Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
Gonga94 ยท Stories

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.................

Kaka akakaa chini kwanza yaani alika chini kabisa na kunyoosha miguu Kisha akaniambia

"Kaa chini "

Nikakaa na kumuangalia kwa makini kutaka kujua anatak kusema nini, nilipokaa akaanza kunishika kichwani, shingoni na mwili kiujumla, nilibaki nikimshangaa mwisho akauliza

"Uko sawa kweli??"

"Ndio "

"Una uhakika hata kichwa akiumi, usikii joto sana au baridi ?"

"We mbona sikuelewi ??"

" Mimi ndo sikuelewi, hivi unajua nilimtafuta kamili kiasi gani Mimi ?? Nilimtafuta kamili kwenye majivu Mimi niliangaika Sana ingawa walisema ameungua na kupoteza maisha lakini sikuchoka kumtafuta nimemtafuta takribani miaka miwili sijampata wewe inakuwaje unasema kamili anaishi umemuona wapi na Kama alikuwa anaishi muda wote huo na Nani anaishije ??"

Maneno ya Julius yalinifanya nijue kuwa Mimi na mama na baba ndo tuliamini kuwa kamili kweli amekufa, nikaanza kumuelezea kila kitu nilichoambiwa na yule rafiki yangu neema, Basi kaka akasema tutajitaidi twende usiku ndo itakuwa rahisi kuwapata.

Kweli jioni tukaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa na nashukuru alikuwa yule yule niliyemuacha na hakuwa amenisahau hata kodogo, tulipokeleww vizuri na kusema kilichotuleta.

" Ni kweli kamili yupo na nilikuwa bize nafanya utaratibu wa kumuamisha kwa yule mama anamtumia vibaya kama mlivyosikia na nilikuwa nimeanza mikakati hili apelekwe kwenye kituo Cha watu walemavu, nakumbuka nilijaribu Sana kukutafuta saada lakini nilipata taarifa kuwa umefariki kwenye uzazi hata sijui hi dunia inaenda wapi, lakini pia sikuwai kujua kuwa mna mkaka mkubwa hivi "

"Ndo hivyo Kaka angu alikuwa nchi za nje uko SI unajua alipata ufadhili akaenda kulelewa hivyo amerudi na anaishi tanzani, mda mrefu tu maana hata hapa alikuwa akija kumuona mama "

"Sawa Mimi naomba mje asubuhi Sasa hivi nitampelekea barua ya wito ja asubuhi tutakuwa na kikao kifupi kwaajili yenu naomba saa mbili kamili muwe hapa.

Tukaondoka nilikuwa na furaha Sana lakini Sasa niliwaza kamili akiniona atanikubali kweli maana alikuwa ni mkubwa na alikuwa akiona kila ubaya ninaofanya ukizingatia alikuwa na akili Sana ya kukalili mambo.

Asubuhi na mapema yaani kabla ya saa mbili tayali tulikuwa mbagala kwa mwenye kiti wa mtaa yaani nakumbuka nyumbai sijui tulitoka saa tisa maana Barabara ilikuwa nyeupe kabisa, na nakumbuka mwenyekiti na familia yake waliamka na kutukuta tumepaki gari nje na tumelala Ni ajabu lakini kiukweli hatukuweza kulala usiku huo tulikuwa tunaweza kuhusu kamili tu

" Ila njaa ishaanza kuniuma ujue "

Nilimwambia Julius tukiwa ndani ya gari

"Darasa la pili D punguza kula kula unataka unenepe Ufike wapi ??"

"Umeanza "

"Sasa nimeanza Nini na nasema kweli unanenepa mno mdogo wangu fanya upungue upendezi "

Nikaona huyu ananipa somo Sasa nikatoka nje ya gari na kukaa chini ya mti majila ya saa mbili Bibi mindoli alifika pale alistuka aliponiona hakuamini Kama angeniona, pale lakini Kaka Julius alimsogelea huyo mama na kusema

"Waoooh ajabu Kama Ni wewe"

Nikamuomba atulie ingawa sikuwa naelewa anaongea kuhusu nini, Basi kikao kikaanza pale.

"Habari zenu jamani najua no asubuhi Sana lakini nimeona kikao hiki kifanyike wakati huu ili kiwai kuisha na kila mtu akaendelee na shughuli zake za utafutaji, kwanza kabisa saada na Julius naomba mtambue kuwa huyu ndo Bibi mindoli , Bibi mindoli huyu Ni sa ........."

" Nawajua tuendelee"

"Aaaah walikuja Jana na kuniambia kuwa wamepata taarifa kuwa ndugu yao Ni mzima na anaishi kwako, sikuona sababu ya kukataa ikiwa Ni kweli unaye ndugu yao, na wanamuitaji "

" Walikuwa wapi siku zote hizo? Wanajua nimemleaje ??"

Hapo Julius aliinuka kwa hasira na kumakaba yule mama kiukweli nilibaki nikishangaa tu yaani kwanini Kaka amekuwa na hasira sana tangu amemuona yule mama, tukasaidiana kumtoa asije akaua maana alimkapa kabali Moja matata

" Unazungumzika kuhusu tulikuwa wapi , unasema umetumia ghalama nyingi vipi kuhusu wewe kumtembeza barabarani kwenye jua akiomba omba kwaajili yako, mwenyekiti sikia huyu mwanamke ni mtu mzima lakini mpuuzi sana sana, Mimi sikuwai kuamini kuwa kamili amefariki lakini aliniaminisha alisema yeye ndie alimtoa mama kwenye lakini alipokuwepo kamili moto ulikuwa mkali mno alishindwa kumsaidia, lakini bado niliendelea kumtafuta akaonesha ushirikiano kuwa Yuko na Mimi , takribani miezi sita halafu Leo unaongea upuuzi gani namtaka kamili hapa laaah sivyo nitakuonesha upande wangu wa pili wa sarafu hapa sijauonesha kamili Yuko wapi "

Mwenyekiti akatuliza fujo na kumuuliza huyo Bibi

"Kamili Yuko wapi .."

"Ahahah mnafikili mtampata kirahisi mpaka nilipwe"

Nikasema kumbe huyu kabali haijamtosha nilimrukia na kuanza kumpiga hovyo hovyo watu wakanishika.

"Unapata wapi nguvu ya kunipiga we mtoto laana kabisa eeeh unapata wapi hiyo nguvu na ukuwai kumpenda kamili hata kidogo "

Muda huo huo kamili alikuwa akija kwa kusota mikononi ndio alikuwa amevaa ndala kiukweli alikuwa amekuwa mkaka kabisa jamani na kama angekuwa anasimama angekuwa na muonekano Kama wa toby hivi sema afya yake ilionekana kuzolota Sana uvumilivu ulinishinda nikamkimbilia ajabu akawa ananiogopa nikajua kabisa anakumbuka ubaya niliokuwa namfanyia lakini alifurahi Sana alipomuona Julius alikuwa akimkumbuka ingawa alimjua kwa muda mfupi tu.

"Umekuja kufanya Nini huku ??"

Aliuliza yule Bibi na kumfanya kamili aogope kabisa

"Wewe Bibi uo mdomo wako utakuponza "

Nilizungumza, kamili akaniita Dada saada
Niligeuka na kuitika Kisha kamili akamgeukia Bibi mindoli na kusema

" Si ulisema Dada saada na mama wamekufa kwaajali na nimebaki na wewe ambaye umeamua kunisaidia huyu Ni Nani ??"

Nilimgeukia Tena yule Bibi kwa hasira Nika..........

ITAENDELEA...



FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23


SONGA NAYO.................

Kaka akakaa chini kwanza yaani alika chini kabisa na kunyoosha miguu Kisha akaniambia

"Kaa chini "

Nikakaa na kumuangalia kwa makini kutaka kujua anatak kusema nini, nilipokaa akaanza kunishika kichwani, shingoni na mwili kiujumla, nilibaki nikimshangaa mwisho akauliza

"Uko sawa kweli??"

"Ndio "

"Una uhakika hata kichwa akiumi, usikii joto sana au baridi ?"

"We mbona sikuelewi ??"

" Mimi ndo sikuelewi, hivi unajua nilimtafuta kamili kiasi gani Mimi ?? Nilimtafuta kamili kwenye majivu Mimi niliangaika Sana ingawa walisema ameungua na kupoteza maisha lakini sikuchoka kumtafuta nimemtafuta takribani miaka miwili sijampata wewe inakuwaje unasema kamili anaishi umemuona wapi na Kama alikuwa anaishi muda wote...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-23

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.09K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.06K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

460
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

242
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

230
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

229
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

224
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

126
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest