Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
Gonga94 Β· Stories

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.............

Nilipokuwa naingia kwenye Gari alikuja wifi yangu na kuniomba tuongee nikamuomba kaka anisubili kwa muda.

"Najua nakupotezea muda wifi yangu lakini nihurumie mwenzio hapa narudi kijijini kwa Bibi yangu Sina wazazi Mimi mwenzio Kaka ako ndio alikuwa kila kitu kwangu, sijui kama precious ataweza maisha ya uko nisaidie nistili mwanamke mwenzio "

"Naelewa Hali unayopitia lakini kwanini urudi kwa Bibi yako wakati mume wako na mama yako mkwe wapo na mnapesa nyingi kumbuka Kaka yangu alikuwa anakupa laki 4 kila wiki kwaajili ya matibabu ya huyu mama na alikuwa aumwi Nina imani pesa unazo na zimekuwa nyingi zitawasaidia Sana "

"Wewe umewaona hata hapa mahakamani ? Wamenitoloka Jana wametoa pesa zote kwenye account hapa Nina elfu 12 tu nisaidie niombee msamaha nimejifunza Mimi nimeona Ni watu gani ambao walikua wananitumia na kina Nani wananipenda niombee msamaha"

"Natamani Sana lakini naomba uende tutawasiliana nakutumia nauli ya kwenda kwa Bibi na pesa ambayo itakusaidia ukiishiwa utaniambia, unajua Nini Mimi Ni mkosefu mno 😭 lakini nilichukua sekunde tu kujua makosa yangu baada ya kumuona mama yangu Yuko kwenye jeneza, lakini imenichukua miaka mitatu familia yangu kuelewa kuwa nimebadilika hivyo Basi kuwa mvumilivu sishindwi kukuombea msamaha lakini Julius ana............",

Kabla sijamaliza kuongea nilivutwa Kama mzigo vile na alikuwa kaka Julius Moja kwa moja mpaka kwenye gari hakuongea kitu akawasha gari tukaondoka, lakini nilipata nafasi pia ya kumtumia pesa wifi yangu, kusema ukweli nilikuwa nimejifunza mengi Sana katika niliyopitia na Benny ndio alikuwa chachu kubwa ya Mimi kubadilika na kuwa hivi nilivyo, nilikuwa nayaelewa maumivu ya watu wengine niliyabeba Kama maumivu yangu.

Mwanzo mwisho sikuongea kitu kwenye gari maana mmmh Julius alikuwa kafula kwa hasira nikasema hapa nikijiongelesha anaweza kujiingiza hata kwenye magari tukafa bure, tulifika nyumbani akashuka na kusema

" Niko juu tusisumbuane "

"Lakini ka..........."

"Tusisumbuane"

Mmmmh nikakaa kimya huyo mpaka chumbani kwangu lakini nilimsisitiza Sana wifi yangu arudi kijijini kwao kwani hapa jijini angeteseka bure na mtoto lakini nahisi kule angeenda kujifunza Zaidi na kubadilika kila kitu sio kubadilika maneno tu.

Baada ya wiki Moja tulijiandaa na kwenda makaburini tulitembelea kaburi la mama, lakini pia tulienda katika nyumba yetu iliyoungua kwaajili ya kumtembelea kamili maana kamili hata mwili wake haukupatikana alikuwa ameungua mpaka kuwa majivu.

Tuliangalia nyumba yetu kaka Julius akasema

" Unajua hi nyumba ina kumbukumbu kubwa Sana kwetu kesho tutaanza kujenga tutajenga Kama ile ambayo alikuwa akiishi mama ili tuweze kupata kumbukumbu kuhusu yeye unaonaje ??"

" Ni sawa kabisa "

Basi kiukweli tulikuwa na furaha Sana Kaka angu mawazo yaliisha kabisa na kila kitu kilikuwa sawa, tulianza kujenga, nakumbuka siku hiyo nilikuwa nawasimamia mafundi kwani tulitaka nyumba iwe Kama mwanzo, hivyo nilikuwa makini sana, nikiwa Nimekaa nje, nachezea simu nilisikia mtu aliniita

"Saada......."

Niligeuka na alikuwa ni rafiki yangu neema

"Eeeeh neema jamani we msichana upo jamani "

"Nipo shoga angu ukatususa mazima, mwenyewe, lakini umependeza yaani unazidi kuwa mzuri "

" Asante naona unaenda kupika??"

"Mwenzangu we tupike watoto wale "

" Una mtoto ??"

" Sio mtoto watoto shoga angu watatu "

"Wewe usinambie "

"Ndo hivyo, Tena afadhali nimekuona, umbea sio kazi kazi kusutwa, shoga angu kamili yupo ujue au ndio bado umtaki.......??"

Nilistuka sikuamini kabisa ikanidi nimuulize kwa Mara ya pili

"Kamili, unamaanisha mdogo wangu Mimi au kamili gani, kamili SI aliungua jamani "

Nikakaa na chini maana nguvu ziliniisha kabisa kabisa

"Usinitaje lakini kamili yupo kwa huyu mama mindoli, anasema yeye wakati wa moto alimulimuona kamili akitoka kabla ya mama ako akamchukua na kumpeleka nyumbani kwake Sasa alitaka mama ako amlipe kwa kutaka kuonekana kuwa alimuokoa kwenye Moto kamili,"

"Subili kwanza yaani kamili alitoka kabla ya mama hiyo inamaanisha alitoka akiwa ajaungua hata kidogo ??"

"Ndio, Sasa taarifa zilivyozagaa kuwa kamili kafa akamfungia ndani , alipokuja kumtoa tukaambiwa kuwa mama ako amefariki serikali ikampaka ruhusa ya kumlea kamili , lakini anachomfanyia mmmh anamtumia kuomba omba barabarani, Sasa hivi anapigwa najua naona baadae anarudi na nahisi watu hawajui Kama ninyi ndo mnajenga hapa maana wanasema kuwa pamenunuliwa"

"Nipe namba yako tutaongea "

Tukabadilishana namba pale akaondoka fasta nikapigia simu kaka Julius aje nilipo, kwakuwa hakuwa amebanwa na kazi haraka alifika nilipo, nilikuwa nimechanganyikiwa yaani nilikuwa naona kama nachelewa kumuona kamili wangu

"Umenistua Sana ujue Kuna Nini ??"

"Subili kwanza Kaka shusha presha maana hizi taarifa za kustua lakini za kufurahisha pia yaaani daaah siamini "

"Baada ya kunishusha presha unaniongezeaa we darasa la pili D ebu ongea πŸ˜‚"

Hapo nilicheka Sana yaani Kaka Julius alishanibadilisha na jina akawa ananiita darasa la pili D subili kwanza niwaambie ilikuwaje, Kuna siku aliniambia kuwa anataka kunifanya secretary wake katika ofisi yake nikamjibu na hili hili darasa la pili D au 😁

Ndo jina likakua. Tuendelee Basi nikatuliza wenge na kumwambia

" Kaka kamili anaishi....."

Aka............

ITAENDELEA..........




FORGIVE ME, MOM 😭😭
Tangazo - Hostinger better 2026
Hostinger better 2026
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22



SONGA NAYO.............

Nilipokuwa naingia kwenye Gari alikuja wifi yangu na kuniomba tuongee nikamuomba kaka anisubili kwa muda.

"Najua nakupotezea muda wifi yangu lakini nihurumie mwenzio hapa narudi kijijini kwa Bibi yangu Sina wazazi Mimi mwenzio Kaka ako ndio alikuwa kila kitu kwangu, sijui kama precious ataweza maisha ya uko nisaidie nistili mwanamke mwenzio "

"Naelewa Hali unayopitia lakini kwanini urudi kwa Bibi yako wakati mume wako na mama yako mkwe wapo na mnapesa nyingi kumbuka Kaka yangu alikuwa anakupa laki 4 kila wiki kwaajili ya matibabu ya huyu mama na alikuwa aumwi Nina imani pesa unazo na zimekuwa nyingi zitawasaidia Sana "

"Wewe umewaona...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA 😭  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 02
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.58K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.27K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.2K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.14K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.05K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest