Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2
Gonga94 ยท Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

?CHUMBA CHA MPANGAJI

****
*****

Baada ya kushinda bahati na sibu ya kubashiri timu za mpira..
Niliamua kujenga kinyumba changu kidogo cha vyumba vitatu na Sebule pamoja na kufungua biashara ya Duka la jumla na kununua bodaboda mbili..

Kiukweli nilitumia pesa zote kuwekeza.. Sikuwa na mawazo mengine zaidi ya kuinua kipato changu..

Milioni 38 nilizoshinda, zilikuwa zimeisha kabisa na nilikuwa nikiishi kwa faida za uwekezaji tu..

Lakini baadae nilipata wazo la kupangisha moja ya vyumba vyangu kwasababu sikuwa na mke wala mtoto ndio nilikuwa naanza maisha hata sebuleni sikuwa na vitu vingi vya kustua sana..

**********
Jioni moja nilitoka na kwenda kijiweni kutafuta dalali wa kumkabidhi chumba kile.. Kulikuwa na dalali mmoja maarufu sana anaitwa Dalali Sele..

Nilionana nae na kuzungumza nae...

*****
"" "" Usijali Mdogo wangu Saidi.. Kila kitu kipo sawa.. Hata leo kuna mteja nitamleta hapo kwako.. Kuna binti mmoja ni mfanyakazi wa NMB bank pale mjini alikuwa anatafuta chumba kilichotulia...

Aliongea yule dalali na mimi nilibaki kumsikiliza tu kwasababu najua madalali wameumbiwa kupepeta midomo...

"" "" Sawa broo.. Kwahiyo jioni mimi nakusikilizia nyumbani sintotoka kabisa..

Tulimaliza mazungumzo na kila mtu alipita njia yake..

Baada ya mizunguko.. Nilirudi nyumbani na kujipumzisha..
***********

Kweli jioni ya saa kumina madakika jioni nilisikia geti linagongwa..
Niliamka na kwenda kufungua...

Nilishtuka kidogo baada ya kumuona dalali yupo na dada Fulani mwembamba mwenye rangi ya maji ya kunde ila alikuwa na ngozi nyororo sana..

***
"" " Mambo Dada.. Nilijikuta naanza na kumsalimia yule dada...

" "" Poa.. Kwemaaa.!!! Alijibu yule dada huku anatabasam...

"" " Ndio kwema tu.. Karibuni sana..

Niliongea na kufungua vizuri geti..
Waliingia ndani na kupita nao moja kwa moja hadi sebuleni..

" "" " Kuzuri.. Alafu kumepoa sana na hivi huyu kaka hana mambo mengi.. Patanifaa sana hapa kwakweli.
Aliongea yule binti huku anamtazama dalali....

" "" " Hapo bado hujaonyeshwa chumba chako.. Nilitaka uongee mwenyewe ndio maana nimetulia kimyaaa ili uanze kuropoka mwenyewe...

Haya hata ukiambiwa chumba ni laki kwa mwezi utakataa kweli.????

Aliongea yule dalali na kufanya tucheke wote...

" "" We Selemani hembu acha mdomo wako.. Mkaka wa watu hata hajaongea habari za laki wewe ushaanza kuropoka..
Ndiomaana mimi siwapendi madalali..

Kaka hembu tukakione chumba.. Achana na huyu mbea..

Aliongea yule dada na kunifanya niamke na kuongozana nao hadi chumbani...

*****
"" " Waaaaaooooohhhh.. Jamani. Amaizing.. Uuuhhhhhh... Nimepapenda. Kumbe chumba kinacho madirisha mawili jamani.. So amaizing..
Kwahiyo kaka bei gani jamani.. Hata usiku wa leo leo nahamia jamani...
Aliongea yule dada....

" "" Laki moja kama alivyoongea dalali.. We mwenyewe umeona ukubwa wake.. Alafu chumba kipo ndani ya Fensi.. Choo kipo hapo kwenye kona tu.. Tena choo cha njee utatumia wewe mwenyewe maana mimi nina choo changu chumbani kwangu..

Niliongea na kumtazama yule mpangaji..

"" "" Jamaani. Nifanyie 80 kakaangu.. Nakuomba nikikaa kwa muda kidogo ndio utanipandishia bei..
Aliongea yule dada kwa kulegeza sana sauti...

"" "" Sawa. Unaweza kuhamia tu baada ya kulipia..
Niliongea na kutoka nao kurudi sebuleni..

******
We Dalali Sele, hembu twende upesi tukachukue vitu vyangu nihamie tu.. Kule napokaa sasaivi nimebakiza siku nne lakini nitawaachia tu...
Aliongea yule dada na kuinuka kwa furaha sana kisha kuondoka yeye na dalali..

Nilibaki natabasam tu huku nawaza ni jinsi gani nitaishi na mrembo yule...

*******
*******

Baada ya masaa kama mawili hivi.. Nilisikia mlio wa gari njee.. Nilifungua geti na gari mbili ziliingia.. Moja kubwa na jingine ndogo aina ya IST...

Gari kubwa lilikuwa na mizigo na kwenye dogo alikuwemo yule dada na dalali.. Yule dada ndio alikuwa anaendesha lile gari dogo...

"" " Mmmhh. Kumbe anagari huyu dada.. Niliwaza na kutabasam tu..

Walianza kuingiza vitu na kuvipanga ndani, walitumia muda mrefu sana..

Hadi kufikia saa tano walikuwa wamemaliza kila kitu..

Baada ya shughuli zote na gari kubwa la mizigo kuondoka..

Yule dada na dalali walikuja sebuleni na kusaini mkataba kisha kunilipa na dalali alipewa yake ya udalali kisha tulibaki tunapiga story tu....

Dalali sele.. Njoo basi ndani nikupikie hata tambi mara moja maana saizi hauta pata chakula.. Migahawa imeshafungwa..

Aliongea yule dada na kuinuka kwenda kwake.....

Mimi pia niliinuka na kuingia ndani kwangu kuweka zile pesa na kubadili nguo ili nikaoge...

Nilioga upesi na kuvaa kibukta changu cha kulalia.. Lakini kabla ya kulala nilikumbuka kuwa niliacha sim sebuleni... Nilikumbuka na geti pia sikufunga vizurii.

Nilitoka kwenda sebuleni kwa mwendo wa polepole...

Nikiwa koridoni kuelekea sebuleni..
Nilisikia kama mazungumzo ya watu nisiyo yaelewa ndani kwa yule binti...

"" " Noooohhhh... Seleeeee. Uuuuhhhh... Bana. Mimi sipendi hivyo. Sinilikwambia nakupikia tu.. Sasa mbona unanilazimisha kufanya hivyo jamani....

" "" Mmmmhh... Niliguna baada ya kusikia vile na kutulia kidogo.. Moyo uliniuma sana na kuwaza nini cha kufanya ili kukatisha hali ile kabla Dalali hajafanya makubwa kwasababu na mimi pia nilisha mwelewa yule dada..

"" "" Jamani weeee dalali mimi sitaki ukoooo.. Mbona unanivua nguo yanguu... Uuuhhh jamani sele usifanye ivyo mimi sijajiandaa kufanya jamani... Seleeee niachie bana......
Aliendelea kulalamika yule dada....

ITAENDELEA....SEHEMU YA 02

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
"" "" Jamani weeee dalali mimi sitaki ukoooo.. Mbona unanivua nguo yanguu... Uuuhhh jamani sele usifanye ivyo mimi sijajiandaa kufanya jamani... Seleeee niachie bana......
Aliendelea kulalamika yule dada....
*****
*****

"" "" Hembu tulia basi na wewe Naa.. Plzzz acha ukali my.. Tunafanya kimoja tu harakaharaka ujue nimetingwa sana..
Aliongea yule dalali wakati huo bado kurupushani za hapa na pale zinaendele..

"""" We dalali nimekwambia Sitaki ujinga..
Kukukaribisha kwangu imekuwa kosa..
Kukuandalia chakula imekuwa tatizo...
Usinichukulie simple kama unavyo dhani kichaa wewe..

Hembu niachie upesi kabla sijamuita mwenye nyumba..
Nakwambia niachie. Hunijui vizuri eti wewe mkaka..
Nakwambia niachie sasahivi...

Aliongea yule dada kwa ukali sana tena kwasauti kubwa hadi mimi nilie njee nilishtuka..

Haraka haraka nilinyata na kwenda sebuleni kukaa huku najidai kuchezea simu yangu.....

Nikiwa bado nashangaa.. Nilimuona yule kaka dalali katoka huku anafunga vifungo vya shati na kufunga mkanda wa suruali vizuri.....

Alinitazama na kunionyesha kwa ishara tu kuwa amesha chinja mtu huko ndani,
Alipita na kutoka njee huku anatabasamu kinafiki....

Hakujua kama mimi nimeusikia mkasa wote na ninajua kabisa kama hajaambulia chochote...

Alivyotoka nilienda kufunga geti na mlango wa sebuleni kwangu vizuri kisha kutulia kusoma kitabu changu kidogo cha simulizi za mapenzi....

Nilikuwa napenda sana simulizi hizo kwasababu mara nyingi hunitoa kwenye stress na nyingi hunifunza namna ya kuishi na mwanamke..

****
Nikiwa bado nasoma kitabu, nilisikia mlango wa ndani kwa yule dada unafunguliwa.. Niliinua uso na kumtazama..

Alipiga hatu hadi sebuleni...

"" " Saidi.. Umekula ndugu yangu.??? Aliniuliza yule dada...

" "" Hapana dada Nasra bado sijala..

"" " Sawa. Ngoja nilete tambi tule wote hapo maana nilipika kwaajili ya yule dalali ila kanitibua nikamtimua..
Aliongea Nasra kisha kurudi ndani kwake..

Yule dada alikuwa anaitwa Nasra japo wengi walizoea kumuita kwa kifupi "Naa...

*******
*******
Dakika kadhaa baadae alitoka na tambi kwenye sahani na kichupa cha chai alikuwa ameshika kwenye mkono mwingine..
Alitenga kisha kurudi ndani kuchukua vikombe vya chai..

Muda huo alikuwa amevaa kitenge tu kafunga kifuani..
Na alivyo mwembamba nadhani kile kitenge kilizunguka zaidi ya mara nne ? kwenye ule mwili....

"" "" Kaka Saidi. Ujue kuna watu sijui wanayo matatizo gani jamani..
Yaani unakuta mtu hanijui wala simjui alafu katoka huko atokako ananilazimisha kufanya nae mapenzi..
Hivi wanaume mnakuwaga na akili kweli jamani...
Aliongea Nasra huku ananinawisha mikono kwasababu mara nyingi tambi inapendeza kuliwa kwa mikono.
Kwa kijiko au uma ni mateso tu kwasababu huwa zinateleza..

"" " Kwani kuna nini Dada nasra hadi uongee maneno hayo.?? Nilimuuliza huku naanza kula huku nikijifanya kama sikusikia chochote..

" "" Yaani huyu kaka dalali eti ananilazimisha kunivua nguo ndani kwangu afanye mapenzi na mimi..
Yaani wanaume bwana sijui mpo vipi.. Hivi mtu anavua nguo zake na kutoa kidudu chake eti nione ilivyo simama sijui alidhani nitamhurumia..
Nimemchimba mkwara mbona alivaa na kuondoka. Na angethubutu kunifanya chochote ningempoteza mshenzi yule.

Aliongea Nasra huku anaendelea kula pia..

"" "" Aaaahh.. Hembu achana nao.. Ujue watu wanatofautiana sana.. Na mtu kufanya mambo kama hayo ujue kajizoesha..
Niliongea na kujitetea kwa kujiondoa kabisa kwe ye kundi la akina Dalali Sele..

"" " Kwanza mkaka mwenyewe mdogo ila tumbo kama kontena.. Anaonekana hata mipango ya maisha hana.. Anaonekana mlevi tu huko mtaani..
Eti Nasra mimi ndio nije kumkubalia mtu kama yule kuwa baba wa wanangu kweli...
Baba gani asie jitambua yule.. Sasa hata wanangu siwatakosa maadili jamani....
Aliendelea kuongea Nasra..

Story zilikuwa nyingi hadi tukamaliza kula na kubaki kupiga story tu..

"" " Saidi hivi wewe unafanya kazi gani.?? Aliniuliza yule dada na kuja kukaa karibu yangu kabisa kisha kubadili chanel ya TV na kuweka upande wa mziki....

" " Au hupendi mziki kaka Saidi.?? Mimi mwenzio napenda sana kuangalia mziki hata kucheza pia.. Ngoja nizoee mazingira tu.. Utakuwa unanikuta juu ya makochi humu nacheza.

Aliongea Nasra na kujikuta wote tunacheka..

"" " Mimi ni dereva bodaboda tu mtaani hapa.. Lakini kuna hela kidogo nilibahatisha ndio maana nikajenga..
Nilimjibu Nasra na kumtazama..

Aligeuka na kunitazama pia kwa muda kidogo...

" "" Mbona unashangaa.??? Niliamua kumuuliza kwasababu alikuwa amebaki anatumbua tu macho....

"" " Kumbe ni kwako kweli jamani.. Nilidhani ni kwenu au kwa ndugu yako kakuacha wewe kama msimamizi tu..
" "" Je umeoa..????

Aliongea nasra na kuendelea kunikandamizia maswali...

""" Bado ndugu yangu. Ndio kwanza namiaka 24 kwasasa.. Nakimbilia wapi jamani.. Bora nikuze biashara zangu tu, na Mungu akijalia nikifikia 26 nitaoa tuu....
Niliongea na kumtazama...

"" " Kumbe tunalingana miaka mimi pia nina 24...
Lakini Saidi kwasasa unapaswa kuwa makini..
Uoe mwanamke mwelewa mwenye fikra za maisha..
Bila hivyo utajikuta huna chochote...
Aliongea Nasraa na kuendelea kuchrezea Rimoti utadhani kuna kitu anatafuta kumbe anazuga tu...

Nilivuta pumzi na kujilaza kwenye kochi huku naangali TV....
Niligeuka na kumtazama Nasra alikuwa bado anahangaika tu na ile Rimoti huku ananiangalia miguu yangu kwa jicho la kuibia...
Usiku ule nilikuwa na bukta ya kulalia tu hata Singlendi sikuwa nimevaa..

"" "" Yaani huyu dalali kaniamshia vitu vingine yaani hapa nipo hovyo kama nini.. Yaani kanikera kupita kiasi.. Ni vile tu sijampenda lakini kaniweka kwenye wakati mgumu kweli...

Aliongea Nasraa kwa aibu sana na kuja kujilaza kwenye mapaja yangu...

Nilishtuka sana na mashine yangu ilianza kusimama taratibu na kumgusa kichwa chake..

"" "" Mmmhh. Kaka saidi hii ni nini inanigusa kichwa..?? We nae upo fasta jamani.! Mmmhhh..
Aliongea Nasra huku kaficha uso wake kwa mikono..

Nilibaki nimeachama tu mdomo hata kuongea nilikuwa siwezi.....

Nasraa alifumbua macho kwa kuibia na kukutana nae jicho kwa jicho...
Alishtuka na kugeuka tena kulala kwa uso upande wa Mashine yangu... Kiukweli ilikuwa imesimama sana..

"" " Saidi mimi sitaki bana usiniangalie naona aibu hukoo..
Aliongea Nasra huku anapenyeza mkono wake ndani ya bukta yangu na kuichomoa mashine kisha kuanza kuizungushia ulimi...

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2


?CHUMBA CHA MPANGAJI

****
*****

Baada ya kushinda bahati na sibu ya kubashiri timu za mpira..
Niliamua kujenga kinyumba changu kidogo cha vyumba vitatu na Sebule pamoja na kufungua biashara ya Duka la jumla na kununua bodaboda mbili..

Kiukweli nilitumia pesa zote kuwekeza.. Sikuwa na mawazo mengine zaidi ya kuinua kipato changu..

Milioni 38 nilizoshinda, zilikuwa zimeisha kabisa na nilikuwa nikiishi kwa faida za uwekezaji tu..

Lakini baadae nilipata wazo la kupangisha moja ya vyumba vyangu kwasababu sikuwa na mke wala mtoto ndio nilikuwa naanza maisha hata sebuleni sikuwa na vitu vingi vya kustua sana..

**********
Jioni moja nilitoka na kwenda kijiweni kutafuta dalali wa kumkabidhi chumba kile.. Kulikuwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-1-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji
CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9
CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
SEHEMU YA 23  CHUMBA CHA MPANGAJI
SEHEMU YA 23 CHUMBA CHA MPANGAJI
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*

769
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

396
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*

296
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*

260
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13

192
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

126
THE SECRET MESSAGE  3 to 4

THE SECRET MESSAGE 3 to 4

87
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

77
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

20
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS

12

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.35K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.1K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5
@majario LIVE

Sehemu ya 1 Aseeee bwana.. mie nilipozi kwanza . Nikaamuangalia uyu demu mkari kisenge. Yani mtoto mzuri mzuri kwli. Sio masihara. Kisha sasa ana vitu. Vyaangu. Bwana mi sjawaahi kumuangalia mwanamke...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14
@majario LIVE

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani "Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno "Aunt, Unaitwa...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*
@majario LIVE

basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni,...

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League Post Mpya
๐Ÿšจ OFFICIAL Timu zilizofuzu 16 Bora UEFA Champions League
@majario LIVE

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Liverpool FC ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Newcastle United ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Tottenham Hotspur ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Barcelona ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Real Madrid ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Bayer...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA SITA*
@majario LIVE

biharusi wetu alitulizwa kwa staili tamu sana basi akajitoa kisha akashika shavu la fahima huku ameikamata vizuri maiki yani apo wambea wanapiga vigelegele vibaya mno tena john ndo kajiweka mbele...

THE SECRET MESSAGE  3 to 4 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 3 to 4
@majario LIVE

๐Ÿ’ฌ03 Sina sababu ya kukuficha lolote. Lazima nikuambie ukweli. Rashid wewe Mungu anakupenda sana, mwenyezi Mungu anakupenda mno. Unafanya kazi zako vizuri kabisa mwanangu, lakini cha ajabu mwanangu kila nguo mpya...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
@majario LIVE

Pully alishtuka sana baada ya kuniona akabaki akinitolea macho akiwa na wasiwasi sana, macho yake tu yaliweza kueleza Kuwa kuna kitu akiko Sawa kabisa. "ISHANI umemuona amina wangu?" Mama amina aliniuliza kwa...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA THELATHINI NA TANO*
@majario LIVE

alishangaa mno ikabidi amuulize maswali mengi mpambaji hii ni harusi ya shemeji sasa mbona unanipamba kama biharusฤฑ?": aliuliza fahima usijari maana nimepeewa maelekezo kuwa wewe utakuwa kama mlinzi wa bibi harusi hiva utapambwa kama...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest