Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
Gonga94 ยท Stories

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.....

Muda huo huo aliingia mama mdogo wa kiume wa Benny bila kupiga Hodi nilichukia Sana nilitamani nimpige hata konzi yaani ashike adabu yake

"Kaka unaitwa "

"Waambie nakuja "

Benny akaniaga na kutoka nje nilibaki nikiangalia uku na uku, kwakuwa Benny aliitwa nikaona nitumie muda huo kuweka vitu sawa nikapanga, nikabadili kila kitu muda wote huo benny alikuwa nje na familia yake, njaa iliniuma nikamtumia sms kwakuwa tulikuwa tumeshasajili laini mpya

" Njaa inauma Sana hata sielewi "

Ndipo nilipogundua kuwa simu ameweka kwenye begi, nilipata hasira Sana nikaona ngoja nimfuate uko uko, nikatoka nje na kukuta wakiwa na ugomvi

" Unakujaje na mwanamke nyumbani bila taarifa ?? Kwanza mwanamke mwenyewe anaonekana kabisa kuwa Hana adabu atujamkaribisha ameingia tu ndani "

"Mama tutaongelea hili baba akirudi kutoka shamba, me sipendi kelele kabisa ndio kwanza nimefika mnajua nimepitia mangapi uko?? Mama mbona ubadiliki, huyu binti wa watu ndio kwanza amefika aujakaa nae ukamjua umeanza kumuongelea hivyo "

Nikaona huu msala polepole nikarudisha komwe langu ndani, nikabaki kujilaumu mwenyewe tuu

" Haya yote kwasababu mama hayupo mama asingeruhusu niyapitie haya"

Mwisho nilipitiwa na usingizi nilikuja kustuka kagiza kameanza kuingia nilipiga kelele baada ya kumuona mtu akiwa pembeni yangu

"Usiogope naitwa Veronica Ni Dada wa Benny wa pili kuzaliwa kaka Benny amesema nikuangalie yeye ameenda mjini "

"Oooh sawa"

" Ila wifi yangu we mzuri "

Alisema hivyo nikatabasamu tu, tukaanza kupiga story za hapa na pale nikimpa story za dar kulivyo na maisha mengine niliingia mtandaoni na kumuonesha vitu tofauti tofauti mwisho uvumilivu ulinishinda nikalopoka

"Njwa inaniuma sana "

"Kaka atakuja na chakula chako ndo amekufatia uko "

Nikashika simu na kumpigia lakini hakupokea na muda huo huo akaingia

"Njaa itakuuwa wewe sio kwa kunitumia sms na kunipigia "

Nikacheka na kumpokea mfuko ambao alikuwa amebeba, ulikuwa unanukia chips kuku tu. Kwa kipindi iko kiukweli tulikuwa na hela aswa Benny maana mijimama yake ilikuwa ikimpa Sana hela hata Mimi pia nilikuwa na pesa lakini sifikii za Benny.

"Vero ajakusumbua huyu...??"

" Amna ajasumbua, mbona Yuko vizuri sijui kwanini mama amtak......"

Kabla ajamaliza benny akamziba mdomo hakutaka Mimi nijue ingawa Mimi nilishajua kitambo, na Mimi nikapotezea Kama sijaelewa kitu, nikafungua chakula na kukiweka juu ya godoro, kikiwa kweye foil

" Kwani we umekula...??"

" Yaani Mimi Nile na wewe ujala unafanya matani matoto wangu wewe "

Alijibu Benny akiwa na furaha ingawa nilijua anajifosi kufurahi Basi nikatoa na vinywaji tukaanza kula sikugusia chochote kuhusu familia, tulikula na kupiga story nyingi sana.

Siku iliyofuata niliamka mapema Sana nakumbuka ilikuwa saa Tisa ile nikaanza kufanya usafi wa nyumba niliifanya usafi kila Kona ambayo niliweza kuifikia, Katina kibanda ambacho walifanya Kama jiko nilikuta Kuna miogo nikachukua na kuimenya na kuandaa kifungua kinywa kwa kuikaanga kwani kila kitu kilikuwepo mdani umo, nikakata kachumbali nzuri ya mjini mjini, limao kwa sana yaani niliandaa kila kitu nikapika na chai nikaweka mchai chai kwani walikuwa wamepanda nje ya nyumba yao.

Nikiwa nimemaliza nikabandika maji nikastuka nikiongeleshwa

"That's too much, unawezaje kuamka mapema yote hi unatakiwa upumzike mtoto wangu anaitaji mapumziko kuliko maangaiko "

Alikuwa Ni Benny nilibaki kumtazama tu

" Haya kulala"

Tukaingia ndani na kulala

Majila ya saa 12 kila mtu ndo alianza kuamka wa kwenda shamba walikuwa kuwa wakijiandaa wanafunzi pia nikamsikia mama Benny akilalamika

" Na Mimi nasema Nina mkwe mpaka mda huu amelala ajali kuwa Kuna watu wanaenda shamba ata kuwasaidia kazi, Benny akatoka nje kwa hasira Sana

"Mama kunakoelekea utasema Mimi Nina mdomo mchafu au nimebadilika hi nyumba unavyoiona Ni chafu? Chai IPO au amna...? Umeangalia chochote au ndio mdomo mali yako...??"

Nikaona Mambo yanazidi kuwa mengi nikamua kutoka nje

" Shikamoo mama "

Mama benny aliniangalia na kuondoka kwenda kibanda Cha jikoni, gafla akapiga kelele na kutoka nje.

" Nani ametumia mafuta yangu kupikia hile miogo na itakuwa wewe binti unayejifanya wa mjini"

Muda huo huo, baba Benny alitoka nje..

" Kelele asubuhi subuhi ma Vero una nini wewe, kwa ooh Benny my boy "

Kisha benny na baba yake wakakumbatiana baba Benny alifurahi Sana kumuona Benny

" Naona umetuletea mgeni "

Aliongea baba Benny uku akiniangalia akamuachia Benny na kunipa mkono

" Shikamoo baba "

"Marahaba binti jisikie uko nyumbani "

"Asante "

" Nina haraka Sana hivyo Basi jioni tutakuwa na kikao nitajitaidi kuwai kurudi Kuna Mambo yangu nafatilia uko, wa shamba waende wa shule waende, wa vibaruani waende sitaki kelele hapa, Benny akikisha unamuonesha mazingira mgeni wetu "

Sawa baba.

Baba benny akaondoka yaani alikuwa Hana Mambo mengi nilimuelewa kwa ucheshi wake nikajisemea

" Kwahiyo tatizo hapa Ni huyu mama anisumbui ntamuonesha me Ni Nani "

Kila mtu akaondoka nikabaki na Benny wangu kiufupi familia nzima ilikuwa haishindi nyumbani kila mtu alikuwa bize na Mambo yake

"Benny baba ako ni mtu simple Sana "

" Yaaah ni msomi wa miaka hiyo Sasa hivi anakula pensheni tuu"

Tukajiandaa na kwenda mjini kwa kuwa tulikuwa tunalala kwenye godoro chakavu, tulinunua kitanda, godoro, dressing table SI unajua Tena Mambo ya mjini mjini, na kabati la nguo, nikanunua na Madera kidogo yatakayonistili siku mbili tatu maana mavaz yangu nilikuwa nayajua mwenyewe ukizingatia gubu la mama Benny naweza nikachapwa vibao kweupe.

Majila ya jioni tulirud nyumbani na almost familia nzima ilikuwa umesharudi isipokuwa baba, tuliposhuka kwenye gari Kuna msichana alimkimbilia Benny na kumkumbatia Benny alionekana kufurahi Sana huyo msichana walinyanyuana na kuzungushana nilibaki nikiangalia tu, nikamuomba dereva anisaidie kushusha mizigo.

"Waoooh Amina daaaah kitambo saa unaendeleaje...??"

Huyo Amina alikuwa mtoto mashallah kaumbika nyuma kafungasha hatari, ila sura ndo ya baba rangi na ngozi vilimtupa mkono na yote kwaajili yamaisha ya kijijini, yaani eneo lile kina Benny ndio walionekana kuwa na maisha mazuri

" Nipo nimefurahi nilipokutana na mama shamba na kuniambia umerudi "

"Yeah nimefika Jana "

", Naona tunamteni "

Alizungumza msichana huyo na kunigeukia Mimi ambaye niliamua kusimama pembeni yao, wanasemaga abilia chunga mzigo wako ๐Ÿ˜‚, nikatabasamu kinafki

"Oooh yaah ni mke wangu anaitwa saada, saada huyu Ni Amina nilisoma nae shule ya msingi na secondary"

" Nashukuru kumfahamu,"

Kisha nikamgeukia dereva

"Nashukuru kwa msaada wako, ulisema Ni kiasi gani....??"

Akataka kiasi nikafungua wallet na kutoa pesa lakini Benny aliwai kutoa kabla yangu tukabaki tukichekeana tu, hapo niliona amina alivyochukia.

" Kakae kivulini utulie nitaingiza vitu ndani na kupanga sawa...??"

"Sawa "

Niliambiwa nikatulie chiini nikanza kutoa vitu ndani kisamha nikachukua kapeti jipya ambalo tulinunua na na kuja kutandika, kiukweli siku hiyo tulinunua vitu vingi mno, vyakula vya ndani fliji kwani kulikuwa na umeme lakini fliji alikuwepo pia, ingawa kulikuwa na tv ya chog.

Baada ya muda tukiwa tunaendelea kupanga panga baba Benny pia alirudi na vyakula hivyo tukawa na vyakula vya kutosha ndani, muda wote huo Amina alikuwa akitusaida kazi uku wakikumbushiana Mambo ya shule.

Muda wa saa mbili chakula kilikuwa tayali, wote tukaja sebleni na kukaa kwenye mkeka isipokuwa baba na Benny , tulipakua na kuanza kula.

" Uku tunakula bahisi kikao chetu kianzie hapa hapa hivyo wote mnisikilize kwa makini, Zima hiyo tv kwanza "

Alizungumza baba benny.

"Kwanza nimshukuru Mungu kwa kumrudisha kidume wetu salama, maana kwa mimi binafsi nilikata tamaa juu yake baada ya kukosa mawasiliano kwa muda mrefu na kwenda jijini kumtafuta bila mafanikio "

" Baba ulikuja dar?"

Aliuliza Benny kwa shauku

"Ndio maana nilikosa amani kabisa nilikaa lakini chakula akipiti, nilivyokukosa ndo kabisa nimaruri nikiamini utakuwa umekufa "

Alinyamaza kidogo na kufuta machozi aisee niliumia Sana nikikumbuka baba angu Mimi ndio ajali kabisa na alishaitelekeza familia muda mrefu niliumia sana.

" Nashukuru umerudi na umekuja na mgeni nafikili tunaitaji utambulisho"

Baba Benny alikuwa akiongea kisomi Zaidi yaani nilibaki kucheka tu, lakini mama Benny alivimba kwa hasira yaani ingekuwa Ni puto Basi lingepasuka.

" Niwape pole wazazi wangu ndugu zangu na kila mtu ambaye alikuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu mimi lakini nimshukuru Mungu kwa hapa nilikofikia naomba kwanza nianze na utambulisho, huyu mbele yenu mgeni wetu anatwa saada Ni binti ambaye nimetoka nae dar es salaam, saada huyu Ni baba yangu na huyu Ni mama angu, sisi tumezaliwa nane, wa kwanza Ni Dada yetu ameolewa mwanza uko , wa pili Ni mimi, wa tatu vero, wanne huyu kelvin, wa tano Julius"

Alivyotaja Julius moyo wangu ulifanyw paaaah na kuanza kwenda Kasi Sana

"Wa sita Ni susan, wa zaba neema wa nane Mike huyu kama unavyomuona , na huyu ni mtoto wa Dada Vero anaitwa side awa wengine Ni wadogo mno nafikili utapewa utambulisho na wenyeji hata siwafahamu "

"Aaaaah........"

Baba Benny alitaka kuzungumza lakini Benny alimkatisha

" Nimepita mengi uko lakini nimshukuru saada amenisaidia sana yeye ndio alinifanya nione Niko hata duniani, tumekuja kuishi uku, Mungu akijaalia tutafunga ndoa, nampenda Sana na hapo alipo Ni mjamzito "

"Ilo lime........"

Baba Benny alitaa kuongea Tena lakini alikatishwa na mke wake

" Etiii unasema Nini wewe yaani unataka kututia aibu watu watatuonaje sisi hapa, tulishamuandaa Amina kuwa mkwe wetu na sio huyu sijui umemuokota wapi "

"Mama neema ebu tulia kwanza mbona unakurupuka Sana Amina yupi kwanza huyu au ??"

", Huyo huyo "

"SI Ni mke wa mtu huyu ??"

" Mke wa Mtu wapi wakati amesharudishwa kwao "

" Amina mwanangu umepewa taraka ??"

Aliuliza baba Benny , Amina akatikisa kichwa kusema bado, Benny akainuka na kumshika mkono Amina na kutoka nae nje, nilibaki nikiangalia tu madrama yanayoendelea umo ndani yaani chuki ya mama Benny juu yangu ilikuwa waziwazi kabisa alikuwa akiniangalia Sana nami nikajifanya mpole Zaidi kuliko wote....

"Amina kwani wewe unataka kuolewa na Mimi ?"

", Ndio nimekusubili kwa muda mrefu Sana niliolewa kwa kulazimishwa tu, lakini bado nakupenda"

"Unanifurahisha hivi unakumbuka ulishawai kuniambia Mimi sio level zako, nikuombe kitu Amina nakujua wewe mkolofi Sana Sana please muache mke wangu usije ukamfanyia vurugu yoyote "

Aliongea Benny ana kutaka kurudi ndani na Amina akawa anafata akamgeukia

"Unaenda wapi muda huu baada ya kwenda kwenu "

Amina aliogopa Sana maana Benny alifoka kw hasira aliingia ndani na Moja kwa Moja akaingia chumbani, nilimaliza kusafisha tulipokuwa tunakula kisha kwenda chumbani kwangu, nilimkuta Benny akiwa amelala nikakaa na kumshika kichwa

" Ebu niache na wewe na ulale "

Eeeh nikaona makubwa haya jamani, nilijisikia vibaya sana nikatoka nje kabisa ya nyumba na kukaa nje peke yangu

"Maumivu ninayoyapata Sasa hivi sijui Kama yanaelezeka, kwani Mimi Nina mikosi gani au ndio kumkosea mama , kokote ninakoenda lazima atokee wakunichukia na chuki ya waziwazi nimechoka jamani Mungu nichukue Mimi "

Nililia na kukufuru Sana moyo wangu ulishachoka kuyavumilia maumivu, nilikaa nje na sikutaka kabisa kurudi ndani niliona Bora kuwa peke yangu, Kuna muda niliwaza mpaka kutoloka usiku huo lakini niliwaza nitaenda wapi je na huyu mtoto ndo kitamtenganisha na baba yake kama baba alivyomtenganisha mama na Julius, kichwa changu kiliwaza mengi sana, mwisho Benny alikuja na kunishika nyuma yangu

"Am sorry"

Nilibaki nikimuangalia tu, tukaingia ndani na kulala lakini usingizi haukuja kabisa siku hiyo nilikuwa nawaza tu.

Asubuhi Kama kawaida niliamka lakini Nika..........

ITAENDELEA.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12



SONGA NAYO.....

Muda huo huo aliingia mama mdogo wa kiume wa Benny bila kupiga Hodi nilichukia Sana nilitamani nimpige hata konzi yaani ashike adabu yake

"Kaka unaitwa "

"Waambie nakuja "

Benny akaniaga na kutoka nje nilibaki nikiangalia uku na uku, kwakuwa Benny aliitwa nikaona nitumie muda huo kuweka vitu sawa nikapanga, nikabadili kila kitu muda wote huo benny alikuwa nje na familia yake, njaa iliniuma nikamtumia sms kwakuwa tulikuwa tumeshasajili laini mpya

" Njaa inauma Sana hata sielewi "

Ndipo nilipogundua kuwa simu ameweka kwenye begi, nilipata hasira Sana nikaona ngoja nimfuate uko uko, nikatoka nje na kukuta wakiwa na ugomvi

"...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.1K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.07K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

478
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

243
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

235
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

232
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

226
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

128
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest