Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
Gonga94 ยท Stories

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.......

Nilistuka uku nikimuangalia baba yule ambaye alikuwa amechukia sana.

" Naongea na wewe una akili kweli were mtoto wako mdogo hivi unaruhusu anazulura juani wewe umelala unasubili pesa zije, tuongozane twende kituo Cha polisi"

" Jamani subili baba angu nikuambie me mbona sielewi unaongea nini "

"Utaelewa tukishafika kwenye vyombo vya Dora "

" Hapana sijafanya kosa me siendei nipe mwanangu "

" Sawa mtoto sikupi lakini kama utaki kuongozana na Mimi Ni sawa "

Akageuka na kufungua mlango wa gari, nikaona huyu Yuko serious Sana wacha nimfuate mwanangu tu Sina namna, haraka nikapanda mlango wa nyuma, kwa jinsi ambavyo niliwai kwenye Gari mpaka yule baba alicheka Nyie hivi mnajua kuchanganyikiwa ๐Ÿ˜‚.

Moja kwa Moja mpaka kituo Cha polisi yaani mwanzo nilijua utani lakini tulivyofika hapo ndio niliamini, nilimkuta fatuma akiwa amekaa na vijana kama watatu hivi Kati ya vijana hao mmoja nilikuwa namjua kwasababu alikuwa na mahusiano na fatuma.

Fatuma alikuwa ananiangalia kwa wasiwasi Sana nikimuangalia kwa hasira nilitamani nimshike nimpige hasira zangu ziishe

" Mama Hawa unawajua ....??"

Aliuliza yule baba ambaye alikuwa amembeba Bella

" Ndio lakini sio wote "

"Unamjua Nani na nani Kati yao "

Nilimuoneshea fatuma na mchumba ake , aaah kwahiyo ndo unawatuma wakaigize huyu aigize mume mlemavu na huyu aigize mtoto wake anaumwa Sana ili wapate pesa SI ndio ??"

Nilimgeukia fatuma na kumpiga kibao kimoja iko Cha hatari polisi waanishika

"* Kwahiyo siku zote unazo chukua mwanangu najua unampenda kumbe unamfanya chanzo Cha mapato yako si ndio....??"

" Nisamehe Sasa nimekosa "

"Fatuma fatuma una Nini wewe eeeh Mungu wangu afande nielewe sijui chochote kuhusu haya Mambo sielewi nachanganyikiwa"

Yule baba alinionea huruma na kunipa mtoto wangu, sikuona hayw nilikaa pembeni na kuanza kumnyonyesha ingawa wengi walipigwa na butwaa kutoa ziwa mbele za watu lakini sikujali nilijali kuhusu Bella wangu tu.

Taratibu ziliendelea baada ya muda walisamehewa kwa pesa, tuliinuka na kuondoka nilikuwa na hasira sana sikutaka hata kuongozana nao na ukizingatia sikuwa hata na mia nikaanza kutembea zangu pole pole, lakini muda huo huo alikuja yule polisi na kunipa lifti.

Tuliongea mengi Sana tulipokuwa njiani, mwisho tukabadilishana namba za simu.

Baada mwezi mmoja Mimi na huyo inspector wa kituo Cha polisi tulikuwa kwenye mahusiano mazito kabisa na nilikuwa najua kuwa anafamilia lakini mke wake Ni mtu wankisafiri Sana kutokana na biashara hivyo Mara nyingi bwana huyo alikuwa akilala kwangu.

Baada ya muda akaniamisha na kunipangia nyumba nzima, yaani nilijio a na Mimi ni mtu alikuwa anafanya kila kitu kwaajili ya bellah alimfanya Kama binti yake hakumbagua Wala Nini Kuna muda mpaka akawa ananiambia anioe mke wa pili lakini niliogopa sana, mwisho wa siku niliolewa mke wa pili ingawa marafiki zake tu ndio walikuwa wakijua hakujua mke wake Wala familia ya mwanaume nilichokuwa najali kuwa napata huduma zote account yangu ilikuwa inatema mda wote yaani,nikaanza kuishi luxury life yaani, ila sikumsahau Benny nilikuwa nikienda kutembelea kaburi lake na nilifanikiwa kulijengea bila kushirikisha familia yake, maana wote waliamua kunitenga na mwanangu, muda ulienda Bella alifikisha miaka miwili ingawa alikuwa akiitwa Bella benny lakini alikuwa akijua kuwa yule baba ndio baba yake.

Kuna siku nilikuwa nimetoka kufanya shopping, ile nimefika tuu chakwanza nimekuta geti liko wazi , milango iko wazi nikajua labda nimevamiea na wezi nikamba Bella abaki nje kwenye bajaji ambayo ilituleta niliingia ndani kwa umakini zaidi, nilikuta wanawake watatu mmoja tunalingana wawili walikuwa wamama. Watu wazima bila kuuliza walinivamia na kuanza kunipiga, ingawa nilikuwa na nguvu lakini wengi Ni wengi tu nyie nilipigika damu mdomoni puani na kila Kona walipochoka na walipoona kuwa nimepoteza fahamu wakaondoka, ndipo dereva bajaji akaamua kuingia ndani, aliponikuta Nina hali mbaya akaniwaisha hospital, huyo ndio alikuwa dereva wangu wa kila Safari maana nilikuwa naenda nae kila kona, na alimpigia simu mume wangu na kumwambia kuwa Niko hospital.

Majila ya usiku niliamka katika usingizi mzito nilimkuta mume wangu huyo akiwa na Bella, nilikuwa na maumivu makali sana lakini pia nilikuwa nimetundikiwa dripu, nilibaki nikiwangalia tukaanza story story

"Baba rahma utanisamehe nakuambia alichonifanyia mke wako na mwanao sijui na shoga yako yule nitalipiza wao si wamenichangia Mimi nakamata mmoja mmoja napiga sitaki mjadala "

"Aaaaah kumbe Ni yeye ndo amefanya hivyo eeeh atajua Mimi ni Nani leo"

Akamshusha Bella na kuondoka kwa hasira Sana me nikajisemea tu liwalo na liwe nimechoka

Baada ya muda niliama katika ile nyumba kwaajili ya usalama wangu na wa mwanangu niliamia kwenye nyumba ya kawaida tu ambapo nilichukua chumba na seble, muda huo nilikuwa nimeshaachana baba rahma kwani alionekana akimpenda Sana mke wake ingawa Mimi pia niliolewa lakini nilikuwa nikitumika tu, hivyo niliama akiwa ajui kabisa na najua aliangaika kunitafuta, baada muda nikaona huku sipawezi maana upatikanaji tu wa pesa Ni mgumu unaweza fanya biashara miezi hata miwili na pesa ya mtaji isiwe imerudi nikauza vitu vyote na kurudi jijini dar es salaam sikuwazia kabisa kuhusu madam nikasema nammudu asinichanganye, ile nafika dsm habari kubwa Ni madam grace anatafutwa Nyie ๐Ÿ˜‚ nikasema huyu kenge dar ataiona chungu walahi, nilifanikiwa kukutana na wachache ambao walikuwa wakiishi kwa madam grace wangi walikuwa wamepelekwa kwenye hospital kwaajili ya kupatiwa msaada wa kisaikolojia kutokana na Mambo waliyopitia, niliweza kukutana na Toby na kuzungumza nae.

"Duuuuh yaani hi sura ya bellah Ni benny mtupu yaani Benny kaondoka Benny kabaki "

"Namshukuru Mungu ameniachia kababy kangu "

"Lakini benny nilipoongea nae hakuniambia Kama mko pamoja "

"We wasiwasi wa kuja kukamatwa na madam grace "

"Acha unajua siku ambayo tulipanga kutoloka ndo siku tulikamatwa nilikutana na Betty Seema ndo hivyo anaumwa Sana Sasa hivi hata ajitambui , sikuacha kujaribu Mara ya mwisho niliamua kuwapigia polisi tuu nilishachoshwa na maisha ya kule "

",Poleni Sana "

"Kwahiyo Sasa hivi unaishi wapi ??"

" Ndo kwenye kituo si unaona picha zetu zinasambazwa Kama ndugu wataona waje kutuchukua wachache wameanza kuchukuliwa "

"Unaonaje nikakuchukua maana najua hakuna mtu atakuja kukuchukua "

"Hapana bhana Niko sawa kuishi hapa kituoni kama mtoto yatima "

"Kwamba umekata tamaa SI ndio ??"

Nilitumia muda kumlazimisha toby, mwisho alikubali na tukaondoka wote kwakuwa nilipanga chumba na seble alikuwa akilala sebleni, maisha yaliendelea vizuri kabisa, nilimuheshimu Kama Kaka aliniheshimu kama dada, nilimfungu




FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15



SONGA NAYO.......

Nilistuka uku nikimuangalia baba yule ambaye alikuwa amechukia sana.

" Naongea na wewe una akili kweli were mtoto wako mdogo hivi unaruhusu anazulura juani wewe umelala unasubili pesa zije, tuongozane twende kituo Cha polisi"

" Jamani subili baba angu nikuambie me mbona sielewi unaongea nini "

"Utaelewa tukishafika kwenye vyombo vya Dora "

" Hapana sijafanya kosa me siendei nipe mwanangu "

" Sawa mtoto sikupi lakini kama utaki kuongozana na Mimi Ni sawa "

Akageuka na kufungua mlango wa gari, nikaona huyu Yuko serious Sana wacha nimfuate mwanangu tu Sina namna, haraka nikapanda mlango wa nyuma, kwa jinsi ambavyo niliwai kwenye Gari mpaka yule...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.1K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.06K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

464
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

242
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

231
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

229
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

225
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

126
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest