Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.
Gonga94 ยท Stories

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
28--29
ENDELEA.
????NASEMA KWA MAMA
Zilikuwa ni gari za polisi....

Waliingia Askari kama sita na kuwachukua akina Razac...

Lidya alipewa karatasi fulani akaweka saini yake kisha kuwakabidhi...

Naombeni nimkute Central Dar es Salam.. Aliongea Lidya akiwapa maagizo wale Askari...

Nilikuwa kimya.... Wakati huo akina Razac na wenzie wanaondolewa mule ndani na Askari.....

Tulitoka pia na kupanda gari la polisi hadi kwenye Lodge tulipowahi kurekodiwa na mama yake Dayana..

Tulimkuta Dada wa mapokezi ametulia tu anaangalia TV..

Lidya aliingia hadi kwenye chumba cha mapokezi na kumtoa....

Aliagiza Askari wampakie kwenye Gari pia.....

Gari liliondolewa haraka lakini mimi na lidya tulibaki Moshi mjini...
*******

Muda ulikuwa umeenda ilikiwa ni mchana kwa wakati ule..

Tulitafuta sehemu tukala chakula cha mchana kisha kupanda Tax kurudi nyumbani kwa Dokta...

Tulifika na kuketi sebuleni hadi saa kumi jioni alipokuja Mama yake Dayana kutoka kazini kwake.....

"" "" Watoto wa yule mama walikuja na kuketi sebuleni wakiwa wanamfurahia sana mama yao...

Lakini mimi nilikuwa kimya tu namwangali Dayana..

Nilikuwa nikimtafakari udogo wake na baadhi ya mambo aliyokuwa akiyafanya..

"" "" " Mama pole na majukumu.. Nadhami nilikwambia kazi yako ni ndogo sana...
Aliongea Lidya....

" "" "kwanini unasema hivyo Mwanangu lidya.???
Aliongea yule mama....

" "" Nimeshaupata mkanda mzima wa yale matukio.....

Muhusika mkuu ni kijana mmoja anaitwa Razac... Ndio aliweka utaratibu wote hadi kukurekodi....

Pia nimewashika na wametangulizwa Dar es salam wote pamoja na Muhudumu....

Naomba tupande ndege tuwahi dar es salam ili wakifika watukute na tupate habari kamili...

Alimaliza kuongea Lidya na kumtazamaa yule mama.

Muda huo macho yangu yote yalikuwa kwa Dayana nimuone atafanyaje kwasababu niliamini kabisa anamjua vyema huyo Razac.

Chaajabu Dayana hakuwa na dalili ya kuogopa chochote....
Alikuwa ametulia tu kamkumbatia mdogo wake wanapiga story kama vile haelewi mazungumzo yetu...

"" โ€œ"" Nashukuru sana.. Kwasasa naomba tukaoge tuvae tuende Airpot tuanze safari.. Aliongea mama yake Dayana...

Waliinuka na kwenda kuoga kisha kuvaa, walikuja kutuaga na kuondoka zao....

Nyumba ilibaki kimya sana.. Dayana hakuwa na hamu hata kunitazama....

"" "" Dada.. Twende ndani mimi sitaki kumuona Frenk... Aliongea Mariana.....

Nenda tangulia ulale mimi nitakuja baada ya mda ngoja tuongee na Frenk..

Mariana aliinuka na kuingia ndani...

Dayana alinitazama na kunisogelea pale nilipo kaaa....

"" "" frenk nakupenda ila tamaa inakuzidi sana,
Ungekuwa unajitambua ungepata kila kitu, tatizo malaya sana wewe kaka..

Nimekuvumilia vyakutosha ila umenichanganya sana baada ya kutembea na mdogo wangu....

Umeamua kumpa mdogo wangu pia Maradhi niliyo kupa.....

Nashukuru sana.... Lakini nimeumia sana ila nitafanyaje sasa....
ALIONGEA DAYANA....

"" "" "Unasemaje Dayana.??? Maradhi gani tena....
Niliongea kwa upole hadi machozi yalikiwa yanaanza kunitoka....

" "" "Nimeathirika... Kwahiyo sasa nyumba nzima tumeambukizana.?? Hata Afsa wa upelelezi umemuambukiza pia.???? Kwasababu nilishaambiwa kuwa ulifanya nae mapenzi pale Lodge...
Aliongea Dayana kwa kujiamini na kuinuka kwemda ndani kwao.....

Nilitulia kimya nikitafakari maisha yangu huku mapigo ya moyo yakiwa mbio sana...

Nilikuwa bize kufuta machozi,

Nililia sana baadae mimi pia niliinuka ili niingie ndani kwangu....

Nilivyo simama tu kwenye kochi kabla sijapiga hata hatua moja nilishangaa nimepigwa na kitu kizito kichwani..

Nilidondoka chini kama gunia... Sikuelewa tena nini kiliendelea pale.

ENDELEA....


*******
*******

Lidya na mama yake dayana walikuwa ndio wanafika Dar es Salam..
Bila ya kuchelewesha muda walichukua tax hadi Central kituo kikuu cha polisi kwa pale jijini...

Lidya aliingia na kutaja namba zake za usajili,
ziliingizwa kwenye kompyuta,
ilitokea picha yake na cheo chake kisha kuruhusiwa kuingia ndani ya kituo kama afisa wa jeshi la polisi...

Aliingia na kuelekea moja kwa moja hadi ofisini kwa mkuu wa kituo kile...
Kilikuwa ni juu ya ghorofa...
Lidya akiwa na mama yake Dayana walipanda ngazi hadi kwa mkuu...

Walianza na kutoa maelekezo kwa secretary lakini waliambiwa kuwa mkuu anao wageni hivyo walipaswa wakae kusubiri...

Lidya na mwenzie hawakuwa na tatizo,
walienda kwenye kiti karibu na mlango wa kuingilia kwa mkuu na kutulia huku wanapiga stori mbili tatu..

*******
"" "" Hivi lidya.. Ulivyoniambia kuwa huenda muhusika wa haya yote anatoka kwangu ulikuwa unamaanisha nini.??? Aliongea mama yake Dayana...

"" "" "" Mama.. Unadhani jana asubuhi tulivyofika moshi mwanao alikuwa anatoka kwenda wapi.???
Ulijiuliza kiundani au ulipotezea tu.????

Niliamini kama huenda kuna baadhi ya vitu ulianza kuhisi kumbe bado...

"" "" Mama ukweli ni kwamba..
Tangu umesafiri na mwanao alitoka,
hakurudi nyumbani hadi siku unakaribia kurudi..
Alikuwa nyumbani kwa mwanaume mmoja anaitwa Razac..
Huyo mwanaume ni mfanya biashara wa madawa na amehusika kutengeneza sinema yote ya picha zako za uchi ili apate pesa kwa mrija..

Yupo humu huyo kaka ni miongoni mwa tulio wakamata...
Pia alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanao Dayana..
Nadhani ndio sababu ya hadi mwanao kukataa chuo....

ALIONGEA LIDYA KWA MSISITIZO SANA HUKU ANAMTAZAMA MAMA YAKE DAYANA...

"" "" "" Uuuuuuuhhhhhhh... Mama yake dayana alishusha pumzi na kujiegemeza kwenye kiti..

Sikutegemea kama Dayana angekuwa mpumbavu kiasi hiki..
Aliongea mama yake dayana.....

Wakati huo Mlango wa mkuu wa kituo ulikuwa unafunguliwa...

Alitoka mkuu wa kituo na wageni watatu nyuma yake....

Alikuwepo Boss wa kampuni ya "" PEACE OCEAN""" ya uingizaji wa mizigo kutoka china,

Mzee huyo alikuwa ni boss wa lidya kwani lidya alikuwa ni Secretary kwa mzee yule, na kule alikuwa akimpeleleza kuhusu rushwa ya ngono..

Ushahidi wote alikuwa nao Lidya na alikuwa akimhesabia siku tu za kumkamata....

"" "" Lidya aliiinuka baadaa ya kumuona yule mzee katoka ofisi kwa Mkuu wa kituo tena wakiwa wanacheka...

Nyuma ya yule mzee alikuwemo Razac na mkaka mmoja aliekuwa amevalia Suti nyeusi..
Nadhani alikuwa ni mlinzi wa yule mzee....

"" "" "" " Shkamoo mkuuu... Aliongea Lidya kwa sauti ya upole baada ya kumsogelea mkuu wa kituo....

" "" "Samahani nilikuwa na shida na wewe..
Pia hawa hapa ni wageni wangu.. Wanaenda wapi.??

Aliendelea kuuliza Lidya..

Yule mzee alicheka kwa dharau na kumwambia......

" "" "" "Sikiliza binti...... Jambo usilo lijua ni usiku wa giza.. Utalijua taratibu. Naomba tu uwe mpole...

Pia Razac ni kijana wangu wa kumzaa... Hapa nilikuja kumuwekea dhamana na tayari naondoka nae..
ALIONGEA YULE MZEE NA KUMSHIKA RAZAC MKONO ILI WATOKE...

"" "" " Mkuu... Hawa ni watuhumiwa wangu. Nilipaswa mimi ndio nije kuwahoji kwasababu najua sababu za kuwakamata. Unapowaachia unakuwa unanikosea mkuu wangu....

Aliongea Lidya....

Mkuu wa kituo alimtazama tu lidya bila kumwambia chochote....

Lidya aliogopa sana na kubana miguu yake kisha kupiga saluti kwa unyenyekevu sana

Mkuu wa kituo akaondoka na wageni wake....

Lidya aligeuka nyuma kumtazama Mama yake Dayana lakini hakumuona....

Alishtuka kidogo na kuamua kwenda kumuuliza Secretary wa mkuu wa kituo....

Alishangaa kumuona Mama yake Dayana kajificha nyuma ya Secretary...

"" "" Mbona hivyo mama.???
Aliuliza Lidyaaa.....

"" "" "Mwanangu. Lidya naomba tuondoke hapa.....
Yule mzee alietoka humo ndani ni mzee hatari sana.
Ndiye aliniteka na kuagiza watu wake wanibake na kwenda kunitupa porini.....

Sikutaka anione jamani..." "" uuuuuhhhhhhhh..
Naomba tuondoke....

Aliongea Mama yake Dayana na kumshika Lidya mkono kisha kuanza kushuka ngazi za kituoni kwa kasi sana.....

ENDELEA.......
Tangazo - Jiunge sasa kuwa milionea
Jiunge sasa kuwa milionea
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

28--29
ENDELEA.
????NASEMA KWA MAMA
Zilikuwa ni gari za polisi....

Waliingia Askari kama sita na kuwachukua akina Razac...

Lidya alipewa karatasi fulani akaweka saini yake kisha kuwakabidhi...

Naombeni nimkute Central Dar es Salam.. Aliongea Lidya akiwapa maagizo wale Askari...

Nilikuwa kimya.... Wakati huo akina Razac na wenzie wanaondolewa mule ndani na Askari.....

Tulitoka pia na kupanda gari la polisi hadi kwenye Lodge tulipowahi kurekodiwa na mama yake Dayana..

Tulimkuta Dada wa mapokezi ametulia tu anaangalia TV..

Lidya aliingia hadi kwenye chumba cha mapokezi na kumtoa....

Aliagiza Askari wampakie kwenye Gari pia.....

Gari liliondolewa haraka lakini mimi na lidya tulibaki Moshi mjini......

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-28-29-endelea

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA 38,39,40  *38*
NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA* 1-----2
NASEMA KWA MAMA* 1-----2
NASEMA KWA MAMA  **** 3--4
NASEMA KWA MAMA **** 3--4
NASEMA KWA MAMA  *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 11, 12
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 11, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

8.86K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.49K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.23K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.17K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

1.91K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

1.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.72K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.64K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.62K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

1.62K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest