SEHEMU YA 11
?CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Nasra alisahau kila kitu na kujikuta anaanza kumvua mpenzi wake nguo huku anaitazama mashine ya Saidi iliyokuwa imesimama sana kwa muda ule..
"" " Hichi kitu kimesimama kama mnara wa babeli, hata tukiuendekeza sana basi Mungu ataupiga Radi udondoke na kila mtoto aongee Lugha yake pasina kuelewana...
Aliongea Saidi huku anamtazama Nasra...
Nasra alishika muhogo ule na kuanza kuupikicha kwa mkono hadi ukasimama vyema zaidi..
Taratibu Nasra alianza kushusha nguo zake moja baada ya jingine hadi akabaki uchi kama alivyo zaliwa..
Nasra aliushika muhogo wa mpenzi wake na kuanza kuunyonya kwa ustaarabu huku anamwangalia Saidi machoni..
Saidi alikuwa anacheka tu mwenyewe huku anavuruga mashuka..
"" " Nasikia mtelezo kama mpapaso wa nyasi kwenye Graundi ya uwanja wa Taifa pale Juma nyoso anapo sakata Rumba na kujifunga golii...
""" Aaaaahhiiiiiiii.. Unanitekenya..
Aliongea Saidi huku anacheka sana..
Nasra alianza kujipapasa kitumbua chake na baadae alijilaza kitandani na kumwambia Saidi aende kumnyonya..
Saidi alitabasama na kuinama kuanza kumumunya kisimi cha mpenzi wake hukua anampapasa mapaja..
*******
"" "" Vitabu vya Dini vinasema.. Na alaaniwe yule anae muingia mwenzie kinyume na Maumbile.. Hiyo ipo kwenye Biblia na Qurani...
Lakini ulimwengu huu unaowaka moto mabinti zetu wanaona ni Fasheni..
Aliongea Saidi na Nasra aliinuka kumtazama baada ya kusikia Saidi anaongea maneno yenye busara kiasi kile..
"" " Nani amekufundisha hayo.??? Aliuliza Nasra..
" "" Nimefundishwa kwenye kipaimara cha Madrasa L-Shafii wakati huo nachukua ukomnio wapili kwenye parokia ya mtakatifu Scholastika wa Chang'ombe mwisho hapo njia ya kwenda Ndachi kwa mganga..
Aliongea Saidi na Nasra alijikuta anacheka sana..
"" "" " Njoo basi nifanye my.. Nisije kucheka hapa hadi hamu ya nanihii ije kuniisha..
Aliongea nasra....
Saidi aliinuka na kumtanua mpenzi wake miguu kisha kuipenyezesha mashine yake na kuanza kumsugu..
Alisugua kama dakika mbili kisha kuichomoa mashine yake na kujifuta maji maji ya ndani ya kitumbua cha Nasra..
Baada ya kuwa Sawa.. Saidi alichukua Shuka na kujifunika kisha kulala..
"" " Mmmhhh.. Kweli nimepata Mwanaume hapa..
Aliongea Nasra na kuinuka kisha kujifunga kitenge ili wakaoge....
" "" Haya.. Tukaoge basii.. Aliongea Nasra.
Saidi aliamka na kujifunga kitende kisha kuelekea bafuni huku muhogo wake ukiwa bado umesimama sana...
Nasra pia aliingia bafuni na kufungulia Maji kisha kuanza kumpaka Saidi Sabuni....
Saidi alishtuka kidogo na kuanza kuchezea maji lakini muhogo wake ulikuwa bado umesimama sana...
Akiwa bado wanapakana Sabuni.. Saidi alimshika mpenzi wake na kumsogeza karibu na ukitani kisha kumshikisha ukuta..
Nasra alishika ukuta na kujibinua kidogo... Saidi aliishika muhogo wake na kutafuta lilipo tundu la kitumbua cha Nasra na kuipenyeza.
Kwasababu kitumbua kilisha lainika kwa ute uliokuwa umeanza kumtoka Nasra.. Basi mashine iliteleza tu na kuzama hadi mwishoo....
Saidi aliukandamiza muhogo wake hadi Mwisho..
Nasra alishtuka kidogo na kutaka kuachia ukuta kwasababu muhogo uliingiaa hadi ukagusa njia ya kizazi..
"" "" Aaahhhhh.. Jamani baby utanitoa kizazi jamani.. Aliongea Nasra na kutajitahidi ili aachie ukuta..
Saidi alimbana vyema na kumkandamiza ukutani kisha kuanza kumsugua mpenzi wake kwanguvu sana..
Alisugua hadi Nasra alianza kuhisi kama kitumbua chake kinawaka moto...
"" "" Uuuuhhh.. We mwanaume unaniua mimi.. Uuuhhhh saidi jamni mbona nanii yako kubwa hivi jamani.. Uuuuhhhh. Nisamehe baby... Uuuuuhhhhh....
Usifanye hivyo jamani.. Uuuuhhhh.. Saidi naumia mimi.. Naomba msamaha mpenzi wangu...
Aliongea Nasra huku analia kwa maumivu ya muhogo wa Saidi uliokuwa umepenya ndani kupita kiasi..
"" "" Baby nitashindwa kutemba mimi.. Jamani Saidi mwenzio Tumbo linaniuma uuukoooo.. Uuuuuhhhhhh...
Alizidi kulia Sana Nasra...
Saidi hakuwa anasikiliza kitu.. Yeye aliendelea kukandamiza tu na kusugua hadi alipofika kileleni na kumwagia maziwa yote ndani ya kitumbua..
"" "" Aaaahhhhh.. Jamani.. Uuuu.... Inatoka kama Mvuke wa Gongo unaochemshwa kwenye kinu cha chumaaaa.....
Aaaaaaahhhhh.. Inamwagika yooooootttteee.. Uuuuhhhhh wewe.....
Aliongea Saidi huku akiendelea kuikandamiza mashine na kumwaga maziwa yote ndani ya kitumbua cha Nasra..
Saidi aliichomoa mashine yake na kwenda kunawa huku anacheka sana..
Nasra akiwa anatembea kwa shida.. Alisogea karibu na bomba na kufungulia maji mengi zaidi na kuanza kumpaka povu mpenzi wake..
Walimaliza kuoga na kurudi Chumbani....
Saidi alikuwa ameuficha tu uso wake kwa muda wote.. Alikuwa anaona aibu kumtazama Nasra...
"" " Sasa unaficha uso ili iweje wakati umeniumiza mimi. Sikupi tena nakwambia..
Aliongea Nasra huku anajikagua kama amechubuliwa sana....
" "" " Nakuonea Aibu mrembo kama Malkia wa Mto zambezi uliopo unguja mwa kaskazini..
Unajua mahaba kama umezaliwa kisarawe kwa mrembo Joketi wa Tanga ya Zimbabwe alipotaka kukimbilia Roma baada ya kuimba wimbo wake wa matusi..
Aliongea Saidi na kuanza Kuchota mafuta Mengi na kuanza kujipaka usoni na Tumboni...
Muda huo Nasra alikuwa bado anajikagua tu.. Hakuwa anajua nini kinaendelea,
kumbe Saidi amejikanda Mafuta kama Vitumbua vya Mbagala..
Nasra aliinua Uso wake na kumtazama Saidi..
Heeeeeehhh We mwanaume wewe.... Nasra alitumbua tu Macho baada ya kuona Hakuna mafuta hata kidogo kwenye Kopo na Saidi alikuwa amejibandika mafuta hadi alikuwa haoni vizuri....
ITAENDELEA... ..SEHEMU YA 12
CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Heeeeeehhh We mwanaume wewe.... Nasra alitumbua tu Macho baada ya kuona Hakuna mafuta hata kidogo kwenye Kopo na Saidi alikuwa amejibandika mafuta hadi alikuwa haoni vizuri....
"" "" " Hahahahhah hivi we Saidi umekuwa mtoto eti.. Haya hayo mafuta kujipaka kiasi hicho unamaanisha nini.??
Unanitega eti.. Nitakupiga nikuvunje vunje we niletee ujinga hapa. Hunijui eti we mwanaume..
Aliongea Nasra huku amemkazia Saidi macho kwa hasira sana..
Saidi alishtuka kidogo baada ya kusikia habari za kupigwa. Na vile alishaiona bastola ndio basi tena.. Alijikuta hofu inamtanda na kukimbia bafuni kuoga tena..
Nasra pia aliinuka huku anataka kujua ni wapi Saidi anaenda..
Alinyata hadi mlango wa bafuni na kusikia maji yamefunguliwa...
Saidi alioga huku anacheka cheka mwenyewe..
Baada ya Muda alitoka na kumkuta Nasra kwenye mlango wa bafu..
"" " Dada ulikuwa unatazama mwenendo wa mdogo wako aliekuwa anajimwagia maji ya baraka kuondoa matatizo na nuksi..
Aliongea Saidi na kupita kurudi chumbani..
Nasra alitikisa tu kichwa kuashiria anasikitika, kisha kumfuata Saidi hadi chumbani..
Saidi alianza kukombeleza mafuta kidogo yaliyobaki kwenye kikopo na kujipaka vizuri mwili mzima..
"" " Kumbe akili unazo ila hadi upigwe kwanza..
Aliongea Nasra..
" "" Akili za Geografia na kemia ukijumlisha na Biologia ndio kombi iliyo nifaulisha kwenye shule ya sekondari ya Kata ya Miyuji...
Aliongea Saidi..
Nasra aliinuka na kumenya ndizi kidogo alizokuja nazo na kupika kisha kula na mpenzi wake huku wanatazamana..
Muda wote huo Saidi alikuwa akijichekesha tu kama Mwehu...
Baada ya kula na kushiba walitoka na kwenda sebuleni..
Walianza kuangalia TV chanel ya Mziki lakini baadae Nasra alichukua Rimoti na kubonyeza Kitufe cha (Info) ...
Sehemu ile ilikuwa ikionyesha taarifa mbali mbali.. Nasra aliangalia na kuona Muda fulani Chanel ilibadilishwa na kuwekwa chanel ya Wanyama..
Baada ya Muda fulani Chanel ilibadilishwa tena na kuwekwa ya mziki...
Nasra alitazama muda ule ambao chanel ilibadilishwa kuwekwa wanyama na kutambua ni muda wa asubuhi baada ya yeye kuondoka tu..
kisha alitazama na muda ambao chanel ilirudishwa kwenye mziki na kubaini ulikuwa ni muda yeye amefika nyumbani na kupiga honi..
"" Nasra alikuwa na Akili mingi na muelewa sana.. Alikuwa na uwezo mkubwa wa kutambua mambo haraka hatakama muhusika atakuwa ameficha jambo hilo kwa kiasi gani..
Nasra alikumbuka pia siku ya kwanza anafika kwa saidi.. Alikuta Saidi kaweka chanel ya wanyama. Hadi muda wanafanyiana makabidhiano ya pesa ya chumba hadi kusaini mikataba, chanel iliyokuwa ikionyeshwa ilikuwa ya Wanyama..
Muda wote ambao Nasra alikuwa akifanya mambo yote na kuwaza baadhi ya matukio hayo, Saidi yeye alikuwa anacheza tu kwenye chini kwenye Tiles.
Hakuwa anaelewa chochote kama anachunguzwa...
"" "" Huyu mtoto analeta mchezo na mimi..
Aliwaza Nasra na kumtazama Saidi kwa jicho la kuibia..
******
"" "" Mdogo wangu njoo nikusuke basi jamani...
Aliongea Nasra akimwita Saidi..
""" Unataka unisuke Mithili ya Bob Marley mvuta bangi..
Aliongea Saidi na kumtazama Nasra...
"" "" Yah au hupendi kuwa Rasta man..
Aliongea Nasra...
"" "" Napenda sana. Lakini msuka Rasta ni jangili.. Hawezi kuuona Ufalme wa mbinguni kule Paradiso baada ya Parapanda kulia.. Aliongea Saidi..
"" " Basi sito kusuka..
Njoo nikuchane Nywele zako nzuuuri..
Aliendelea kuongea Nasra na Saidi aliinuka kwenda kukaa kwenye kochi karibu na Nasra....
" "" " Haya.. Njoo lala hapa Mapajani Saidi.
Nasra alizungumza na kumlaza saidi juu ya mapaja yake.
Saidi alilala kwa kutulia kwenye mapaja ya Nasra..
Nasra alichukua kitana na kuanza kumchana Saidi nywele Taratibu huku anampapasa sehemu ya shingo...
Akiwa anaendekea kumchna. NASRA aliongea...
""" "" "" Saidi. Umeona ni Sahihi kunichezea huu mchezo.?? Huoni kama ni upuuzi na unajipotezea muda badala ufanye mambo yako ya msingi..??..
Aliongea Nasra...
Saidi alishtuka kidogo baada ya kusikia Maneno yale na kuanza Kuongea..
"""" Ujue hata mchanga wa Jangwa la Sahara uliwahi vuka bahari baada ya Fimbo ya Musa kukata Mawimbi yaendayo kasi..
Aliongea Saidi akijidai anamjibu Nasra..
" "" " Narudia tena kukwambia Saidi. Mimi si mtoto,
Hadi kufikia sasa nadhani umeshanitambua mimi ni nani..
Najua kuwa ulipekua sana Mabegi yangu wakati sipo na kuanza kusoma vitambulisho vyangu....
Mbaya Zaidi uliishika hadi bastola yangu halafu ukatetemeka ukaiangusha chini..
Saidi Tambua kuwa mimi nilishakusoma Tangu siku ya Kwanza..
Aliongea Nasra na kumfanya Saidi akae kwanza vizuri kwenye Kochi na kuanza kumtazama Mpenzi wake..
Full 1000
Whatsp 0784468229.