Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
Gonga94 ยท Stories

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.............

Nilipokuwa naingia kwenye Gari alikuja wifi yangu na kuniomba tuongee nikamuomba kaka anisubili kwa muda.

"Najua nakupotezea muda wifi yangu lakini nihurumie mwenzio hapa narudi kijijini kwa Bibi yangu Sina wazazi Mimi mwenzio Kaka ako ndio alikuwa kila kitu kwangu, sijui kama precious ataweza maisha ya uko nisaidie nistili mwanamke mwenzio "

"Naelewa Hali unayopitia lakini kwanini urudi kwa Bibi yako wakati mume wako na mama yako mkwe wapo na mnapesa nyingi kumbuka Kaka yangu alikuwa anakupa laki 4 kila wiki kwaajili ya matibabu ya huyu mama na alikuwa aumwi Nina imani pesa unazo na zimekuwa nyingi zitawasaidia Sana "

"Wewe umewaona hata hapa mahakamani ? Wamenitoloka Jana wametoa pesa zote kwenye account hapa Nina elfu 12 tu nisaidie niombee msamaha nimejifunza Mimi nimeona Ni watu gani ambao walikua wananitumia na kina Nani wananipenda niombee msamaha"

"Natamani Sana lakini naomba uende tutawasiliana nakutumia nauli ya kwenda kwa Bibi na pesa ambayo itakusaidia ukiishiwa utaniambia, unajua Nini Mimi Ni mkosefu mno ๐Ÿ˜ญ lakini nilichukua sekunde tu kujua makosa yangu baada ya kumuona mama yangu Yuko kwenye jeneza, lakini imenichukua miaka mitatu familia yangu kuelewa kuwa nimebadilika hivyo Basi kuwa mvumilivu sishindwi kukuombea msamaha lakini Julius ana............",

Kabla sijamaliza kuongea nilivutwa Kama mzigo vile na alikuwa kaka Julius Moja kwa moja mpaka kwenye gari hakuongea kitu akawasha gari tukaondoka, lakini nilipata nafasi pia ya kumtumia pesa wifi yangu, kusema ukweli nilikuwa nimejifunza mengi Sana katika niliyopitia na Benny ndio alikuwa chachu kubwa ya Mimi kubadilika na kuwa hivi nilivyo, nilikuwa nayaelewa maumivu ya watu wengine niliyabeba Kama maumivu yangu.

Mwanzo mwisho sikuongea kitu kwenye gari maana mmmh Julius alikuwa kafula kwa hasira nikasema hapa nikijiongelesha anaweza kujiingiza hata kwenye magari tukafa bure, tulifika nyumbani akashuka na kusema

" Niko juu tusisumbuane "

"Lakini ka..........."

"Tusisumbuane"

Mmmmh nikakaa kimya huyo mpaka chumbani kwangu lakini nilimsisitiza Sana wifi yangu arudi kijijini kwao kwani hapa jijini angeteseka bure na mtoto lakini nahisi kule angeenda kujifunza Zaidi na kubadilika kila kitu sio kubadilika maneno tu.

Baada ya wiki Moja tulijiandaa na kwenda makaburini tulitembelea kaburi la mama, lakini pia tulienda katika nyumba yetu iliyoungua kwaajili ya kumtembelea kamili maana kamili hata mwili wake haukupatikana alikuwa ameungua mpaka kuwa majivu.

Tuliangalia nyumba yetu kaka Julius akasema

" Unajua hi nyumba ina kumbukumbu kubwa Sana kwetu kesho tutaanza kujenga tutajenga Kama ile ambayo alikuwa akiishi mama ili tuweze kupata kumbukumbu kuhusu yeye unaonaje ??"

" Ni sawa kabisa "

Basi kiukweli tulikuwa na furaha Sana Kaka angu mawazo yaliisha kabisa na kila kitu kilikuwa sawa, tulianza kujenga, nakumbuka siku hiyo nilikuwa nawasimamia mafundi kwani tulitaka nyumba iwe Kama mwanzo, hivyo nilikuwa makini sana, nikiwa Nimekaa nje, nachezea simu nilisikia mtu aliniita

"Saada......."

Niligeuka na alikuwa ni rafiki yangu neema

"Eeeeh neema jamani we msichana upo jamani "

"Nipo shoga angu ukatususa mazima, mwenyewe, lakini umependeza yaani unazidi kuwa mzuri "

" Asante naona unaenda kupika??"

"Mwenzangu we tupike watoto wale "

" Una mtoto ??"

" Sio mtoto watoto shoga angu watatu "

"Wewe usinambie "

"Ndo hivyo, Tena afadhali nimekuona, umbea sio kazi kazi kusutwa, shoga angu kamili yupo ujue au ndio bado umtaki.......??"

Nilistuka sikuamini kabisa ikanidi nimuulize kwa Mara ya pili

"Kamili, unamaanisha mdogo wangu Mimi au kamili gani, kamili SI aliungua jamani "

Nikakaa na chini maana nguvu ziliniisha kabisa kabisa

"Usinitaje lakini kamili yupo kwa huyu mama mindoli, anasema yeye wakati wa moto alimulimuona kamili akitoka kabla ya mama ako akamchukua na kumpeleka nyumbani kwake Sasa alitaka mama ako amlipe kwa kutaka kuonekana kuwa alimuokoa kwenye Moto kamili,"

"Subili kwanza yaani kamili alitoka kabla ya mama hiyo inamaanisha alitoka akiwa ajaungua hata kidogo ??"

"Ndio, Sasa taarifa zilivyozagaa kuwa kamili kafa akamfungia ndani , alipokuja kumtoa tukaambiwa kuwa mama ako amefariki serikali ikampaka ruhusa ya kumlea kamili , lakini anachomfanyia mmmh anamtumia kuomba omba barabarani, Sasa hivi anapigwa najua naona baadae anarudi na nahisi watu hawajui Kama ninyi ndo mnajenga hapa maana wanasema kuwa pamenunuliwa"

"Nipe namba yako tutaongea "

Tukabadilishana namba pale akaondoka fasta nikapigia simu kaka Julius aje nilipo, kwakuwa hakuwa amebanwa na kazi haraka alifika nilipo, nilikuwa nimechanganyikiwa yaani nilikuwa naona kama nachelewa kumuona kamili wangu

"Umenistua Sana ujue Kuna Nini ??"

"Subili kwanza Kaka shusha presha maana hizi taarifa za kustua lakini za kufurahisha pia yaaani daaah siamini "

"Baada ya kunishusha presha unaniongezeaa we darasa la pili D ebu ongea ๐Ÿ˜‚"

Hapo nilicheka Sana yaani Kaka Julius alishanibadilisha na jina akawa ananiita darasa la pili D subili kwanza niwaambie ilikuwaje, Kuna siku aliniambia kuwa anataka kunifanya secretary wake katika ofisi yake nikamjibu na hili hili darasa la pili D au ๐Ÿ˜

Ndo jina likakua. Tuendelee Basi nikatuliza wenge na kumwambia

" Kaka kamili anaishi....."

Aka............

ITAENDELEA..........




FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22



SONGA NAYO.............

Nilipokuwa naingia kwenye Gari alikuja wifi yangu na kuniomba tuongee nikamuomba kaka anisubili kwa muda.

"Najua nakupotezea muda wifi yangu lakini nihurumie mwenzio hapa narudi kijijini kwa Bibi yangu Sina wazazi Mimi mwenzio Kaka ako ndio alikuwa kila kitu kwangu, sijui kama precious ataweza maisha ya uko nisaidie nistili mwanamke mwenzio "

"Naelewa Hali unayopitia lakini kwanini urudi kwa Bibi yako wakati mume wako na mama yako mkwe wapo na mnapesa nyingi kumbuka Kaka yangu alikuwa anakupa laki 4 kila wiki kwaajili ya matibabu ya huyu mama na alikuwa aumwi Nina imani pesa unazo na zimekuwa nyingi zitawasaidia Sana "

"Wewe umewaona...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.09K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.06K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

459
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

242
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

230
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

229
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

224
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

126
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest