Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
24 Oct 2025
649 views
VYOTE NDANI GONGA94
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 30* Zilipita kama week moja hivi Tristan akanifuata akaniambia kazi imepataikana na kwa kipindi chote hicho yeye ndo alikuwa anatuhudumia kwa kila kitu🥹🥹
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Aliniambia ameniombea kazi ofisini kwao... lakini mimi sijasoma nitawezaje kufanya kazi ofisini😰😰akasema usijali nitakuelekeza..
Week iliyofuata siku ya jumatatu Tristan alinichukua tukaenda kazini pamoja🙂🙂
imagine yeye ndo Boss aliyetakiwa kunifanyia interview🥹 kwa vile mimi na yeye tunajuana aliniambia hakuna haja ya interview..
Alinipa maelekezo namna ya kufanya kazi yangu na kwa vile sehemu niliyowekwa ilikuwa tayari na mtu basi niliambiwa vingi nitajifunza kutoka kwa mwenzangu..
Nilifanya kazi pale huku kila siku asubuhi na jioni nikiwa nategemea lift kutoka kwa Boss wangu Tristan..
Siku moja jioni tukiwa tunarudi nyumbani Tristan aliniuliza kama ninajua kudrive...yani kuendesha gari...
Hapana sijui🤭🤭aliniambia ningekuwa najua kuendesha gari angeniachia gari yake maana yeye anataka kusafiri safari ya muda mrefu kidogo🥹🥹..
Nilivosikia habari za safari moyo ukafanya paah😰😰nilishamzoea jamaa yeye ndo kama msaada wangu kwa sasa😢😢nitaishije ye akiondoka??.
Oh afadhali nashukuru sana Tristan...na je unasafiri kwenda mbali sana??.. akasema hapana siyo mbali ni hapahapa Tanzania vijijini huko kwenye migodi..
Aliniambia kuna mgodi umenunuliwa na baba yake na yeye ndo kateuliwa kwenda kuusimamia...
Vipi kuhusu kazi ya pale ofisini???.. akasema kwa vile ile ni kampuni ya familia kuna mtu mwingine atasimamia na mambo yataenda vizuri...
Kiukweli nilijihisi mpweke sana lakini sikuwa na budi kukubaliana na kila kitu..
Baada ya siku mbili Tristan alisafiri kuelekea kahama huko migodini...aliniambia muda na wakati wowote nikiwa na changamoto yoyote nisisite kumwambia..
Tuliagana as a friends niliachiwa gari kwa ajili ya kuwa nalitumia na funguo za nyumba ili mara moja moja tuwe tunamsaidia usafi kule ndani kwake kusifubae..
Tristan pia alinitambulisha kwa kijana wake ambaye ndo alimwachia kama mlinzi wa pale kwake akaniambia huyo ndo atakuwa ananipeleka kazini na jioni atakuwa anakuja kunichukua nikitoka..
Nilimshukuru sana yule mkaka🥹🥹🥹nilikuwa naona kama miujiza maana kwenye Dunia hii kupata mtu wa kukusaidia vile ni ngumu mno..
Maisha yaliendelea ujauzito wangu ulipofikisha miezi nane tulikuja kudaiwa kodi ya nyumba ya pale tulipokuwa tunakaa🙁
Na kipindi hiko pesa ninayolipwa kazini nilikuwa najiwekea kwa ajili ya uzazi wala isingetosha kulipia kodi ya lile jumba🙂↔
Nilichokifanya nilimuomba Dada yule msaidizi wangu wa kazi aende kwanza nyumbani alafu mimi nikatoka kwenda kumtafuta Kingston mtaa kwa mtaa☹️☹️..
Kwanza nilienda kwao Kingston bila kuwataarifu niliwafanyia surprise☹️☹️kumbuka mama niliongea naye miezi michache iliyopita akaniambia atanitafuta nikamuone but hakunitafuta😴
Huu mzigo ni wao na wao ndo watahangaika nao..
Je nini kitafuata??..kivumbi leoooo😂😂😂mi naogopa mwenzenu nyie hamuogopi🤣..tukutane sehemu inayofuata
Full 1000
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Cristiano Ronaldo anafikiria kuondoka kwenye Ligi Kuu ya Saudi msimu ujao. Ronaldo kwa mujibu wa ripoti yuko tayari kulipa kifungu cha euro milioni 50
zilizo kwenye mkataba wake na kuondoka Saudi kutokana na kile anachoona kama upendeleo kwa Al-Hilal. Ronaldo anasemekan...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 30* Zilipita kama week moja hivi Tristan akanifuata akaniambia kazi imepataikana na kwa kipindi chote hicho yeye ndo alikuwa anatuhudumia kwa kila kitu🥹🥹
Aliniambia ameniombea kazi ofisini kwao... lakini mimi sijasoma nitawezaje kufanya kazi ofisini😰😰akasema usijali nitakuelekeza..
Week iliyofuata siku ya jumatatu Tristan alinichukua tukaenda kazini pamoja🙂🙂
imagine yeye ndo Boss aliyetakiwa kunifanyia interview🥹 kwa vile mimi na yeye tunajuana aliniambia hakuna haja ya interview..
Alinipa maelekezo namna ya kufanya kazi yangu na kwa vile sehemu niliyowekwa ilikuwa tayari na mtu basi niliambiwa vingi nitajifunza kutoka kwa mwenzangu..
Nilifanya kazi pale huku kila siku asubuhi na jioni nikiwa nategemea lift kutoka kwa Boss wangu Tristan..
Siku moja jioni tukiwa tunarudi nyumbani Tristan aliniuliza kama ninajua kudrive...yani kuendesha gari...
Hapana sijui🤭🤭aliniambia ningekuwa najua kuendesha gari angeniachia gari yake maana yeye...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-sehemu-ya-30-zilipita-kama-week-moja-hivi-tristan-akan
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-sehemu-ya
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35* Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 38* Basi bwana siku hiyo ya ufunguzi wa restaurant yangu wateja walifurika mpaka wengine walikosa nafasi wakaondoka🥳..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39* Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 33* Baada ya kutuma tu msg Baba alinipigia🥰🥰🥰akanijulia hali kisha akaniuliza niliko nikamwambia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 40* Mipango niliyokuwa nayo ni kumuondoa Kingston mikononi mwa lulu aje tulee watoto..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 28* Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 37* Mama Kingston bwana alikuja shituka nikiwa nimeshakabidhiwa lile jumba la ghorofa
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 31* Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12🤗🤗..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 34* Nilipiga simu ya mama ikaita na kupokelewa🥹🥹🥹
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 32* How??... inawezekanaje?.. wazazi walinihoji hawakuamini ilibidi nianze kuwasimulia kila kitu..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 27* Baada ya kumuomba Kingston abaki na mimi usiku ule alinikatalia akaniambia
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26* Nilishikwa na hofu nyingi moyoni lakini nikaweka imani nilifika nyumbani kwetu salama salmin..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 29* Nilishangaa kumuona Dada na lile rundo la pesa nikamuuliza mbona umeomba pesa nyingi hivo???..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 24* Weee niliogopaa😂😂😂sijui anataka kusema nini Mungu wangu😔😔..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 23* Tulienda kwenye hospital moja hivi iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 22* Nilimwambia sawa nitafanya hivyo... alinitakia usiku mwema kisha akaondoka zake..