Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
Gonga94 Β· Stories

πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ILIPOISHIA...,

Amani, Turi pamoja na mshenga, wakakaa kwenye viti vilivyoletwa na Vero.
Na Baada ya kukaa ,mshenga akasema,
" mama, Sisi hatuna muda Sana hapa, ila tumekuja kuleta kidogo ambacho kijana wetu amebarikiwa nacho, nadhani yeye mwenyewe atasema mengi".

Kisha mshenga akatoa bahasha iliyotuna kweli kweli!, na kumkabidhi mama Vero, kisha mshenga akamalizia kwa kusema,
" hii ni kama shukrani ya muoaji kwako, kwa malezi na kumkuza binti yako mpaka alipofika".

Mama Vero karibia kidogo aanguke chini!,
kutokana na bashasha na hamu ya kutaka kujua kilichokuwa ndani ya bahasha hiyo, huku akitetemeka mikono ,akapokea bahasha na kuifungua,

ghafla!,
Mama Vero akaanza kujiropokea maneno yasiyokuwa na mbele wala nyuma kutokana na furaha, baada ya kukutana na vitita vya misimbazi vilivyo viringishwa kwa raba bendi(rubber band) akasema,
" Yani heshima ya mwanangu Turi imeniheshimisha leo!,
shida Vero ni mtukutu kuriko dada yake, mmh! mmh! mmh!,

Kwahiyo!, Amani Baba!, umeponea hospitali au kwa mganga!?, mmh! mmh!, maana daah nililia mimi kwa kukuonea huruma ,nikasema Loooh!,
ivi kijana wangu atapona kweli huyu, ila mshenga hana baya naye yaaaani we acha tu!".

Kwa kifupi, Mama Vero alikuwa kama kavurugwa akili, hata mwanaye Vero alishangaa akajisemea kimya kimya ,

" Mmmh! , Mama kwa kupenda hela, sasa mbona maneno anayo yasema simuelewi kabisa mmmh!, wala hajiulizi watu wanamchukuliaje!".

Amani naye, akatoa kauli yake juu ya ujio wao, akasema,
" Mama!, hiyo ni mahali ya kumuoa binti yako Vero, nimejivuta vuta nimepata milioni tano, ingawa Sio nyingi, ila naamini itawasaidia kwa vitu vidogo vidogo kwa kipindi hiki.

Na kuhusu swala la uchizi, kiukweli mimi sikuwa chizi hata kidogo, bali nilitaka tu Kutafuta mwanamke mwenye mapenzi ya kweli,
na mwenye nidhamu bila kujali mtu aliyekutana naye yupoje, na kutoka moyoni nasema hapa mbele yako, Turi ndiye mwanamke sahihi".

Ghafla!, mama Vero akapiga magoti huku akimwaga machozi na kuomba msamaha, akasema,
" mwanangu Turi!, nisamehe Sana mwanangu,
hakuna mkamilifu, nakushukuru Sana mwanangu bila wewe leo nisingefurahi hivi mimi".

Turi akamjibu Mama yake kwamba,
"usijali mama , mimi nimeshakusamehe mbona!, usiwe na wasiwasi wowote ,mkubwa hakosei".

Baada ya maongezi hayo kuisha, Amani, Turi na mshenga wakaingia kwenye Gari Lao kisha wakaondoka.

Mara tu baada ya gari kuondoka, .mama Vero akasonya huku akibinua mdomo na kukunja ndita , akasema,
" Mwanangu Vero, usijali, usiwe na hudhuni yoyote mwanangu, siwezi kukubari kuona Turi anaolewa na tajiri kiasi kile ,halafu wewe ubaki nyumbani!, tena kosa walilolifanya ni kunipa hela ambayo, itanisaidia kwenda kwa mtaalam ahaha ahahah!!,
mimi ndo mama Vero wa ukwee' eeh!, haya futa machozi mwanangu kipenzi.

Mimi dunia hii nina mtoto mmoja tu!, ambaye ni wewe, hao mayatima mimi siwajui fwiiiiiiiii!!".

ITAENDELEA...,

JE wajua kwamba unaweza kukamata sms za mwenza wako anazochart na watu wake na ukazipata kupitia simu yako bila yeye kujua??

Kwa huduma ya sms tracking jiunge na group letu whatsapp
https://chat.whatsapp.com/KpHkiAUYVKQIYYgbgsl8HT?mode=ems_copy_c

Au ncheki whatsapp 0710204647 nkuunge na group

#storytelling #fyp #simulizinasauti #story

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)



ILIPOISHIA...,

Amani, Turi pamoja na mshenga, wakakaa kwenye viti vilivyoletwa na Vero.
Na Baada ya kukaa ,mshenga akasema,
" mama, Sisi hatuna muda Sana hapa, ila tumekuja kuleta kidogo ambacho kijana wetu amebarikiwa nacho, nadhani yeye mwenyewe atasema mengi".

Kisha mshenga akatoa bahasha iliyotuna kweli kweli!, na kumkabidhi mama Vero, kisha mshenga akamalizia kwa kusema,
" hii ni kama shukrani ya muoaji kwako, kwa malezi na kumkuza binti yako mpaka alipofika".

Mama Vero karibia kidogo aanguke chini!,
kutokana na bashasha na hamu ya kutaka kujua kilichokuwa ndani ya bahasha hiyo, huku akitetemeka mikono ,akapokea bahasha na kuifungua,

ghafla!,
Mama Vero akaanza kujiropokea maneno yasiyokuwa na mbele...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
πŸŽ™οΈ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
πŸŽ™οΈWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
πŸŽ™οΈWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.

370
SHAMIRA 82 MPK  86

SHAMIRA 82 MPK 86

322
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

250
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)

SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)

212
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final

175
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

164
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

163
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

154
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

147
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

118

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.78K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.85K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.93K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.76K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.73K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema β€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema β€œeenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema β€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
@majario LIVE

πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Reyhan kwel ananifanyia mm hiv?niliumia sana huku nikimuangalia ivan anaonfoka zake.reyhan akasema imeisha hio huwez nifanyia mm umalaya ww,unanijua unaskia?sasa uneshakua malaya kweli washkaj malizaneni nae m najikataa.aliongea huku...

NAKUPENDA BILA  13 - 25 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 13 - 25
@majario LIVE

MIPAKA:13 β€œKeti tafadhali.” Nilimtazama, yeye hapo hata hajainua uso wake. Nilimeza mate nikaketi hapo moyoni najisemesha β€œwenye hela wana ringa jamani kwani si anitazame hata.” Nilipoketi aliniinua uso wake na kunikabidhi karatasi akisema...

SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR) Post Mpya
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 87 Mwandishi; lissa wa huru media Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha ...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sasa hapo ndio nimekwisha sasa,uwiii,niliogopa nikamsukuma ivan,akasema nani huyo?nikasema ni ticha,akasema ticha wako ndio anakufata mpaka huku?mm nikatoa tu macho,ivan akasema subir hapa,nikasema sawa,akanyanyuka akavaa nguo akatoka mm name...

SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4) Post Mpya
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
@majario LIVE

(HURU MEDIA wababe wa hili Game) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 79 Mwandishi; lissa wa huru media Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini...

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.
@majario LIVE

Nilikaa na kimimba changu kilimpenda, king Yani akikawia tu kuludi nyumbani najikuta naanza kulia, mpaka majilani nawapa Malala Miko napita Kwa majilani Yani mpaka king aje ndo naakubali kulejea nyumbani,...

*BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"πŸ’“πŸ˜½ BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni BillioneaπŸ’΅" Nyie njooni niwaambie kitu ……… mnazijua chapati? Sambusa je ? πŸ˜‚πŸ˜‚ nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest