Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

10th May, 2025 Views 53


????CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Nyie mabinti wa mjini mnajidai mnajua kuchezea watoto wa watu kwa kuwaloga ili mmiliki mali zao.. Sasa kwa huyu Mgongo wa Dodoma naomba usahau hilo.. Mali ya mwanangu hakuna mpuuzi wa kuichukua.. Nakupa siku saba mwanagu arudi kwenye hali yake..
Aliongea yule mama na kuinuka kisha kuondoka zake....

Dalali sele aliinuka pia na kuwatazama akina Nasra na Saidi kisha kuondoka zake....

Nasra aliinamisha kichwa huku anawaza na kububujikwa na machozi kama maji..
Alitegemea huenda mama wa Saidi kaja angeweza kusaidiana nae kurejesha hali ya mwanae sawa kumbe ndio matatizo mapya yanaanza..

"" "" " Eeeeehhh Mwenyezi Mungu. Ni mtihani gani umenipa mimi mja wako.. Au kuna sehemu nimekukosea muumba wangu.??? Naomba msamaha wako ewe muweza wa yote....
Aliongea Mwenyewe Nasra na kuchukua kitambaa fulani kwenye kochi na kujifuta machozi pamoja na makamasi yaliyokuwa yanambubujika kwa pamoja...

"" "" Dada Chiku. Huyu mama anatoka wapi,.?? Mbona anawaka kiasi hiki huyu mama.??? Aliongea saidi na kusogea karibu na Nasra kisha kuanza kumbembeleza..

Saidi alikuwa anapenda sana kumuita Nasra kwa jina la Chiku..

Nasra aliingia tena ndani na kunawa uso kisha kupaka mafuta upya na kutoka...

Alimkuta Saidi bado amekaaa tu Sebuleni anaangalia Tv huku anacheka...

"" "" Saidi. Naomba ukae hapa nyumbani kwa kutulia.. Kama hupendi niendelee kuteseka na kulia, basi nakuomba sana usitoke humu ndani..

"" " Mimi natoka sasaivi kwenda kazini. Nakuomba basi njoo ufunge Geti na urudi ndani utulie Saidi.. Nakuomba sana...

" "" " Sawa dada Chiku.. Nakutakia kila Kheri mbele ya mboni ya macho yako.. Usifikirie mengi sana juu ya nyota inayong'aa upande wa kusini mwa Dunia..
Angalia nyota ya Magharibi ndio inayomulika ulimwengu kwa uangavu wa hali ya juu..

Haya unaweza kwenda..

Aliongea Saidi na kuinuka kisha kumshika Nasra Mkono na kuelekea nae hadi lilipo gari..

Nasra alipanda na alifunguliwa vyema tu gati na Saidi kisha gari likatoka..

Saidi alirudishia geti na kurudi Sebuleni..

Saidi alishusha pumzi na kutulia kimya utadhani hana matatizo ya akili, aliwasha TV na kuanza kuangalia baadhi ya vipindi...

Alishika rimoti na kuweka chaneli ya wanyama kwasababu alikuwa mpenzi sana wa kuangalia mambo hayo...

Saidi aliinuka tena na kwenda kufunga vizuri mlango wa Sebuleni na kuingia chumbani kwake..

Alifungua begi lake na kuangalia hati zake za nyumba....

Aliziona zote zipo sawa..

Aliendelea pekua zaidi ndani ya begi na kuchukua simu yake ndogo iliyokuwa silent kisha kumpigia mmoja wa wafanyakazi kwenye duka lake la Jumla..

"" "" Rojas, mambo vipi mzee, aliongea Saidi na kuiweka ile simu Laud speaker..

"" " Poa brother.. Unaendeleaje.. Alijibu huyo Rojas

""" mimi nipo poa kabisa.. Nimepata nafasi ndogo hapa nikaona nikucheki..
Vipi pesa za mapato yote unaingiza kwenye account.??
Hakikisha na wafanyakazi unawalipa kwa wakati.. Kama kuna tatizo nitumie tu ujumbe. Kama sintokujibu kwa wakati basi ujue nipo bize.. Lakini nikiwa Free nitakuwa nakupigia...
Aliongea Saidi huku anachungulia Dirishani kama kuna mtu anatokea au laa...

"" " Sawa Broo...
Usijali kila kitu kipo sawa. Nakutakia kila la kheri katika kumpata mke mwema..
Aliongea Rojaz na kukata sim...

*******
Kumbe saidi hakuwa na Tatizo lolote la Akili lakini ukweli ni kwamba Dalali sele alikuwa na mpango wa kumharibu mwenzie na inasemekana kuwa ni tabia yake hapo mtaani..

******
Siku ya Tukio iliyo pelekea Saidi kujipatisha ile ajali Makusudi ilikuwa hiviiiiiiii
****
**

Mara tu baada ya Dalali sele kutoka Ndachi kwa mganga na kufanya mambo yake kama alivyohitaji yawe.....

Yule mganga alishika simu yake na kumpigia mwanae Rojas, kumbe Rojas yule mfanyakazi na msimamizi wa maduka ya Saidi alikuwa ni mtoto wa yule Mganga lakini Dalali sele hakuwa anajua kitu chochote...

"" "" Mwanangu Rojas, nakuomba sana mjulishe Boss wako kuwa kuna kijana fulani kaja hapa kwa nia ya kutaka kumfanyia dawa awe kichaa kisa ugomvi wa mwanamke...

Huyo jamaa nilimsikiliza tu na kumwambia kuwa nitamfanya Saidi kuwa kichaa..
Amelipa pesa yule jamaa na mimi nilifanya kazi ya uongo tu hapa...

Aliongea yule Mzee..

"" "" " Hembu ngoja baba... Nampigia Saidi ili asikie yote haya..
Aliongea Rojaz na kumpigia Saidi pia..

Ziliunganishwa simu tatu na walikuwa wakisikilizana Vyema tu...

" "" Mwanangu Saidi upo wapi.. Aliongea mzee baada ya Saidi kupokea simu na kujiunga na Mjadala huo.....

"" "" " Shkamoo mzee. Nipo nyumbani kwasasa ila nilikuwa nampango wa kurudi kijiweni kuokoteza tena mzee wangu...
Saidi aliongea kwa upole huku anawaza kuna tatizo gani hadi simu ziunganishwe vile....

ITAENDELEA...SEHEMU YA 09

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
"" "" " Shkamoo mzee. Nipo nyumbani kwasasa ila nilikuwa nampango wa kurudi kijiweni kuokoteza tena mzee wangu...
Saidi aliongea kwa upole huku anawaza kuna tatizo gani hadi simu ziunganishwe vile....

" "" Sasa kijana. Kuna bwana mmoja anaitwa Sele ni Dalali mkubwa tu hapo mjini..
Leo kaja hapa kwa sababu za kumharibu binti mmoja anaitwa Nasra..
Lakini baada ya mimi kutazama kwa undani nilibaini kuwa huyo Nasra tayari ulishiriki naye kimapenzi..
Aliongea yule mzee...

"" "" Enheee mzee wangu.....
Saidi aliongea na kutulia ili kumsikiliza mzee vyema..

"" "" "" Yule dalali huwa namsaidia kwenye kazi zake nyingi sana hata dawa nyingi za kuoga ili apate mvuto kwenye kazi zake huwa nampa...
Pia huwa anakuja hapa akiwa na Dhumuni la kuwaharibu wake za watu wenye mali ili apendwe na apewe pesa..
Hayo yote huwa namsaidia na huwa anakuja kunipa majibu kuwa mambo yake yanaenda sawa..

Aliendelea kuongea mzee yule

"" "" Sasa leo kaja hapa kwa shida ya kukuharibu..
Daaahh hilo niliona hapana. Niliona haliwezekani kabisa kukufanyia ubaya mtu usiye na Hatia...

Saidi wewe ulimsaidia mwanangu kwa kumpa kazi na kumlipa vizuri bila hiyana yeyote..
Na mimi ndiye nilikutengenezea kinga yako inayokulinda na nilikusafisha hadi ukashinda hiyo bahati nasibu ya mpira na kupata mamilioni yale..
Sasa kwanini nikuharibu kijana wangu pasina sababu yeyote...

Aliendelea kuongea yule mzee..

"" "" " Saidi nakuheshim mwanangu na kama kuna tatizo uwe unanitafuta...

Nimejaribu kumuangalia huyo binti anayo nyota kali ya pesa..
Pia binti huyo nje na kazi yake anayo ifanya, anaonekana kama mpelelezi na huenda anayo kazi ingine ya siri ambayo ni ngumu mtu yeyote kuijua..

Nakuomba mpime huyo binti uone kama anayo mapenzi ya kweli na Umuoe.. Utaona mafanikio yatakavyo kumiminikia..

Alizidi kuongea yule mganga.....

Muda huo Saidi alikuwa kimya akisikiliza kwa umakini sana huku anawaza ni kazi gani ya siri ambayo huenda mpenzi wake anayo..

"" "" "" "
Mwanangu Saidi mimi nakupa moyo wa kuendelea kupiga kazi zako na kujiamini.. Hakuna ubaya wowote. Lakini huyo dalali atakuwa na mwisho mbaya sana aliongea mzee..

Saidi alitulia kimya huku anatafakari nini cha kufanya..

" "" " Basi Mzee wangu. Nimekuelewa.. Mimi leo nikiwa natoka hapa, nitajipatisha ajali ambayo haitoniumiza alafu nitajidai nimekuwa kichaa..
Nataka nipime uvumilivu wa huyu mwanamke. Je ananipenda kweli au kafuata pesa tu.??
Aliongea Saidi..

" "" "" Hilo ni wazo zuri sana.. Hata ukibaini mapungufu yake basi utaniambia tu na mimi nitamtengeneza atatulia sana...
Aliongea yule mzee..

"" "" Dogo Rojas. Kwasasa nitakuwa napatikana kwa sim ndogo tu..
Nitaiweka Silent na nitaificha mbali..
Kama kuna tatizo utakuwa unanitumia ujumbe na nitakujibu ninapo pata muda....
Aliongea Saidia na Mawasiliano yalikatwa na kila mtu aliendelea na Shughuli zake......

*****

Baada ya maongezi yale.. Saidi alishika sim na kumpigia mama yake kumwambia nini anataka kukifanya...
Saidi hakutaka kufanya kwa siri kwasababu aliogopa kumsababishia matatizo mama yake....

Na pia Saidi alikuwa wapekee na msaada mkubwa kwa mama yake.. Aliogopa kumficha mama yake kwasababu mama angesikia kuwa mwanae ni kichaa basi yule mama angepata hata Presha au matatizo mengine ya kiafya...

Saidi aliliamua kumwambia kila kitu mama yake mzazi..

Kwahiyo hata Siku dalali Sele anaenda kwa mama yake Saidi kumwambia habari zile. Yule mama alikuwa anaelewa mchezo wote...

Ni Sele tu ndio alikuwa haelewi nini anakifanya kwasababu kila mmoja alikuwa anamchora tu..

Dalali Sele kwa umbea na akijua anaenda kumkomoa Nasra, alimua kwenda kumwambia mama yake Saidi. Na ndio sababu mama yake Saidi kwenda kumtishia Nasra, Yote ilikuwa ni kumpima tu msimamo wa binti yule..

*******
Huo ulikuwa mpango wote wa Saidi hadi kuwa kichaa...
**********
**********

Siku ya leo baada ya Saidi kujua namna gani maduka yake yanaendelea, aliizima sim na kuirudisha chini kabisa ya begi lake kisha kurudi Sebuleni..

Kabla ya kukaa.. Alipata wazo la kwenda kukagua mabegi ya Nasra..

Aliingia chumbani na kufungua moja ya begi kubwa la Nasra..

Alianza kutoa nguo taratibu hadi chini kabisa ya begi...

Alikutana na mkoba fulani mdogo.. Aliutoa ule mkoba na kuanza kuupekua,

Aliingiza mkono na kushika kitu fulani kigumu cha Plastiki..

Saidi alishtuka na kutoa mkono wake haraka..

Aliingiza tena na kukishika hicho kitu kisha kukitoa...

Alikitazama na kuona ni Bastola...

"" "" Mungua wangu.. Saidi aliongea kwa hofu na kutetemeka sana hadi bastola ikadondoka chini...

"" " Huyu mwanamke ni jambazi jamani... Aliwaza Saidi na kuiokota bastola kuirudisha kwenye Begi..

Alifungua baadhi ya Zipu za kibegi kile na kukuta kitambulisho fulani kidogo kilikaribia kufanana na kitambulisho cha mpiga Kura..
Saidi alikitoa na kukisoma..

" "" " TANZANIA INTELLIGENCE AND SECURITY SERVICE (TISS) ...
Saidi alishtuka baada ya kukuta maandishi hayo na nembo ya taifa pamoja na picha ya Nasra kwenye kitambulisho kile..

" "" " Inamaana huyu Dada ni usalama wa Taifa..??? Aliongea Saidi na haraka alianza kurudisha vitu kwenye Begi kwa hofu...

Full 1000
Whatsp 0784468229.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

?SHEMU KAUTAKA ?Sehemu-04

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS???13

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????12

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 02

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 01

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 14

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 13

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKAN SEHEMUN-02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA 09 AGE ????

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 06

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 05

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu ya 03

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Episode (1)

mjukuu rewards 100
 

CHAKULA CHA MUME

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKA Sehemu -01

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????11

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????9

mjukuu rewards 100
 

BALAA LA NYUMBA ZA KUPANGA--10

mjukuu rewards 100
 

CHAKA LANGU Episode 1

mjukuu rewards 100
 

Shangazi Kodogo tu ?EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

SHANGAZI KIDOGO TU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 3.

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 8

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 6~7

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 5

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 4

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??????3

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ? EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 11

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 10

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 9

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ,,,,, 3

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

We Kula Tu Binamu Sehemu 1

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

mjukuu rewards 100
 

SHANGA TISA EP: 20

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

mjukuu rewards 100
 

KISURA WA DAMPO SEHEMU 2

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 21

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 20

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 19

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 18

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 17

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 16

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 15

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 14

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 13

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 12

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 11 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 10 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 09

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 08

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 07

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 06

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 05

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 04

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 03

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 02

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 01

mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest