Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
Gonga94 ยท Stories

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.......

Niliagana na baba angu Kisha nikarudi wodini kwa mama, yaani nilikuwa na furaha Sana siku hiyo hata mama alishangaa maana hakuwai kuniona nikiwa na furaha kiasi iko

"Mmmmh hili tabasamu lako Ni la kheri kabisa mwanangu sijawai kukuona ukiww hivyo"

" Umeanza unatakaga kuniona nikiwa na uzuni muda wote Mungu amtupi mja wake leo nimekutana na baba angu na Yuko na pesa na anafamilia nzuri sana kunakoelekea nitaenda kuishi nao "

" Baba yako, na mbona hajaja kutuona Angekuja hata akuone kamili jamani "

"Mmmmh ebu acha maigizo baada ya kumuwangia kwa muda mrefu Leo unasema unatamani angekuja kukuona, kwanza hata kumwambia kwamba uko hapa sijamwambia, kuwa na aibu ingekuwa sio uchawi wako na kibwengo chako hiki yote yasingetokea"

Niliongea kwa hasira Sana nikatoa pesa kiasi na kuwatupia tusisumbuane mkiruhusiwa nendeni nyumbani nimeshachoka kuwaona uvumilivu wangu umenishinda na nahisi leo ndio itakuwa mara yangu ya mwisho kuonana nanyi "

Niliondoka nikiwa na hasira kama zote , nikaenda kupiga unywaji na marafiki zangu, nilitaka kusahau kila kitu kuhusu familia yangu kwani chuki yangu ilipita kikomo.

Julius alikuwa akinipigia mda wote lakini sikutaka kupokea mwisho nikazima simu, siku hiyo nikalala kwa shoga zangu, siku iliyofuata nilimpigia simu baba na kuomba tuonane alikubali na tukakutana mlimanicity.

" Simu yako imenistua Sana Kuna shida yoyote.....??"

" Yaaah ipo shida baba Jana nilipoachana na wewe pale nilienda kumwambia mama pale hospital kwani amelazwa anaumwa, nilipomwambia kuhusu wewe amenifokea Sana na usiku aliruhusiwa akaamua kunifukuza nyumbani hapa Sina pa kwenda Jana nimelala kwa majilani "

"Yaani anaufukuza nyumbani kwangu mimi...?, Ile nyumba nilijenga kabla hatujaoana kiwanja niliachiwa na baba yangu anakufukuza kweli"

" Sijui kosa langu Nini mama ananichukia sana, siwezi kwenda kule amekuwa akinitesa tangu ulipoondoka mpaka Leo, alinisimamisha shule baba Mimi sijasoma nimeishia darasa la tatu kwaajili yake, kila siku ananituma mtaani kuuza mboga"

Nililia Sana ingawa nilikuwa naongea uongo baba hasira zilimpanda na kuahidi kuwa atamkomesha na hiyo ndio ilikuwa furaha yangu.

Baba akanichukua na kwenda nae nyumbani kwake kiukweli nyumba ya baba ilikuwa nzuri Sana Tena Sana kila kitu kilikuwemo, magari ya kifahari nilijikuta nikifurahi na kujiona wa kishua si ndio mimi.

Julius baada ya kunipigia sana bila mafanikio aliamua kwenda hospital na alikuta mama akiruhusiwa hivyo akawachukua na kuwapeleka nyumbani, alishangaa Sana baada ya kuona mazingira ya nyumbani yaan chumba changu Mimi tu ndo kilikuwa na godoro lakini kwa mama kulikuwa na mkeka na mito miwili ambao mmoja ulikuwa wa mama mwingine wa mdogo wangu kamili, alitamani kujua mengi saa na kwa kuwa mama alikuwa hajui yule Ni Nani ilikuwa rahisi yeye kupata ukweli

"Nashukuru sana mwanagu kwa kila kitu Nina imani wazazi wako wamebarikiwa Sana kuwa na mtoto kama wewe "

Alizungumza mama akimshukuru Julius

" Usijali mama kwa kuwa Mimi Niko katika shirika la msaada nitakusaidia Sana usijali, lakini naitaji kujua maisha yako kwa ufupi maana kampuni yetu inaitaji kuwafahamu watu Kisha wawasaidie"

"Aaaah yaani mwanangu sijui nianzie wapi kukuelezea, Mimi niliolewa nikiwa na miaka 15 niliozeshwa na mjomba angu baada ya wazazi wangu kifariki, nashukuru mume wangu alikuwa mtu mzuri, tulipata mtoto wa kwanza wa kiume, lakini wifi zangu walimchukua kwahiyo mpaka Sasa sijui yuko wapi aliondoka akiwa na mwaka mmoja, na wifi zangu Sina mawasiliano nao, nikapata wa pili anaitwa saada, ni binti sasa, na huyu kamili ndo wa mwisho, baada ya kamili kuzaliwa mume wangu akamkataa na kuondoka akituacha tukiteseka lakini pia Sasa hivi saada pia ameniacha na kuungana na baba ake wakidai Mimi mchawi "

Julius alistuka Sana kusikia Mimi ni mtoto wa yule mama lakini hakutaka kujionesha, waliongea mengi na mama mwisho akawachia kiasi Cha pesa na kuondoka.

Usiku wa siku hiyo niliamua kuwasha simu Ili kutaka kumpigia Julius na kumuomba kiasi Cha pesa lakini nilikutana na sms moja matata sana ilinistua Sana iliandikwa hivi

" Nawaza kuwa Kati yako na mama ako Nani mchawi maana mmmh sijui hata nilikupendea Nini wewe Kama mama yako unamtreat hivyo Mimi na mam yangu itakuwaje...? Nimewaza Sana saada sijui uko wapi but it's over between us sikuhitaji katika maisha yangu yaani sijui nikutafsiri vipi ili uelewe chuki uliyojenga kwangu anyway maisha mema"

Niliogopa lakini ukizingatia Sasa nipo kwa baba yangu halafu familia nzima imenikubali sikuona haja ya kumuomba msamaha au kujielezea nikamtumia ujumbe mfupi

" Sikuwai kukupenda afadhali umenipunguzia idadi kwenye gari nipate kuongeza wengine "

Kusema kweli nilikuwa msichana rahisi Sana Tena Sana nilikuwa nikiangalia pesa tu nilikuwa sipendi mwanaume Mimi ila pesa hivyo sikuona shida kutumia mwili wangu katika kunipatia pesa.

Hasira za baba zilivuka kikomo baada ya kumwambia maneno Yale ya uongo kuhusu mama, usiku huo aliongozana na vijana wake wawili na kwenda kuchoma nyumba ya mama, na wote walikuwa ndani, moto ulikuwa mkali Sana mama alifanikiwa kutoka lakini hakuweza kumtoa kamili hivyo kamili alifia kwenye Moto ule.

Ilikuwa Ni uzuni kwa mama angu akuweza kabisa kuyashika maumivu, yake makali, kwakuwa nyumba iliungua Sana kabisa mama hakuwa na pa kukaa na ukizingatia majilani walikuwa wakimchukia Sana aliamua kuondoka kabisa mbagala na kwenda kutafuta maisha sehemu zingine.
Julius alifanya kazi kubwa Sana ya kumtafuta mama lakini pia haikuwezekana hivyo akakata tamaa..

Hatimaye miaka mitano ilipita nikiwa na miaka 23 najua ku drive Nina maisha mazuri nikiwa naishi kwa baba yangu sikuwaza kabisa kuhusu mama, lakini nilikuwa na ukaribu mzuri sana na mama yangu wa kambo kwani tabia zetu ziliendana kabisa ingawa tulifanya ujinga kwa Siri sana.

Nikiwa barabarani na mama yangu wa kambo kuelekea saloon nilipata kumuona mama akiwa anazurula barabarani alionekana kabisa Kama Ni chizi, na kwa kuwa nilikuwa Barabara ya vumbi nilimmwagia vumbi la kutosha, Kisha nikafungua kioo ili anione, mama alilia Sana lakini kwangu ndio ilikuwa furaha ya kutosha yaani nilikuwa nikifurahi tu muda wote.

Mama alikuwa akiishi majalalani na kula chakula vya jalalani, ukizingatia na Kansa aliyokuwa nayo, alidhoofu Sana ila Mungu allimpenda Sana mama maana na hali ile Bado alikuwa akitembea vizur tu.

Siku moja nilikutana na rafiki yangu ambaye alikuwa akiijua familia yangu vizuri kabisa tukaingia bar flani na kuanza kupiga story

"Hivi kumbe ulipona kwenye ule Moto ??"

"Mmmmh kwanza hata sikuwa nyumbani "

"Daaaah pole Sana masikini kamili amefariki akiwa na umri mdogo Sana "

" Umeanza Sasa hivi Ni kula maisha hizo habari sizitaki "

Alishangaa Sana maana rafiki yangu huyu hakuwai kujua kabisa kama naichukia familia yangu, niliinuka na kuondoka kwa hasira nikimuacha akinishagaa, kwa hasira nilizokuwa nazo nilianza kumtafuta mama kila Kona na nilifanikiwa kujua wapi anakaa

Baada ya siku mbili nklilipa vijana pesa na kuwaomba wakampige Sana lakini wasimuuwe naitaji ateseke tu.

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03



SONGA NAYO.......

Niliagana na baba angu Kisha nikarudi wodini kwa mama, yaani nilikuwa na furaha Sana siku hiyo hata mama alishangaa maana hakuwai kuniona nikiwa na furaha kiasi iko

"Mmmmh hili tabasamu lako Ni la kheri kabisa mwanangu sijawai kukuona ukiww hivyo"

" Umeanza unatakaga kuniona nikiwa na uzuni muda wote Mungu amtupi mja wake leo nimekutana na baba angu na Yuko na pesa na anafamilia nzuri sana kunakoelekea nitaenda kuishi nao "

" Baba yako, na mbona hajaja kutuona Angekuja hata akuone kamili jamani "

"Mmmmh ebu acha maigizo baada ya kumuwangia kwa muda mrefu Leo unasema unatamani angekuja kukuona, kwanza hata kumwambia...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.1K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.06K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

463
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

242
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

231
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

229
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

225
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

126
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest