Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
28 Oct 2025
1.06K views
VYOTE NDANI GONGA94
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35* Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nikamwambia mama kaishawasili akaniambia kuna mtu ataenda kumchukua amlete nyumbani kisha yeye siku itakayofuata atakuja kutuona aongee naye...
Nilimwambia sawa baba usiache kuja maana mama hapo alipo ana hasira mno sijui itakuwaje maana hasira za wamasai si unazijua😰😰
Baba aliniondoa hofu akaniambia nisijali😓😓... mama alienda kuchukuliwa na jamaa mmoja hivi yule ambaye anatumwa mara nyingi na mzee kuja kutuangalia..
Mama baada ya kuchukuliwa akanitumia msg huyu aliyekuja kunichukua ni nani yako???
Nikamwambia huyo ni Dereva tax🙈🙈 shenzi si bora ungezaa na watu Kama huyu kijana msitaarabu ana heshima wewe ukaenda kuzaa na masharobaro wanaokimbia majukumu yani mtoto ni mpumbavu wewe😠😠
Dah😂😂😂🙌mamangu ana Gubu🤣🤣🤣akija humu ndani sijui tutaishije ni vichambo asubuhi mchana usiku😂😂
Namshukuru Mungu mamangu alifika salama🙈 nilikwenda kumpokea lakini natetemeka kwa uoga nyie kuzaa bila ndoa watu wanajikaza tu ila ni aibuu..
Nilimsalimia mama akaitikia tu vizuri mama ni mama jamani mtoto kwa mama hakui😭😭 alinikumbatia mamangu..
Mizigo ikachukuliwa tukaingia ndani🙈🙈mama akabaki anashangaa lile jumba yale mazingira😳😳mtu aliyekimbiwa anaishije mazingira ya kitajiri kama yale😂😂😂
Mama alihisi atanikuta kwenye kichumba cha kujaa maji uswahilini huko kwenye vibaka😂😂😂ila akashangaa mwanaye naishi uzunguni🥳
Alipoa kama si yeye aliyekuwa ananichamba😂 et akaniuliza hapa ni kwa nani😂😂😂🙌 nikamwambia ni kwangu mama🙈🙈..
Akapata na nguvu ya kuuliza wajukuu zangu wako wapi nyiee😂😂🙌
Nilimpeleka chumbani waliko watoto🥰🥰🥰akawabeba vitoto vizuri kweli kwani umezaa na mzungu zarina??. Mbona vitoto kama vizuri lol nilicheka😂😂😂
Nikamwambia hapana mama baba yao tu ana asili ya rangi hiyo😂😂😂..
Sasa ilikuwaje akakukimbia.??. Nikamwambia mama ni historia ndefu🥹🥹..
Ndo unielezee nijue jinsi ya kukusaidia🥺🥺🥺... sikuweza tena kumficha mama kitu chochote nilimwelezea ukweli wote..
Alinipa pole akaniambia afazali hata umzalia kwenye familia tajiri mwanangu😂😂😂🙌 nyie mamangu huyu🤣🤣🤣
Et akaniambia huyo kijana inatakiwa atafutwe aje kukuoa mlee watoto🤣 ikawe tu kheri maana namimi bado nampenda🙈 pakumpata ndo sipajui🤣
Yalipikwa masotojo pale mamangu akaenjoy🥰🥰akaniambia mwanangu kumbe ulikuwa unaniita nije kula raha mi nikajua nakuja kuhenyeka🤣
Alifurahi mno maskini akaniambia leo nalala ikulu😭😭😭nyie umasikini huu🙌🙌mamangu alikuwa analiona lile jumba kama ikulu😰😰..
Furaha yangu ni kumuona mamangu anafurahi🥰🥰 siku iliyofuata mzee alikuja kumuona mama🥳🥳alikuwa ametuhemelea mavitu ya kufa mtu...
Watoto ndo kwanza wana siku tatu ila waliletewa magari na vitabu vya kujisomea lol🤣🤣🙌
Mamangu akiviona vile ndo kabisa anaona mwanaye nimebahatika🤣🤣🤣alichomwambia baba Kingston ni kimoja tu..
MKWE TAFUTA HIYO KIJANA AJE AFUNGE NDOA WALEE WATOTO YAO HII WATOTO NDOGO TAFUTA BABA YAO AJE ASAIDIE🤣🤣🤣🙌
Itaendeleaaaaaa...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35* Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
nikamwambia mama kaishawasili akaniambia kuna mtu ataenda kumchukua amlete nyumbani kisha yeye siku itakayofuata atakuja kutuona aongee naye...
Nilimwambia sawa baba usiache kuja maana mama hapo alipo ana hasira mno sijui itakuwaje maana hasira za wamasai si unazijua😰😰
Baba aliniondoa hofu akaniambia nisijali😓😓... mama alienda kuchukuliwa na jamaa mmoja hivi yule ambaye anatumwa mara nyingi na mzee kuja kutuangalia..
Mama baada ya kuchukuliwa akanitumia msg huyu aliyekuja kunichukua ni nani yako???
Nikamwambia huyo ni Dereva tax🙈🙈 shenzi si bora ungezaa na watu Kama huyu kijana msitaarabu ana heshima wewe ukaenda kuzaa na masharobaro wanaokimbia majukumu yani mtoto ni mpumbavu wewe😠😠
Dah😂😂😂🙌mamangu ana Gubu🤣🤣🤣akija humu...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-sehemu-ya-35-baada-ya-mama-kufika-mjini-nilimpigia-bab
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-sehemu-ya
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 38* Basi bwana siku hiyo ya ufunguzi wa restaurant yangu wateja walifurika mpaka wengine walikosa nafasi wakaondoka🥳..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39* Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 33* Baada ya kutuma tu msg Baba alinipigia🥰🥰🥰akanijulia hali kisha akaniuliza niliko nikamwambia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 40* Mipango niliyokuwa nayo ni kumuondoa Kingston mikononi mwa lulu aje tulee watoto..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 28* Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 37* Mama Kingston bwana alikuja shituka nikiwa nimeshakabidhiwa lile jumba la ghorofa
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 31* Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12🤗🤗..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 34* Nilipiga simu ya mama ikaita na kupokelewa🥹🥹🥹
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 32* How??... inawezekanaje?.. wazazi walinihoji hawakuamini ilibidi nianze kuwasimulia kila kitu..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 30* Zilipita kama week moja hivi Tristan akanifuata akaniambia kazi imepataikana na kwa kipindi chote hicho yeye ndo alikuwa anatuhudumia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 27* Baada ya kumuomba Kingston abaki na mimi usiku ule alinikatalia akaniambia
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26* Nilishikwa na hofu nyingi moyoni lakini nikaweka imani nilifika nyumbani kwetu salama salmin..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 29* Nilishangaa kumuona Dada na lile rundo la pesa nikamuuliza mbona umeomba pesa nyingi hivo???..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 24* Weee niliogopaa😂😂😂sijui anataka kusema nini Mungu wangu😔😔..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 23* Tulienda kwenye hospital moja hivi iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 22* Nilimwambia sawa nitafanya hivyo... alinitakia usiku mwema kisha akaondoka zake..