Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

πŸŽ™οΈWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Gonga94 Β· Stories

πŸŽ™οΈWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ILIPOISHIA...,

Akaachia mshonyo mkali, huku akiongea kwa sauti ya chini chini, akisema,
" mmh!, yani hata ukisikia nimechanganyikiwa ndo nikufanyie wema mtu kama wewe?!,
utasubiri Sana kwa hilo, sasa subiri furaha yako yaja, mimi ndo mama Vero wa ukwee e! ".

Turi alisikia maneno hayo vizuri tu,
Lakini, hakuelewa ni nini mama yake alikuwa anakimaanisha!, maana ametoka kuongea naye kwa upole na bashasha muda si mrefu!,

ila,
Turi akaamua kujipa imani, huku akajisemea kimoyo moyo,

"labda itakuwa ni watu wake wa kwenye Vikoba wamesha mkera tayari, maana mama naye, mmh...!,mmh...!, mmh...!".

Lakini, Turi alipotoka nje, alimkuta mama yake pamoja na mdogo wake ambaye ni Vero, wakiwa wamesimama na Kijana mmoja ambaye kimuonekano ni chizi kabisa!,

maana, alikuwa amevalia mavazi ya kuchakaa na machafu kuriko kawaida!, huku nzi wakimzunguka kama mkaanga samaki wabichi!, tena akiwa anaongea peke yake na kucheka.

Turi alipofika karibu, akamuuliza mama yake akisema,
"Masikiniii!, mama!, huyu mgonjwa katokea wapi mama!?, au inawezekana anajisikia njaa!, nikamletee chakula? ".

Loooh!, lakini, jibu alilolitoa mama Vero lilimfanya Turi akajuta kuzaliwa kabisa, na kujiona kama mtu mwenye makosa makubwa kwa kuzaliwa kwake kwenye hii dunia!,

maana, hakuna siku imewahi kupita hivi hivi, tangu alipokaa na mama huyo bila kumwaga machozi ya hudhuni!,

maana, Mama yake huyo, huku akiwa anaongea kwa kejeri na kumkata jicho Turi kuanzia miguuni mwake mpaka utosini, Akasema, "

ahahaha!, haloooh!, na bado mwaka huu, eti!, huyu mgonjwa katokea wapi?, yani mumeo unamwita mgonjwa,
utaachika uwe na adabu!,
sasa huyu ndo mumewako wewe kinyago!, utake na usitake utaolewa naye".

Turi, akawa kama mtu aliyechanganyikiwa kutokana na matatizo yasiyoisha kwenye maisha yake, akaanza kulia kilio chenye sauti ya juu kabisa!, huku makamasi yakimtoka puani kama Mtoto mdogo,
kutokana na hudhuni ambayo, ilimfanya mpaka akakumbuka wazazi wake,

labda wangekuwepo hayo yote yasingemkuta akasema,
" mamaaa!, nimekukosea nini lakini kwenye maisha haya mimi,
mbona najitahidi Sana kufanya kila kitu unachonielekeza kwa wakati na utiifu mkubwa, na wala sijawahi kukuchukulia kama Mama wakufikia hata siku moja ,

bali nakuona kama Mama yangu mzazi,na wala hakuna siku nimewahi kukuvujia heshima mama!,
lakini, sitaki kuamini kuwa haya ndio malipo yake, mimi nitaishije na kijana huyu,na unaona hali Yake ilivyo?!,
Bora ungenitafutia hata kazi, ningejua nitaishi naye vipi,
ila!,
nashukuru kwa yote Mama ".

Baada ya maneno hayo ya Turi ambayo yalijawa na hudhuni na ukweli mtupu!, Lakini, hayakubadirisha chochote kwenye roho mbaya aliyokuwa nayo Mama Vero, ndo kwaanzaa!,
akamshindilia na maneno mengine ya ziada ya kero akasema,

" ebu nitokee hapa mimi we takataka, unajiliza liza hapa,eti!, mama...!, mama!, mama!, nilikuzaa Mimi wewe?!".

Maneno hayo, yalimfanya mpaka kijana huyo anayesemekana kuwa ni chizi, macho yake Yakajawa na machozi ya hudhuni,
lakini hakuna aliyemfuatilia wala kugundua ,maana wote walikua bize na majibizano tu!.

Ghafla!, Mama Vero akaingia ndani na kuchukua mfuko mweusi wa rambo ambao,
ulikuwa na nguo mbili tatu za Turi kisha akamtupia Turi miguuni, na kusema,

"chukua na maforonya yako haya wewe!, usiache nuksi zako humu ndani, umuachie mwanangu Mimi!,
unadhani na yeye amekosa radhi za wazazi wake kama wewe eeeh!?".

ila, chaajabu!, baada ya malumbano hayo ya muda mrefu, kijana huyo chizi alikuwa mpole kabisa,
tofauti na vile ambayo mama Vero alivyomzoea kumuona mtaani akiwa na fujo za hapa na pale za uchizi wake,
lakini alipoa kabisa!, mpaka mama Vero akajisemea kimya kimya,

" huyu kichaa naye sijui anakahuruma?!, mbona amepoa hivi na si kawaida yake?, bwana eeh! ,
wataenda kujuana wenyewe , na jumba lake bovu lile, sijui wataishije, hahahaha,ilimradi mpango wangu wa kumuondoa Turi kwenye urithi umetiki, siwazi!".

Haikupita muda mrefu, mara!, kijana huyo chizi huku akijichekesha chekesha, akamshika Turi mkono akaondoka naye huku akiwaaga Vero na Mama yake,

Turi alijaribu kujinasua kutoka katika mikono ya kijana huyo, ili angalau atembee mwenyewe , maana alikuwa anatoa harufu isiyo ya kawaida kabisa!.

Mama Vero hakuisha kuongea hata Baada ya Turi kutoka pembeni kidogo ya nyumba ,akamsindikiza na maneno ya mwisho mwisho akisema,
" nenda mwana kwenda, Yani watu hatufanyi mambo yetu kwa uhuru kisa kukufikiria wewe, we kama nani!?".

Lakini, kijana huyo chizi alimshika Turi kwa nguvu hadi Turi akawa na wasiwasi moyoni, huku akijiuliza maswali juu ya usalama wake huko aendako,ila, hakujua lipi ni jibu sahihi!,

ila, chakushangaza!, walipofika mbele kijana huyo ambaye mwanzo walikotoka alikuwa anajichekesha kama chizi, ghafla!, akawa siriasi!,

akamwambia Turi maneno lilofanya akabaki mdomo wazi kwa mshangao, kijana huyo chizi alisema,
" Turi!, usilie Mimi Sio chizi, kila kitu kitakuwa Sawa tu tofauti na alivyotarajia mama yako.!,

ITAENDELEA...

Maoni

You're not logged in


profile
majario 27 Aug 2025 21:56
πŸŽ™οΈWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸŽ™οΈWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)



ILIPOISHIA...,

Akaachia mshonyo mkali, huku akiongea kwa sauti ya chini chini, akisema,
" mmh!, yani hata ukisikia nimechanganyikiwa ndo nikufanyie wema mtu kama wewe?!,
utasubiri Sana kwa hilo, sasa subiri furaha yako yaja, mimi ndo mama Vero wa ukwee e! ".

Turi alisikia maneno hayo vizuri tu,
Lakini, hakuelewa ni nini mama yake alikuwa anakimaanisha!, maana ametoka kuongea naye kwa upole na bashasha muda si mrefu!,

ila,
Turi akaamua kujipa imani, huku akajisemea kimoyo moyo,

"labda itakuwa ni watu wake wa kwenye Vikoba wamesha mkera tayari, maana mama naye, mmh...!,mmh...!, mmh...!".

Lakini, Turi alipotoka nje, alimkuta mama yake pamoja na mdogo...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.

362
SHAMIRA 82 MPK  86

SHAMIRA 82 MPK 86

322
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

248
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)

SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)

211
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

159
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

154
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

154
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final

150
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

144
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½

106

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.78K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.49K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.85K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.93K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.75K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.73K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema β€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema β€œeenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema β€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
@majario LIVE

πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Reyhan kwel ananifanyia mm hiv?niliumia sana huku nikimuangalia ivan anaonfoka zake.reyhan akasema imeisha hio huwez nifanyia mm umalaya ww,unanijua unaskia?sasa uneshakua malaya kweli washkaj malizaneni nae m najikataa.aliongea huku...

NAKUPENDA BILA  13 - 25 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 13 - 25
@majario LIVE

MIPAKA:13 β€œKeti tafadhali.” Nilimtazama, yeye hapo hata hajainua uso wake. Nilimeza mate nikaketi hapo moyoni najisemesha β€œwenye hela wana ringa jamani kwani si anitazame hata.” Nilipoketi aliniinua uso wake na kunikabidhi karatasi akisema...

SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR) Post Mpya
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 87 Mwandishi; lissa wa huru media Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha ...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sasa hapo ndio nimekwisha sasa,uwiii,niliogopa nikamsukuma ivan,akasema nani huyo?nikasema ni ticha,akasema ticha wako ndio anakufata mpaka huku?mm nikatoa tu macho,ivan akasema subir hapa,nikasema sawa,akanyanyuka akavaa nguo akatoka mm name...

SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4) Post Mpya
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
@majario LIVE

(HURU MEDIA wababe wa hili Game) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 79 Mwandishi; lissa wa huru media Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini...

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.
@majario LIVE

Nilikaa na kimimba changu kilimpenda, king Yani akikawia tu kuludi nyumbani najikuta naanza kulia, mpaka majilani nawapa Malala Miko napita Kwa majilani Yani mpaka king aje ndo naakubali kulejea nyumbani,...

*BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"πŸ’“πŸ˜½ BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni BillioneaπŸ’΅" Nyie njooni niwaambie kitu ……… mnazijua chapati? Sambusa je ? πŸ˜‚πŸ˜‚ nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest