Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9
Gonga94 · Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

????CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Nyie mabinti wa mjini mnajidai mnajua kuchezea watoto wa watu kwa kuwaloga ili mmiliki mali zao.. Sasa kwa huyu Mgongo wa Dodoma naomba usahau hilo.. Mali ya mwanangu hakuna mpuuzi wa kuichukua.. Nakupa siku saba mwanagu arudi kwenye hali yake..
Aliongea yule mama na kuinuka kisha kuondoka zake....

Dalali sele aliinuka pia na kuwatazama akina Nasra na Saidi kisha kuondoka zake....

Nasra aliinamisha kichwa huku anawaza na kububujikwa na machozi kama maji..
Alitegemea huenda mama wa Saidi kaja angeweza kusaidiana nae kurejesha hali ya mwanae sawa kumbe ndio matatizo mapya yanaanza..

"" "" " Eeeeehhh Mwenyezi Mungu. Ni mtihani gani umenipa mimi mja wako.. Au kuna sehemu nimekukosea muumba wangu.??? Naomba msamaha wako ewe muweza wa yote....
Aliongea Mwenyewe Nasra na kuchukua kitambaa fulani kwenye kochi na kujifuta machozi pamoja na makamasi yaliyokuwa yanambubujika kwa pamoja...

"" "" Dada Chiku. Huyu mama anatoka wapi,.?? Mbona anawaka kiasi hiki huyu mama.??? Aliongea saidi na kusogea karibu na Nasra kisha kuanza kumbembeleza..

Saidi alikuwa anapenda sana kumuita Nasra kwa jina la Chiku..

Nasra aliingia tena ndani na kunawa uso kisha kupaka mafuta upya na kutoka...

Alimkuta Saidi bado amekaaa tu Sebuleni anaangalia Tv huku anacheka...

"" "" Saidi. Naomba ukae hapa nyumbani kwa kutulia.. Kama hupendi niendelee kuteseka na kulia, basi nakuomba sana usitoke humu ndani..

"" " Mimi natoka sasaivi kwenda kazini. Nakuomba basi njoo ufunge Geti na urudi ndani utulie Saidi.. Nakuomba sana...

" "" " Sawa dada Chiku.. Nakutakia kila Kheri mbele ya mboni ya macho yako.. Usifikirie mengi sana juu ya nyota inayong'aa upande wa kusini mwa Dunia..
Angalia nyota ya Magharibi ndio inayomulika ulimwengu kwa uangavu wa hali ya juu..

Haya unaweza kwenda..

Aliongea Saidi na kuinuka kisha kumshika Nasra Mkono na kuelekea nae hadi lilipo gari..

Nasra alipanda na alifunguliwa vyema tu gati na Saidi kisha gari likatoka..

Saidi alirudishia geti na kurudi Sebuleni..

Saidi alishusha pumzi na kutulia kimya utadhani hana matatizo ya akili, aliwasha TV na kuanza kuangalia baadhi ya vipindi...

Alishika rimoti na kuweka chaneli ya wanyama kwasababu alikuwa mpenzi sana wa kuangalia mambo hayo...

Saidi aliinuka tena na kwenda kufunga vizuri mlango wa Sebuleni na kuingia chumbani kwake..

Alifungua begi lake na kuangalia hati zake za nyumba....

Aliziona zote zipo sawa..

Aliendelea pekua zaidi ndani ya begi na kuchukua simu yake ndogo iliyokuwa silent kisha kumpigia mmoja wa wafanyakazi kwenye duka lake la Jumla..

"" "" Rojas, mambo vipi mzee, aliongea Saidi na kuiweka ile simu Laud speaker..

"" " Poa brother.. Unaendeleaje.. Alijibu huyo Rojas

""" mimi nipo poa kabisa.. Nimepata nafasi ndogo hapa nikaona nikucheki..
Vipi pesa za mapato yote unaingiza kwenye account.??
Hakikisha na wafanyakazi unawalipa kwa wakati.. Kama kuna tatizo nitumie tu ujumbe. Kama sintokujibu kwa wakati basi ujue nipo bize.. Lakini nikiwa Free nitakuwa nakupigia...
Aliongea Saidi huku anachungulia Dirishani kama kuna mtu anatokea au laa...

"" " Sawa Broo...
Usijali kila kitu kipo sawa. Nakutakia kila la kheri katika kumpata mke mwema..
Aliongea Rojaz na kukata sim...

*******
Kumbe saidi hakuwa na Tatizo lolote la Akili lakini ukweli ni kwamba Dalali sele alikuwa na mpango wa kumharibu mwenzie na inasemekana kuwa ni tabia yake hapo mtaani..

******
Siku ya Tukio iliyo pelekea Saidi kujipatisha ile ajali Makusudi ilikuwa hiviiiiiiii
****
**

Mara tu baada ya Dalali sele kutoka Ndachi kwa mganga na kufanya mambo yake kama alivyohitaji yawe.....

Yule mganga alishika simu yake na kumpigia mwanae Rojas, kumbe Rojas yule mfanyakazi na msimamizi wa maduka ya Saidi alikuwa ni mtoto wa yule Mganga lakini Dalali sele hakuwa anajua kitu chochote...

"" "" Mwanangu Rojas, nakuomba sana mjulishe Boss wako kuwa kuna kijana fulani kaja hapa kwa nia ya kutaka kumfanyia dawa awe kichaa kisa ugomvi wa mwanamke...

Huyo jamaa nilimsikiliza tu na kumwambia kuwa nitamfanya Saidi kuwa kichaa..
Amelipa pesa yule jamaa na mimi nilifanya kazi ya uongo tu hapa...

Aliongea yule Mzee..

"" "" " Hembu ngoja baba... Nampigia Saidi ili asikie yote haya..
Aliongea Rojaz na kumpigia Saidi pia..

Ziliunganishwa simu tatu na walikuwa wakisikilizana Vyema tu...

" "" Mwanangu Saidi upo wapi.. Aliongea mzee baada ya Saidi kupokea simu na kujiunga na Mjadala huo.....

"" "" " Shkamoo mzee. Nipo nyumbani kwasasa ila nilikuwa nampango wa kurudi kijiweni kuokoteza tena mzee wangu...
Saidi aliongea kwa upole huku anawaza kuna tatizo gani hadi simu ziunganishwe vile....

ITAENDELEA...SEHEMU YA 09

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
"" "" " Shkamoo mzee. Nipo nyumbani kwasasa ila nilikuwa nampango wa kurudi kijiweni kuokoteza tena mzee wangu...
Saidi aliongea kwa upole huku anawaza kuna tatizo gani hadi simu ziunganishwe vile....

" "" Sasa kijana. Kuna bwana mmoja anaitwa Sele ni Dalali mkubwa tu hapo mjini..
Leo kaja hapa kwa sababu za kumharibu binti mmoja anaitwa Nasra..
Lakini baada ya mimi kutazama kwa undani nilibaini kuwa huyo Nasra tayari ulishiriki naye kimapenzi..
Aliongea yule mzee...

"" "" Enheee mzee wangu.....
Saidi aliongea na kutulia ili kumsikiliza mzee vyema..

"" "" "" Yule dalali huwa namsaidia kwenye kazi zake nyingi sana hata dawa nyingi za kuoga ili apate mvuto kwenye kazi zake huwa nampa...
Pia huwa anakuja hapa akiwa na Dhumuni la kuwaharibu wake za watu wenye mali ili apendwe na apewe pesa..
Hayo yote huwa namsaidia na huwa anakuja kunipa majibu kuwa mambo yake yanaenda sawa..

Aliendelea kuongea mzee yule

"" "" Sasa leo kaja hapa kwa shida ya kukuharibu..
Daaahh hilo niliona hapana. Niliona haliwezekani kabisa kukufanyia ubaya mtu usiye na Hatia...

Saidi wewe ulimsaidia mwanangu kwa kumpa kazi na kumlipa vizuri bila hiyana yeyote..
Na mimi ndiye nilikutengenezea kinga yako inayokulinda na nilikusafisha hadi ukashinda hiyo bahati nasibu ya mpira na kupata mamilioni yale..
Sasa kwanini nikuharibu kijana wangu pasina sababu yeyote...

Aliendelea kuongea yule mzee..

"" "" " Saidi nakuheshim mwanangu na kama kuna tatizo uwe unanitafuta...

Nimejaribu kumuangalia huyo binti anayo nyota kali ya pesa..
Pia binti huyo nje na kazi yake anayo ifanya, anaonekana kama mpelelezi na huenda anayo kazi ingine ya siri ambayo ni ngumu mtu yeyote kuijua..

Nakuomba mpime huyo binti uone kama anayo mapenzi ya kweli na Umuoe.. Utaona mafanikio yatakavyo kumiminikia..

Alizidi kuongea yule mganga.....

Muda huo Saidi alikuwa kimya akisikiliza kwa umakini sana huku anawaza ni kazi gani ya siri ambayo huenda mpenzi wake anayo..

"" "" "" "
Mwanangu Saidi mimi nakupa moyo wa kuendelea kupiga kazi zako na kujiamini.. Hakuna ubaya wowote. Lakini huyo dalali atakuwa na mwisho mbaya sana aliongea mzee..

Saidi alitulia kimya huku anatafakari nini cha kufanya..

" "" " Basi Mzee wangu. Nimekuelewa.. Mimi leo nikiwa natoka hapa, nitajipatisha ajali ambayo haitoniumiza alafu nitajidai nimekuwa kichaa..
Nataka nipime uvumilivu wa huyu mwanamke. Je ananipenda kweli au kafuata pesa tu.??
Aliongea Saidi..

" "" "" Hilo ni wazo zuri sana.. Hata ukibaini mapungufu yake basi utaniambia tu na mimi nitamtengeneza atatulia sana...
Aliongea yule mzee..

"" "" Dogo Rojas. Kwasasa nitakuwa napatikana kwa sim ndogo tu..
Nitaiweka Silent na nitaificha mbali..
Kama kuna tatizo utakuwa unanitumia ujumbe na nitakujibu ninapo pata muda....
Aliongea Saidia na Mawasiliano yalikatwa na kila mtu aliendelea na Shughuli zake......

*****

Baada ya maongezi yale.. Saidi alishika sim na kumpigia mama yake kumwambia nini anataka kukifanya...
Saidi hakutaka kufanya kwa siri kwasababu aliogopa kumsababishia matatizo mama yake....

Na pia Saidi alikuwa wapekee na msaada mkubwa kwa mama yake.. Aliogopa kumficha mama yake kwasababu mama angesikia kuwa mwanae ni kichaa basi yule mama angepata hata Presha au matatizo mengine ya kiafya...

Saidi aliliamua kumwambia kila kitu mama yake mzazi..

Kwahiyo hata Siku dalali Sele anaenda kwa mama yake Saidi kumwambia habari zile. Yule mama alikuwa anaelewa mchezo wote...

Ni Sele tu ndio alikuwa haelewi nini anakifanya kwasababu kila mmoja alikuwa anamchora tu..

Dalali Sele kwa umbea na akijua anaenda kumkomoa Nasra, alimua kwenda kumwambia mama yake Saidi. Na ndio sababu mama yake Saidi kwenda kumtishia Nasra, Yote ilikuwa ni kumpima tu msimamo wa binti yule..

*******
Huo ulikuwa mpango wote wa Saidi hadi kuwa kichaa...
**********
**********

Siku ya leo baada ya Saidi kujua namna gani maduka yake yanaendelea, aliizima sim na kuirudisha chini kabisa ya begi lake kisha kurudi Sebuleni..

Kabla ya kukaa.. Alipata wazo la kwenda kukagua mabegi ya Nasra..

Aliingia chumbani na kufungua moja ya begi kubwa la Nasra..

Alianza kutoa nguo taratibu hadi chini kabisa ya begi...

Alikutana na mkoba fulani mdogo.. Aliutoa ule mkoba na kuanza kuupekua,

Aliingiza mkono na kushika kitu fulani kigumu cha Plastiki..

Saidi alishtuka na kutoa mkono wake haraka..

Aliingiza tena na kukishika hicho kitu kisha kukitoa...

Alikitazama na kuona ni Bastola...

"" "" Mungua wangu.. Saidi aliongea kwa hofu na kutetemeka sana hadi bastola ikadondoka chini...

"" " Huyu mwanamke ni jambazi jamani... Aliwaza Saidi na kuiokota bastola kuirudisha kwenye Begi..

Alifungua baadhi ya Zipu za kibegi kile na kukuta kitambulisho fulani kidogo kilikaribia kufanana na kitambulisho cha mpiga Kura..
Saidi alikitoa na kukisoma..

" "" " TANZANIA INTELLIGENCE AND SECURITY SERVICE (TISS) ...
Saidi alishtuka baada ya kukuta maandishi hayo na nembo ya taifa pamoja na picha ya Nasra kwenye kitambulisho kile..

" "" " Inamaana huyu Dada ni usalama wa Taifa..??? Aliongea Saidi na haraka alianza kurudisha vitu kwenye Begi kwa hofu...

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHAMIRA fully episode
SHAMIRA fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9


????CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Nyie mabinti wa mjini mnajidai mnajua kuchezea watoto wa watu kwa kuwaloga ili mmiliki mali zao.. Sasa kwa huyu Mgongo wa Dodoma naomba usahau hilo.. Mali ya mwanangu hakuna mpuuzi wa kuichukua.. Nakupa siku saba mwanagu arudi kwenye hali yake..
Aliongea yule mama na kuinuka kisha kuondoka zake....

Dalali sele aliinuka pia na kuwatazama akina Nasra na Saidi kisha kuondoka zake....

Nasra aliinamisha kichwa huku anawaza na kububujikwa na machozi kama maji..
Alitegemea huenda mama wa Saidi kaja angeweza kusaidiana nae kurejesha hali ya mwanae sawa kumbe ndio matatizo mapya yanaanza..

"" "" " Eeeeehhh Mwenyezi Mungu. Ni...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-8-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2
CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
SEHEMU YA 23  CHUMBA CHA MPANGAJI
SEHEMU YA 23 CHUMBA CHA MPANGAJI
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

378
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

338
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

281
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

207
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

69
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

64
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

48
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

48
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

42
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

41

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.7K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.1K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.89K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest