Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
Gonga94 Β· Stories

FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



SONGA NAYO........

500 UNAPATA VYOTE VILIVYOBAKI

Benny alistuka sana sana alianza kutetemeka na kuogopa sana, mpaka nilimuonea huruma maana naona alichanganyikiwa kuliko mimi mwenyewe

" Sasa ndio Nini hivyo yaani unapaniki kuliko Mimi sijui tunafanyaje na nikuambie tumbo langu sio Kama Sabrina miezi mitatu tu linaonekana vizuri kabisa sijui tunafanyaje"

" Please naomba uniache mwenyewe hapa sawa kakae ndani tutaongea Sana nikishawaza nitakuita "

Kwakuwa niliona Hali yake aliyokuwa nayo sikuwa mkaidi haraka nikaondoka nilifika ndani nililia nyie acheni nililia sana niliwaza tu pale nitakapotoa halafu nikafa , yaani ilo swala liliniuliza sana, majila ya saa mbili usiku Benny akanitumia ujumbe

" Utaandaa vitu vyako usiku huu tunaondoka, hakikisha hakuna mtu anagundua hili "

Nilikubali lakini niliwaza tunaondokaje na ulinzi mkali kiasi kile, lakini niliona Bora kutoloka kuliko kubaki humo ndani.

Usiku wa saa 8 kukiwa kumetulia sana simu yangu ilita na alikuwa benny nikajua mda umefika nikatoka na begi langu sikutaka kuacha hata nguo Moja ingawa zote nilizikuta humo ndani, nilichukua na pesa zangu ambazo nilikuwa naziifadhi kisiri Siri nikatoka nje, mpaka nyuma ya nyumba kulikuwa na chemba kubwa sikuwai kuiona yaani Benny alikuwa akijua kila kitu tulitumua tochi za simu kupita katika chemba hiyo ingawa ilikuwa na maji machafu, tukatokea, tulipokutana na mfuniko wa chemba nyingine tulifungua na kupanda juu sikuamini tulikuwa Morocco, niliruka ruka na kumkumbatia Benny kwa furaha

" Achana na haya mahaba huku hatuna pa kukimbilia tunaweza shikwa mda wowote, nifuate "

Yaani Benny alikuwa serious sana siku hiyo wakati nishazoea kumuona akiwa na furaha mda wote na mtu wa matani, tulisimamisha boda Moja kwa Moja Hadi ubungo tunakodi nyumba ya wageni kwa muda mchache ilikuwa nikwaajili ya kuoga na kubadili nguo maana tulichafuka mno baada ya kutembea kwenye chemba ya maji machafu. Tulioga na kuvaa Kisha tukabeba mabegi kwaajili ya kuondoka

" Nimesahau vunja laini hizo kwanza "

Tukashusha Tena mabegi na kuanza kuvunja laini, tulimaliza na Sasa Safari ilikuwa Ni kwenda stendi ya magufuli, tukiwa kwenye tax nilimuuliza

" Tunaenda wapi...??"

" Nyumbani kwetu singida, hakuna anayejua me Ni mtu wa singida hivyo haitakuwa rahisi kupatikana lakini kubaki dar Ni kujitafutia kifo, Basi nikakubali yaani nilikuwa nawazia usalama tu.

Tulifika stendi na Mungu mkubwa tulipata gari ambayo ilikuwa inaondoka saa 11 asubuhi na ilikuwa imebaki nusu saa tu. Muda ulipofika gari ikashika njia na Safari kuanza hapo nikashusha pumzi ndefu sana kushukuru maana niliona kabisa nimepona, nikawa najidekea kwa Benny ambaye muda huo mood yake ilikuwa imekaa sawa.

" Naona unasinzia tu Sina laini ya kusema itanisaidia kuingia online, naomba basi daftari nisome history yako "

Alizungumza Benny nikaona huyu Sasa ananiletea Mambo meusi kwenye daftari nimeandika kila kitu akisoma halafu akanibadilikia me nitakuwa mgeni wa nani

" Utasoma tulifika "

"Noooh baby naomba Sasa hizi "

Aliendelea kulazimisha mwisho nikaona liwalo na liwe me nampa tu.

Nikavuta mkoba wangu na kumpatia, nikajilalia zangu kwenye miguu yake ingawa nilikua naogopa lakini sikuwa na namna, akaanza kusoma.

"Ooooh kumbe una mdogo wako anaitwa kamili Yuko wapi ...??"

"Kwani SI unaendelea kusoma au unataka Mimi nikuadithie "

Nilijibu kwa hasira mpaka mwenyewe akashangaa, akaendelea kusoma, baada ya muda na yeye akapitiwa na usingizi akiwa bado ajamaliza kusoma hivyo wote tukalala.

Safari ilikuwa ndefu sana ukizingatia sikuwai kutoka nje ya dar es salaam yaani niliteseka kwenye Gari kila mda namuuliza hivi bado sana anacheka tu na kuniambia niache uvivu

" Lakini kama umechoka sana tunaweza kushuka tukalala njiani then kesho tunaondoka na gari nyingine "

"Hapana najua hapo uko na shauku ya kuona familia yako "

"Ulijuaje yaani tangu nimalize chuo nikaanza biashara ya miwa ndo nikafika kwa madam Grace sijaenda nyumbani usikute wanajua nimekufa"

"Usiseme hivyo bhana "

Basi akachukua daftari na kuendelea kusoma kwakuwa aliacha kidogo aliwai kumaliza ila mwandiko wangu ulimpa shida Sana πŸ˜‚

"Pole sana me naimani ma amekusamehe Ni utoto na foolish age uliyokuwa ukiipotia "

Alisema Benny baada ya kumaliza kusoma, nikajikuta nikianza kulia akapata ajila ya kunituliza.

Majila ya saa 6 tuliwasili singida mjini, tunaenda kwenye nyumba ya wageni na kulala.

Nilikuwa nimechoka Sana ukizingatia ndio mama kijacho niliamka saa 5 asubuhi, nilikuta nimeandaliwa kila kitu mpaka nguo za kuvaa, ili niliwekewa mgauni uo mrefu wa kumwaga, na lilikuwa jipya kabisa

" Finally umeamka kaoge ule tuondoke, utavaa ili haya mavazi yako ya kwa madam Grace nyumbani kwetu utaonekana muhuni sana "

" Eeeh salamu kwanza jamani we unajuaje Kama nimeamka salama "

Kisha wote tukachea nikaondoka kuoga, baada ya muda kila mtu alikuwa tayali na Safari ikaanza kuelekea singida vijijini, ilikuwa kijijini kweli yaani nyumba ya kwanza Kama Ni korogwe ya pili unaweza ikuta kimara.

Baada ya muda tulifika, nyumba yao walikuwa wakiishi wengi maana nje tuu tulikuta watoto wa kutosha binti mmoja ndio alimjua Benny na kumkumbilia, basi nikaona watu wengine wakitoka nje baada ya kusikia kelele jamani kiukweli walikuwa wamemkumbuka Sana walimvamia wote wakaenda chini 😁 nilibaki najichekesha tu huku hakuna hata mmoja aliyekuja ata kunipokea begi, waliinuka na kuingia ndani nilibaki pale nje nikishangaa hata benny aliingia ndani na familia yake na kusahau kuwa amekuja na mgeni, sijui machozi yalitokea wapi lakini niliyaona yakitililika tu kama Sina akili nzuri, nikafuta machozi na kupiga hodi Ili niingie ndani

"Ooooh am sorry"

Alizungumza Benny baada ya Mimi kuingia ndani nilitikiza kichwa kuonesha Niko sawa , kila mtu akaanza kuniagalia Mimi Nyie walikuwa Ni washamba wote walikaa chini isipokuwa Benny ambaye walimpa kiti, nilikaa karibu na benny hapo nimechoka tumbo linakwangua kwaajili ya njaa kusema ndo nashindwa.

Walikuwa wakimuuliza maswali mengi Sana mfululizo

" Eeeh jamani mama ndio kwanza nimefika niacheni nitulie kwanza huyu Ni mgeni wangu lakini tutaongea baadae akaniinua na kuniomba twende chumbani

" Eeeh mwanamke anaenda chumba kimoja na wewe..??"

Aliuliza mama Benny

" Tutaongea mama "

Hao tukaingia chumbani kwake, kulikuwa na meza na nguo na godoro ambalo limelazwa chini hakukuwa na sakafu Zaidi ya mchanga tuuu

"Karibu ili ndo geto langu naona awajaligusa liko kamanilivyoacha"

Nilikuwa nikimuangalia tu anavyojiongelea muda huo huo aka............

ITAENDELEA........

Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11




SONGA NAYO........

500 UNAPATA VYOTE VILIVYOBAKI

Benny alistuka sana sana alianza kutetemeka na kuogopa sana, mpaka nilimuonea huruma maana naona alichanganyikiwa kuliko mimi mwenyewe

" Sasa ndio Nini hivyo yaani unapaniki kuliko Mimi sijui tunafanyaje na nikuambie tumbo langu sio Kama Sabrina miezi mitatu tu linaonekana vizuri kabisa sijui tunafanyaje"

" Please naomba uniache mwenyewe hapa sawa kakae ndani tutaongea Sana nikishawaza nitakuita "

Kwakuwa niliona Hali yake aliyokuwa nayo sikuwa mkaidi haraka nikaondoka nilifika ndani nililia nyie acheni nililia sana niliwaza tu pale nitakapotoa halafu nikafa , yaani ilo swala liliniuliza sana, majila ya saa mbili usiku Benny akanitumia ujumbe

"...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi forgive-me-mom-nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.58K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.27K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.2K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.14K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest