Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
Gonga94 Β· Stories

FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO......

Nilimungalia Sana Betty uku nikijiuliza amesikia au maana Betty alikuwa Kama anafurahia ile kazi ya mule ndani na alikuwa na chuki sana tangu nimefika maana nilimpita kila kitu hivyo ilikuwa Ni bifu bifu, nikamshika mkono Sabrina na kutoka nae nje lakini Betty akasema

"Mmmmh tuone hiyo Siri Kama itadumu "

Hapo nilijua kabisa Betty amejua ukweli nilipata wasiwasi sana, nikamuomba Benny akae na Sabrina ili nikamuhudumie, alikuwa Ni Chris mteja wangu maarufu kabisa kijana mdogo mwenye pesa za kutosha, na tangu nifike hakuwai kubadili msichana Zaidi yangu.

"Chris naomba hivi kwanini kila siku unakuja kwaajili yangu kwanini usichague wanawake wengine "

"Sema una maneno mengi mno"

"Anyway nilikuwa naitaji unisaidie naitaji kumtorosha mtu ni mjamzito maadamu akijua tu atamtoa na Ni hatari sana kwasababu Ni imekuwa kubwa mno "

"Weeeh na huu ulinzi uliopo umu ndani...??"

"Najua lakini tafuta njia ya kumtoa huyu binti tu ikiwezekana usiku wa Leo nakuomba Sana "

Nikapiga na magoti kabisa kwani nilidhamilia kabisa kumsaidia Sabrina kwanza Ni binti mdogo lakini anayopitia makubwa ingawa sikujua maisha yake kiundani, basi Chris akakubali na kusema atanipigia kunipa plan ya kumtoa sabrina.

Baada ya muda nilirudi kwa Benny lakini ajabu sikumkuta Sabrina

" Sabrina Yuko wapi ...??"

"Madam Grace amekuja kumchukua sijui Kuna mteja haata sielewi"

"Uwiiii Benny jamani unamuachaje Sabrina aondoke na madam "

" Kwani Kuna nini?? Kuna kitu unanificha au ??"

" Sina Cha kukuficha lakini pia nilitaa nikitoka uku nije nikuambie , Sabrina ni mjamzito wa miezi sita sitaki madam ajue "

" Mungu wangu Betty kwani anajua maana nilimuona anacheka baada ya madam kumchukua Sabrina"

Hapo nilipata wasiwasi Zaidi nikatoka mbio mpaka chumbani kwa madam lakini sikumkuta nikarudi chumbani kwetu nikamkuta Betty na madam wakiwa na Sabrina .

" Upuuzi Kama huu sitautaka tena sawa...??"

Alizungumza madam akimwambia Sabrina Betty alikuwa akicheka tu kama chizi kaona jalala jipya, nilipofika wao wakatoka nje , nikamfata Sabrina aliyekuwa amelala kitandani

" Wamekufanya Nini ...??"

Sabrina aliishia kulia tuuu niliogopa sana na kumuuliza Tena Kisha akajibu

" Nimepewa vidonge vya kutoa mimba naogopa Sana da saada nisaidie nasikia maumivu makali sana "

Jasho lilikuwa likimtoka Sabrina kama maji, mwili ulikuwa na jito Sana muda huo huo damu zikawa zinamtoka nyingi Sana , sijakaa vizuri niliona mapovu yakimtoka mdomoni na puani apo nilichanganyiikiwa Zaidi nikaita

"Beniiiiiiiiiiiiiii"

Kisha nikatoka nje nikiitilia jina la benny kwani yeye ndo mtu wa karibu Sana kwangu bila kupoteza muda tulirudi chumbani nikiwa na Benny na watu wengine, Benny alipiga magoti na kumuangalia Sabrina , akamfumba macho ambayo yalikuwa wazi kisha akainuka na kunikumbatia, sikutaka kuamini kuwa Sabrina amefariiki , madam alisogea karibu na kumfunika Hadi usoni yaani nilitamani kumrukia lakini ndo hivyo sikuwa na uwezo, nilitoka nje nikiwa nimechoka mwili Hadi akili, wengi walikuwa na uzuni sana masiba wa Sabrina lakini pia hawakujua amekufa na nini, nilimfata Betty kwa hasira Sana

" Tofauti yako na ibirisi ni nini...??"

Nilimuuliza Betty ambaye akuonesha kuogopa hata kidogo mwisho akajibu

" Naweza nikawa mbaya sana Tena sana lakini me Nina imani na wewe unamabaya yako Tena inaweza kuwa Zaidi yangu "

Kisha akaondoka nikijiuliza huyu anajiamini hivyo kisa Nini , maneno Yale yaliniumiza Sana nilimkumbuka mama na mdogo wangu kamili kwa jinsi ambavyo niliishi nao vibaya sikuwai kuwajali wala kujua kuwa wao ni watu wa muhimu kwangu, nililia sana siku hiyo Benny alipata kazi kubwa sana kunibembeleza maana nililia kupita marelezo.

Kulikuwa kimya tu hakukuwa na chochote sikusikia kusema kuupeleka mwili hospital Wala monchwari, sikusikia habari za kuweka msiba nilibaki nikiwa sielewi, majila ya saa sita usiku wote tuliitwa sebleni, na madam , nilishangaa kukuta mwili wa Sabrina ukiwa umefungwa nguo nyeupe ukiwa umelazwa chini yaani kilio changu kiliongezeka.

" Tutampumzisha mwenzetu usiku huu Kama kawaida na Sheria za nyumba hi, Sabrina alikunywa sumu hatujui sababu Ni Nini tumuombee Mungu ampokee"

Alizungumza madam Grace na aliongea uongo mtupu yaani nilitamani nimshike nimkung'ute mpaka ashike adabu, wakaja mabaunsa wawili na kuchukua mwili wa Sabrina Kisha sisi tukafatia nyuma, kwa Mara ya kwanza niliona chumba ambacho madam alikuwa akitumia kuchoma miili ya watu waliopoteza maisha nikawa najiuliza kwahiyo hata Mimi nikifa humu nachomwa na familia yangu haitajua, nachomwa na hata Kaka angu Julius atojua nilipo, mawazo yalikuwa mengi mpaka nikahisi naenda kuwa chizi.

Ilipita wiki Moja nikiwa naumwa sana mwili hauna nguvu hata kidogo Mimi ni kitandani tuu hata nguvu ya kula Sina nikasema Sasa na Mimi nakufa na kuchomwa Kama sabrina, nilikua nikilia tuu

"Mama Kama bado uko na kinyongo uko uliko naomba unisamehe sana NISAMEHE mama haya maisha ninayoyaishi ninadhabu kubwa mno nitoe katika mateso hata mama najua wewe ukinisamehe Basi nitayaepuka matatizo "

Nilikuwa nikiongea kimoyo moyo muda wote niliwaza kuwa machozi ya mama yanafanya kazi kwangu yaani nalipwa mateso ambayo nilimtesa mama.

Kutokana na kuumwa kwangu madam alinipa wiki sita za kupumzika, bila kufanya chochote wateja wangu waliambiwa na walikuwa wakihudumiwa na mabinti wengine, Zaidi nilikuwa nikikutana na Benny tu ingawa kwa Siri sana, hali yangu iliimarika na dokta aliyekuwa akituhudumia alikuja kuangalia Hali yangu kama naweza kuanza kazi au laah, nilipimwa na kuonekana Niko sawa kabisa

" Ila hongera sana saada unaenda kuwa mama uko na ujauzito wa wiki tatu na siku nne "

Eeeeh hizi taarifa zilinipa presha sio ya kawaida πŸ˜‚ hivi mnaijua presha Nyie kumbukumbu zote za saada zilikuja kwa wakati mmoja

"Dokta please taarifa hizi zisifike kwa madam nisaidie nataka kumsurprise maana kila siku alikuwa anataka kuitwa Bibi so naomba usimwambie mpaka nianze Mimi "

Basi dokta akakubali alivyoondoka tu nilitoka nje haraka na kumtafuta benny, lakini niliambiwa kuwa amepatateja anamuhudumia, yaani hiyo miteja mimama mijitu mizima ilikuwa inanibowa Sana kila wakija wanamtaka Benny tu utazani hakuna vijana wengine. Nilikaa nikimsubili kwa hamu sana na uwoga wa Hali ya juu sana.

Baada ya muda alitoka na alikuwa akiagana nawanamke flani hivi nilistuka kumuona mama yangu wa kambo, yaani nilikuwa nikimchukia huyo mwanamke haraka nikamshika Benny mkono na kuondoka nae.

"Huyu mama ameanza Kuna lini hapa....??"

" Muda alikuwa anahudumiwa na Toby lakini SI unajua toby amekuwa wa madam baada ya Mimi kukataa, so Leo amenichagua Mimi "

" Usije ukakubali Tena ni mke wa baba angu yule "

"Weeh Seema kweli kumbe uko na familia "

" Utajua yote Nina daftari nimeandika kila kitu kuhusu maisha yangu, tuachane na hayo, jiandae kunizika Benny "

" Are you mad...?"

Aliuliza Benny

"Unajua kabisa hiyo lugha kwangu ni ugonjwa na uko bize kuniongelesha, Benny Nina mimba yao Ni ina wiki tatu na siku nne "

"What ........"

ITAENDELEA
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10


SONGA NAYO......

Nilimungalia Sana Betty uku nikijiuliza amesikia au maana Betty alikuwa Kama anafurahia ile kazi ya mule ndani na alikuwa na chuki sana tangu nimefika maana nilimpita kila kitu hivyo ilikuwa Ni bifu bifu, nikamshika mkono Sabrina na kutoka nae nje lakini Betty akasema

"Mmmmh tuone hiyo Siri Kama itadumu "

Hapo nilijua kabisa Betty amejua ukweli nilipata wasiwasi sana, nikamuomba Benny akae na Sabrina ili nikamuhudumie, alikuwa Ni Chris mteja wangu maarufu kabisa kijana mdogo mwenye pesa za kutosha, na tangu nifike hakuwai kubadili msichana Zaidi yangu.

"Chris naomba hivi kwanini kila siku unakuja kwaajili yangu kwanini usichague wanawake wengine "

"Sema...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.58K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.27K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.2K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.14K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest