Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
Gonga94 Β· Stories

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SONGA NAYO.........

Kaka Julius akanisogelea Tena karibu zaidi akaniuliza

"Ni Nini hiki .....??"

"Utanipa nafasi nizungumze au utaendelea kunitunishia kifua, kwanza kwanini nitumie nguvu zangu kukuelezea ikiwa video tu ujaielewa maneno yangu utayaelewa "

Nikamsukuma kaka Julius na kumfuata wifi kwanza nilimchapa kibao kimoja Cha mwana ukome Kaka akataka kusogea karibu yangu lakini toby akamshika na kumkaba vilivyo

"Hivi unakumbuka nilikuuliza una uhakika huyu mtoto Ni wetu ??"

Nilikuwa nakuvumilia kwaajili ya precious tu, lakini nilipokuja kugundua hata precious pia sio damu yetu nikaona hauna faida kwetu, na unaongelea kuhusu Jana kukusukuma, wewe kwanini ulinivuta nywele?? Kwamba mimba yako ndo ilikutuma? Nimejisikia vibaya wewe kupoteza mtoto wako lakini hii skendo unayoonesha kwa Kaka yangu ndo inanifanya nioneshe mabaya yako, najua Julius ataumia Sana kujua ukweli lakini ndo ukweli huo "

Niliongea uku nalia nikawatumia video zote kila mtu akazidi kupigwa na butwaa yule mama akaona Mambo yashaharibika akataka kukimbia, lakini Toby alikuwa vizuri akamuachia Julius na kuwai kifunga mlango, kitendo Cha yule mama kutaka kukimbia kilimfanya Kaka Julius kunielewa lakini siku hiyo nilikuwa na maumivu makubwa nikaamua kuongea

"Kaka Julius ulikuwa uko sahihi kuwa sijabadilika maana leo naihatibu ndoa yako kwa ushahidi wenye kishondo kabisa, nakumbuka tulisema kuwa tusahau kila kitu lakini leo umenikumbusha kila kitu najuwa Mimi Ni mkosaji mno"

Kaka Julius hakutaka niendelee kuongea akaja karibu yangu na kusema

"Am sorry"

Kisha akanyoosha kwa Irene jamani alimpiga bao moja la kwenda bao la mama wa kambo, kila mtu alistuka, nilimzuia Kaka Julius kwasababu irene alikuwa bado mgonjwa yaani kwa kawaida tunasema yeye Ni mzazi tu atakama mtoto hayupo nilimtuliza Kaka angu akatulia

"Kabla sijafanya kitu kibaya irene beba mtoto wako uzuri ulikuwa umeshapaki kila kitu toka sitaki kukuona wewe na Hawa wenzio, Dickson changanya miguu mchukue mkeo na muondoke "

Aliongea Kaka kisha akaondoka juu akaja kutoka akiwa amembeba precious na bellah, nikaona Sasa Kaka kachanganyikiwa nikamchukua bellah kumuweka pembeni nilipotaka kumchukua precious wifi aliwai na kusema

"Tutakutana mahakamani"

Nikasema

"Una kichaa wewe eeeh "

Basi taratibu wakabeba mizigo yao na kuondoka precious alikuwa anajionea kila kitu sawa tu maana aelewi hili Wala lile

Niliingia ndani nililia Sana nilijua tu Kaka angu anapitia wakati mgumu, siku hiyo Julius alilewa Sana mpaka akaanza kukumbushia Mambo ya nyuma kabisa nikaogopa nikamuomba Toby aondoke na Bella watarudi nikiwaita, toby hakuwa mkaidi fasta wakachukua gari na kuondoka

"Hivi Mimi Nina mkosi gani kwenye mahusiano nilipokuwa na wewe ulikuwa unanilia pesa zangu tu , bado nikaja kujua wewe ni dada yangu, haya mwanamke mwingine manidhurumu kabisa mtoto wangu, niliyemuoa ndo kanisaliti mpaka kanisaliti Tena "

Alikuwa akiniuliza Kaka Julius niliona aibu eti kati ya watu ambao ametembea nao na Mimi nimo, nilitumia muda mwingi kumtuliza mwisho akalala, nikaomba mlinzi ampeleke chumbani kwake.

Asubuhi na mapema mtu wa kwanza kutuamsha alikuwa Ni mwanasheria wa kaka Julius alikuja akiwa na karatasi za taraka lakini pia mgawanyo wa Mali ambao utafanyika mahakamani

"Huyu mwanamke mpuuzi kweli Mali gani na kila kitu alikikuta hapa amekuja na Dera lake tu umu ndani alikuja Kama house girl kumpenda ndo imekuwa kosa "

Alilalamika kaka.

Siku iliyofuata kesi yetu ilikuwa inaanza saa 7 mchana basi mapema Sana tulikuwa tumeshafika pale mahakamani, taratibu zikafuatwa na kuonekana kuwa mali ni za kaka lakini pia kwakuwa wanataka kuachana inabidi wagawane kwaajili ya malezi ya mtoto ambaye Ni precious

"Lakini precious sio mwanangu muheshimiwa hakimu "

"Tutaaminije bila vipimo ??"

"Well Sasa hivi sayansi na teknologia imekuwa sana majibu ya DNA yanatoka baada ya nusu saa tu nahisi tupime hapa hapa "

Alizungumza Kaka lakini mama precious akadakia

"Nimeshapima na haya Ni majibu "

Basi majibu alipatiwa hakimu na muda na ilionekana kuwa precious ni mtoto wa Kaka Julius kwa asilimia 97 nikasema hapa Kuna kitu , kabla sijaomba nafasi ya kuzungumza Kaka akasema

" Sikuwepo wakati wanapima nafikili tupime hapa , mahakama kubwa Kama hi huwa na dokta wao , lakini pia naomba aje dokta ambaye mama precious alipima mwanzo ili tupate ukweli.

Na uzuri dokta alikuwepo kabla mambo hayajawa mengi dokta akatoka mbele na kuomba radhi kwa udanganyifu kwani alilipwa na Irene kuandika report ya uongo basi tukatoka pale tukiwa na ushindi wetu ingaww nilikuwa nikitamani Sana precious awe wetu na tupewe Haki ya kumlea. Nilipokuwa nataka kuingia kwenye gari irene aka.............

ITAENDELEA........


Tangazo - Hostinger 2026 on fire
Hostinger 2026 on fire
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21

SONGA NAYO.........

Kaka Julius akanisogelea Tena karibu zaidi akaniuliza

"Ni Nini hiki .....??"

"Utanipa nafasi nizungumze au utaendelea kunitunishia kifua, kwanza kwanini nitumie nguvu zangu kukuelezea ikiwa video tu ujaielewa maneno yangu utayaelewa "

Nikamsukuma kaka Julius na kumfuata wifi kwanza nilimchapa kibao kimoja Cha mwana ukome Kaka akataka kusogea karibu yangu lakini toby akamshika na kumkaba vilivyo

"Hivi unakumbuka nilikuuliza una uhakika huyu mtoto Ni wetu ??"

Nilikuwa nakuvumilia kwaajili ya precious tu, lakini nilipokuja kugundua hata precious pia sio damu yetu nikaona hauna faida kwetu, na unaongelea kuhusu Jana kukusukuma, wewe kwanini ulinivuta nywele?? Kwamba mimba yako ndo ilikutuma? Nimejisikia vibaya wewe...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-21

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA 😭  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 02
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.58K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.27K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.2K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.14K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.05K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest