Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
Gonga94 ยท Stories

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ILIPOISHIA...,

nimekuwa nikikuchunguza muda mrefu Sana toka nilipotoka mjini, maana niliwaambia familia yangu wanitafutie mke mwenye utu, heshima na upendo, wakanitajia wewe,
na nimefanya hivi makusudi tu ili nipime yaliyosemwa,

Lakini, nimegundua,wewe ni mtu wa pekee sana katika hii dunia ya leo,
kwahiyo, hapa tunaelekea mjiniii, toa hofu kabisa ".

Maneno hayo, yalimfanya Turi akapata nguvu mpya, ingawa hakujua hali harisi ya maisha ya kijana huyo,

ila, kujitambua tu kwa Kijana huyo ilikuwa tosha kwa Turi,
maana, swali alilokuwa akijiuliza sana Turi ni kwamba angeishije na Kijana huyo, ambaye Kila mtu kijijini anamjua kama ni chizi!.

Waliongozana mpaka nyumbani kwa Kijana huyo ili kufanya maandalizi ya ndoa ili waelekee mjini,ambako Kijana anaishi .

watu wengi mtaani walishangaa sana kumuona Kijana huyo ambaye alikuwa chizi, akiwa ameongozana na Binti Turi, tena akiwa anaongea kama mtu mwenye akiri timamu kuriko kawaida!,

Kijana huyo akawmambia Turi kwamba, " waache wanishangae hivyo hivyo, ili wapate somo kwenye maisha la kitomdharau Kila mtu, tena nitazidi kuwashangaza!, aah! ,Turi!, nilitaka kusahau,Mimi ninaitwa Amani".

Turi naye akamjibu Amani akisema,
" ooh!, na mimi ninaitwa Turi ".

Amani akamalizia kwa kusema," ninakufahamu mrembo wangu, nimekuchunguza muda mrefu sana bila wewe mwenyewe kujijua ,
ila,
ninachokusifu!, hukuwahi kubadili mwenendo na tabia Yako,

jambo ambalo watu wengi huwashinda haswa wanapokutana na watu ambao Kila wanapojitahidi kuwafanyia mema,
wao wakawalipa mabaya,
wengi hulipiza ubaya pia, ila wewe umekuwa na heshima mpaka siku unaondoka!".

Baada ya siku kupita, utaratibu wa sherehe kubwa ya harusi ulifanyika na watu wengi kijijini waliarikwa katika sherehe hiyo!.

Mama Vero alipewa taarifa na mmoja wa majirani juu ya utimamu wa Amani,
lakini hakukubari juu ya taarifa hiyo,
" mama Vero, nina ubuyu shoga yangu!, yani!,
juzi nimekutana na Amani yule chizi wa Kijiji ,akiwa anaendesha gari nzuriii!!, akiwa na Binti yako Turi sijaaminiii!!".

Mama Vero akajibu kwa kejeri na kufoka kama kawaida yake,
" mmh!, yani inawezekana hata wewe mwenyewe ni kichaa, huna akili sawa sawa,
maana, hizo taarifa unazonipa haziwezekani!,
ebu toka toka nyumbani kwangu mchawi mkubwa wewe!".

Kisha, mama Vero akamvuta jirani yake huyo kwa maneno makali akimtaka aondoke nyumbani kwake!.

Lakini! , siku iliyofuata asubuhi na mapema, Mama Vero alisikia honi ya gari ikipoga nje ya nyumba yake, akatoka upesi ili kuangalia,

maana tangu azaliwe hajawahi kupigiwa honi ya gari,
tena nje ya nyumba yake, labda zile za barabarani zinazomtaka apishe ili gari ipite tu!.

Toubaaa weeeh!, alipotoka nje Mama Vero alishikwa na butwaa ,akawa kama mtu aliyegandishwa kwa dakika moja mzima,
huku akikodoa mimacho yake kama mjusi aliyebanwa na mlango!.

Baada ya kumuona Amani akishuka kwenye gari nzuri mno kuwahi kuonekana kijijini, huku akimshika mkono Turi wakiwa na mshenga wao!.

Mama Vero akaanza kumfokea mwanaye Vero akisema,
" we veroo!,
inamaana wageni huwaoni au, mtoto unadharau wewe, ebu leta viti ,mwanangu kipenzi Turi kaja huyoooo!" .

Turi akabaki kushangaa tu ,maana mama huyo alikuwa na unafiki wa wazi wazi kabisa,

hadi mshenga akajisemea kimoyo moyo,
" mmh!, hapa kweli kazi ipo,loooh!, yani halina haya hata kidogo...!

ITAENDELEA...,

Maoni

You're not logged in


profile
majario 27 Aug 2025 22:00
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)



ILIPOISHIA...,

nimekuwa nikikuchunguza muda mrefu Sana toka nilipotoka mjini, maana niliwaambia familia yangu wanitafutie mke mwenye utu, heshima na upendo, wakanitajia wewe,
na nimefanya hivi makusudi tu ili nipime yaliyosemwa,

Lakini, nimegundua,wewe ni mtu wa pekee sana katika hii dunia ya leo,
kwahiyo, hapa tunaelekea mjiniii, toa hofu kabisa ".

Maneno hayo, yalimfanya Turi akapata nguvu mpya, ingawa hakujua hali harisi ya maisha ya kijana huyo,

ila, kujitambua tu kwa Kijana huyo ilikuwa tosha kwa Turi,
maana, swali alilokuwa akijiuliza sana Turi ni kwamba angeishije na Kijana huyo, ambaye Kila mtu kijijini anamjua kama ni chizi!.

Waliongozana mpaka nyumbani kwa Kijana huyo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest