Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHENU 06
Gonga94 Β· Stories

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHENU 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ENDELEA........
Nilicheka huku nalia wao wenyewe walinishangaa huyu vipi?,

"Ni jambo jema na ni matamio yako kwa muda mrefu kuitwa baba. Hongere undugu wangu Manka". Niliongea hayo huku nikiwa nimepambwa na tabasamu lenye maumivu makali sana moyoni.

"Asante soon nampa heshima Sony ya kuitwa baba. Ok tusikuchoshe sana yetu ni hayo tu" Manka aliongea hayo bila hata aibu eti ndugu sisi tumeshea dudu la mwanaume mmoja na wote ni wajawazito na mimba ya huyo bwana Sony.

Nyie nilihisi uchizi mwenzenu.

"Baby nahitaji kupumzika nimechoka sana" Manka aliongea kwa madeko huku amemlalia Sony kifuano. Nyie nilikuwa nahisi labda naota jamani kumbe ni kitu halisi kabisa😭.

Walitoka chumbani kwangu ndipo nilipata nafasi ya kulia. Nililia sana usiku huo hata sijui nilipitiwa na usingizi saa ngapi. Nilikuja kushtuka majira ya Saa tatu asubuhi.

Nilichelewa sana kazini ila sikuacha kwenda.

Baada ya kumaliza kujiandaa nilitoka chumbani, milimkuta Manka amekaa sebleni anakula embe. Sikumsemesha nilimpita ila kabda sijaufikia mlango aliniongelesha.

"Nice haujaniona?" Hata sikumjibu niliendelea na safari yangu.

Nilifika kazini wafanya kazi wote walinishangaa siku hiyo nilikuwa kitofauti kabisa. Kwanza ukiniangalia tu utagundua kuwa naumwa.

Nilipeleka baadhi ya document kwa boss.

"Samahani boss sijisikii vizuri ndo maana unaona nimechewa kufika"

"Najua usiku wa Jana umekesha unalia sana mpaka macho yako yamevimba. Muda wa lunch nahitaji kupata chakula na wewe" Sony aliniambia hayo.

Nilimkabidhi document baada ya hapo nilitoka ofisini kwake.

"Huwezi kuamini Manka ana mimba ya Sony" nilimwambia hayo Sophia na nilishindwa kujizuia kulia.

"Mbona maajabu haya" imekuaje yani mmmh!"

"Moyo wangu umepasuka pasuka"

"Pole my dear. Amini kila kitu kinatokea kwasababu"

"Siamini kama mbwa hawa wanaweza kunikatili namna hii na mbaya sikuwai kuhisi kabisa kama wana mahusiano limekuwa jambo la gafla sana ndo maana naumia zaidi"

"Vipi Sony anasemaje kuhusu ujauzito wako?"

"Hata nguvu za kumwambia kuhusu hii mimba sina tena. Nina mpango wa kuitoa tu MUNGU atanisamehe. Ni aibu ndugu wawili ku share mwanaume mmoja na mbaya zaidi eti wote tumzalie hii ni laana Sophia"

"Ni kweli ila usisubutu kuharibu hii mimba unajua kila pito tunalopitia MUNGU ana makusudi yake".

" kwa sasa hata uongee nini sitokuelewa. Nisamehe kwa hilo my dear ila tambua nipo kwenye wakati mgumu sana"

Majira ya mchana kweli tulienda kula chakula cha pamoja na Sony, chakula chenyewe kilipanda basi?, Nilikubali tu wito wake ili kumsikiliza anataka kuniambia nini.

"Nice!" Sony aliniita kww sauti tulivu.

"Abeee!" Niliitika kwa unyonge.

"Nisamehe kwa kuuvunja vunja moyo wako"

"Ni sawa naamini ilipangwa iwe hivi" Mimi ni mwepesi sana kulia yaani kwenye kulia huwa ni ngumu sana kujizuia, nilianza kulia pasipo kujali uwepo wa watu wengine hapo hotelini.

"Ni kweli mimba ya Manka ni yako?"

"Ndiyo ila sikukusudia na hata ukiniambia nikueleze ilikuaje sielewi. Ila ukweli mimba ni yangu"

"Inawezekana vipi Sony?, kwaiyo nyie watu wa wawili mlipanga kunisaliti na kuurarua moyo wango, hakika umejua kuniumiza kupita kiasi, hichi kidonda sijui kama kitakuja kupona kwenye maisha yangu"

Niliongea hayo huku nikiwa nalia.

"Tuweke tofauti zetu pembeni kwanzu. Bado nakuhitaji kwenye naisha yangu. Manka kubeba mimba si jambo baya sana maana ni matamanio yangu kwa muda mrefu kuitwa baba. So ahadi yangu ipo pale pale wewe ndo mke wangu. Nakupenda sana Nice kama unajali Furaha yangu naomba uishi vizuri na Manka" Sony aliongea ni kama vile ni kitu cha kawaida tu........ITAENDELEA......

SIMULIZI :

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHENU 06



ENDELEA........
Nilicheka huku nalia wao wenyewe walinishangaa huyu vipi?,

"Ni jambo jema na ni matamio yako kwa muda mrefu kuitwa baba. Hongere undugu wangu Manka". Niliongea hayo huku nikiwa nimepambwa na tabasamu lenye maumivu makali sana moyoni.

"Asante soon nampa heshima Sony ya kuitwa baba. Ok tusikuchoshe sana yetu ni hayo tu" Manka aliongea hayo bila hata aibu eti ndugu sisi tumeshea dudu la mwanaume mmoja na wote ni wajawazito na mimba ya huyo bwana Sony.

Nyie nilihisi uchizi mwenzenu.

"Baby nahitaji kupumzika nimechoka sana" Manka aliongea kwa madeko huku amemlalia Sony kifuano. Nyie nilikuwa nahisi labda naota jamani kumbe ni kitu halisi...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wewe-ungeweza-sehenu-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wewe-ungeweza-sehenu
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHENU 07
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHENU 07
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.2K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.12K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

823
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

272
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

259
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

245
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

243
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

177
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

121
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

107

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest