Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
Gonga94 Β· Stories

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO...........

Nilipofika mlangoni kwake nilisikia sauti ya watu wawili wanaongea ilikuwa ni yeye na mama yake, kwanza nikajuliuliza tangu lini uyu mama anaingia chumba Cha mkwe wake na mwanae au Mila ya wapi hiyo au kipi kilichomfanya aingie humu

" We nawe nimechoka kila siku Mara umemlia milioni Mara Nini sikia wewe kwasababu mwanangu dikson anakupenda sana nikakubali wewe kuolewa na huyu kijana kwaajili ya hela lakini pia nilikubali kuigiza mama yako lakini miaka inaenda na Mali haujazurumu ata kidogo "

"Eeeeh jamani mnafikili hi kazi rahisi, ndio maana nimewaita wewe na mwanao mje mnisaidie, hata Mimi nimemisi kukaa na dick wangu naumia kumuita kaka "

Nilihisi kaa masikia yangu hayasikii vizuri na muda huo nilikuwa nikiendelea kurekodi sauti zao walikuwa wakijiachia wakizani wako peke yao

" Sasa endelea kujiachia akuzalishe mke wa pili sitakubali kabisa na utaachana na mwanangu "

"Nisaidie sasa mama me nimefikilia Julius afe tu maana Mimi Ni mke halali nitapata kila kitu "

"We na huyu dada ake ??"

"Huyu tuna uhakikq gani Kama Ni Dada yake , kingine mama bellah nammudu kabisa, nataka kujua mazaifu yake tu "

Nikatoka na kurudi chumbani kwangu nikiwana hasira za kutosha yaani nilivimba nusu kupasuka nikawa nazunguka uku na uku, Sasa nikawa najiuliza dikson Ni Nani ambaye anasema amekuja au Yuko njiani maana huyu kaka yake aitwi Dickson Sasa huyo Dickson Yuko wapi au wamemficha humu ndani, jamani hivi unajua maswali nilikuwa na maswali ya kutosha ambayo majibu Sina nikapata kabis njia ya kutaka kumjua kiundani nikaona tunaishi na lishetani ndani, siku zote nilikuaga najua shetani Ni Mimi na madam Grace kutoka na matendo yetu kumbe Kuna wengine huku 😁.

Siku hiyo nilichelewa kuwaandaa kina Bella hivyo gari ya shule iliwaacha ikabidi niwapeleke kwa huba, na niliwai kurudi, nilikuta milango yote iko wazi nikawaza Sana Kuna Nini mpaka milango iachwe hivi, nje pia mfungua geti hakuwepo, nikaingia ndani kila kitu Kiko sawa sebleni nikaenda chumbani kwangu kuko sawa nikawa natembea tembea uku na uku, nilipofika chumbani kwa Kaka yangu nikasikia sauti ambazo sijielewi kabisa nikawaza Kaka hayupo kasafiri huku wifi Yuko na Nani mlinzi au ? Nikapata shahuku ya kuchungulia lakini Moyo mwingine ulikuwa unaniambia itakuwa kaka karudi amemmisi mke wake wakasahau kufunga na milango, Sasa najishauri chungulia nyingine inaniambia acha, niliogopa kuchungulia nikatoka na kwenda kukaa sehemu ambayo Kama watatoka nje nitawaona na nitajua Kam Ni Kaka na wifi au wifi na mlinzi.

Baada ya muda kweli walikuwa wanatoka nikasimama sehemu ambayo wasingeweza kuniona, nilistuka nilipomuona wifi na mwanaume ambaye alitutambulisha kuwa Ni Kaka yake mtoto wa mama ake mkubwa Tena walitoka wakiwa watupu wanakisi tu, nilitamani nijitokeze wanione Zaidi nilivuta simu na kurekodi Ili kupata ushahidi kamili yaani sikutaka Mambo mengi mie.

Wakasogea Hadi sebleni

"Nilikumisi sana Dickson wangu "

Alizungumza wifi hapo ndo na Mimi nafunguliwa akili kumbe huyu ndio dick na ndio mama yake Ni huyu mtu mzima kisheta nikajibana na kurudi chumbani.

" Kavae mlinzi anaweza kurudi mda wowote "

"Nimemtuma mbali ujue na bado naitaji kuwa na wewe "

Muda huo huo mama mkwe feki wa Kaka angu aliamka na kutoka nje na kukuta wale wakiwa sebleni utupu kabisa

" Nyie mna akili kweli eeeh mtu akija akarudi gafla mtasema Nini tu na Kaka ake ??"

"Nani Sasa mtu na Kaka ake nawe acha kujifanya mwema "

"Kavaeni me mtumzima naona mbali tutatimuliwa hapa Kama mbwa "

Basi dick akaondoka, wifi yangu akachukua kanga iliyopo kwa mama dick na kujifunga, mda huo nilikuwa gorofani narekodi kila kitu yaani, Kisha nikajitokeza na kujifanya najinyoosha na kupiga miayo, kila mtu alistuka

"Eeeh wifi kumbe upo ndani umerudi saa ngapi??"

"Mda Sana sikukuta mtu hivyo nikaenda kulala ndani mlienda wapi ??"

"Me nililala ndo nimeamka , mama pia ndo ameamka,,,oooh na Kaka nae huyo Naona ndo anaamka "

Alizungumza hivyo baadaya kumuona dick anatoka ndani kwake, dick akanisalimia na kuaga kuwa anatoka nikabaki na wifi yangu na mama yake feki

"Afadhali kaka angu katoka ninakazi na wewe "

Alizungumza wifi na kunisogelea

"Wifi kwani wewe utaki kuolewa....??"

"Mungu akinijaalia mume mwema nitaolewa me najua wakati wangu haujafika "

"Oooh kumbe unasubili mtu mwema me Nina rafiki yangu anatafuta mke "

"Mungu atamsaidia atapata mke "

"Acha kujizima data wewe mama bellah me sikutaki humu ndani sawa "

Nilitamani kumuwashia Moto lakini nikasema ili sebene nitalianzisha Kaka akiwepo huu sio muda sahihi, nikamuacha akiwa anaendelea kubwata ye na mama ake mkwe wa mchongo.

Baada ya wiki tatu Sasa tukiwa dinning room tunakula familia nzima ilikuwa Ni chakula Cha usiku na Kaka alikuwa amesharudi wifi akainuka na kwenda kutapika Kama mtu mzima nilishaelewa nikasema movie karibu inaanza ngoja nimuache amalize matrela yake.

Asubuhi wakaenda hospital nakaka, wakarudi Kaka alikuwa na furaha sana Sana yaani akatuita wote sebleni na kutuambia kuwa anatarajia kupata mtoto wa pili Basi tukawapongeza pale kila mtu akaendelea na mishe zake, Mara nyingi Julius akishinda nyumbani uwa anapenda kulala hivyo alienda ndani kulala, nikamuona dick na wifi yangu wanachukuzana mpaka chumbani kwa dick nami mbio mpaka dilishani nikaseti simu pale kwajili ya kurekodi

", Unaona ujinga wako mtoto wangu wa pili anaenda kuzaliwa kwenye hi nyumba na nakosa Haki ya kuitwa baba Kama previous kakazana kuniita mjomba "

" Nivumilie kesho kila kitu kinaisha nimeshaongea na watu wa kumsababishia ajali niamini Mimi "

Wakaongea mengi Kisha mama precious akatoka nami huyo nikatoa komwe langu na kulipeleka jikoni .

ITAENDELEA.....




FORGIVE ME, MOM 😭😭
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19


SONGA NAYO...........

Nilipofika mlangoni kwake nilisikia sauti ya watu wawili wanaongea ilikuwa ni yeye na mama yake, kwanza nikajuliuliza tangu lini uyu mama anaingia chumba Cha mkwe wake na mwanae au Mila ya wapi hiyo au kipi kilichomfanya aingie humu

" We nawe nimechoka kila siku Mara umemlia milioni Mara Nini sikia wewe kwasababu mwanangu dikson anakupenda sana nikakubali wewe kuolewa na huyu kijana kwaajili ya hela lakini pia nilikubali kuigiza mama yako lakini miaka inaenda na Mali haujazurumu ata kidogo "

"Eeeeh jamani mnafikili hi kazi rahisi, ndio maana nimewaita wewe na mwanao mje mnisaidie, hata Mimi nimemisi kukaa na dick...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA 😭  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 02
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.58K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.27K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.2K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.14K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest