Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

1st Jun, 2025 Views 498

28--29
ENDELEA.
????NASEMA KWA MAMA
Zilikuwa ni gari za polisi....

Waliingia Askari kama sita na kuwachukua akina Razac...

Lidya alipewa karatasi fulani akaweka saini yake kisha kuwakabidhi...

Naombeni nimkute Central Dar es Salam.. Aliongea Lidya akiwapa maagizo wale Askari...

Nilikuwa kimya.... Wakati huo akina Razac na wenzie wanaondolewa mule ndani na Askari.....

Tulitoka pia na kupanda gari la polisi hadi kwenye Lodge tulipowahi kurekodiwa na mama yake Dayana..

Tulimkuta Dada wa mapokezi ametulia tu anaangalia TV..

Lidya aliingia hadi kwenye chumba cha mapokezi na kumtoa....

Aliagiza Askari wampakie kwenye Gari pia.....

Gari liliondolewa haraka lakini mimi na lidya tulibaki Moshi mjini...
*******

Muda ulikuwa umeenda ilikiwa ni mchana kwa wakati ule..

Tulitafuta sehemu tukala chakula cha mchana kisha kupanda Tax kurudi nyumbani kwa Dokta...

Tulifika na kuketi sebuleni hadi saa kumi jioni alipokuja Mama yake Dayana kutoka kazini kwake.....

"" "" Watoto wa yule mama walikuja na kuketi sebuleni wakiwa wanamfurahia sana mama yao...

Lakini mimi nilikuwa kimya tu namwangali Dayana..

Nilikuwa nikimtafakari udogo wake na baadhi ya mambo aliyokuwa akiyafanya..

"" "" " Mama pole na majukumu.. Nadhami nilikwambia kazi yako ni ndogo sana...
Aliongea Lidya....

" "" "kwanini unasema hivyo Mwanangu lidya.???
Aliongea yule mama....

" "" Nimeshaupata mkanda mzima wa yale matukio.....

Muhusika mkuu ni kijana mmoja anaitwa Razac... Ndio aliweka utaratibu wote hadi kukurekodi....

Pia nimewashika na wametangulizwa Dar es salam wote pamoja na Muhudumu....

Naomba tupande ndege tuwahi dar es salam ili wakifika watukute na tupate habari kamili...

Alimaliza kuongea Lidya na kumtazamaa yule mama.

Muda huo macho yangu yote yalikuwa kwa Dayana nimuone atafanyaje kwasababu niliamini kabisa anamjua vyema huyo Razac.

Chaajabu Dayana hakuwa na dalili ya kuogopa chochote....
Alikuwa ametulia tu kamkumbatia mdogo wake wanapiga story kama vile haelewi mazungumzo yetu...

"" “"" Nashukuru sana.. Kwasasa naomba tukaoge tuvae tuende Airpot tuanze safari.. Aliongea mama yake Dayana...

Waliinuka na kwenda kuoga kisha kuvaa, walikuja kutuaga na kuondoka zao....

Nyumba ilibaki kimya sana.. Dayana hakuwa na hamu hata kunitazama....

"" "" Dada.. Twende ndani mimi sitaki kumuona Frenk... Aliongea Mariana.....

Nenda tangulia ulale mimi nitakuja baada ya mda ngoja tuongee na Frenk..

Mariana aliinuka na kuingia ndani...

Dayana alinitazama na kunisogelea pale nilipo kaaa....

"" "" frenk nakupenda ila tamaa inakuzidi sana,
Ungekuwa unajitambua ungepata kila kitu, tatizo malaya sana wewe kaka..

Nimekuvumilia vyakutosha ila umenichanganya sana baada ya kutembea na mdogo wangu....

Umeamua kumpa mdogo wangu pia Maradhi niliyo kupa.....

Nashukuru sana.... Lakini nimeumia sana ila nitafanyaje sasa....
ALIONGEA DAYANA....

"" "" "Unasemaje Dayana.??? Maradhi gani tena....
Niliongea kwa upole hadi machozi yalikiwa yanaanza kunitoka....

" "" "Nimeathirika... Kwahiyo sasa nyumba nzima tumeambukizana.?? Hata Afsa wa upelelezi umemuambukiza pia.???? Kwasababu nilishaambiwa kuwa ulifanya nae mapenzi pale Lodge...
Aliongea Dayana kwa kujiamini na kuinuka kwemda ndani kwao.....

Nilitulia kimya nikitafakari maisha yangu huku mapigo ya moyo yakiwa mbio sana...

Nilikuwa bize kufuta machozi,

Nililia sana baadae mimi pia niliinuka ili niingie ndani kwangu....

Nilivyo simama tu kwenye kochi kabla sijapiga hata hatua moja nilishangaa nimepigwa na kitu kizito kichwani..

Nilidondoka chini kama gunia... Sikuelewa tena nini kiliendelea pale.

ENDELEA....


*******
*******

Lidya na mama yake dayana walikuwa ndio wanafika Dar es Salam..
Bila ya kuchelewesha muda walichukua tax hadi Central kituo kikuu cha polisi kwa pale jijini...

Lidya aliingia na kutaja namba zake za usajili,
ziliingizwa kwenye kompyuta,
ilitokea picha yake na cheo chake kisha kuruhusiwa kuingia ndani ya kituo kama afisa wa jeshi la polisi...

Aliingia na kuelekea moja kwa moja hadi ofisini kwa mkuu wa kituo kile...
Kilikuwa ni juu ya ghorofa...
Lidya akiwa na mama yake Dayana walipanda ngazi hadi kwa mkuu...

Walianza na kutoa maelekezo kwa secretary lakini waliambiwa kuwa mkuu anao wageni hivyo walipaswa wakae kusubiri...

Lidya na mwenzie hawakuwa na tatizo,
walienda kwenye kiti karibu na mlango wa kuingilia kwa mkuu na kutulia huku wanapiga stori mbili tatu..

*******
"" "" Hivi lidya.. Ulivyoniambia kuwa huenda muhusika wa haya yote anatoka kwangu ulikuwa unamaanisha nini.??? Aliongea mama yake Dayana...

"" "" "" Mama.. Unadhani jana asubuhi tulivyofika moshi mwanao alikuwa anatoka kwenda wapi.???
Ulijiuliza kiundani au ulipotezea tu.????

Niliamini kama huenda kuna baadhi ya vitu ulianza kuhisi kumbe bado...

"" "" Mama ukweli ni kwamba..
Tangu umesafiri na mwanao alitoka,
hakurudi nyumbani hadi siku unakaribia kurudi..
Alikuwa nyumbani kwa mwanaume mmoja anaitwa Razac..
Huyo mwanaume ni mfanya biashara wa madawa na amehusika kutengeneza sinema yote ya picha zako za uchi ili apate pesa kwa mrija..

Yupo humu huyo kaka ni miongoni mwa tulio wakamata...
Pia alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanao Dayana..
Nadhani ndio sababu ya hadi mwanao kukataa chuo....

ALIONGEA LIDYA KWA MSISITIZO SANA HUKU ANAMTAZAMA MAMA YAKE DAYANA...

"" "" "" Uuuuuuuhhhhhhh... Mama yake dayana alishusha pumzi na kujiegemeza kwenye kiti..

Sikutegemea kama Dayana angekuwa mpumbavu kiasi hiki..
Aliongea mama yake dayana.....

Wakati huo Mlango wa mkuu wa kituo ulikuwa unafunguliwa...

Alitoka mkuu wa kituo na wageni watatu nyuma yake....

Alikuwepo Boss wa kampuni ya "" PEACE OCEAN""" ya uingizaji wa mizigo kutoka china,

Mzee huyo alikuwa ni boss wa lidya kwani lidya alikuwa ni Secretary kwa mzee yule, na kule alikuwa akimpeleleza kuhusu rushwa ya ngono..

Ushahidi wote alikuwa nao Lidya na alikuwa akimhesabia siku tu za kumkamata....

"" "" Lidya aliiinuka baadaa ya kumuona yule mzee katoka ofisi kwa Mkuu wa kituo tena wakiwa wanacheka...

Nyuma ya yule mzee alikuwemo Razac na mkaka mmoja aliekuwa amevalia Suti nyeusi..
Nadhani alikuwa ni mlinzi wa yule mzee....

"" "" "" " Shkamoo mkuuu... Aliongea Lidya kwa sauti ya upole baada ya kumsogelea mkuu wa kituo....

" "" "Samahani nilikuwa na shida na wewe..
Pia hawa hapa ni wageni wangu.. Wanaenda wapi.??

Aliendelea kuuliza Lidya..

Yule mzee alicheka kwa dharau na kumwambia......

" "" "" "Sikiliza binti...... Jambo usilo lijua ni usiku wa giza.. Utalijua taratibu. Naomba tu uwe mpole...

Pia Razac ni kijana wangu wa kumzaa... Hapa nilikuja kumuwekea dhamana na tayari naondoka nae..
ALIONGEA YULE MZEE NA KUMSHIKA RAZAC MKONO ILI WATOKE...

"" "" " Mkuu... Hawa ni watuhumiwa wangu. Nilipaswa mimi ndio nije kuwahoji kwasababu najua sababu za kuwakamata. Unapowaachia unakuwa unanikosea mkuu wangu....

Aliongea Lidya....

Mkuu wa kituo alimtazama tu lidya bila kumwambia chochote....

Lidya aliogopa sana na kubana miguu yake kisha kupiga saluti kwa unyenyekevu sana

Mkuu wa kituo akaondoka na wageni wake....

Lidya aligeuka nyuma kumtazama Mama yake Dayana lakini hakumuona....

Alishtuka kidogo na kuamua kwenda kumuuliza Secretary wa mkuu wa kituo....

Alishangaa kumuona Mama yake Dayana kajificha nyuma ya Secretary...

"" "" Mbona hivyo mama.???
Aliuliza Lidyaaa.....

"" "" "Mwanangu. Lidya naomba tuondoke hapa.....
Yule mzee alietoka humo ndani ni mzee hatari sana.
Ndiye aliniteka na kuagiza watu wake wanibake na kwenda kunitupa porini.....

Sikutaka anione jamani..." "" uuuuuhhhhhhhh..
Naomba tuondoke....

Aliongea Mama yake Dayana na kumshika Lidya mkono kisha kuanza kushuka ngazi za kituoni kwa kasi sana.....

ENDELEA........
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY???15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA? Sehemu 13.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY ???11

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest