Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9
Gonga94 · Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

????CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Nyie mabinti wa mjini mnajidai mnajua kuchezea watoto wa watu kwa kuwaloga ili mmiliki mali zao.. Sasa kwa huyu Mgongo wa Dodoma naomba usahau hilo.. Mali ya mwanangu hakuna mpuuzi wa kuichukua.. Nakupa siku saba mwanagu arudi kwenye hali yake..
Aliongea yule mama na kuinuka kisha kuondoka zake....

Dalali sele aliinuka pia na kuwatazama akina Nasra na Saidi kisha kuondoka zake....

Nasra aliinamisha kichwa huku anawaza na kububujikwa na machozi kama maji..
Alitegemea huenda mama wa Saidi kaja angeweza kusaidiana nae kurejesha hali ya mwanae sawa kumbe ndio matatizo mapya yanaanza..

"" "" " Eeeeehhh Mwenyezi Mungu. Ni mtihani gani umenipa mimi mja wako.. Au kuna sehemu nimekukosea muumba wangu.??? Naomba msamaha wako ewe muweza wa yote....
Aliongea Mwenyewe Nasra na kuchukua kitambaa fulani kwenye kochi na kujifuta machozi pamoja na makamasi yaliyokuwa yanambubujika kwa pamoja...

"" "" Dada Chiku. Huyu mama anatoka wapi,.?? Mbona anawaka kiasi hiki huyu mama.??? Aliongea saidi na kusogea karibu na Nasra kisha kuanza kumbembeleza..

Saidi alikuwa anapenda sana kumuita Nasra kwa jina la Chiku..

Nasra aliingia tena ndani na kunawa uso kisha kupaka mafuta upya na kutoka...

Alimkuta Saidi bado amekaaa tu Sebuleni anaangalia Tv huku anacheka...

"" "" Saidi. Naomba ukae hapa nyumbani kwa kutulia.. Kama hupendi niendelee kuteseka na kulia, basi nakuomba sana usitoke humu ndani..

"" " Mimi natoka sasaivi kwenda kazini. Nakuomba basi njoo ufunge Geti na urudi ndani utulie Saidi.. Nakuomba sana...

" "" " Sawa dada Chiku.. Nakutakia kila Kheri mbele ya mboni ya macho yako.. Usifikirie mengi sana juu ya nyota inayong'aa upande wa kusini mwa Dunia..
Angalia nyota ya Magharibi ndio inayomulika ulimwengu kwa uangavu wa hali ya juu..

Haya unaweza kwenda..

Aliongea Saidi na kuinuka kisha kumshika Nasra Mkono na kuelekea nae hadi lilipo gari..

Nasra alipanda na alifunguliwa vyema tu gati na Saidi kisha gari likatoka..

Saidi alirudishia geti na kurudi Sebuleni..

Saidi alishusha pumzi na kutulia kimya utadhani hana matatizo ya akili, aliwasha TV na kuanza kuangalia baadhi ya vipindi...

Alishika rimoti na kuweka chaneli ya wanyama kwasababu alikuwa mpenzi sana wa kuangalia mambo hayo...

Saidi aliinuka tena na kwenda kufunga vizuri mlango wa Sebuleni na kuingia chumbani kwake..

Alifungua begi lake na kuangalia hati zake za nyumba....

Aliziona zote zipo sawa..

Aliendelea pekua zaidi ndani ya begi na kuchukua simu yake ndogo iliyokuwa silent kisha kumpigia mmoja wa wafanyakazi kwenye duka lake la Jumla..

"" "" Rojas, mambo vipi mzee, aliongea Saidi na kuiweka ile simu Laud speaker..

"" " Poa brother.. Unaendeleaje.. Alijibu huyo Rojas

""" mimi nipo poa kabisa.. Nimepata nafasi ndogo hapa nikaona nikucheki..
Vipi pesa za mapato yote unaingiza kwenye account.??
Hakikisha na wafanyakazi unawalipa kwa wakati.. Kama kuna tatizo nitumie tu ujumbe. Kama sintokujibu kwa wakati basi ujue nipo bize.. Lakini nikiwa Free nitakuwa nakupigia...
Aliongea Saidi huku anachungulia Dirishani kama kuna mtu anatokea au laa...

"" " Sawa Broo...
Usijali kila kitu kipo sawa. Nakutakia kila la kheri katika kumpata mke mwema..
Aliongea Rojaz na kukata sim...

*******
Kumbe saidi hakuwa na Tatizo lolote la Akili lakini ukweli ni kwamba Dalali sele alikuwa na mpango wa kumharibu mwenzie na inasemekana kuwa ni tabia yake hapo mtaani..

******
Siku ya Tukio iliyo pelekea Saidi kujipatisha ile ajali Makusudi ilikuwa hiviiiiiiii
****
**

Mara tu baada ya Dalali sele kutoka Ndachi kwa mganga na kufanya mambo yake kama alivyohitaji yawe.....

Yule mganga alishika simu yake na kumpigia mwanae Rojas, kumbe Rojas yule mfanyakazi na msimamizi wa maduka ya Saidi alikuwa ni mtoto wa yule Mganga lakini Dalali sele hakuwa anajua kitu chochote...

"" "" Mwanangu Rojas, nakuomba sana mjulishe Boss wako kuwa kuna kijana fulani kaja hapa kwa nia ya kutaka kumfanyia dawa awe kichaa kisa ugomvi wa mwanamke...

Huyo jamaa nilimsikiliza tu na kumwambia kuwa nitamfanya Saidi kuwa kichaa..
Amelipa pesa yule jamaa na mimi nilifanya kazi ya uongo tu hapa...

Aliongea yule Mzee..

"" "" " Hembu ngoja baba... Nampigia Saidi ili asikie yote haya..
Aliongea Rojaz na kumpigia Saidi pia..

Ziliunganishwa simu tatu na walikuwa wakisikilizana Vyema tu...

" "" Mwanangu Saidi upo wapi.. Aliongea mzee baada ya Saidi kupokea simu na kujiunga na Mjadala huo.....

"" "" " Shkamoo mzee. Nipo nyumbani kwasasa ila nilikuwa nampango wa kurudi kijiweni kuokoteza tena mzee wangu...
Saidi aliongea kwa upole huku anawaza kuna tatizo gani hadi simu ziunganishwe vile....

ITAENDELEA...SEHEMU YA 09

CHUMBA CHA MPANGAJI

ILIPOISHIA.....
"" "" " Shkamoo mzee. Nipo nyumbani kwasasa ila nilikuwa nampango wa kurudi kijiweni kuokoteza tena mzee wangu...
Saidi aliongea kwa upole huku anawaza kuna tatizo gani hadi simu ziunganishwe vile....

" "" Sasa kijana. Kuna bwana mmoja anaitwa Sele ni Dalali mkubwa tu hapo mjini..
Leo kaja hapa kwa sababu za kumharibu binti mmoja anaitwa Nasra..
Lakini baada ya mimi kutazama kwa undani nilibaini kuwa huyo Nasra tayari ulishiriki naye kimapenzi..
Aliongea yule mzee...

"" "" Enheee mzee wangu.....
Saidi aliongea na kutulia ili kumsikiliza mzee vyema..

"" "" "" Yule dalali huwa namsaidia kwenye kazi zake nyingi sana hata dawa nyingi za kuoga ili apate mvuto kwenye kazi zake huwa nampa...
Pia huwa anakuja hapa akiwa na Dhumuni la kuwaharibu wake za watu wenye mali ili apendwe na apewe pesa..
Hayo yote huwa namsaidia na huwa anakuja kunipa majibu kuwa mambo yake yanaenda sawa..

Aliendelea kuongea mzee yule

"" "" Sasa leo kaja hapa kwa shida ya kukuharibu..
Daaahh hilo niliona hapana. Niliona haliwezekani kabisa kukufanyia ubaya mtu usiye na Hatia...

Saidi wewe ulimsaidia mwanangu kwa kumpa kazi na kumlipa vizuri bila hiyana yeyote..
Na mimi ndiye nilikutengenezea kinga yako inayokulinda na nilikusafisha hadi ukashinda hiyo bahati nasibu ya mpira na kupata mamilioni yale..
Sasa kwanini nikuharibu kijana wangu pasina sababu yeyote...

Aliendelea kuongea yule mzee..

"" "" " Saidi nakuheshim mwanangu na kama kuna tatizo uwe unanitafuta...

Nimejaribu kumuangalia huyo binti anayo nyota kali ya pesa..
Pia binti huyo nje na kazi yake anayo ifanya, anaonekana kama mpelelezi na huenda anayo kazi ingine ya siri ambayo ni ngumu mtu yeyote kuijua..

Nakuomba mpime huyo binti uone kama anayo mapenzi ya kweli na Umuoe.. Utaona mafanikio yatakavyo kumiminikia..

Alizidi kuongea yule mganga.....

Muda huo Saidi alikuwa kimya akisikiliza kwa umakini sana huku anawaza ni kazi gani ya siri ambayo huenda mpenzi wake anayo..

"" "" "" "
Mwanangu Saidi mimi nakupa moyo wa kuendelea kupiga kazi zako na kujiamini.. Hakuna ubaya wowote. Lakini huyo dalali atakuwa na mwisho mbaya sana aliongea mzee..

Saidi alitulia kimya huku anatafakari nini cha kufanya..

" "" " Basi Mzee wangu. Nimekuelewa.. Mimi leo nikiwa natoka hapa, nitajipatisha ajali ambayo haitoniumiza alafu nitajidai nimekuwa kichaa..
Nataka nipime uvumilivu wa huyu mwanamke. Je ananipenda kweli au kafuata pesa tu.??
Aliongea Saidi..

" "" "" Hilo ni wazo zuri sana.. Hata ukibaini mapungufu yake basi utaniambia tu na mimi nitamtengeneza atatulia sana...
Aliongea yule mzee..

"" "" Dogo Rojas. Kwasasa nitakuwa napatikana kwa sim ndogo tu..
Nitaiweka Silent na nitaificha mbali..
Kama kuna tatizo utakuwa unanitumia ujumbe na nitakujibu ninapo pata muda....
Aliongea Saidia na Mawasiliano yalikatwa na kila mtu aliendelea na Shughuli zake......

*****

Baada ya maongezi yale.. Saidi alishika sim na kumpigia mama yake kumwambia nini anataka kukifanya...
Saidi hakutaka kufanya kwa siri kwasababu aliogopa kumsababishia matatizo mama yake....

Na pia Saidi alikuwa wapekee na msaada mkubwa kwa mama yake.. Aliogopa kumficha mama yake kwasababu mama angesikia kuwa mwanae ni kichaa basi yule mama angepata hata Presha au matatizo mengine ya kiafya...

Saidi aliliamua kumwambia kila kitu mama yake mzazi..

Kwahiyo hata Siku dalali Sele anaenda kwa mama yake Saidi kumwambia habari zile. Yule mama alikuwa anaelewa mchezo wote...

Ni Sele tu ndio alikuwa haelewi nini anakifanya kwasababu kila mmoja alikuwa anamchora tu..

Dalali Sele kwa umbea na akijua anaenda kumkomoa Nasra, alimua kwenda kumwambia mama yake Saidi. Na ndio sababu mama yake Saidi kwenda kumtishia Nasra, Yote ilikuwa ni kumpima tu msimamo wa binti yule..

*******
Huo ulikuwa mpango wote wa Saidi hadi kuwa kichaa...
**********
**********

Siku ya leo baada ya Saidi kujua namna gani maduka yake yanaendelea, aliizima sim na kuirudisha chini kabisa ya begi lake kisha kurudi Sebuleni..

Kabla ya kukaa.. Alipata wazo la kwenda kukagua mabegi ya Nasra..

Aliingia chumbani na kufungua moja ya begi kubwa la Nasra..

Alianza kutoa nguo taratibu hadi chini kabisa ya begi...

Alikutana na mkoba fulani mdogo.. Aliutoa ule mkoba na kuanza kuupekua,

Aliingiza mkono na kushika kitu fulani kigumu cha Plastiki..

Saidi alishtuka na kutoa mkono wake haraka..

Aliingiza tena na kukishika hicho kitu kisha kukitoa...

Alikitazama na kuona ni Bastola...

"" "" Mungua wangu.. Saidi aliongea kwa hofu na kutetemeka sana hadi bastola ikadondoka chini...

"" " Huyu mwanamke ni jambazi jamani... Aliwaza Saidi na kuiokota bastola kuirudisha kwenye Begi..

Alifungua baadhi ya Zipu za kibegi kile na kukuta kitambulisho fulani kidogo kilikaribia kufanana na kitambulisho cha mpiga Kura..
Saidi alikitoa na kukisoma..

" "" " TANZANIA INTELLIGENCE AND SECURITY SERVICE (TISS) ...
Saidi alishtuka baada ya kukuta maandishi hayo na nembo ya taifa pamoja na picha ya Nasra kwenye kitambulisho kile..

" "" " Inamaana huyu Dada ni usalama wa Taifa..??? Aliongea Saidi na haraka alianza kurudisha vitu kwenye Begi kwa hofu...

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9


????CHUMBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Nyie mabinti wa mjini mnajidai mnajua kuchezea watoto wa watu kwa kuwaloga ili mmiliki mali zao.. Sasa kwa huyu Mgongo wa Dodoma naomba usahau hilo.. Mali ya mwanangu hakuna mpuuzi wa kuichukua.. Nakupa siku saba mwanagu arudi kwenye hali yake..
Aliongea yule mama na kuinuka kisha kuondoka zake....

Dalali sele aliinuka pia na kuwatazama akina Nasra na Saidi kisha kuondoka zake....

Nasra aliinamisha kichwa huku anawaza na kububujikwa na machozi kama maji..
Alitegemea huenda mama wa Saidi kaja angeweza kusaidiana nae kurejesha hali ya mwanae sawa kumbe ndio matatizo mapya yanaanza..

"" "" " Eeeeehhh Mwenyezi Mungu. Ni...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-8-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2
CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
SEHEMU YA 23  CHUMBA CHA MPANGAJI
SEHEMU YA 23 CHUMBA CHA MPANGAJI
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

930
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

882
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

333
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

289
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

270
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

211
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

209
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

189
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

167
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "6"💓😽

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "6"💓😽

139

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.85K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.96K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.76K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "7_8"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "7_8"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh 🤮...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Mané, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema “Muanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema “eenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema “wewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "6"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "6"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn 😂😂😂 vitoto vya mskini sisi akili ni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest