Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
Gonga94 ยท Stories

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO..........

Baba alistuka na kubaki akiniangalia, nilimuuliza Tena kwa sauti ya juu Zaidi

" Kwanini uliikimbia familia yako yaani kwanini ulituacha...??"

"Lakini Sasa hivi SI tunakula matunda pamoja jamani..."

Alijibu baba akiwa ananiangalia

"Mmmh nashindwa kuelewa nahisi kuchanganyikiwa zaidi, Nani mkweli Kati ya wewe na mama , sijui nilikuwa mjinga kiasi gani kushindwa kuelewa upendo wa mama kwangu, hakuwai hata kukusema ubaya lakini baba wewe sasa, sijui niongee Nini unielewe sijui nizungumze kwa lugha gani, ukajifanya unanipenda Sana maneno kidogo ukaenda kuchoma nyumba unajua pale nilimpoteza nani? Nilipoteza Kaka na kumbukumbu zote nzuri kuhusu mama angu, ila Mimi nimpuuzi Sana "

"Kilichotokea kimetokea na najisikia vibaya Sana niamini mwanangu tusahau kila kitu na tuanze maisha mapya kama familia naomba Sana sana "

" Naomba nikuache na familia yako siwezi kuishi maisha haya ya raha na maumivu niliyokuwa nayo"

Nilianza kutoa nguo zangu kwenye kabati na kuweka kwenye bag, muda huo huo mama angu wa kambo akaingia na kuomba kuongea na Mimi , baba akatoka nje

"Waoooooh taarifa za kufurahisha hizi Hatimaye unaondoka leo, saada sikuwai kukupenda hata kidogo na maombi yangu leo yanatimia kwanza ungeniharibia watoto wangu tu"

Nilimungalia bila kuongea chochote nikaendelea kupaki nguo zangu

" Nilikuwa sijui kuwa uko na cheo kingine Cha ukiziwi na ububu "

Aliendelea mama kuongea akitaka kuziona hasira zangu, niliishia kumuangalia tuu, nilimaliza kupaki mizigo yangu nikatoka nje, naye akanifuata nyuma na kuigiza kuwa ananiomba nisiondoke, nilikuwa na hasira sana, niliita tax na kuondoka moja kwa moja nikaenda kwenye nyumba za wageni, niliingia ndani nililia Sana nilitamani kila kitu kiwe ndoto nilitamani kila ninachokiona kiwe ndoto tuu na niamke hiishe lakini ndio ilikuwa ukweli, sura ya mama haikuacha kucheza katika ubongo wangu, nilimkumbuka kamili alivyokuwa akiniitaji lakini sikuwai kabisa kujali kuhusu yeye sikuwai kujali juu ya mwanamke ambaye alikuwa akizurula mtaani kutafuta hela ya kula kwaajili yangu, kiukweli siku yangu ilikuwa mbaya sana.

Baada ya siku tatu nilipata chumba, maeneo ya buguruni niliamua kuanza maisha yangu mapya, nilijaribu pia kumtafuta Julius lakini sikuweza kumpata, nilifungua genge pale nilikopanga, watu wangi walikuwa wakinishangaa inakuwaje msichana mzuri Kama huyu anauza genge, nilikuwa na wateja wa kutosha na maisha yaliendelea, nilifanikiwa kukutana na mkaka ambaye alionesha kabisa Nia ya kuwa na Mimi, tulikubaliana na nikaama nilipokuwa nakaa na kuamia nyumbani kwake tukaanza kuishi kama mke na mume, maisha yalikuwa mazuri sana, nilifurahi na kuinjoy maisha mazuri niliyoishi na mkaka huyu ambaye alijulikana Kama zuberi

Baada ya muda nilienda kupima na kujikuta Ni mjamzito
, Zilikuwa taarifa za kufurahisha Sana baada ya kuona naenda kuongeza familia, lakini Bado nilikuwa na kidonda kikubwa kuhusu mama, nakumbuka ilikuwa usiku tumelala, uku mimba yangu ikiwa na miezi 7 mlango uligongwa sana zuberi akainuka na kufungua alistuka sana baada ya kumuona mtu aliyekuwa akigonga

"Ni Nani usikuu huu...??"

Niliuliza lakini gafla akaingia mwanamke mzuri Sana alikuwa amependeza Sana niliuliza tena

" Samahani wewe Ni nani...??"

"Nikuulize wewe, zuberi huyu ni Nani ..??"

Aliuliza mwanamke huyo alionesha kuwa anamfahamu Sana zuberi

"Baby I can explain"

Alijibu zuberi

"Cha kuelezea Ni Nini na kila kitu Kiko wazi yaani baada ya kukuachia chumba changu na duka ukaamua ulete na mwanamke we mwanaume gani uliziki, anyway beba huu mzoga wako toka nao"

Nilistuka kujua kila kitu kilikuwa Ni Cha yule mwanamke, muda huo Sina chochote mkononi Sina hata mia pesa zote nilimpa zuberi ili akuze biashara tulitolewa nje na kutupiwa vitu nje Kama mbwa akujali hali yangu ya ujauzito.

Zuberi alikuwa kimya wakati wote huo nilikuwa nikilia Sana

" Kwahiyo ulikuwa unanidanganya wakati wote huo..? Haya tunaenda wapi ??"

" Tunaenda wapi na Nani ushaniharibia Mimi unatikili naenda wapi Sina ndugu mjini uku naenda zangu wa masela "

" Halafu Mimi unaniacha na nani na unajua kabisa Sina ndugu"

" We chizi Nini me ndo nilikuzaa au muulize mama ako utaenda wapi Tena usiendelee kunifata"

Alizungumza zuberi kwa hasira Sana nilihisi kuchanganyikiwa nikaendelea kumfuata, alinipiga Sana nikapoteza fahamu.

Nilikuja kuamka nikiwa katika vitanda vya hospital Nina dripu pembeni lakini pia tumbo langu lilikuwa dogo sana pembeni alikuwako Ness ambaye moja kwa moja nilijua ndio alikuwa akinihudumia

" Oooh umeamka jambo la kheri"

"Oooh samahani hi ni hospital gani...??"

"Tulia kwanza sawa, tuliza akili yako nashukuru kwanza umeamka maana ni siku ya tatu Sasa tangu uletwe hapa "

"Siku ya tatu....??"

Nilistuka Sana kusikia nimekaa siku tatu hospital, nilianza kufikilia bill itakuwa kiasi gani.

"Subili nikuletee chakula "

Alitoka Ness tule na kurudi na chakula kizuri sana kwa muonekano tu unajua kuwa hiki Chakula Ni Cha be sana nilipata wasiwasi juu ya malipo ikabidi niulize

" Hiki chakula ni bure au...??"

"Oooh nilisahau mtu aliyekuleta usiku wa juzi alilipa kila kitu na kuomba uchukuliwe uangalizi wa hali ya juu mpaka utakapokuwa sawa, alijitambulisha kwa jina la Julius"

Nilitabasamu baada ya kujua kuwa Kaka yangu ndio ameokoa maisha yangu.

" Na vipi kuhusu mtoto wangu??"

"Pole Sana alifia tumboni hatukuwa na budi bali kukufanyia upasuaji ili kuwaokoa maisha yako, muda huo huo simu ya Ness ikaita akasema

"Anapiga..."

Nikamuuliza

"Nani ....??"

"Julius..........

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07



SONGA NAYO..........

Baba alistuka na kubaki akiniangalia, nilimuuliza Tena kwa sauti ya juu Zaidi

" Kwanini uliikimbia familia yako yaani kwanini ulituacha...??"

"Lakini Sasa hivi SI tunakula matunda pamoja jamani..."

Alijibu baba akiwa ananiangalia

"Mmmh nashindwa kuelewa nahisi kuchanganyikiwa zaidi, Nani mkweli Kati ya wewe na mama , sijui nilikuwa mjinga kiasi gani kushindwa kuelewa upendo wa mama kwangu, hakuwai hata kukusema ubaya lakini baba wewe sasa, sijui niongee Nini unielewe sijui nizungumze kwa lugha gani, ukajifanya unanipenda Sana maneno kidogo ukaenda kuchoma nyumba unajua pale nilimpoteza nani? Nilipoteza Kaka na kumbukumbu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42

1.14K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.01K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1K
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

458
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

226
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

204
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

203
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

203
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

105
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

100

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo๐Ÿ˜ณ. Anadhani labda ameenda chuo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest