Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2
Gonga94 ยท Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

?CHUMBA CHA MPANGAJI

****
*****

Baada ya kushinda bahati na sibu ya kubashiri timu za mpira..
Niliamua kujenga kinyumba changu kidogo cha vyumba vitatu na Sebule pamoja na kufungua biashara ya Duka la jumla na kununua bodaboda mbili..

Kiukweli nilitumia pesa zote kuwekeza.. Sikuwa na mawazo mengine zaidi ya kuinua kipato changu..

Milioni 38 nilizoshinda, zilikuwa zimeisha kabisa na nilikuwa nikiishi kwa faida za uwekezaji tu..

Lakini baadae nilipata wazo la kupangisha moja ya vyumba vyangu kwasababu sikuwa na mke wala mtoto ndio nilikuwa naanza maisha hata sebuleni sikuwa na vitu vingi vya kustua sana..

**********
Jioni moja nilitoka na kwenda kijiweni kutafuta dalali wa kumkabidhi chumba kile.. Kulikuwa na dalali mmoja maarufu sana anaitwa Dalali Sele..

Nilionana nae na kuzungumza nae...

*****
"" "" Usijali Mdogo wangu Saidi.. Kila kitu kipo sawa.. Hata leo kuna mteja nitamleta hapo kwako.. Kuna binti mmoja ni mfanyakazi wa NMB bank pale mjini alikuwa anatafuta chumba kilichotulia...

Aliongea yule dalali na mimi nilibaki kumsikiliza tu kwasababu najua madalali wameumbiwa kupepeta midomo...

"" "" Sawa broo.. Kwahiyo jioni mimi nakusikilizia nyumbani sintotoka kabisa..

Tulimaliza mazungumzo na kila mtu alipita njia yake..

Baada ya mizunguko.. Nilirudi nyumbani na kujipumzisha..
***********

Kweli jioni ya saa kumina madakika jioni nilisikia geti linagongwa..
Niliamka na kwenda kufungua...

Nilishtuka kidogo baada ya kumuona dalali yupo na dada Fulani mwembamba mwenye rangi ya maji ya kunde ila alikuwa na ngozi nyororo sana..

***
"" " Mambo Dada.. Nilijikuta naanza na kumsalimia yule dada...

" "" Poa.. Kwemaaa.!!! Alijibu yule dada huku anatabasam...

"" " Ndio kwema tu.. Karibuni sana..

Niliongea na kufungua vizuri geti..
Waliingia ndani na kupita nao moja kwa moja hadi sebuleni..

" "" " Kuzuri.. Alafu kumepoa sana na hivi huyu kaka hana mambo mengi.. Patanifaa sana hapa kwakweli.
Aliongea yule binti huku anamtazama dalali....

" "" " Hapo bado hujaonyeshwa chumba chako.. Nilitaka uongee mwenyewe ndio maana nimetulia kimyaaa ili uanze kuropoka mwenyewe...

Haya hata ukiambiwa chumba ni laki kwa mwezi utakataa kweli.????

Aliongea yule dalali na kufanya tucheke wote...

" "" We Selemani hembu acha mdomo wako.. Mkaka wa watu hata hajaongea habari za laki wewe ushaanza kuropoka..
Ndiomaana mimi siwapendi madalali..

Kaka hembu tukakione chumba.. Achana na huyu mbea..

Aliongea yule dada na kunifanya niamke na kuongozana nao hadi chumbani...

*****
"" " Waaaaaooooohhhh.. Jamani. Amaizing.. Uuuhhhhhh... Nimepapenda. Kumbe chumba kinacho madirisha mawili jamani.. So amaizing..
Kwahiyo kaka bei gani jamani.. Hata usiku wa leo leo nahamia jamani...
Aliongea yule dada....

" "" Laki moja kama alivyoongea dalali.. We mwenyewe umeona ukubwa wake.. Alafu chumba kipo ndani ya Fensi.. Choo kipo hapo kwenye kona tu.. Tena choo cha njee utatumia wewe mwenyewe maana mimi nina choo changu chumbani kwangu..

Niliongea na kumtazama yule mpangaji..

"" "" Jamaani. Nifanyie 80 kakaangu.. Nakuomba nikikaa kwa muda kidogo ndio utanipandishia bei..
Aliongea yule dada kwa kulegeza sana sauti...

"" "" Sawa. Unaweza kuhamia tu baada ya kulipia..
Niliongea na kutoka nao kurudi sebuleni..

******
We Dalali Sele, hembu twende upesi tukachukue vitu vyangu nihamie tu.. Kule napokaa sasaivi nimebakiza siku nne lakini nitawaachia tu...
Aliongea yule dada na kuinuka kwa furaha sana kisha kuondoka yeye na dalali..

Nilibaki natabasam tu huku nawaza ni jinsi gani nitaishi na mrembo yule...

*******
*******

Baada ya masaa kama mawili hivi.. Nilisikia mlio wa gari njee.. Nilifungua geti na gari mbili ziliingia.. Moja kubwa na jingine ndogo aina ya IST...

Gari kubwa lilikuwa na mizigo na kwenye dogo alikuwemo yule dada na dalali.. Yule dada ndio alikuwa anaendesha lile gari dogo...

"" " Mmmhh. Kumbe anagari huyu dada.. Niliwaza na kutabasam tu..

Walianza kuingiza vitu na kuvipanga ndani, walitumia muda mrefu sana..

Hadi kufikia saa tano walikuwa wamemaliza kila kitu..

Baada ya shughuli zote na gari kubwa la mizigo kuondoka..

Yule dada na dalali walikuja sebuleni na kusaini mkataba kisha kunilipa na dalali alipewa yake ya udalali kisha tulibaki tunapiga story tu....

Dalali sele.. Njoo basi ndani nikupikie hata tambi mara moja maana saizi hauta pata chakula.. Migahawa imeshafungwa..

Aliongea yule dada na kuinuka kwenda kwake.....

Mimi pia niliinuka na kuingia ndani kwangu kuweka zile pesa na kubadili nguo ili nikaoge...

Nilioga upesi na kuvaa kibukta changu cha kulalia.. Lakini kabla ya kulala nilikumbuka kuwa niliacha sim sebuleni... Nilikumbuka na geti pia sikufunga vizurii.

Nilitoka kwenda sebuleni kwa mwendo wa polepole...

Nikiwa koridoni kuelekea sebuleni..
Nilisikia kama mazungumzo ya watu nisiyo yaelewa ndani kwa yule binti...

"" " Noooohhhh... Seleeeee. Uuuuhhhh... Bana. Mimi sipendi hivyo. Sinilikwambia nakupikia tu.. Sasa mbona unanilazimisha kufanya hivyo jamani....

" "" Mmmmhh... Niliguna baada ya kusikia vile na kutulia kidogo.. Moyo uliniuma sana na kuwaza nini cha kufanya ili kukatisha hali ile kabla Dalali hajafanya makubwa kwasababu na mimi pia nilisha mwelewa yule dada..

"" "" Jamani weeee dalali mimi sitaki ukoooo.. Mbona unanivua nguo yanguu... Uuuhhh jamani sele usifanye ivyo mimi sijajiandaa kufanya jamani... Seleeee niachie bana......
Aliendelea kulalamika yule dada....

ITAENDELEA....SEHEMU YA 02

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
"" "" Jamani weeee dalali mimi sitaki ukoooo.. Mbona unanivua nguo yanguu... Uuuhhh jamani sele usifanye ivyo mimi sijajiandaa kufanya jamani... Seleeee niachie bana......
Aliendelea kulalamika yule dada....
*****
*****

"" "" Hembu tulia basi na wewe Naa.. Plzzz acha ukali my.. Tunafanya kimoja tu harakaharaka ujue nimetingwa sana..
Aliongea yule dalali wakati huo bado kurupushani za hapa na pale zinaendele..

"""" We dalali nimekwambia Sitaki ujinga..
Kukukaribisha kwangu imekuwa kosa..
Kukuandalia chakula imekuwa tatizo...
Usinichukulie simple kama unavyo dhani kichaa wewe..

Hembu niachie upesi kabla sijamuita mwenye nyumba..
Nakwambia niachie. Hunijui vizuri eti wewe mkaka..
Nakwambia niachie sasahivi...

Aliongea yule dada kwa ukali sana tena kwasauti kubwa hadi mimi nilie njee nilishtuka..

Haraka haraka nilinyata na kwenda sebuleni kukaa huku najidai kuchezea simu yangu.....

Nikiwa bado nashangaa.. Nilimuona yule kaka dalali katoka huku anafunga vifungo vya shati na kufunga mkanda wa suruali vizuri.....

Alinitazama na kunionyesha kwa ishara tu kuwa amesha chinja mtu huko ndani,
Alipita na kutoka njee huku anatabasamu kinafiki....

Hakujua kama mimi nimeusikia mkasa wote na ninajua kabisa kama hajaambulia chochote...

Alivyotoka nilienda kufunga geti na mlango wa sebuleni kwangu vizuri kisha kutulia kusoma kitabu changu kidogo cha simulizi za mapenzi....

Nilikuwa napenda sana simulizi hizo kwasababu mara nyingi hunitoa kwenye stress na nyingi hunifunza namna ya kuishi na mwanamke..

****
Nikiwa bado nasoma kitabu, nilisikia mlango wa ndani kwa yule dada unafunguliwa.. Niliinua uso na kumtazama..

Alipiga hatu hadi sebuleni...

"" " Saidi.. Umekula ndugu yangu.??? Aliniuliza yule dada...

" "" Hapana dada Nasra bado sijala..

"" " Sawa. Ngoja nilete tambi tule wote hapo maana nilipika kwaajili ya yule dalali ila kanitibua nikamtimua..
Aliongea Nasra kisha kurudi ndani kwake..

Yule dada alikuwa anaitwa Nasra japo wengi walizoea kumuita kwa kifupi "Naa...

*******
*******
Dakika kadhaa baadae alitoka na tambi kwenye sahani na kichupa cha chai alikuwa ameshika kwenye mkono mwingine..
Alitenga kisha kurudi ndani kuchukua vikombe vya chai..

Muda huo alikuwa amevaa kitenge tu kafunga kifuani..
Na alivyo mwembamba nadhani kile kitenge kilizunguka zaidi ya mara nne ? kwenye ule mwili....

"" "" Kaka Saidi. Ujue kuna watu sijui wanayo matatizo gani jamani..
Yaani unakuta mtu hanijui wala simjui alafu katoka huko atokako ananilazimisha kufanya nae mapenzi..
Hivi wanaume mnakuwaga na akili kweli jamani...
Aliongea Nasra huku ananinawisha mikono kwasababu mara nyingi tambi inapendeza kuliwa kwa mikono.
Kwa kijiko au uma ni mateso tu kwasababu huwa zinateleza..

"" " Kwani kuna nini Dada nasra hadi uongee maneno hayo.?? Nilimuuliza huku naanza kula huku nikijifanya kama sikusikia chochote..

" "" Yaani huyu kaka dalali eti ananilazimisha kunivua nguo ndani kwangu afanye mapenzi na mimi..
Yaani wanaume bwana sijui mpo vipi.. Hivi mtu anavua nguo zake na kutoa kidudu chake eti nione ilivyo simama sijui alidhani nitamhurumia..
Nimemchimba mkwara mbona alivaa na kuondoka. Na angethubutu kunifanya chochote ningempoteza mshenzi yule.

Aliongea Nasra huku anaendelea kula pia..

"" "" Aaaahh.. Hembu achana nao.. Ujue watu wanatofautiana sana.. Na mtu kufanya mambo kama hayo ujue kajizoesha..
Niliongea na kujitetea kwa kujiondoa kabisa kwe ye kundi la akina Dalali Sele..

"" " Kwanza mkaka mwenyewe mdogo ila tumbo kama kontena.. Anaonekana hata mipango ya maisha hana.. Anaonekana mlevi tu huko mtaani..
Eti Nasra mimi ndio nije kumkubalia mtu kama yule kuwa baba wa wanangu kweli...
Baba gani asie jitambua yule.. Sasa hata wanangu siwatakosa maadili jamani....
Aliendelea kuongea Nasra..

Story zilikuwa nyingi hadi tukamaliza kula na kubaki kupiga story tu..

"" " Saidi hivi wewe unafanya kazi gani.?? Aliniuliza yule dada na kuja kukaa karibu yangu kabisa kisha kubadili chanel ya TV na kuweka upande wa mziki....

" " Au hupendi mziki kaka Saidi.?? Mimi mwenzio napenda sana kuangalia mziki hata kucheza pia.. Ngoja nizoee mazingira tu.. Utakuwa unanikuta juu ya makochi humu nacheza.

Aliongea Nasra na kujikuta wote tunacheka..

"" " Mimi ni dereva bodaboda tu mtaani hapa.. Lakini kuna hela kidogo nilibahatisha ndio maana nikajenga..
Nilimjibu Nasra na kumtazama..

Aligeuka na kunitazama pia kwa muda kidogo...

" "" Mbona unashangaa.??? Niliamua kumuuliza kwasababu alikuwa amebaki anatumbua tu macho....

"" " Kumbe ni kwako kweli jamani.. Nilidhani ni kwenu au kwa ndugu yako kakuacha wewe kama msimamizi tu..
" "" Je umeoa..????

Aliongea nasra na kuendelea kunikandamizia maswali...

""" Bado ndugu yangu. Ndio kwanza namiaka 24 kwasasa.. Nakimbilia wapi jamani.. Bora nikuze biashara zangu tu, na Mungu akijalia nikifikia 26 nitaoa tuu....
Niliongea na kumtazama...

"" " Kumbe tunalingana miaka mimi pia nina 24...
Lakini Saidi kwasasa unapaswa kuwa makini..
Uoe mwanamke mwelewa mwenye fikra za maisha..
Bila hivyo utajikuta huna chochote...
Aliongea Nasraa na kuendelea kuchrezea Rimoti utadhani kuna kitu anatafuta kumbe anazuga tu...

Nilivuta pumzi na kujilaza kwenye kochi huku naangali TV....
Niligeuka na kumtazama Nasra alikuwa bado anahangaika tu na ile Rimoti huku ananiangalia miguu yangu kwa jicho la kuibia...
Usiku ule nilikuwa na bukta ya kulalia tu hata Singlendi sikuwa nimevaa..

"" "" Yaani huyu dalali kaniamshia vitu vingine yaani hapa nipo hovyo kama nini.. Yaani kanikera kupita kiasi.. Ni vile tu sijampenda lakini kaniweka kwenye wakati mgumu kweli...

Aliongea Nasraa kwa aibu sana na kuja kujilaza kwenye mapaja yangu...

Nilishtuka sana na mashine yangu ilianza kusimama taratibu na kumgusa kichwa chake..

"" "" Mmmhh. Kaka saidi hii ni nini inanigusa kichwa..?? We nae upo fasta jamani.! Mmmhhh..
Aliongea Nasra huku kaficha uso wake kwa mikono..

Nilibaki nimeachama tu mdomo hata kuongea nilikuwa siwezi.....

Nasraa alifumbua macho kwa kuibia na kukutana nae jicho kwa jicho...
Alishtuka na kugeuka tena kulala kwa uso upande wa Mashine yangu... Kiukweli ilikuwa imesimama sana..

"" " Saidi mimi sitaki bana usiniangalie naona aibu hukoo..
Aliongea Nasra huku anapenyeza mkono wake ndani ya bukta yangu na kuichomoa mashine kisha kuanza kuizungushia ulimi...

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2


?CHUMBA CHA MPANGAJI

****
*****

Baada ya kushinda bahati na sibu ya kubashiri timu za mpira..
Niliamua kujenga kinyumba changu kidogo cha vyumba vitatu na Sebule pamoja na kufungua biashara ya Duka la jumla na kununua bodaboda mbili..

Kiukweli nilitumia pesa zote kuwekeza.. Sikuwa na mawazo mengine zaidi ya kuinua kipato changu..

Milioni 38 nilizoshinda, zilikuwa zimeisha kabisa na nilikuwa nikiishi kwa faida za uwekezaji tu..

Lakini baadae nilipata wazo la kupangisha moja ya vyumba vyangu kwasababu sikuwa na mke wala mtoto ndio nilikuwa naanza maisha hata sebuleni sikuwa na vitu vingi vya kustua sana..

**********
Jioni moja nilitoka na kwenda kijiweni kutafuta dalali wa kumkabidhi chumba kile.. Kulikuwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-1-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji
CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9
CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
SEHEMU YA 23  CHUMBA CHA MPANGAJI
SEHEMU YA 23 CHUMBA CHA MPANGAJI
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100

588
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50

508
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

508
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51

315
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

174
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

128
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

65
MALAIKA SEHEMU YA 2

MALAIKA SEHEMU YA 2

50
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5

42
YENYE KIRUNGU  ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ   SEHEMU YA 09

YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ SEHEMU YA 09

35

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.18K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.69K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.42K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.31K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior Post Mpya
๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. โš ๏ธ๐Ÿšซ Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! โ€ผ๏ธ VINI AKATAA KUCHEZA!! ๐Ÿ˜คโŒ

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa ๐Ÿ˜‚ Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ  ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ Post Mpya
๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜ฃ hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŒ™ Post Mpya
๐Ÿšจ ๐Ž๐…๐…๐ˆ๐‚๐ˆ๐€๐‹: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŒ™
@majario LIVE

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. ๐‘น๐’†๐’”๐’‘๐’†๐’„๐’• ๐Ÿคฒโœจ

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 51
@majario LIVE

Daaah lemi akaja akanmbia relex. Ndo mala ya kwanza hawez kuelewa . Tulia mwanangu kila kitu kitakua sawa nikasema powa . Basi tukapanda gari tukaludi kwa lemi. Apo mm...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 100
@majario LIVE

Basi bwana . Mama akapika . Shoga yenu nilikula kidogo mnoo. Mama akamvuta mtot ndio akamlisha na rahul anawahi kuzoea watu . Anaanza kumuuliza mama . We nani . Sijuh...

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 64๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Baada ya paschal kuondoka pale Hemed alinichekiiii ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช kisha nayeye akaondoka akaniacha pale bila kuniongelesha chochote๐Ÿซฃ au ndo nimeachwa na woteโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ sa mbona hivi๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž aah haya mambo ya kumiliki njemba...

Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minongโ€™ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

โ€œMalaika! Malaika mwanangu!โ€ โ€œNaam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?โ€ Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU ๐Ÿ’› ๐Ÿ’š โค๏ธ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA โ€œNdio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukuleโ€ โ€œYesu.....โ€ Nilipagawa huku nikiwaza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest