Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
Gonga94 ยท Stories

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.............

Tuliendelea na sherehe pale sikukumbuka kabisa kuhusu mama angu na nilikuwa na furaha sana, majila ya usiku tulitoka pale na kwenda club na mama angu wa kambo tulikaa kaunta maana ndo uwa tunapenda Sana uwa ofa zinakuja zenyewe, nikiwa nimekaa pale simu yangu iliita Sana na ilikuwa N upi namba ya Julius lakini sikutaka kupokea Zaidi nilizima simu, baada ya kukaa muda kidogo alikuja mababa kwa muonekano tu alionekana kuwa anapesa za kutosha , akatusalimia

"Habari zenu warembo....??"

Mie na mama yangu Tena tunavyopenda kusifiwa tulijishauwa hatari, na kuanza kumchangamkia Kama tumepata ukichaa.

" Aaaaah mnaweza kuungana na Mimi kwenye meza ile.....??"

Tuliinuka na vinywaji vyetu hao tukaungana nae kiukweli tulikunywa Sana siku hiyo yaani ilikuwa Kama azilipiwi maana zilikuwa zinakuja ovyo, nililewa Sana.

Nilikuja kushtuka asubuhi nikiwa katika hotel kubwa Sana ya kifahari na nilikuwa peke yangu, nyuo zangu zilikuwa zipo chini zimezaga uku na uku, pembeni kulikuwa na kiasi Cha pesa yaani kiukweli nilikuwa sikumbuki chochote kile, nilioga na kuondoka zangu, lakini furaha yangu ilikuwa kwenye zile hela tuh.

Nilifika nyumbani nilimkuta mama lakini baba sikumkuta.

" Mmmmh shoga angu ukaondoka pale bar ukaniacha peke yangu "

Alizungumza mama yangu wa kambo like

" Ungejua sikumbuki Nini kiliendelea ungekaa kimya tuu maana hapa sielewi Seema Nina mtonyo wa kutosha, anyway baba Yuko wapi....?"

"Aliondoka tangu usiku, Kuna yule dada ake wa magomeni amefiwa na dada ake, tangu Jana usiku, hivyo amelala ukouko me nitaenda baadae kumpelekea nguo lakini pia tutaenda kesho kuzika kapumzike kwanza naona kazi ya Jana sio ya kitoto"

Wote tulicheka, Kisha nikaelekea chumbani kwangu, nililala Sana nilikuja kustuka saa 8 mchana nilikuta missed call nyingi Sana za Julius na sms moja tu iliyosomeka hivi

" Jeuri yako haitakupeleka kokote utakuja kujuta kwa unachokifanya "

Nilicheka Sana na kujisemea

"Jamani kama utakiwi utakiwi muwe mnakubali kuachwa"

Nilikuwa nawaza kabisa kuwa Julius ananitaka Tena na nilipanga kumuumiza Sana kumbe yeye hakua uko kabisa alikuwa mbali na mawazo yangu.

Nikamtumia sms moja tu kisha nikamblock

Niliendelea mishe zangu.

Siku iliyofuata majila ya saa 9 mchana tulijiandaa na kwenda msibani uku nilikuwa na shauku ya kumuona shangazi yangu kwani sikuwai kuwaona ndugu wa baba yangu lakini pia nilikuwa nataka kumuona shangazi yangu ambaye alifariki kabla sijamuona.

Tulifika msibani ilikuwa Ni nyumba kubwa Sana jamani magari ya kifahari yalipaki nje yaani utazani Kuna sherehe kumbe msiba, baba akatupokea na kutukaribisha maana yeye ndio alikuwa kama mwenyeji wetu wa siku hiyo.

"Pole na msiba baba"

Nilimpa pole baba kwani nilijua aliyefariki Ni Dada yake

"Nishapoa karibuni, maiti iko njiani maana ilikuwa monchwari "

Tukakaa pale Kama wageni tukapatiwa maji na chakula Kama ujuavyo Tena misba ya watu wenye hela Ni kila kitu full Kama wamejiandaa vile

Baada ya muda maiti iliwasili pale, wa kwanza kushuka kwenye gari hiyo alikuwa Ni mama Julius nilistuka lakini nikajipa moyo, wa pili alikuwa Julius akiwa ameshikilia picha ya mama angu, kiukweli nilikuwa nikimchukia mama lakini sijui kwanini machozi yalinitoka sikujua kwanini , miguu iliniisha nguvu nilijikuta nikipiga magoti, baba pia alistuka Sana kuona picha ya mama pale mbele.

Basi kwakuwa mama alikuwa akiishi ki kristo kwa kina Julius hivyo ibada yake ilikuwa ya kikristo, muda wote huo nilikuwa sijaongea chochote lakini Kuna maumivu nilikuwa nikiyapata moyoni mwangu, baba aliweza kuelewa hali niliyokuwa nayo na muda wote alikuwa amekaa na Mimi.

Muda wa kuaga ulifika nilienda kumuaga mama siku hiyo nililia Sana sijui kwanini yaani nililia, lakini Julius ndio alionekana akiumia Zaidi kuliko mimi, nilijisikia vibaya sana, baada ya kila kitu kuisha tukaelekea makaburini tulizika na kurudi, nilimuomba baba tuendelee kukaa hapo mpaka matanga na hakuwa na hiyana alikubali mambo yakaenda sawa...

Baada ya siku tatu matanga yaliisha na wengi walikuwa wameondoka nilitamani Sana kuongea na Julius lakini hakutaka kunipa hata muda wa kuzungumza nae nilijisikia vibaya sana lakini pia sikuwa na namna nilimuacha apunguze asila zake.

Baada ya siku hizo kupita kilikalika kikao Cha familia ili kupanga siku ya kufanya 40 ya msiba huo mama Julius ndio alikuwa msemaji mkuu.

" Nitashukuru Sana ndugu zangu kwa kuwa na Mimi Katina siku zote hizi za uzuni yangu, najua wengi mlikuwa hamumjui marehemu lakini, nitatoa historia fupi, marehemu alikuwa na ukaribu na mwanangu Julius na hata alivyoanza kuumwa Julius aliamua kuja nae hapa niseme ule ukweli, nimeishi nae kwa amani Sana niliona kabisa nimepata dada alinipenda alioniona Mimi ni mdogo wake kwa muda mfupi nilioishi nae nimejifunza mengi kupitia yeye"

Alishindwa kuendelea alikaa chini na kuanza kulia.....

Baada ya kikao kuisha ndugu wote waliondoka lakini baba alisema tusubili tutaondoka jioni, baada yamuda kulikuwa kikao Cha dharura ambacho baba aliitisha, nilijiuliza kwanini baba ameitisha kikao, lakini Bado nilikuwa na maswali mengi kama baba na mama Julius Ni ndugu kwahiyo nimetembea na ndugu yangu...?? Lakini Kama Ni ndugu kwamba shangazi amjui wifi yake...?? Nilijiuliza lakini sikuwa na majibu, baba alisimama na kuanza kuzungumza kwa uzuni sana.

" Samahanini kwa kuwaita hapa kwa dharura na najua kila mtu alikuwa akifanya shughuli zake niwaombe radhi kwa kuwasumbua, nisipoteze muda niende moja kwa moja kwenye point, Julius mwanangu pole Sana kwa msiba mzito kwa habari ambayo nimepokea ulikuwa ukiangaika sana na mgonjwa Nina imani kuwa baraka zitakuwa juu yako umefanya kazi nzuri sana ya kumuhudumia mama yako mpaka siku anafariki "

Kila mtu alistuka lakini Mimi na Julius tulistuka Zaidi na kujikuta tukisimama kwa pamoja na kuuliza swali moja

" Unasemaje....??"

Kila mtu alishangaa kwanini tumeinuka kwa pamoja lakini Mimi na Julius ndio tulikuwa tunajua Ni kwanini

" Am sorry anko yule mwanamke nimemjua mda mfupi lakini Mimi Ni mpwa wako namaanisha mtoto wa Dada ako "

"Uko sahihi lakini ukwei mtupu Ni kwamba Mimi ni baba yako mzazi na marehemu ambaye tumempumzisha Ni mama yako mzazi........"

"What.....???"

ITAENDELEA........๐Ÿ™

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5



SONGA NAYO.............

Tuliendelea na sherehe pale sikukumbuka kabisa kuhusu mama angu na nilikuwa na furaha sana, majila ya usiku tulitoka pale na kwenda club na mama angu wa kambo tulikaa kaunta maana ndo uwa tunapenda Sana uwa ofa zinakuja zenyewe, nikiwa nimekaa pale simu yangu iliita Sana na ilikuwa N upi namba ya Julius lakini sikutaka kupokea Zaidi nilizima simu, baada ya kukaa muda kidogo alikuja mababa kwa muonekano tu alionekana kuwa anapesa za kutosha , akatusalimia

"Habari zenu warembo....??"

Mie na mama yangu Tena tunavyopenda kusifiwa tulijishauwa hatari, na kuanza kumchangamkia Kama tumepata ukichaa.

" Aaaaah mnaweza kuungana na Mimi kwenye...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42

1.14K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.01K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1K
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

458
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

226
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

203
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

202
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

190
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

105
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

100

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo๐Ÿ˜ณ. Anadhani labda ameenda chuo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest