹🥹
Nilimkumbatia mama nikamwambia asante sana mama umefanya jambo kubwa sana😭😭
nililia na kujutia ni kwanini nilibeba mimba angalau ningeendelea na kazi tumalizie kujenga nyumba yetu🥹
Mama na wadogo zangu walijua ninalia kwa furaha lakini mwenzao nilikuwa na mazito ambayo hata sikuweza kuwashirikisha...
Nilitamani at least hata ningekuwa na pesa ya ziada niongezee mifuko ya simenti kwa ajili ya ujenzi lakini sikuwa hata na sh mia🙌..
Natakiwa nifanye juu chini hii nyumba iishe😭😭iwe kwa jua hata mvua lazima itakamilika tu..
Nilijiapia hivyo kisha nikalifuta chozi...
Niliendelea kubakia nyumbani kwetu week moja ikakatika ikafuatia week ya pili na siku zote hizo hakuna cha simu kutoka kwa Kingston wala sms🥺🥺..
Siku moja nilijitoa fahamu nikasema hebu wacha nimpigie🥳🥳🥳 ilikuwa mida ya mchana mchana niliamua kupiga simu ya Kingston..
Simu iliita ikakata bila kupokelewa🥺🥺🥺baada ya nusu saa nikapokea ujumbe et niko class...
Do! Hakuna hata nipigie badae yani niko class basi🥹🥹au sina bahati kwenye ulimwengu huu??, au niitoe na hii mimba nirudi kuendelea na kazi zangu?...
Kutoa mimba ilikuwa kimbembe😰😰siwezi kutoa🥹🥹acha nibaki nayo tu..
Muda ulipita ilipofika jioni nikajua sasa jamaa yuko nyumbani nikarudia kumpigia namshukuru Mungu simu ilipokelewa..
Alinijulia hali na kisha akaniuliza unaendeleaje?? Vipi unataka kurudi mjini,?..
Nikamwambia ndiyo nataka kurudi mjini kwa sababu navyoendelea kukaa hapa nyumbani mama atanigundua na italeta shida😞😞😞..
Okay kipi unachohitaji kwa sasa???... nikakaa kimya😩 kiukweli nilikuwa na shida sana na pesa lakini niliogopa kumuomba Kingston 🤣🤣
Tangu nimfahamu jamaa hajawahi kunipa hata buku😂🙌 sijui nimuombe leo?...
Em acha nijikaze niombe pesa niache ujinga🤣🤣liwalo na liwe bwana nilijisemea hivyo kisha nikamwambia Kingston nilikuwa na shida ya nauli ya kunirudisha Arusha..
Pamoja na pesa kidogo nina shida nayo🙂↔🙂↔huko kutetemeka sasa🤣🤣🤣mpaka nikawa nashikwa na kigugumizi😂😂🙌
Pesa unahitaji kiasi gani??. Aliniuliza🥰🥰🥰weeee kumbe ata so mchoyo😂 sikutaja kiasi mi nilimwambia yoyote tu..
Aliniambia atanitumia nikamwambia nitashukuru...
Hatukuweza kuongea zaidi tuliishia hapo jamaa akakata simu na baada ya muda mfupi alinitumia laki tatu kwenye simu🤩
Nilifurahi sana🙈🙈nilimtumia msg ya kumshukuru hata hakuijibu🤣🤣🤣nilichukua ile pesa nikaigawa nusu nikampa mama ingine nikabakia nayo ya kunirudisha mjini..
Baada ya kupata pesa ilibidi nianze maandalizi ya kurudi mjini...sikuwataarifu wazazi wa Kingston kuwa narudi maana sikuwa narudi kwao nilikuwa naenda kwangu..
Mama yeye nilimuaga nikamwambia narudi kazini wala hakujua kama nina mengi niliyomficha..
Safari kutokea kijijini mpaka jijini Arusha iliwadia na nilipofika Arusha usiku nilipokelewa na Kingston mwenyewe nyiee🥰🥰
Alinipeleka mpaka kule makao mapya🥰🥰akataka kuondoka usiku huohuo nikamwambia please💋💋usiniache peke yangu🫦
Niliing'ata midomo kwa hisia huku nikiwa namng'ang'ania Kingston abakie pale ndani🙈🙈nilitamani kurudia kale ka mchezo kama ka siku ile..
hahahaaa jamaa atakubali kubaki??.. fuatulia sehemu inayofuata..
Full 1000
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
🔞 ZOA ZOA YA BABA KAMLETA MLIWA NDOGO KWENYE NDOA🔞 Sehemu ya kumi. 👉 Uwiiiii uwiiiiiiiiiiiiiiii inazama usiingize kwa nguvu Aaaaaaah..mmmmmmnh..aaaasssssh..aaah...👇
Mke wa kaiwasha akajisusa mboo ikazama mazima...akawa anafilwa kama alivyokuwa anataka...na baba mpaka akamaliza bao la...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *1-5* Kuna wakati kwenye maisha hatuwezi kabisa kuamua hatma zetu, nadhan ni kwa sababu huwa hatujui maisha yetu yamebebwa na nini... Umaskin, shida na tabu za maisha huwa ni funzo kubwa sana kwetu, na kwa baadhi yet
ndio njia ya kutuongezea juhudi katika upambanaji wetu... Naitwa alice ndio jina ambalo nimepewa na wazaz wangu, nimeza...
MMMMMMMH UNIFANYE TARATIBU MM NI YATIMA❤️🔥 SEHEMU YA 01...05 Naitwa Leen ni mtoto wa kwanza kwa mama yangu nikifuatiwa na mdogo wangu wa kiume ambaye ni last born
Ibrahim tulilelewa na mama tu baada ya baba yetu mzazi kufariki kipindi nipo na miaka saba hapo mama yangu ndio ana uja...
🔞 ZOA ZOA YA BABA KAMLETA MLIWA NDOGO.6..10 KWENYE NDOA🔞 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaah..mmmmmmnh..aaaasssssh..aaah Aaaaaaah..mmmmmmnh..aaaasssssh..aaah yote yako nifanye kote kote asante Aaaaaaah..mmmmmmnh..aaaasssssh..aaah....👇
Baba anapagawa zaidi na makelele atimaye akajikuta dole kazamisha lote mkunduni na anampamp mdogo mdogo uko uko mkundun...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26* Nilishikwa na hofu nyingi moyoni lakini nikaweka imani nilifika nyumbani kwetu salama salmin..
Mama yangu alifurahi sana kuniona🥰🥰🥰kwetu palikuwa pamebadilika sana....
wala sikujua kama pesa nilizokuwa natuma nyumbani zilikuwa zinafanya mambo makubwa kiasi kile🥹
Yani ile pesa kidogo ya mshara wangu mama aliiwekeza kwenye ujenzi🥹🥹🥹nyumba ilifikia kwenye lenta🥺🥹
Mama aliniambia binti yangu niliona ni vyema pesa zako zifanye kitu ambacho kitabakia kama kumbukumbu kwenye maisha yako🥹🥹
Nilimkumbatia mama nikamwambia asante sana mama umefanya jambo kubwa sana😭😭
nililia na kujutia ni kwanini nilibeba mimba angalau ningeendelea na kazi tumalizie kujenga nyumba yetu🥹
Mama na wadogo zangu walijua ninalia kwa furaha lakini mwenzao nilikuwa na mazito ambayo hata sikuweza kuwashirikisha...
Nilitamani at least hata ningekuwa na pesa ya ziada niongezee mifuko...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-sehemu-ya-26-nilishikwa-na-hofu-nyingi-moyoni-lakini-n
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-sehemu-ya
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35* Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 38* Basi bwana siku hiyo ya ufunguzi wa restaurant yangu wateja walifurika mpaka wengine walikosa nafasi wakaondoka🥳..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39* Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 33* Baada ya kutuma tu msg Baba alinipigia🥰🥰🥰akanijulia hali kisha akaniuliza niliko nikamwambia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 40* Mipango niliyokuwa nayo ni kumuondoa Kingston mikononi mwa lulu aje tulee watoto..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 28* Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 37* Mama Kingston bwana alikuja shituka nikiwa nimeshakabidhiwa lile jumba la ghorofa
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 31* Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12🤗🤗..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 34* Nilipiga simu ya mama ikaita na kupokelewa🥹🥹🥹
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 32* How??... inawezekanaje?.. wazazi walinihoji hawakuamini ilibidi nianze kuwasimulia kila kitu..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 30* Zilipita kama week moja hivi Tristan akanifuata akaniambia kazi imepataikana na kwa kipindi chote hicho yeye ndo alikuwa anatuhudumia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 27* Baada ya kumuomba Kingston abaki na mimi usiku ule alinikatalia akaniambia
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 29* Nilishangaa kumuona Dada na lile rundo la pesa nikamuuliza mbona umeomba pesa nyingi hivo???..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 24* Weee niliogopaa😂😂😂sijui anataka kusema nini Mungu wangu😔😔..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 23* Tulienda kwenye hospital moja hivi iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 22* Nilimwambia sawa nitafanya hivyo... alinitakia usiku mwema kisha akaondoka zake..