Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
Gonga94 ยท Stories

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO........

Kila mtu alistuka Sana lakini taarifa hizo zilikuwa zikinichanganya Zaidi Mimi na Julius maana tumeshakuwa kwenye mahusiano kwa muda sana, nilikuwa nilijiuliza kwahiyo mama amjui mwanae au, nilikuwa na maswali mengi Sana na yaliitaji majibu kutoka kwa baba, lakini baba alikuwa akiongea uku machozi yakimtoka

" Najua sio rahisi kunielewa lakini naomba mnisikilize kwa makini NISAMEHE Sana Julius kwa kukutenganisha na mama yako, nakumbuka ulikuwa na miezi mitatu tu nilipokutenganisha na mama yako ulikuwa ugomvi mkubwa lakini mwanaume Ni mwanaume nilishinda, nilikuwa na dada yangu ambaye alikuwa akiitaji Sana mtoto na hakuwa na kizazi lakini mume wake alisisitiza sana kutaka mtoto na hakuwa akijua shida ya dada angu, aliposafiri kwenda nchi za nje, dada angu pia aligundua kuwa mke wangu Ni mjamzito hivyo akamdanganya mume wake kuwa yeye Ni mjamzito, hapo furaha ya ndoa ikarudi ingawa walikuwa mbalimbali lakini amani ilikuwepo, sasa mume wa Dada angu akapiga simu kuwa Yuko airport anarudi dada angu aliniomba Sana nimpatie mtoto kwani mume wake Ni mtu wa kuishi nchi za watu sana atakaa nawe miezi kadhaa Kisha atakuridisha mume wake akiondoka, tukumbuke muda huo mawifi na masheji wa dada angu wanajua kuwa wifi yao amejifungua na alikuwa akiwatumia picha za uongo, sikuwa na budi kukuchukua na kumpa dada angu ulitokea ugomvi mkubwa Sana kaati yangu na mke wangu, lakini upande wa Dada angu ilikuwa furaha Sana , nakumbuka mlimpokea salama kabisa lakini mlipokuwa njiani kurudi ilitokea ajali mbaya Sana dada angu alifariki hapohapo......"

Baba akanyamaza kidogo na kuangalia uku na uku Julius alionekana kuchanganyikiwa zaidi.

" Unaweza kuendelea kuongea au me nachanganyikiwa "

Alizungumza Julius, Kisha baba akaendelea

"Dada angu alipofariki wewe ukuumia hata kidogo , shemeji yangu alikaa hospital takribani wiki mbili na alikukabidhisha wewe kwa Dada yake ambaye Ni huyu ambaye unajua kuwa Ni mama yako, hivyo ilikuwa ngumu kukurudisha kwa mama yako, lakini pia shemeji yangu alifariki na malezi yako yote alikabidhiwa shangazi yako huyu sikuwa na namna Zaidi ya kukuacha lakini nilikuwa nikikutembelea kila siku, na mama saada sikuwai kumwambia kuwa wewe upo na unaishi naumia kwamba amefariki akiwa ajui kuwa wewe Ni kijana wake"

Mama mlezi wa Julius aliondoka akiwa analia Julius alitoka kwa hasira Sana...

Nilitoka nje na kumfuata lakini aliniangalia kwa hasira mno mpaka nikaogopa, nilimuacha akapanda gari na kuondoka, sikujua anaenda wapi, kichwa changu nikihisi kuwa kina waka Moto maana nilikuwa na maswali mengi mno ambayo majibu alikuwa nayo mama, moyo ulikuwa ukiniuma Sana Sana mpaka nilikuwa sijielewi machozi yalikuwa yanatoka tu kama mvua nilivimba macho mpaka sura yenyewe, nilitamani kukaa peke yangu muda wote, lakini nilikuwa na wasiwasi Sana na Julius kuwa ameenda wapi anafanya Nini je Yuko salama

"Daaaah Julius ndie mtu pekee wa muhimu niliyebaki nae katika maisha yangu, cjui kwanini maisha yamenigeukia Mimi Sasa Nani ana makosa Kati ya baba na mama , lakini mama Ni mbaya kuliko wote SI ndio ??"

Nilikuwa nikiongea peke yangu tu nilitamani kupata majibu sahihi lakini ilikuwa sio rahisi

Julius alirudi usiku Sana akiwa amechoka Sana alifika Moja kwa moja akamfata maa yake mlezi alipofika akiwa na maumivu makali Sana akamuuliza

" Kwahiyo wewe Ni naji yangu Sasa mbona sielewi na kwanini hukunambia kuwa Mimi sio mtoto wako"

"Julius una kila sababu ya kunilaumu nimekulea nikiwa najua kabisa wewe ni mtoto wa Kaka yangu, lakini sikutaka upate maumivu kwa kujua kuwa hauna wazazi, lakini leo nimeumia Zaidi baada ya kujua kuwa Kaka yangu hakuwai kuacha mtoto Bali alisingiziwa tu, lakini still Mimi Ni mama yako SI ndio....??"

Julius hakujibu chochote Zaidi aliondoka na kwenda kujifungia ndani kwake nilimtumia ujumbe nikitaka kuongea nae lakini alikataa.

Asubuhi na mapema , Julius alionekana akiwa na mabegi yake, mama yake mlezi alijitaidi Sana kumzuiq lakini haikuwa rahisi kwani alikataa kabisa

" Am sorry mama nahisi Kama dunia imenigeukia inanihukumu, naumia sijui niyaelezeaje maumivu yangu lakini nitarudi naomba uniache nikapumzishe akili sehemu nyingine yaani mbali na hapa"

Alizungumza Kisha akanyanyua mabegi yake na kuanza kutoka nje niliwai kwenye gari yake na kusimama kumzuia

" Uendi kokote mpaka usungumze na Mimi "

Aliniangalia tu kisha akajibu

" Kipi Cha kuzungumza, juu ya kumkana mama ako na kumtesa au...? Au kutokupata neno la mwisho kutoka kwa mama ako ambaye ulikuwa ukimuita shangazi, kipi unataka kujua Cha dada na kaka kuwa na mahusiano au kipi "

"Kaka Julius......"

Niliita kww upole machozi yakinitoka akanivuta na kunisukumia pembeni ata Kama tumejua Jana kuwa sisi ni damu moja sijui baba mmoja mama mmoja lakini undugu wetu niliuzika tangu pale kamili alivyotoweka katika uso wa ulimwengu na matanga ya udugu wetu tumemaliza kwenye mazishi ya mama, ishi maisha yako saada "

Kisha akapanda kwenye gari yake na kuondoka, kumbe maongezi yote hayo mama yangu wa kambo alikuwa akiyasikia, akanifuata nilipo nikajua akaanza kunibembeleza Cha ajabu akaanza kucheka

"Mmmmmmmmmmh jamani hapana dunia simama nishuke mbona makubwa haya shoga angu kuangaika gani uko mpaka kwa Kaka ako udangaji wako ni wa viwango "

Alizungumza hivyo bila kujali kuwa nilikuwa na hali gani muda huo alicheka sana, niliinuka na kumuacha hapo akiniangalia kwa dharau.

Niliingia ndani na kumwambia baba turudi nyumbani kwetu, Basi bila kupotez muda tulipanda gari na kurudi nyumbani moja kwa moja nilimshika baba mpaka chumbani kwangu nilikuwa na hasira mno, nilifunga mlango na kuanza kumuuliza maswali

" Kwanini uliikimbia familia yako .......??"

Nilimuuliza nikiwa serious Sana mpaka baba akaogopa .....

ITAENDELEA.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06



SONGA NAYO........

Kila mtu alistuka Sana lakini taarifa hizo zilikuwa zikinichanganya Zaidi Mimi na Julius maana tumeshakuwa kwenye mahusiano kwa muda sana, nilikuwa nilijiuliza kwahiyo mama amjui mwanae au, nilikuwa na maswali mengi Sana na yaliitaji majibu kutoka kwa baba, lakini baba alikuwa akiongea uku machozi yakimtoka

" Najua sio rahisi kunielewa lakini naomba mnisikilize kwa makini NISAMEHE Sana Julius kwa kukutenganisha na mama yako, nakumbuka ulikuwa na miezi mitatu tu nilipokutenganisha na mama yako ulikuwa ugomvi mkubwa lakini mwanaume Ni mwanaume nilishinda, nilikuwa na dada yangu ambaye alikuwa akiitaji Sana mtoto na hakuwa na kizazi lakini mume wake alisisitiza sana...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42

1.14K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.01K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1K
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

458
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

226
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

204
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

203
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

203
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

105
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

100

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo๐Ÿ˜ณ. Anadhani labda ameenda chuo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest