VYOTE NDANI GONGA94
FORGIVE ME, MOM ππ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SONGA NAYO........
Nilikutana uso kwa uso na mama mkwe, nilipomsalimia nilipokea bonge la sonyo nikabaki sura ndogo naangalia chini akanipita na kubeba jembe lake na kuondoka
"Tumalize shughuli za hapa leo tunaenda clinic nataka kila kitu kiwe sawa lakini pia nataka kuangalia biashara ya kufanya pesa zinaweza kusha hizi"
Baada ya kumaliza kila kitu tulijiandaa na kwenda hospital za mjini na ilikuwa private hospital yaani Benny alikuwa na mbwembwe Sana , lakini pia alikuwa akijulikana Sana maana kila Kona walikuwa wakimjua nikawa napata kazi ya kutambulishwa tuu.
Tulifika hospital na kuanza kupata vipimo baada ya muda mfupi tuliitwa na dokta kwaajili ya majibu
"Aaaah niwape hongera kwa hatua nzuri mliyofikia Mungu awajaalie"
Akatoa maelezo mengi pale, na kusema kuwa sitakiwi kuwa na mawazo maana naweza nikaatalisha ujauzito wangu na maelezo mengine mengine, tukarudi nyumbani nikiwa nimenunua blenda la juice na matunda nilifika na kuanza kuandaa matunda
"Eeeeh wifi kufika na kufika mikazi pumzika bwana"
Aliongea Vero ambaye alionekana kutokea kunikubali sana.
YOTE NI 500 TU!
Majila ya jioni Vero alikuwa akielekea kisimani nikaomba niende kupaona SI unajua Tena ukiwageni mgeni, hapo kumbukeni Nina nywele ya Bei kichwani yaani watu wa kijijini walikuwa wananishangaa Mimi tu.
Tulifika kisimani na kukuta wasichana wengi sana yaani kama mjini kwetu tu walikuwa wamekaa kupiga umbea badala ya kuchota maji.
"Mmmmh Vero huyo Naona uko na mgeni Leo "
Alizungumza msichana mmoja ambaye tulimkuta kisimani na Amina alikuwa akiniangalia kwa hasira tu
" Yeah Niko na wifi yangu wa wafaida, mke wa kaka angu mpendwa kabisa handsome la Kijiji "
Hapo nilijikuta nikicheka maana Vero alivyokuwa anajinadi Kama anaimba mashahiri
"Kaka ako gani huyo ambaye Ni handsome ambaye sisi hatumjui ??"
"Ahahahahahaha ebu acha unafki wewe Inamaana Kaka angu benny umjui wewe au
?? Mnataa kusema Amina ajawaambia kuwa kaka angu karudi na mke"
Kila mtu akamgeukia Amina yaani Kama wanamuuliza kumbe unajua π na hausemi kitu, hapo niligundua pia Vero na Amina Ni maadui yaani chui na paka, nikawasalimia na kila mtu akaitika kwa shauku kubwa sana nikabaki nikijichekea tu, tukachota maji na kutaka kuondoka, lakini, Amina akanifuata na kuniambia
"Mechi haijaisha bado usilolijua Benny ananipenda Sana "
Sikujibu kitu nikaondoka zangu mie , tulifika nyumbani na kukutana na mama mlangoni
" Kwahiyo wewe ndio hauna kichwa Cha kubebea ndoo una kichwa Cha kuweka hayo majongoo yako tu "
Nikajisemea kimoyo moyo
" Kumekucha Sasa huyu na Amina Awana tofauti kabisa "
Nikakaa kimya nikaingia ndani bila kumjibu yaani hiyo ilimchoma Sana aliumia Mara dufu
Majila ya usiku tulikaa Mimi na Benny chumbani akaniambia
"Nimeongea na Toby leo "
"Weeeh umempataje ? Umemwambia tulipo ? Me naogopa si unajua ye na madamu Ni watu wa karibu anaweza kutuchoma "
"Nilimtafuta ili nimsalimie lakini nimepata mengi, picha linaanza yeye anatoloka usiku wa leo nilimemuelekeza njia tuliyotokea sisi, lakini mule ndani Ni jehanamu walahi, stellah amefariki, jack, Lily na gidioni wamefariki "
"Subili kwanza gidioni niliyekuwa namuita zilla ??"
" Ndio "
"Mbona Ni wengi na wamekufa kwa muda mfupi Sana π"
"Amesema gidioni alikuwa anaumwa ameumwa bila kupewa matibabu na akupewa mapumziko wateja alikuwa akiwahudumia Kama kawaida, Lily alinyongwa alikamatwa akaotoloka ao wengine Ni kutolewa ujauzito, uwezi amini Betty naye anataka kutoloka "
"Na Mimi mda huu ningekuwa nimeshachomwa mwaya"
"Usiseme hivyo"
" Asante Sana Benny Asante kwa kila kitu kwa mabaya niliyoyafanya sikustahili kabisa kutendewa haya mpaka mda mwingine nahisi mama ako Yuko sahihi kunichukia"
"Acha bwana usiseme hivyo "
Nililia nyie siku hiyo niliwaza Kama wataweza kutoka.
Siku zilienda ingawa niliishi kwa shida kutokana na chuki ya mama mkwe na Amina ambao waliungana ili kuhakikisha kuwa wananitoa katika maisha ya Benny.
Hatimaye nilijifungua mtoto wa kike nilimshukuru Mungu kwa kila kitu, hapo kidogo niliona moyo wa mama mkwe unabadilika, alikuwa akinihudumia vizur Sana katika kipindi changu chote Cha uzazi, maana kipindi hiko tayali tulifungua duka la nafaka mjini, hivyo Mara nyingi Benny alikuwa akishinda mjini,
"Mtoto analia kaa nae naenda kisimani narudi "
Alisema mama mkwe nikaitikia nakuendelea kumbembeleza mtoto, lakini siku hiyo bellah alikuwa akilia sana kuliko kawaida, bellah Ni jina la mtoto wangu jamani, alilia sana siku hiyo niliogopa, nikachukua simu na kumpigia simu Benny bila mafanikio niliangaika Sana mpaka mama aliporudi
" Mama bellah analia Sana sijui anashida gani sielewi "
"Itakuwa tumbo linamsumbua mlete "
Akamchukua na kuanza kumbembeleza, baada ya muda alinyamaza na kulala kabisa, hapo nilipata nafasi ya kuandaa chakula.
Majila ya saa 3 usiku tukiwa tumekaa sebleni tukimsubili Benny na baba mkwe maana wao tu ndio walikuwa hawajarudi, tulisikia muungurumo wa Gari wote tukatoka nje maana nyumbani hatuna gari hivyo tulitaka kujua ni nani, wa kwanza kushika alikuwa ni baba alionekana kuchoka Sana kisha akasema
" Mnaweza kushusha "
Kila mtu alistuka baada ya kuona.........
ITAENDELEA........
Nilikutana uso kwa uso na mama mkwe, nilipomsalimia nilipokea bonge la sonyo nikabaki sura ndogo naangalia chini akanipita na kubeba jembe lake na kuondoka
"Tumalize shughuli za hapa leo tunaenda clinic nataka kila kitu kiwe sawa lakini pia nataka kuangalia biashara ya kufanya pesa zinaweza kusha hizi"
Baada ya kumaliza kila kitu tulijiandaa na kwenda hospital za mjini na ilikuwa private hospital yaani Benny alikuwa na mbwembwe Sana , lakini pia alikuwa akijulikana Sana maana kila Kona walikuwa wakimjua nikawa napata kazi ya kutambulishwa tuu.
Tulifika hospital na kuanza kupata vipimo baada ya muda mfupi tuliitwa na dokta kwaajili ya majibu
"Aaaah niwape hongera kwa hatua nzuri mliyofikia Mungu awajaalie"
Akatoa maelezo mengi pale, na kusema kuwa sitakiwi kuwa na mawazo maana naweza nikaatalisha ujauzito wangu na maelezo mengine mengine, tukarudi nyumbani nikiwa nimenunua blenda la juice na matunda nilifika na kuanza kuandaa matunda
"Eeeeh wifi kufika na kufika mikazi pumzika bwana"
Aliongea Vero ambaye alionekana kutokea kunikubali sana.
YOTE NI 500 TU!
Majila ya jioni Vero alikuwa akielekea kisimani nikaomba niende kupaona SI unajua Tena ukiwageni mgeni, hapo kumbukeni Nina nywele ya Bei kichwani yaani watu wa kijijini walikuwa wananishangaa Mimi tu.
Tulifika kisimani na kukuta wasichana wengi sana yaani kama mjini kwetu tu walikuwa wamekaa kupiga umbea badala ya kuchota maji.
"Mmmmh Vero huyo Naona uko na mgeni Leo "
Alizungumza msichana mmoja ambaye tulimkuta kisimani na Amina alikuwa akiniangalia kwa hasira tu
" Yeah Niko na wifi yangu wa wafaida, mke wa kaka angu mpendwa kabisa handsome la Kijiji "
Hapo nilijikuta nikicheka maana Vero alivyokuwa anajinadi Kama anaimba mashahiri
"Kaka ako gani huyo ambaye Ni handsome ambaye sisi hatumjui ??"
"Ahahahahahaha ebu acha unafki wewe Inamaana Kaka angu benny umjui wewe au
?? Mnataa kusema Amina ajawaambia kuwa kaka angu karudi na mke"
Kila mtu akamgeukia Amina yaani Kama wanamuuliza kumbe unajua π na hausemi kitu, hapo niligundua pia Vero na Amina Ni maadui yaani chui na paka, nikawasalimia na kila mtu akaitika kwa shauku kubwa sana nikabaki nikijichekea tu, tukachota maji na kutaka kuondoka, lakini, Amina akanifuata na kuniambia
"Mechi haijaisha bado usilolijua Benny ananipenda Sana "
Sikujibu kitu nikaondoka zangu mie , tulifika nyumbani na kukutana na mama mlangoni
" Kwahiyo wewe ndio hauna kichwa Cha kubebea ndoo una kichwa Cha kuweka hayo majongoo yako tu "
Nikajisemea kimoyo moyo
" Kumekucha Sasa huyu na Amina Awana tofauti kabisa "
Nikakaa kimya nikaingia ndani bila kumjibu yaani hiyo ilimchoma Sana aliumia Mara dufu
Majila ya usiku tulikaa Mimi na Benny chumbani akaniambia
"Nimeongea na Toby leo "
"Weeeh umempataje ? Umemwambia tulipo ? Me naogopa si unajua ye na madamu Ni watu wa karibu anaweza kutuchoma "
"Nilimtafuta ili nimsalimie lakini nimepata mengi, picha linaanza yeye anatoloka usiku wa leo nilimemuelekeza njia tuliyotokea sisi, lakini mule ndani Ni jehanamu walahi, stellah amefariki, jack, Lily na gidioni wamefariki "
"Subili kwanza gidioni niliyekuwa namuita zilla ??"
" Ndio "
"Mbona Ni wengi na wamekufa kwa muda mfupi Sana π"
"Amesema gidioni alikuwa anaumwa ameumwa bila kupewa matibabu na akupewa mapumziko wateja alikuwa akiwahudumia Kama kawaida, Lily alinyongwa alikamatwa akaotoloka ao wengine Ni kutolewa ujauzito, uwezi amini Betty naye anataka kutoloka "
"Na Mimi mda huu ningekuwa nimeshachomwa mwaya"
"Usiseme hivyo"
" Asante Sana Benny Asante kwa kila kitu kwa mabaya niliyoyafanya sikustahili kabisa kutendewa haya mpaka mda mwingine nahisi mama ako Yuko sahihi kunichukia"
"Acha bwana usiseme hivyo "
Nililia nyie siku hiyo niliwaza Kama wataweza kutoka.
Siku zilienda ingawa niliishi kwa shida kutokana na chuki ya mama mkwe na Amina ambao waliungana ili kuhakikisha kuwa wananitoa katika maisha ya Benny.
Hatimaye nilijifungua mtoto wa kike nilimshukuru Mungu kwa kila kitu, hapo kidogo niliona moyo wa mama mkwe unabadilika, alikuwa akinihudumia vizur Sana katika kipindi changu chote Cha uzazi, maana kipindi hiko tayali tulifungua duka la nafaka mjini, hivyo Mara nyingi Benny alikuwa akishinda mjini,
"Mtoto analia kaa nae naenda kisimani narudi "
Alisema mama mkwe nikaitikia nakuendelea kumbembeleza mtoto, lakini siku hiyo bellah alikuwa akilia sana kuliko kawaida, bellah Ni jina la mtoto wangu jamani, alilia sana siku hiyo niliogopa, nikachukua simu na kumpigia simu Benny bila mafanikio niliangaika Sana mpaka mama aliporudi
" Mama bellah analia Sana sijui anashida gani sielewi "
"Itakuwa tumbo linamsumbua mlete "
Akamchukua na kuanza kumbembeleza, baada ya muda alinyamaza na kulala kabisa, hapo nilipata nafasi ya kuandaa chakula.
Majila ya saa 3 usiku tukiwa tumekaa sebleni tukimsubili Benny na baba mkwe maana wao tu ndio walikuwa hawajarudi, tulisikia muungurumo wa Gari wote tukatoka nje maana nyumbani hatuna gari hivyo tulitaka kujua ni nani, wa kwanza kushika alikuwa ni baba alionekana kuchoka Sana kisha akasema
" Mnaweza kushusha "
Kila mtu alistuka baada ya kuona.........
ITAENDELEA........
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya